Mbona wakihama wana CCM hizo habari za uchu wa madaraka, kuchumia matumbo mara ooh kununuliwa huwa hatuzisikii isipokua wakihama upinzani hebu tuamke na kuacha kuishi kwa kukalilishwa kama kuna mtu ana ushahidi wa yeyeto alienunuliwa atupatie japo hapa youtube akiwa under cover tuache kuwachafua watu
Sikia kaka waache waseme waayapendayo lkn Kwangu mm yote kwa yote bora bora ukinunuliwa na magufuli utasaidia kujenga nchi kuliko kununuliwa na ma beberu unasaidia kuididimiza taifa upinzani tele wamekua vibaraka wawa zungu wananunuliwa kwamasilahi ya wazungu lkn hawasemi wananunuliwa kiasi gani ila wakihamia CCM wananunuliwa wamezoea kusema yasiyo fahamika
Jamaaa katumia haki yake ya kikatiba inayo mruhusu kuhamia chama chochote wakat wowote atakayo taka sasa kinacho shangaza hapo ni nini labda tusipende kuongea maneno mengi ooo mara njaa kwani kuna mtu mwenye shibe kila mmoja ananjaaa na swala la kuhama vyama aija anza leo hata walipo chadema waliama na kuanzisha chadema kwaiyo no big deal.....hapo kikubwa tujenge nchi yetu kwa pamoja no matter uko wapo ...
Mi nampenda sana Rais Magufuli Anafanya kazi Nzuri sana.Naomba Tushirikiane Nae katika kujenga Nchi yetu.kulinda Amani na Utulivu.Tushirikiane sote Iwe Chadema na vyama vyote tushirikiane sote niwatanzania.
Ndug mashingi amesoma alama za nyakati ,tuliwahi kusema hicho chama kinawenyewe ,hicho chama ni cha wahuni, pia hicho chama na kile cha act haviaminiki kupewa inchi ni wapiga domo sana huku wanaisalti inchi, sasa kwa kuyaona hayo wenye akili na washabiki wa fulani lazima wajiondoe kwenye huo utumwa.
Miongon mwa sababu ya kumhamisha ni kuepuka marumbano ya kisiasa hivyo hajaama kwa kuunga mkono juhud Za mh.baali kuogopa misukosuko maana cku zote wanasukwasukwa ni wapnzan tu na sio ccm
Kesho kutwa atatangazwa Mkuu wa mkoa au Balozi! Hongera Mashingi kwa kuotea maana mwaka huu wa uchaguzi unahitaji makamanda wenye vifua so mbendembende. Nafikiri umewarahisishia makamanda mwendo.
Nyie wapinzani mnaohamia ccm kwa wakat huu naomba msiwe na mpango wa kusaka ubunge kupitia ccm, msizani mtapitishwa kugombea ubunge moja kwa moja kuptia ccm, narudia tena msipofanikiwa ubunge mtulie sawa
Bila kutanguliza ushabiki ingawa pia sio mshabiki wa chama chochote Mashinji anaendeshwa na gonjwa la wanasiasa wengi wa Afrika, uchu wa madaraka Mazingira ya kuhama kwake yanazungumza fika Demokrasia Afrika ni jambo geni, tunahitaji miaka mingi zaidi kulielewa na kuliishi Sasa ni kulishana upepo
CCM wataua uzalendo ndani ya chama kama wakiendelea kuwapa madaraka watu wanaohamia toka upinzani Karma Mashinji amehamia Kwa kuipenda CCM msimpe uongozi wowote, apambane kwenye michakato ndani ya chama
Naamini sasa Mbowe amepata Funzo mujarabu katika hili, aliambiwa aachane na hawa wahamiaji haramu waliokua wameletwa na upepo wa kisulisuli hakutaka kusikia....... Ona sasa ujinga Kama huu
Kumbe Mashinji nilidhani Mnyika... CHADEMA wanaogopa yaliyowatokea CUF bora kuziba ufa kuliko kujenga ukuta. Imenikumbusha 2015 Mawaziri wakuu walipokiacha chama chetu na kujiunga na CHADEMA..
Ivi mi nataka niulize tu maana mi ni mkeleketwa wa siasa tena sana mi anaefanya vzr nampongeza tu anaeboronga nasema tu bila kujali chama gani,,,labda niulize swali kwa wadau,,kwanini kila anatoka chadema lzm atupie lawama kwa mboe? Huyu mboe ni nini hasa anakifanya kila atokae lawama kwa huyo kiongozi kuna nini kiko nyuma ya pazia?
Hapo mbowe ndo kila kitu katika chadema akiamua ww uwe nani kwenye chama utakuwa hakuna wa kupinga na kwaujuma ndan ya chama hakuna democrasia ndo yale ya zito ndo maana kila anaetoka huko anajua chama kakishikilia nani???
Watanzania wenzangu jiulizeni kwanini haya mambo yako Tanzania tu inchi nyingine hakuna na kwa nini yako awamu hii ya tano tujiulize jamani ndo tutagundua kitu hapo. Hayakuwepo awamu ya 1.hayakuwepo awamu ya 2. Hayakuwepo awamu ya 3 Hayakuwepo awamu ya 4. Why sasa. Kuna kitu hapa.
Awamu hii ndio NI AWAMU pekee katika hizo iliyofumbua macho ya Watanzania juu ya uwepo wa uhewa hewa Kama vile walimu hewa , madaktari hewa , mikataba hewa , ahadi hewa , kaya masikini hewa na Mambo mengi TU . Yaan swali lako ni zuri sana unaelekea akili zimo ila matumizi tu , jaribu kufikilia deep kdgo TU utagundua nikwann haya mahamaji chama yanatokea awamu hii TU .
ndio shida yetu sisi wajuwaji sana wakati elim ndogo sana ndo.lkn pia siasa tunazichukulia vibaya sana na ndio maana kila mpinzani inchi hii anaoneka aduwi bila kujali ana mchango gani.
@@rajabusalumu6509 mchango wa nini ? Hawa wapiga kelele TU hawana mchango wwote ...... Wanatangaza demokrasia wakati wao ndani yachama hawana democrasia ...... Mr Tundu Lissu amekipambania Sana chama hicho , na anaelimu na uzoefu mzuri TU , anajua kutoa hoja na kutetea , lkn mwisho uliza yeye NI Nani katika chama hicho ..... ? Utakuta anacheo ambacho hakipogo duniani 😂😂😂😂😂 , anapakwa mafuta TU wanamsingasinga kwa mgongo wa chupa Yuko huko abroad kawaacha wenyechama Chao ....wanamchombeza TU Tundu usirudi utakufa , lkn sio kwamba atakufa , niwao wanajua alirudi kunanafasi atahitajika ashike TU ktk chama ........ Wewe hujawahi kuona mwanamke anasema usije nyumbani baba kakaa nje alafu mkali yaani hata kupita usipite utaniletea matatizo , lkn kumbe Yuko kwao na kijamaa kipya kimekula modo na kinavijisenti vya ada vilivyobaki 😂🤣😂🤣😂🤣 . Lissu mtazame Mbowe na jopo lake
*HAO MOLIONI 6 UCHAGUZI 2015 HAWAKUIFUATA CHADEMA BALI WALIMFUATA LOWASSA TENA WAKITOKA VYAMA VILIVYOUNDA UKAWA* *HUYO WALOMPIGIA 2015 KESHAWAKIMBIA BADO MWAZIOTA TU KURA MILION 6*
Naamini sasa Mbowe amepata Funzo mujarabu katika hili, aliambiwa aachane na hawa wahamiaji haramu waliokua wameletwa na upepo wa kisulisuli hakutaka kusikia....... Ona sasa ujinga Kama huu
Kama unaipenda CCM na unasupport kazi zinazofanywa na CCM gonga like,
Wengine nadhani ni madokta wa nzi
Karibu nyumban mzee
Mbona wakihama wana CCM hizo habari za uchu wa madaraka, kuchumia matumbo mara ooh kununuliwa huwa hatuzisikii isipokua wakihama upinzani hebu tuamke na kuacha kuishi kwa kukalilishwa kama kuna mtu ana ushahidi wa yeyeto alienunuliwa atupatie japo hapa youtube akiwa under cover tuache kuwachafua watu
Sikia kaka waache waseme waayapendayo lkn Kwangu mm yote kwa yote bora bora ukinunuliwa na magufuli utasaidia kujenga nchi kuliko kununuliwa na ma beberu unasaidia kuididimiza taifa upinzani tele wamekua vibaraka wawa zungu wananunuliwa kwamasilahi ya wazungu lkn hawasemi wananunuliwa kiasi gani ila wakihamia CCM wananunuliwa wamezoea kusema yasiyo fahamika
Jamaaa katumia haki yake ya kikatiba inayo mruhusu kuhamia chama chochote wakat wowote atakayo taka sasa kinacho shangaza hapo ni nini labda tusipende kuongea maneno mengi ooo mara njaa kwani kuna mtu mwenye shibe kila mmoja ananjaaa na swala la kuhama vyama aija anza leo hata walipo chadema waliama na kuanzisha chadema kwaiyo no big deal.....hapo kikubwa tujenge nchi yetu kwa pamoja no matter uko wapo ...
Kwani TBC ni ya CCM au ni ya taifa zima vikiwemo vyama vyote vya siasa?
Naomba kujuzwa
Ngoja tutoe elim apa we unazani chama kilicho shka Dora n kip? Vyama vngne vnashukuku vyenyewe vkizan TBC inawatenga lakn xo kweli
Eti wa Chama cha mbowe🤣🤣🤣polepole kiboko
Kumbe hata wewe umesikia iyo nimecheka sana
Chama cha mbowe duu 😂😂😂
Hakuna pigo chadema ni wananchi sio mtu mmoja
Mbowe tatizo kubwa sana,anataka wakishinda uraisi nchi iwe mfukoni mwake
We jamaaa mungu anakuona umepewa shilingi ngap
Hata Patrobas Katambi alihudum chadema na alitoka sasa ni Mkuu wa Wilaya Dodoma......!!
Dah lakini siasa zakuhamahama izi bila sababu zinavunja moyo
Mi nampenda sana Rais Magufuli Anafanya kazi Nzuri sana.Naomba Tushirikiane Nae katika kujenga Nchi yetu.kulinda Amani na Utulivu.Tushirikiane sote Iwe Chadema na vyama vyote tushirikiane sote niwatanzania.
Umefanya la maana sana
Mbowe,Lema na wengine wanakuja wapo njian 🏃🏃
Huyo Hana lolote amekuja chunguza na kutafuta msosi
Du hongera baba mashinji
Chadema sio ya mtu, walobaki naamini wataendelea na harakat .
Sili anayo mpiga kura nyie jichetueni tuuu, muda ukifika sisi tunapiga kura
Kweli?
chadema bado tupo ye mwache aondoke
Ccm mbele Kwa mbele .......RUDINI NYUMBANI KUMENOGAAAA@🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂
Ayo mbona camera haitulii?
Huyo kanyimwa cheo anayo haki ya kukitafuta cheo popote nchin
Mpinzani asa alokomaa hawezi kufanya ivo ni uroho wa uongozi ZANZIBAR hakuna ujinga uo
Wachaga wanaojielewa walishasepa mda CHADOMO bado akina Mbowe ,Mdee,Mnyika ving'ang'anizi wa madaraka
Maigizo maigizo maigizo, maendeleo yana chama
Ndug mashingi amesoma alama za nyakati ,tuliwahi kusema hicho chama kinawenyewe ,hicho chama ni cha wahuni, pia hicho chama na kile cha act haviaminiki kupewa inchi ni wapiga domo sana huku wanaisalti inchi, sasa kwa kuyaona hayo wenye akili na washabiki wa fulani lazima wajiondoe kwenye huo utumwa.
Napenda kukosoa ila naogopa watu wasiojulikana
Nalo jambo ilo
Au unakijua chama cha mbowe kuliko katibu mkuu?
Katibu mkuu wa chama mbowe
Mwana siasa nikama maraya maraya hivi
Ni zaidi ya malaya😁😁😁😁😁😁
Ni uchu tu wauongozi
Mnachumia matumbo hawa mamluk hawafai kanisani Wala msikitin hukohuko mnakowapokea wakikosa walichokifata hawatakaaa
Bora kumbe Mashinji unajitambua dr yako nimeielewa kile kigenge cha mbowe kipo ukabila zaidi ile ni SACOS ya mbowe
Karibu nyumbani kumenoga CCM oyeeeee.!
Hata wengine karibuni chama lao CCM kumenoga#!
Miongon mwa sababu ya kumhamisha ni kuepuka marumbano ya kisiasa hivyo hajaama kwa kuunga mkono juhud Za mh.baali kuogopa misukosuko maana cku zote wanasukwasukwa ni wapnzan tu na sio ccm
Napata shida ya kuelewa hivi polepole na stive nyerere ni ndugu au?
Kimeumana wanasiasa kupewa fursa ya mkutano kuweka uhaini rais kuwaweka kutini
Kesho kutwa atatangazwa Mkuu wa mkoa au Balozi! Hongera Mashingi kwa kuotea maana mwaka huu wa uchaguzi unahitaji makamanda wenye vifua so mbendembende. Nafikiri umewarahisishia makamanda mwendo.
Pigo kwa mbowe??? Mbowe msimfananishe na viongozi wenu hao.. Chadema itabaki juu
Kabisa sema m4c
Eti chama cha demokrasia na wakati ndani ya chama chenyewe Hakuna demokrasi heee....
Ndani ya CCM kuna demokrasia gani?
Wapinzani nawapa bg up wanachunguza sumaye na mashinji wote walitaka wapewe uongozi wasepe sasa wamenyimwa asante mbowe 😂😂😂😂😂😂😂
Umenena neno jema
tukikosowa ni shida, kinachotakiwa ni kusifia tu
Nyie wapinzani mnaohamia ccm kwa wakat huu naomba msiwe na mpango wa kusaka ubunge kupitia ccm, msizani mtapitishwa kugombea ubunge moja kwa moja kuptia ccm, narudia tena msipofanikiwa ubunge mtulie sawa
Njaaa tu hizo kwendaaa peoplezzz
Power
Mwalimu alishasema maadui wakubwa wa nchi yetu ni ujinga, umaskini na maradhi. Hayo ndo yanayojitokeza kila wakati mpaka sasa.
Chadema kaeni chini mjitafakari, hii hali siyo nzuri Hawa wanaotoka Chadema na ni watu wa ngazi za juu siyo sawa kabisa
Kwa huyo wala hatujitafakari labda iwe mnyika au mdee roho itauma
Wote hawa waliletwa na upepo wa kisulisuli, waache warudi kwao.
Sipendi kukosoa ila UJINGA ULIOKOMAA NDO UMEONESHA BAADA YA KUKOSA CHAKULA KWA JIRANI,uccm na uchadema ,utawauwa wengi
Bila kutanguliza ushabiki ingawa pia sio mshabiki wa chama chochote
Mashinji anaendeshwa na gonjwa la wanasiasa wengi wa Afrika, uchu wa madaraka
Mazingira ya kuhama kwake yanazungumza fika
Demokrasia Afrika ni jambo geni, tunahitaji miaka mingi zaidi kulielewa na kuliishi
Sasa ni kulishana upepo
Watu kama hawa enzi nyerere hawawezi kupokelewa maana moyoni hapkunal mlapenzi ya kweli bali kuna njaa ya hela
Hahahaaaaa umeona anatafuta uongozi kwa nguvu
CCM wataua uzalendo ndani ya chama kama wakiendelea kuwapa madaraka watu wanaohamia toka upinzani
Karma Mashinji amehamia Kwa kuipenda CCM msimpe uongozi wowote, apambane kwenye michakato ndani ya chama
Mnafiki sana nenda salama
Mwanzo kasem maendeleo hayana chama Sasa Kuna umuhimu gani wa kujiunga huko kwa Ccm
Anatafuta mlo huko ccm, njaa tu inamsumbua
Anataka akimbie speed kubwa kuliko kutokuwa na chama
Kwani we nani bwana ?
Hauna lolote tamaa zita waua munazani mutapewa uwaziri wanafiki wakubwa nyinyi kuwa mpizani nilazima uwe mwanaume wa shoka siyo wanaume legelege kama nyinyi pumbavu.
Mpuuzi kabisa yani nasema Tamaa itatuuwa
Unaogopa kufa ila jua kifo kipo tu
Eti nimepata taarifa ya Ugeni ....!!! Wakati mlikua bize kumnunua
Umeona ehh
SHIDA YA UWONGOZI TU
Muhhhhhhhh. Naogopa wa2 wasio julikana
Jamani njaa mbaya sana.. narudia tena njaa mbaya mno
Naamini sasa Mbowe amepata Funzo mujarabu katika hili, aliambiwa aachane na hawa wahamiaji haramu waliokua wameletwa na upepo wa kisulisuli hakutaka kusikia....... Ona sasa ujinga Kama huu
Mbele yenu wa kijani, maendeleo yana chama.
Mpe nafasi afanye kazi...., si nchi ya kazi tuuu
Kalipe kwanza madeni ya fedha unayodaiwa. Usilete siasa hapa
Kumbe Mashinji nilidhani Mnyika... CHADEMA wanaogopa yaliyowatokea CUF bora kuziba ufa kuliko kujenga ukuta. Imenikumbusha 2015 Mawaziri wakuu walipokiacha chama chetu na kujiunga na CHADEMA..
Wapinzan wamekwissha kwani walisha wanyonya data zote
Kweli Mbowe ni jembe unawatambuaje wanao tarajia kuhama maana wangepewa uongozi wangehama na chama bigup MBOWE
Mbowe yupo njiani kuja ccm
@@jaffarmguwa5566 wapinzani hatuzidi 100 nchi nzima hivyo hata Mbowe na wengine mkienda ccm poa tu sisi tunasonga mbele na ipo siku mtaelewa
Mbowe akiondoka na chama ndio kimekufa
Ndo wamemwishia sasa akae chini ajiulize hicho kikundi cha mtu binafs sio chama tena
Tatizo n mbowe tu na sio chamaa
haroun TV baba akiwa mlevi, hapo hakuna nyumba
Ivi mi nataka niulize tu maana mi ni mkeleketwa wa siasa tena sana mi anaefanya vzr nampongeza tu anaeboronga nasema tu bila kujali chama gani,,,labda niulize swali kwa wadau,,kwanini kila anatoka chadema lzm atupie lawama kwa mboe? Huyu mboe ni nini hasa anakifanya kila atokae lawama kwa huyo kiongozi kuna nini kiko nyuma ya pazia?
Hapo mbowe ndo kila kitu katika chadema akiamua ww uwe nani kwenye chama utakuwa hakuna wa kupinga na kwaujuma ndan ya chama hakuna democrasia ndo yale ya zito ndo maana kila anaetoka huko anajua chama kakishikilia nani???
Hata hivyo ww ulikuwa mzigo nenda zako na njaa zako
Ata ukiona ivo ujue icho chama cha CCM kinaelekea kufa
Bora tu aondoke mimi sikuonaga supidi yake alivyokuwa Chadema , ila Chadema kiboko kwa kuwachunguza viongozi dumila kuwili
HAKIKA HUKUIONA *"SUPIDI" YAKE LAKINI UNAIONA "SUPIDI" YA MNYIKA NA MBOWE* AMBAO *WAMESHINDWA KUKIONGOZA CHAMA NA WANACHAMA WANAWAKIMBIA*
Mbowe kila siku na wambia anauwa chama ajihuzuru mtanikumbuka huyo nikama lipumba tu
...
umalaya malaya.....
Bravo mashinji, come back home
Watanzania wenzangu jiulizeni kwanini haya mambo yako Tanzania tu inchi nyingine hakuna na kwa nini yako awamu hii ya tano tujiulize jamani ndo tutagundua kitu hapo. Hayakuwepo awamu ya 1.hayakuwepo awamu ya 2. Hayakuwepo awamu ya 3 Hayakuwepo awamu ya 4. Why sasa. Kuna kitu hapa.
Pesa braza watu hawana uzalendo wa kweli katika vyama vyao
Hata AWAMU hii ni tofauti na AWAMU xote unazozijua ...... Tumia akili TU majibu yapo hapo hapo katika swali lako .......
Awamu hii ndio NI AWAMU pekee katika hizo iliyofumbua macho ya Watanzania juu ya uwepo wa uhewa hewa Kama vile walimu hewa , madaktari hewa , mikataba hewa , ahadi hewa , kaya masikini hewa na Mambo mengi TU . Yaan swali lako ni zuri sana unaelekea akili zimo ila matumizi tu , jaribu kufikilia deep kdgo TU utagundua nikwann haya mahamaji chama yanatokea awamu hii TU .
ndio shida yetu sisi wajuwaji sana wakati elim ndogo sana ndo.lkn pia siasa tunazichukulia vibaya sana na ndio maana kila mpinzani inchi hii anaoneka aduwi bila kujali ana mchango gani.
@@rajabusalumu6509 mchango wa nini ? Hawa wapiga kelele TU hawana mchango wwote ...... Wanatangaza demokrasia wakati wao ndani yachama hawana democrasia ...... Mr Tundu Lissu amekipambania Sana chama hicho , na anaelimu na uzoefu mzuri TU , anajua kutoa hoja na kutetea , lkn mwisho uliza yeye NI Nani katika chama hicho ..... ? Utakuta anacheo ambacho hakipogo duniani 😂😂😂😂😂 , anapakwa mafuta TU wanamsingasinga kwa mgongo wa chupa Yuko huko abroad kawaacha wenyechama Chao ....wanamchombeza TU Tundu usirudi utakufa , lkn sio kwamba atakufa , niwao wanajua alirudi kunanafasi atahitajika ashike TU ktk chama ........ Wewe hujawahi kuona mwanamke anasema usije nyumbani baba kakaa nje alafu mkali yaani hata kupita usipite utaniletea matatizo , lkn kumbe Yuko kwao na kijamaa kipya kimekula modo na kinavijisenti vya ada vilivyobaki 😂🤣😂🤣😂🤣 . Lissu mtazame Mbowe na jopo lake
Mamluki tokea kitambo wacha wajipambanue tuwaone
yaaan hii taarifa inarushwa na chombo cha taifa katika tv ya taifa ina maana jambo hili ni la kitaifra ama ???
Mbona hata waliohama CCM kwenda upinzani walitangazwa kwenye chombo cha kitaifa (TBC) kosa liko wapi hapo jamani?
Yote maisha Ila kusema uongo ni dhab
Mnaishia kununua hizo hela zitaishia 2
🙄🙄🙄🙄🙄wanaletwa naa njaa zao, mikono mitupu hailambwi
Na shati akapewa hapohapo
Hana ishu huyo
duu
TBC mubashala
Tatizo mbowe tu chadema jitafakalini msimtafute mchawi
Wenye akili watabaki nakili zao ata wewe ukifukuzwa ccm leo utakimbilia chadema kufukuzwa chadema lazima roho iume
Hakuna anaeenda chadema kwa sasa, bali ni Chdm kwenda Ccm
Uyu chizi kabisa
Aende Tu huenda alikuwa Gogo ndio maana mbowe hakumchagua Kwa nafas yoyote
Mbowe kubaki peke yake chadema
Labda kwa mujibu wa taarifa yako atabaki pekeyake.
Katemwa huyo Hana lolote Malaya uyo
Uyo sio kiongozi wewe kipole kipole ameshafukuzwa
*DR. SLAA ALIPOKIMBIA BADO AKIWA KATIBU MKUU MLISENAJE?*
Pigo kwa Mbowe kivip kwan Mashinji ndo aliyebeba watanzania milioni 6 waliouamin upinzani 2015,Ayo mnatumika kijinga
*HAO MOLIONI 6 UCHAGUZI 2015 HAWAKUIFUATA CHADEMA BALI WALIMFUATA LOWASSA TENA WAKITOKA VYAMA VILIVYOUNDA UKAWA*
*HUYO WALOMPIGIA 2015 KESHAWAKIMBIA BADO MWAZIOTA TU KURA MILION 6*
@@dachjunior4766 waambie hao mazumbu kuku..
Lowasa ndio aliowapa hizo kura,na sasa hayupo watakuwa na bahati hata kupata kura million 1
Mbona mi sijamfuata Lowasa maana ameondoka mi bado sjaondoka nae
Njaa tu hio umekosa cheo kule unakuja kufanya fitna
Amekimbia genge la wahuni
@@janekikoti2179 vutulo
✌
Hata waunge juhudi wote,mwananchi nitabaki.
Bongo muvie
Kwan kujiunga na ccm lazma camera alfu huyu alikuwa na mchango gan
Camera ili watu wapate habar
hana lolote katibu gan hatakuongea alikuwa hajui aende zake huko
Naamini sasa Mbowe amepata Funzo mujarabu katika hili, aliambiwa aachane na hawa wahamiaji haramu waliokua wameletwa na upepo wa kisulisuli hakutaka kusikia....... Ona sasa ujinga Kama huu