PIGO ZITO KWA MBOWE, MASHINJI AWEKA WAZI MAMBO YA CHADEMA AKIHAMIA CCM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 152

  • @shabanfitnesstv3977
    @shabanfitnesstv3977 Před 4 lety +34

    Kama unaipenda CCM na unasupport kazi zinazofanywa na CCM gonga like,

  • @reubenpaulomabula6098
    @reubenpaulomabula6098 Před 4 lety +9

    Karibu nyumban mzee

  • @vicentelias491
    @vicentelias491 Před 4 lety +11

    Mbona wakihama wana CCM hizo habari za uchu wa madaraka, kuchumia matumbo mara ooh kununuliwa huwa hatuzisikii isipokua wakihama upinzani hebu tuamke na kuacha kuishi kwa kukalilishwa kama kuna mtu ana ushahidi wa yeyeto alienunuliwa atupatie japo hapa youtube akiwa under cover tuache kuwachafua watu

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 Před 4 lety +2

      Sikia kaka waache waseme waayapendayo lkn Kwangu mm yote kwa yote bora bora ukinunuliwa na magufuli utasaidia kujenga nchi kuliko kununuliwa na ma beberu unasaidia kuididimiza taifa upinzani tele wamekua vibaraka wawa zungu wananunuliwa kwamasilahi ya wazungu lkn hawasemi wananunuliwa kiasi gani ila wakihamia CCM wananunuliwa wamezoea kusema yasiyo fahamika

  • @dicksonaroka6961
    @dicksonaroka6961 Před 4 lety +7

    Jamaaa katumia haki yake ya kikatiba inayo mruhusu kuhamia chama chochote wakat wowote atakayo taka sasa kinacho shangaza hapo ni nini labda tusipende kuongea maneno mengi ooo mara njaa kwani kuna mtu mwenye shibe kila mmoja ananjaaa na swala la kuhama vyama aija anza leo hata walipo chadema waliama na kuanzisha chadema kwaiyo no big deal.....hapo kikubwa tujenge nchi yetu kwa pamoja no matter uko wapo ...

  • @jamalishoo3802
    @jamalishoo3802 Před 4 lety +5

    Kwani TBC ni ya CCM au ni ya taifa zima vikiwemo vyama vyote vya siasa?
    Naomba kujuzwa

    • @simonwenceslaus9860
      @simonwenceslaus9860 Před 4 lety

      Ngoja tutoe elim apa we unazani chama kilicho shka Dora n kip? Vyama vngne vnashukuku vyenyewe vkizan TBC inawatenga lakn xo kweli

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 4 lety +11

    Eti wa Chama cha mbowe🤣🤣🤣polepole kiboko

  • @leonardgaspar7722
    @leonardgaspar7722 Před 4 lety +6

    Hakuna pigo chadema ni wananchi sio mtu mmoja

  • @tegezdomin8363
    @tegezdomin8363 Před 4 lety +1

    Mbowe tatizo kubwa sana,anataka wakishinda uraisi nchi iwe mfukoni mwake

  • @djgmp8140
    @djgmp8140 Před 4 lety +4

    We jamaaa mungu anakuona umepewa shilingi ngap

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 Před 4 lety +1

    Hata Patrobas Katambi alihudum chadema na alitoka sasa ni Mkuu wa Wilaya Dodoma......!!

  • @hailesalass7495
    @hailesalass7495 Před 4 lety +1

    Dah lakini siasa zakuhamahama izi bila sababu zinavunja moyo

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 4 lety

    Mi nampenda sana Rais Magufuli Anafanya kazi Nzuri sana.Naomba Tushirikiane Nae katika kujenga Nchi yetu.kulinda Amani na Utulivu.Tushirikiane sote Iwe Chadema na vyama vyote tushirikiane sote niwatanzania.

  • @harountv9267
    @harountv9267 Před 4 lety +6

    Umefanya la maana sana

  • @janekikoti2179
    @janekikoti2179 Před 4 lety +3

    Mbowe,Lema na wengine wanakuja wapo njian 🏃🏃

  • @edoniko9420
    @edoniko9420 Před 4 lety +4

    Huyo Hana lolote amekuja chunguza na kutafuta msosi

  • @omanabcd9249
    @omanabcd9249 Před 3 lety

    Du hongera baba mashinji

  • @edwiniedwin3347
    @edwiniedwin3347 Před 4 lety +3

    Chadema sio ya mtu, walobaki naamini wataendelea na harakat .

  • @shd12m55
    @shd12m55 Před 4 lety +3

    Sili anayo mpiga kura nyie jichetueni tuuu, muda ukifika sisi tunapiga kura

  • @samwelimashaka8997
    @samwelimashaka8997 Před 4 lety +1

    Kweli?

  • @joelsamson9932
    @joelsamson9932 Před 4 lety +1

    chadema bado tupo ye mwache aondoke

  • @alexmbembela4571
    @alexmbembela4571 Před 4 lety +2

    Ccm mbele Kwa mbele .......RUDINI NYUMBANI KUMENOGAAAA@🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂

  • @johannesmaloda8209
    @johannesmaloda8209 Před 4 lety +1

    Ayo mbona camera haitulii?

  • @mangsonsamson7712
    @mangsonsamson7712 Před 4 lety

    Huyo kanyimwa cheo anayo haki ya kukitafuta cheo popote nchin

  • @hailesalass7495
    @hailesalass7495 Před 4 lety

    Mpinzani asa alokomaa hawezi kufanya ivo ni uroho wa uongozi ZANZIBAR hakuna ujinga uo

  • @dicksonsheja251
    @dicksonsheja251 Před 4 lety +1

    Wachaga wanaojielewa walishasepa mda CHADOMO bado akina Mbowe ,Mdee,Mnyika ving'ang'anizi wa madaraka

  • @andronicomkuyu1862
    @andronicomkuyu1862 Před 4 lety +1

    Maigizo maigizo maigizo, maendeleo yana chama

  • @josephnchunga1247
    @josephnchunga1247 Před 4 lety +1

    Ndug mashingi amesoma alama za nyakati ,tuliwahi kusema hicho chama kinawenyewe ,hicho chama ni cha wahuni, pia hicho chama na kile cha act haviaminiki kupewa inchi ni wapiga domo sana huku wanaisalti inchi, sasa kwa kuyaona hayo wenye akili na washabiki wa fulani lazima wajiondoe kwenye huo utumwa.

  • @jasonheriwewejoas5282
    @jasonheriwewejoas5282 Před 4 lety +10

    Napenda kukosoa ila naogopa watu wasiojulikana

  • @festombugi58
    @festombugi58 Před 4 lety +1

    Mwana siasa nikama maraya maraya hivi

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 Před 3 lety

      Ni zaidi ya malaya😁😁😁😁😁😁

  • @hailesalass7495
    @hailesalass7495 Před 4 lety +1

    Ni uchu tu wauongozi

  • @africanreal8782
    @africanreal8782 Před 4 lety +2

    Mnachumia matumbo hawa mamluk hawafai kanisani Wala msikitin hukohuko mnakowapokea wakikosa walichokifata hawatakaaa

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 Před 4 lety +1

    Bora kumbe Mashinji unajitambua dr yako nimeielewa kile kigenge cha mbowe kipo ukabila zaidi ile ni SACOS ya mbowe

  • @mangsonsamson7712
    @mangsonsamson7712 Před 4 lety

    Miongon mwa sababu ya kumhamisha ni kuepuka marumbano ya kisiasa hivyo hajaama kwa kuunga mkono juhud Za mh.baali kuogopa misukosuko maana cku zote wanasukwasukwa ni wapnzan tu na sio ccm

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 4 lety +1

    Napata shida ya kuelewa hivi polepole na stive nyerere ni ndugu au?

  • @ManaseBuhanza-cl1lc
    @ManaseBuhanza-cl1lc Před rokem

    Kimeumana wanasiasa kupewa fursa ya mkutano kuweka uhaini rais kuwaweka kutini

  • @slyvesterkameo6847
    @slyvesterkameo6847 Před 4 lety

    Kesho kutwa atatangazwa Mkuu wa mkoa au Balozi! Hongera Mashingi kwa kuotea maana mwaka huu wa uchaguzi unahitaji makamanda wenye vifua so mbendembende. Nafikiri umewarahisishia makamanda mwendo.

  • @tablatabula3140
    @tablatabula3140 Před 4 lety +2

    Pigo kwa mbowe??? Mbowe msimfananishe na viongozi wenu hao.. Chadema itabaki juu

  • @mariamthomas2545
    @mariamthomas2545 Před 4 lety +7

    Eti chama cha demokrasia na wakati ndani ya chama chenyewe Hakuna demokrasi heee....

    • @emuganda1
      @emuganda1 Před 4 lety

      Ndani ya CCM kuna demokrasia gani?

  • @shafiicnackson6745
    @shafiicnackson6745 Před 4 lety +2

    Wapinzani nawapa bg up wanachunguza sumaye na mashinji wote walitaka wapewe uongozi wasepe sasa wamenyimwa asante mbowe 😂😂😂😂😂😂😂

  • @gabrielymathias5516
    @gabrielymathias5516 Před 4 lety +1

    tukikosowa ni shida, kinachotakiwa ni kusifia tu

  • @jumamadili3035
    @jumamadili3035 Před 4 lety

    Nyie wapinzani mnaohamia ccm kwa wakat huu naomba msiwe na mpango wa kusaka ubunge kupitia ccm, msizani mtapitishwa kugombea ubunge moja kwa moja kuptia ccm, narudia tena msipofanikiwa ubunge mtulie sawa

  • @mhomboedward7200
    @mhomboedward7200 Před 4 lety +1

    Njaaa tu hizo kwendaaa peoplezzz

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před 4 lety

    Mwalimu alishasema maadui wakubwa wa nchi yetu ni ujinga, umaskini na maradhi. Hayo ndo yanayojitokeza kila wakati mpaka sasa.

  • @ombennassary7438
    @ombennassary7438 Před 4 lety

    Chadema kaeni chini mjitafakari, hii hali siyo nzuri Hawa wanaotoka Chadema na ni watu wa ngazi za juu siyo sawa kabisa

    • @godrickngoda9843
      @godrickngoda9843 Před 4 lety

      Kwa huyo wala hatujitafakari labda iwe mnyika au mdee roho itauma

    • @godsonlema3668
      @godsonlema3668 Před 4 lety

      Wote hawa waliletwa na upepo wa kisulisuli, waache warudi kwao.

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 Před 4 lety

    Sipendi kukosoa ila UJINGA ULIOKOMAA NDO UMEONESHA BAADA YA KUKOSA CHAKULA KWA JIRANI,uccm na uchadema ,utawauwa wengi

  • @rev.jamesmwakyembe74
    @rev.jamesmwakyembe74 Před 4 lety

    Bila kutanguliza ushabiki ingawa pia sio mshabiki wa chama chochote
    Mashinji anaendeshwa na gonjwa la wanasiasa wengi wa Afrika, uchu wa madaraka
    Mazingira ya kuhama kwake yanazungumza fika
    Demokrasia Afrika ni jambo geni, tunahitaji miaka mingi zaidi kulielewa na kuliishi
    Sasa ni kulishana upepo

  • @godfreymwanga113
    @godfreymwanga113 Před 4 lety +1

    Watu kama hawa enzi nyerere hawawezi kupokelewa maana moyoni hapkunal mlapenzi ya kweli bali kuna njaa ya hela

    • @yohanaemmanuel6958
      @yohanaemmanuel6958 Před 4 lety

      Hahahaaaaa umeona anatafuta uongozi kwa nguvu

    • @rev.jamesmwakyembe74
      @rev.jamesmwakyembe74 Před 4 lety

      CCM wataua uzalendo ndani ya chama kama wakiendelea kuwapa madaraka watu wanaohamia toka upinzani
      Karma Mashinji amehamia Kwa kuipenda CCM msimpe uongozi wowote, apambane kwenye michakato ndani ya chama

  • @afredyohana356
    @afredyohana356 Před 4 lety +1

    Mnafiki sana nenda salama

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 Před 4 lety +1

    Mwanzo kasem maendeleo hayana chama Sasa Kuna umuhimu gani wa kujiunga huko kwa Ccm

    • @allymanyika3502
      @allymanyika3502 Před 4 lety

      Anatafuta mlo huko ccm, njaa tu inamsumbua

    • @depaolo3461
      @depaolo3461 Před 4 lety

      Anataka akimbie speed kubwa kuliko kutokuwa na chama

  • @mashakafundiinatafakarisha5521

    Kwani we nani bwana ?

  • @nyavas41
    @nyavas41 Před 4 lety +1

    Hauna lolote tamaa zita waua munazani mutapewa uwaziri wanafiki wakubwa nyinyi kuwa mpizani nilazima uwe mwanaume wa shoka siyo wanaume legelege kama nyinyi pumbavu.

    • @jessaima3130
      @jessaima3130 Před 4 lety

      Mpuuzi kabisa yani nasema Tamaa itatuuwa

  • @graysonfaustine1265
    @graysonfaustine1265 Před 4 lety

    Unaogopa kufa ila jua kifo kipo tu

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před 4 lety +3

    Eti nimepata taarifa ya Ugeni ....!!! Wakati mlikua bize kumnunua

  • @braitin-official-channel
    @braitin-official-channel Před 4 lety +2

    SHIDA YA UWONGOZI TU

  • @sananasanana435
    @sananasanana435 Před 4 lety +1

    Muhhhhhhhh. Naogopa wa2 wasio julikana

  • @emanuelakaro1423
    @emanuelakaro1423 Před 4 lety

    Jamani njaa mbaya sana.. narudia tena njaa mbaya mno

  • @kimjongun962
    @kimjongun962 Před 4 lety

    Naamini sasa Mbowe amepata Funzo mujarabu katika hili, aliambiwa aachane na hawa wahamiaji haramu waliokua wameletwa na upepo wa kisulisuli hakutaka kusikia....... Ona sasa ujinga Kama huu

  • @johnkirenga981
    @johnkirenga981 Před 4 lety

    Mbele yenu wa kijani, maendeleo yana chama.

  • @harountv9267
    @harountv9267 Před 4 lety +1

    Mpe nafasi afanye kazi...., si nchi ya kazi tuuu

  • @johnkirenga981
    @johnkirenga981 Před 4 lety

    Kalipe kwanza madeni ya fedha unayodaiwa. Usilete siasa hapa

  • @tumaininerei5948
    @tumaininerei5948 Před 4 lety

    Kumbe Mashinji nilidhani Mnyika... CHADEMA wanaogopa yaliyowatokea CUF bora kuziba ufa kuliko kujenga ukuta. Imenikumbusha 2015 Mawaziri wakuu walipokiacha chama chetu na kujiunga na CHADEMA..

    • @fatumakamaka9331
      @fatumakamaka9331 Před 4 lety

      Wapinzan wamekwissha kwani walisha wanyonya data zote

  • @sasungafumbwa8130
    @sasungafumbwa8130 Před 4 lety

    Kweli Mbowe ni jembe unawatambuaje wanao tarajia kuhama maana wangepewa uongozi wangehama na chama bigup MBOWE

    • @jaffarmguwa5566
      @jaffarmguwa5566 Před 4 lety +1

      Mbowe yupo njiani kuja ccm

    • @sasungafumbwa8130
      @sasungafumbwa8130 Před 4 lety +1

      @@jaffarmguwa5566 wapinzani hatuzidi 100 nchi nzima hivyo hata Mbowe na wengine mkienda ccm poa tu sisi tunasonga mbele na ipo siku mtaelewa

    • @jaffarmguwa5566
      @jaffarmguwa5566 Před 4 lety +1

      Mbowe akiondoka na chama ndio kimekufa

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 Před 3 lety

      Ndo wamemwishia sasa akae chini ajiulize hicho kikundi cha mtu binafs sio chama tena

  • @harountv9267
    @harountv9267 Před 4 lety +4

    Tatizo n mbowe tu na sio chamaa

    • @edlumala9428
      @edlumala9428 Před 4 lety

      haroun TV baba akiwa mlevi, hapo hakuna nyumba

  • @mohamedkongoroka4708
    @mohamedkongoroka4708 Před 4 lety

    Ivi mi nataka niulize tu maana mi ni mkeleketwa wa siasa tena sana mi anaefanya vzr nampongeza tu anaeboronga nasema tu bila kujali chama gani,,,labda niulize swali kwa wadau,,kwanini kila anatoka chadema lzm atupie lawama kwa mboe? Huyu mboe ni nini hasa anakifanya kila atokae lawama kwa huyo kiongozi kuna nini kiko nyuma ya pazia?

    • @hustlerdunga9098
      @hustlerdunga9098 Před 4 lety

      Hapo mbowe ndo kila kitu katika chadema akiamua ww uwe nani kwenye chama utakuwa hakuna wa kupinga na kwaujuma ndan ya chama hakuna democrasia ndo yale ya zito ndo maana kila anaetoka huko anajua chama kakishikilia nani???

  • @nhobolasilasi1871
    @nhobolasilasi1871 Před 4 lety +2

    Hata hivyo ww ulikuwa mzigo nenda zako na njaa zako

  • @nassoraly7234
    @nassoraly7234 Před 4 lety +1

    Ata ukiona ivo ujue icho chama cha CCM kinaelekea kufa

  • @gabrielynyambi4757
    @gabrielynyambi4757 Před 4 lety

    Bora tu aondoke mimi sikuonaga supidi yake alivyokuwa Chadema , ila Chadema kiboko kwa kuwachunguza viongozi dumila kuwili

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 Před 4 lety

      HAKIKA HUKUIONA *"SUPIDI" YAKE LAKINI UNAIONA "SUPIDI" YA MNYIKA NA MBOWE* AMBAO *WAMESHINDWA KUKIONGOZA CHAMA NA WANACHAMA WANAWAKIMBIA*

  • @majadotto9513
    @majadotto9513 Před 4 lety +1

    Mbowe kila siku na wambia anauwa chama ajihuzuru mtanikumbuka huyo nikama lipumba tu

  • @joelmuhoja9841
    @joelmuhoja9841 Před 4 lety

    ...
    umalaya malaya.....

  • @kareemkiwamba139
    @kareemkiwamba139 Před 4 lety +1

    Bravo mashinji, come back home

  • @rajabusalumu6509
    @rajabusalumu6509 Před 4 lety +2

    Watanzania wenzangu jiulizeni kwanini haya mambo yako Tanzania tu inchi nyingine hakuna na kwa nini yako awamu hii ya tano tujiulize jamani ndo tutagundua kitu hapo. Hayakuwepo awamu ya 1.hayakuwepo awamu ya 2. Hayakuwepo awamu ya 3 Hayakuwepo awamu ya 4. Why sasa. Kuna kitu hapa.

    • @tareqhilal6750
      @tareqhilal6750 Před 4 lety

      Pesa braza watu hawana uzalendo wa kweli katika vyama vyao

    • @loner_wolf
      @loner_wolf Před 4 lety +2

      Hata AWAMU hii ni tofauti na AWAMU xote unazozijua ...... Tumia akili TU majibu yapo hapo hapo katika swali lako .......

    • @loner_wolf
      @loner_wolf Před 4 lety

      Awamu hii ndio NI AWAMU pekee katika hizo iliyofumbua macho ya Watanzania juu ya uwepo wa uhewa hewa Kama vile walimu hewa , madaktari hewa , mikataba hewa , ahadi hewa , kaya masikini hewa na Mambo mengi TU . Yaan swali lako ni zuri sana unaelekea akili zimo ila matumizi tu , jaribu kufikilia deep kdgo TU utagundua nikwann haya mahamaji chama yanatokea awamu hii TU .

    • @rajabusalumu6509
      @rajabusalumu6509 Před 4 lety

      ndio shida yetu sisi wajuwaji sana wakati elim ndogo sana ndo.lkn pia siasa tunazichukulia vibaya sana na ndio maana kila mpinzani inchi hii anaoneka aduwi bila kujali ana mchango gani.

    • @loner_wolf
      @loner_wolf Před 4 lety

      @@rajabusalumu6509 mchango wa nini ? Hawa wapiga kelele TU hawana mchango wwote ...... Wanatangaza demokrasia wakati wao ndani yachama hawana democrasia ...... Mr Tundu Lissu amekipambania Sana chama hicho , na anaelimu na uzoefu mzuri TU , anajua kutoa hoja na kutetea , lkn mwisho uliza yeye NI Nani katika chama hicho ..... ? Utakuta anacheo ambacho hakipogo duniani 😂😂😂😂😂 , anapakwa mafuta TU wanamsingasinga kwa mgongo wa chupa Yuko huko abroad kawaacha wenyechama Chao ....wanamchombeza TU Tundu usirudi utakufa , lkn sio kwamba atakufa , niwao wanajua alirudi kunanafasi atahitajika ashike TU ktk chama ........ Wewe hujawahi kuona mwanamke anasema usije nyumbani baba kakaa nje alafu mkali yaani hata kupita usipite utaniletea matatizo , lkn kumbe Yuko kwao na kijamaa kipya kimekula modo na kinavijisenti vya ada vilivyobaki 😂🤣😂🤣😂🤣 . Lissu mtazame Mbowe na jopo lake

  • @tareqhilal6750
    @tareqhilal6750 Před 4 lety

    Mamluki tokea kitambo wacha wajipambanue tuwaone

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 4 lety

    yaaan hii taarifa inarushwa na chombo cha taifa katika tv ya taifa ina maana jambo hili ni la kitaifra ama ???

    • @aminasittusaid3830
      @aminasittusaid3830 Před 4 lety +1

      Mbona hata waliohama CCM kwenda upinzani walitangazwa kwenye chombo cha kitaifa (TBC) kosa liko wapi hapo jamani?

  • @simonibahati4045
    @simonibahati4045 Před 4 lety

    Yote maisha Ila kusema uongo ni dhab

  • @silvangabriel3592
    @silvangabriel3592 Před 4 lety

    Mnaishia kununua hizo hela zitaishia 2

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 Před 3 lety

      🙄🙄🙄🙄🙄wanaletwa naa njaa zao, mikono mitupu hailambwi

  • @aryannahsilayo2518
    @aryannahsilayo2518 Před 4 lety

    Na shati akapewa hapohapo

  • @odranslayo3298
    @odranslayo3298 Před 4 lety

    Hana ishu huyo

  • @hermanndongolo1550
    @hermanndongolo1550 Před 4 lety +1

    duu

  • @samwelsimon9278
    @samwelsimon9278 Před 4 lety

    Wenye akili watabaki nakili zao ata wewe ukifukuzwa ccm leo utakimbilia chadema kufukuzwa chadema lazima roho iume

    • @sarahamos8524
      @sarahamos8524 Před 3 lety

      Hakuna anaeenda chadema kwa sasa, bali ni Chdm kwenda Ccm

  • @samwelchilolet2927
    @samwelchilolet2927 Před 4 lety

    Uyu chizi kabisa

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 4 lety

    Aende Tu huenda alikuwa Gogo ndio maana mbowe hakumchagua Kwa nafas yoyote

  • @danmaganga2501
    @danmaganga2501 Před 4 lety

    Mbowe kubaki peke yake chadema

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před 4 lety +1

      Labda kwa mujibu wa taarifa yako atabaki pekeyake.

  • @shafiicnackson6745
    @shafiicnackson6745 Před 4 lety +1

    Katemwa huyo Hana lolote Malaya uyo

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 Před 4 lety

    Uyo sio kiongozi wewe kipole kipole ameshafukuzwa

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 Před 4 lety +1

      *DR. SLAA ALIPOKIMBIA BADO AKIWA KATIBU MKUU MLISENAJE?*

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Před 4 lety

    Pigo kwa Mbowe kivip kwan Mashinji ndo aliyebeba watanzania milioni 6 waliouamin upinzani 2015,Ayo mnatumika kijinga

    • @dachjunior4766
      @dachjunior4766 Před 4 lety

      *HAO MOLIONI 6 UCHAGUZI 2015 HAWAKUIFUATA CHADEMA BALI WALIMFUATA LOWASSA TENA WAKITOKA VYAMA VILIVYOUNDA UKAWA*
      *HUYO WALOMPIGIA 2015 KESHAWAKIMBIA BADO MWAZIOTA TU KURA MILION 6*

    • @leonelleo4425
      @leonelleo4425 Před 4 lety

      @@dachjunior4766 waambie hao mazumbu kuku..
      Lowasa ndio aliowapa hizo kura,na sasa hayupo watakuwa na bahati hata kupata kura million 1

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 Před 4 lety

      Mbona mi sijamfuata Lowasa maana ameondoka mi bado sjaondoka nae

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari518 Před 4 lety

    Njaa tu hio umekosa cheo kule unakuja kufanya fitna

  • @kirupyseleman582
    @kirupyseleman582 Před 4 lety

  • @solassichula1317
    @solassichula1317 Před 4 lety

    Hata waunge juhudi wote,mwananchi nitabaki.

  • @africanreal8782
    @africanreal8782 Před 4 lety

    Kwan kujiunga na ccm lazma camera alfu huyu alikuwa na mchango gan

  • @kimjongun962
    @kimjongun962 Před 4 lety

    Naamini sasa Mbowe amepata Funzo mujarabu katika hili, aliambiwa aachane na hawa wahamiaji haramu waliokua wameletwa na upepo wa kisulisuli hakutaka kusikia....... Ona sasa ujinga Kama huu