WAZIRI MKUU APANDWA HASIRA, ASHIKA KICHWA, kwa UKALI ASEMA - "ANATAKA KUTUANGUSHA"...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • WAZIRI MKUU APANDWA HASIRA, ASHIKA KICHWA, kwa UKALI ASEMA - ''ANATAKA KUTUANGUSHA''...
    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema hajaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi ya Hospitali ya Manispaa ya Sumbawanga na Kituo cha Afya cha Matanga mkoani Ruakwa ambapo tayari Serikali imeshatoa zaidi ya shilingi bilioni mbili.
    Hivyo, Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sumbawanga James Mbungano ahakikishe uchunguzi wa matumizi ya fedha za miradi hiyo unakamilika kwa wakati.
    Miradi hiyo ni ya ujenzi wa hospitali ya Manispaa ya Sumbawanga ambayo ujenzi wake umegharimu shilingi bilioni 1.5 ambao bado haujakamilika licha ya kujengwa chini ya viwango. Amesema kwa kiwango hicho cha fedha walichopokea walitakiwa wawe wamekamilisha majengo matano.
    Waziri Mkuu amesema mradi mwingine ni wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Matanga ambacho mpaka sasa wameshapokea shilingi milioni 500 lakini ujenzi wake bado haujakamilika. “ Ujenzi wa Vituo vya Afya nchini ni shilingi milioni 400 na shilingi milioni 500 katika maeneo ya pembezoni. Hapa mlitakiwa muwe mmemaliza na kituo kianze kuhudumia wananchi.”
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Komentáře • 43

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

  • @severinimkini4116
    @severinimkini4116 Před rokem +1

    Chapa kazi mzee, uhuni umezidi kutuumiza, ndiyo maana wanaogopa KATIBA mpya, kwa sababu itaondoa ufisadi.

  • @iliasaazizi9301
    @iliasaazizi9301 Před rokem +1

    Wazir mkuu umenifurahisha mnooo..

  • @charesslutandula2459
    @charesslutandula2459 Před rokem +1

    Hakika baba nakuaminia sana hao ndio wanawaharibia mwonekane serikali haifanyi kazi

  • @philiplenardsylvester6063

    Kazi mnayo , Samia kasema kazi iendelee yawizi

  • @geoffreyjeff5135
    @geoffreyjeff5135 Před rokem +1

    Naupenda Sana utendaji kazi WA kassim majaliwa

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před rokem

      Geofrey ni katiba tu huyu waziri mkuu majaliwa ndiye aliyefaa awe Rais mama hawezi kitu njoo huku uyasikie kwa wanawake wenzie hawamtaki kabisa asubiri 2025 hata akipita kura za wizi pesa za vikundi anazosema wanapeana kwa kujuana hizo wanazosema za mama samia mama lishe hawapati wale maskini ambao ndiyo wapiga kura wake hao wanaomsifia ni wachache tena wanafiki

  • @bahatimallya32
    @bahatimallya32 Před rokem +2

    Huyu anaweza kuwa yupo sirios wengine wakawaangusha lakini ccm haijawahi kubadilika wala kumpigania mwananchi wanapigania matumbo yao kila mahali kumeoza haswa haswa wizara ya afya ndiyo shida kabsa

  • @mgungachannel9280
    @mgungachannel9280 Před rokem

    Waziri mkuu Qassim Majaliwa naomba kukuona mm natokea Kenya naitwa Ali Mwamgunga

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick8882 Před rokem +1

    Angelekuepo yule jamaaaa ambae ndo anaewateua sijui angefanywahe saiz

  • @yusufjuma3773
    @yusufjuma3773 Před rokem +3

    Hakika huu ni wizi

  • @linuslucas425
    @linuslucas425 Před rokem +2

    Unafaa kuwa rais baba

  • @menovicmushy1032
    @menovicmushy1032 Před rokem +2

    wananchi tunaona kwa macho yetu

  • @leinaamos
    @leinaamos Před rokem

    Daaa Asante baba

  • @yusufjuma3773
    @yusufjuma3773 Před rokem +1

    Jamani kweli huu ni wizi

  • @husnasalim9614
    @husnasalim9614 Před rokem

    Letu jicho wananchi dhambi zitawatafuna endeleeni kutupandishie vitu kodi ili mtafune pesa

  • @sabastianraymond.6383
    @sabastianraymond.6383 Před rokem +1

    CHAGUENI WATU WA MUNGU WENYE WAKAE KWENYE MAENEO

  • @alexdukes5547
    @alexdukes5547 Před rokem

    Waziri mkuu we ajibisha mtumishi mamba ya ilani yanatoka wapi

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Před rokem

    Nch yetu pesa sio kaz kaz za huko

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před rokem +1

    Toka lini mwanamke akawa nabii au Rais angalia madudu yanayofanyika baada ya watanzania kupiga kelele ndiyo anakutuma jumba bovu likuangukie mama hamna kitu hapo kazi kusafiri na watu kibao huku nchi inakombwa mungu atawalaani na kauli ya yusuf makamba watu wazuri hawafi na bado subirini 2025

  • @happymacha9053
    @happymacha9053 Před rokem

    Kimempata huyo ntalitinya huwa anajionaga yeee ni mkalii sanaa

  • @Juls7ur
    @Juls7ur Před rokem

    kwani hii ni pr. kwanini hakuna respect kwa workers. kwani si bora kuwaita kwa office na kusema nao instead ya in public na mbele ya camera. mambo kama hii kenya haiko

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Před rokem

    Chunguzeni vizur, shida ni utaratibu wa force account..una loopholes za upigaji sn Kwa waongoza kansels.

    • @zakarialuhemeja4179
      @zakarialuhemeja4179 Před rokem

      Force account siyo tatizo. Tatizo Ni wasimamizi wenyewe.

    • @saidhamza5318
      @saidhamza5318 Před rokem

      @@zakarialuhemeja4179 watumishi wengi sio wa adilifu na force account inawataka wao ndo wawe wasimamiz huku wakiwa sio wataalam wa ujenzi. Mifumo mingine hairuhusu mtu ambae sio mtaalam asimamie miradi ya ujenzi isipokuwa Hy force account.

  • @jackayim7141
    @jackayim7141 Před rokem

    Wengi wa wakurugenzi wanavunja sheria bila kuadhibiwa kwa sababu wanajua kuwa Waziri Mkuu hawezi kufanya lolote zaidi ya kuitaka TAKUKURU kufanya uchunguzi, kutoa onyo, onyo la mwisho...

  • @bakarialis3411
    @bakarialis3411 Před rokem

    Jamani Hawa watu Kila siku miradi aikamiliki, Kwanini usiwatumbuwe? Ukiwa unawatumbua na kuwaweka wengine watafanya kazi kwa weledi. Tumbua weka wengine.

  • @margarethpolepole7438

    Hiyo ndiyo kila mtu ale urefu wa kamba yake na watu wajae pesa mfukoni hiyo ndiyo ilikuwa kauli mbiu ya mama na alisema hayati magufuli kuwa ni simba wa yuda sasa acheni wazikombe mungu anatoa jibu taratibu waziri mkuu unajitahidi sana sasa mama anakusumbua ufuatilie ilifaa wewe uwe Rais

    • @JUMANNEMOHAMED
      @JUMANNEMOHAMED Před rokem

      Msione watu hatekelezi hiyo miladi mkuu Kuna walaji wengi wanzitilea pesa hizo

    • @omarypongwa9246
      @omarypongwa9246 Před rokem

      Acha chuki msukuma wewe

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před rokem

      @@omarypongwa9246 sina hata chuki mtani wangu jibu unalijua haswa na hapo ulipo rohoni unaguna na kusema mhuuuu huyu bi kizee anasema kweli

  • @charesslutandula2459
    @charesslutandula2459 Před rokem

    Baba tumbua hilo nijipu

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před rokem

    Unafaa kuwa Rais

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Před rokem +1

    Naona Kama rais mtarajiwa vile

    • @yokoi3970
      @yokoi3970 Před rokem

      Acha ufala ww raisi kwa lipi jiongeze ww

    • @msowamhokole7714
      @msowamhokole7714 Před rokem

      @@yokoi3970 Aya bc mboe ndio rais ulivyo kuwa mjinga vile Wala ujitambui

  • @romyjob8263
    @romyjob8263 Před rokem

    Alieskia ananong’onezwa 21 😂😂😂

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Před rokem

    Wafukuze!

  • @phillipmasungwa7365
    @phillipmasungwa7365 Před rokem

    Majaliwa si lolote so chochote ; kwani wizi ni mfumo ambao umepewa baraka zote na CCM ; kasimu majaliwa ni zao linalotokana na wizi wa kura katika uchaguzi uliopita . Yaani mwizi anawanyooshea wezi kidole ; hii ni sawa na pepp kumtoa pepo ; kanuni hiyo haipo.

  • @iliasaazizi9301
    @iliasaazizi9301 Před rokem

    Wazir mkuu umenifurahisha mnooo..