Jitihada ya kuwasaidia waathirika wa madawa ya kulevya Tanzania

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 02. 2017
  • Rashid Ricardo wa South Beach Sober House jijini Dar es Salaam, amefanikiwa kuacha kutumia madawa ya kulevya kwa miaka 12 na sasa mwenyewe anaongoza jitihada za kuwasaidia wenzake kutoka kwenye kile anachokiita "ugonjwa unaothiri akili, kiwiliwili na imani".

Komentáře • 4

  • @FestoSiwakwi
    @FestoSiwakwi Před rokem

    Naweza kupata namba za simu

  • @munirdatisha684
    @munirdatisha684 Před 4 lety

    Mimi mteja wa miaka 13 toka kutumia kwangu madawa na nimetumia madawa kwa mfumo wote mwisho nimeishia kwenye shindano na kuwacha madawa

  • @munirdatisha684
    @munirdatisha684 Před 4 lety

    Yeye mwenyewe bado huyu kiongozi wao mana angekuwa hatumii asingekua kuwa anakunywa pombe

  • @munirdatisha684
    @munirdatisha684 Před 4 lety

    Program inasema hivi kufikiria pombe ni kitu chengne kimewasababishia wateja wengi kurejea madawa kabla hatujaja hapa tulijua ulevi Ni tofauti kwani hatutakiwi kuchanganya juu ya hili pombe ni madawa pombe ni madawa waandishi wa habari kabla hamjenda kuwahoji baadhi ya hawa viongozi hem jaribuni kuwafanyia vipimo yaan kuwapima mikojo ndipo muanze kuwahoji