Video není dostupné.
Omlouváme se.

VIDEO: BABA LEVO Atoboa SIRI nyumba ya MWIJAKU/Sio yake/Kanyumba KEMBAMBA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 01. 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

Komentáře • 158

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před 7 měsíci +36

    Hamjajua Hawa majamaa wanaakili Sana ni kuchezatyu na akili zetu😅😅 B Levo anajua Nyumba ya mwijaku

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo Před 7 měsíci +10

    He he heeeeee,nichekw.mie,nilikua nataka baba levo ucheme, chema zaidi broo bado ujachema😂😂😂😂. Nakupenda sana baba levo Kwa niaba ya Diamond 😂😂😂

  • @allybobsaith
    @allybobsaith Před 7 měsíci +10

    Kwa haraka haraka hio ni nyumba ya BABA LEVO mnakorogwa akili😂😂😂

  • @CarorinaJohn
    @CarorinaJohn Před 7 měsíci +8

    Binadamu kulizisha kaz sanaaa

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 7 měsíci +7

    Hizo nyumba za juu mnaxipenda lakini ukizizoea zina kusinya inafika mahali kupanda stairs inachosha

  • @EmmmaTembo
    @EmmmaTembo Před 7 měsíci +9

    Hawa jamaa baba levo na Mwijaku ili kazi zao ziende vizuri lazma wapingane na siku wakikubaliana au wateteane lazma kazi zao zitapunguwa

  • @karloladislaus45
    @karloladislaus45 Před 7 měsíci +9

    Hati sio issue kubwa. Nyumba yangu nimehamia 2016 hati ya kiwanja nimepata 2023

    • @donlinechanell4760
      @donlinechanell4760 Před 7 měsíci +1

      Yaan uhamie 2016 af hati ya kiwanja 2023 😂😂 ulijenga kweny kiwanja ambacho hakina hati? Kilikua cha nan? Hat ya kiwanja na nyumba nitofauti em tuache

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z Před 7 měsíci +7

    Kweli peter msechu kiukweli ana nyumba

  • @ISMAILNASHON-zh3sg
    @ISMAILNASHON-zh3sg Před 7 měsíci +2

    Hii nimeipenda kwa hawa jamaa,"" mtu anapokosoa kazi yako ndo vizuri maana anakufanya ujione bado hujafika

  • @hamadmakame6040
    @hamadmakame6040 Před 7 měsíci +4

    Jengeni nyumba akhera

  • @happynelson1136
    @happynelson1136 Před 7 měsíci +4

    Hongera ya kinafiki umempatia kweli na nyumba sio yake atakuwa mke wake kajenga tena kwa mkopo, mwijaku hawezi hata kukopa benki sababu hana kazi maalum ya kuajiriwa na uchawa hauwezi kupata hela ya kujenga, watu majuu wana kazi mbili lakini hawana uwezo wa kujenga bongo

  • @user-to3uq1ct6d
    @user-to3uq1ct6d Před 7 měsíci +2

    Kwa milioni 125 nakubaliana na baba Levi

  • @oneplustv3862
    @oneplustv3862 Před 7 měsíci +2

    😂😂😂 uyu jamaa bhana ety gorofa modo

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Před 6 měsíci

    Baba levo umezakiwa na kipaji cha komedi kweli

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv Před 7 měsíci +2

    Kama umeona baba levo anajinusa makwapa yake nipe like yako

  • @zawadimpayo3839
    @zawadimpayo3839 Před 7 měsíci +1

    Acha majungu baba revo

  • @mwajemisalum8277
    @mwajemisalum8277 Před 7 měsíci +7

    Baba levo wacha maneno fanya kweli na wewe

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před 7 měsíci

    huyu baba levo ni mkongoman sio mtz anavibali kama hana mpelekani congo

  • @donkaloza6985
    @donkaloza6985 Před 7 měsíci +13

    😂😂😂😂😂😂et gorofa Modo😂

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 7 měsíci +11

    Baba Level mbona unajichanganya, mala nyumba siyo yake sasa unampongeza kwalipi🤣🤣🤣🤣

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 Před 7 měsíci

      Uwusiyo😂😂😂

    • @jaywellprince5369
      @jaywellprince5369 Před 7 měsíci +2

      Anampongeza tu kua kashirikiana na mkewe ila anaamini mwenye hati miliki ni ya mkewe

    • @muhirefiston83
      @muhirefiston83 Před 7 měsíci

      ​@@jaywellprince5369 😂😂😂😂 wivu tupu kk Ako nao😅😅😅😅

    • @kalungamabrucki61
      @kalungamabrucki61 Před 7 měsíci +1

      Hebu acheni kuongea madudu huku Marekani na canada watu wanaoishi magorofani ni maskini matajiri wanaishi kwenye Villa za chini uliza sisi wabeba box wote huku tunaishi magorofani sasa acheni ulimbukeni

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 7 měsíci

      Umeongea ukweli... hata boss hakai seat ya mbele​@@kalungamabrucki61

  • @user-zl8ls4dw6w
    @user-zl8ls4dw6w Před 7 měsíci +5

    Baba levo umeongea haki

  • @djmosikahayo
    @djmosikahayo Před 7 měsíci +4

    levo ❤😂🇨🇩

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 Před 7 měsíci +5

    Baba leo kichwakogum😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-jw2mo1oj6d
    @user-jw2mo1oj6d Před 7 měsíci +1

    Uyuu baba levooo atafiaaa mdomoo

  • @nishawangaiwangai9765
    @nishawangaiwangai9765 Před 7 měsíci +1

    Imagine babalevo aongea kaukweli pahali😂😂

  • @joycemlay5762
    @joycemlay5762 Před 7 měsíci +5

    Ety ana hipsi kubwa😂

  • @user-el6mm4lh4m
    @user-el6mm4lh4m Před 7 měsíci

    hahahahaha baba levo mbwaaa ww we yko ikwapi bongo noma

  • @ZainabuIsmail-fm2ey
    @ZainabuIsmail-fm2ey Před 7 měsíci

    Ki ukweli ata mm nakua na wacwac yuko mtu nyuma ya mwinjku mtu mzito ataki ajulikane kama nyuma ni ya kwake anaogopa kutumbuliwa lakini kama nyumba ni ya kwake nampa hongera cna wala sio kinafki🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @uwimanacitegetse9926
    @uwimanacitegetse9926 Před 7 měsíci +3

    Umesema ukweli ningeshanga Kama nipesazawo bilamukopo but it’s OK☺️

  • @user-wi2iu1yw7g
    @user-wi2iu1yw7g Před 7 měsíci

    Huna jipya fala were,ya kwako iko wapi?

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 Před 7 měsíci +4

    Nyumba ya mke wake.. huo ndio ukweli

  • @user-rm6ph3sm5j
    @user-rm6ph3sm5j Před 7 měsíci +1

    hahaha hawa wanajuana...mimi wananifurahisha tu

  • @PHARIDUNASORO-oi7bs
    @PHARIDUNASORO-oi7bs Před 7 měsíci

    Dar kwer we chawa Tena chawa wakutokea kigoma wabwawe

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 Před 7 měsíci +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂Ila babalevo

  • @user-il1kv9zv9j
    @user-il1kv9zv9j Před 7 měsíci +2

    Ukweli baba levo nyumba no modo

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 7 měsíci +2

    Nyieeeeee eti kisima😂😂😂😂

  • @beatricewmussa4049
    @beatricewmussa4049 Před 7 měsíci +5

    Jitu zima wivu wa kitoto khaaa!

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 7 měsíci

    Umejileta mwenyewe baba Levo na domo lako kubwa la kimbea.
    Wewe la kwako liko wapi? Kazi kuhongwa gari na Mondi

  • @FadhiliMesha-pd2th
    @FadhiliMesha-pd2th Před 21 dnem

    ukisikia kabila limbukeni ndio la mwijaku nawashabasana yaani anawakilisha kabira lake jinsi walivyo ukisikia ushamba ndio huo

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Před 7 měsíci

    Kauli hizi vipi?! "...nyumba sio ya kwake...halafu tena ninafahamu gharama yake tangu wanatafuta mirunda, cement na mke wake...tena nampongeza amenyamazisha watu, mara akikosa marejesho benki itachukua halafu gharama halisi ni kadhaa...sasa lipi la kweli...?!.

  • @ernestelias7889
    @ernestelias7889 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 babalevo bwana awa jamaa waacheni2 wanajuana wenyewe

  • @leecode6135
    @leecode6135 Před 7 měsíci +2

    Hiyo inaitwa Tinny house ndio style ya siku hizi

  • @-KINKAU
    @-KINKAU Před 7 měsíci

    Acha roho mbayaaaa sio kila kitu Uwe unapiga Uwe unakubali hayaa tunasubiri ya kwako

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 Před 7 měsíci +1

    Hapo kwenye ngazi hujaongopa hata mimi nilishtuka hasa usalama kwa watoto

  • @user-ho1ho2uk9n
    @user-ho1ho2uk9n Před 7 měsíci +2

    Mwambie huo mama

  • @JacksonJohn.
    @JacksonJohn. Před 7 měsíci

    😂😂baba levo. Foundation) slab) finishing milion 100 akil yenu kubwa xna nyie

  • @user-jb2zg5cp7j
    @user-jb2zg5cp7j Před 7 měsíci +1

    Kamali😂😂

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py Před 7 měsíci

    Huyu nae hasadii kwerii yeye yake iko wapii anaumia ndani kwa ndani unafurahisha watu ndani unamaumivuu utakipa kod mpak ukomee hat inahusu nin na mitandao

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Před 7 měsíci

    Nilichogundua baba level anapenda sana kuitaja namba 3😅😅😅😅

  • @anitarafa
    @anitarafa Před 7 měsíci

    😊😊😊comments ndio zinabamba......i don't want pics i what problems 😂😂😂😂😂

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 7 měsíci +1

    Wivu en!

  • @onesmomlinga2739
    @onesmomlinga2739 Před 7 měsíci +1

    Wewe mbona hueleweki ila nmegundua ninyi mnaelewana

  • @user-gq9im9tu3d
    @user-gq9im9tu3d Před 7 měsíci

    Bab levo

  • @lulu24peter24
    @lulu24peter24 Před 7 měsíci

    Me nikichokion apo lazm nianguke hasa huko.juu swiming pool

  • @user-yh4ge7gc3o
    @user-yh4ge7gc3o Před 7 měsíci +2

    Ila baba levo na mwijaku wanajuana 😂😂😂😂

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před 7 měsíci

    Gorofa 123m Jenga uone kama inatosha

  • @EminathaKombotela
    @EminathaKombotela Před 7 měsíci

    Kuchangia tim gan

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 7 měsíci +1

    Wasoma comment relax wanajuana hawa

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Před 7 měsíci

    Wanajuana hawa

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před 7 měsíci

    Mnajuana nyinyi wenyewe

  • @user-bq8hj9ci5f
    @user-bq8hj9ci5f Před 7 měsíci

    Duuu wanaweze kuchez
    Naakir zawatu

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 7 měsíci +4

    Nyumba kama ofisi za chama buana 🤣🤣🤣, ila apo kwa mondi abadilishe furniture zake kwanza tangu enzi za tanasha walipokuwa wapenzi abadilishe 😂😂

  • @user-es7cw2zi3j
    @user-es7cw2zi3j Před 7 měsíci

    eti modo

  • @kingkongchest-rv5rf
    @kingkongchest-rv5rf Před 7 měsíci

    Vizuri tunataka wasanii wabunifu kama hawa Tz

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Před 7 měsíci

    Wewe ndio msemaa kwer wandish wengine mabubu awajui kuriza mashwari kwa mwijaku

  • @akidakombo259
    @akidakombo259 Před 7 měsíci +1

    We shoga mwenzio yupo kwake ww na mabinti zako chumba kimoja😂😂

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i Před 7 měsíci

    Pili anaishi maisha ya bongo kitasa anasema milioni kumi nane 18mil alafu wanakuja tena kusema kitasa Mara ya pili tena milioni nane point tano 8.5mil anadhani sisi wambumbavu tusio na akili au umakini.

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 Před 6 měsíci

    Mbona unatuchanganya mara cyo yake mara mke amepambana, ucha wivu

  • @user-ff4zm3hk7b
    @user-ff4zm3hk7b Před 7 měsíci

    We nae mke wa diamond una matatizo....name jenga yako Acha ufala😅😅😅😅😅

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 Před 7 měsíci +1

    Futa kwanza hiyo kauli,kwamba alisimamisha nchi kwa ajili ya uzinduzi wa nyumba.Hii nchi yetu kweli ukute ni chanel ya vituko mbinguni.

  • @user-wu9zz1bm9h
    @user-wu9zz1bm9h Před 7 měsíci

    Wewe wewe unasema nyumba sio yake weweweee unasema unajua jinsi alivyokua ana hangaika na mirundi.nyumba ya mwijaku na amejitahdi sana Kwa levo yake.wacha b levo Domo wewe kawaida yako.haya mara unampongeza we miyeyusho

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Před 7 měsíci

    Namuana huyu jamaa
    Sijui haelewi kua kuna women glass
    And men’s glass anavaatu lakini sio shida
    Kwa sababu wabongo wengi hawaelewi ndio maana

  • @Qs3557
    @Qs3557 Před 7 měsíci

    Nyumba Kama ya sungura

  • @othinielkamyola3697
    @othinielkamyola3697 Před 7 měsíci +1

    😅😅😅😅😅 HIKI KICHWA

  • @user-ch2it3qt5z
    @user-ch2it3qt5z Před 7 měsíci +4

    Machawa😂😂😂Kama kawaida Yao kupondeana

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 7 měsíci

      Ni sehemu ya kazi yao, wanajuana wote na wanafanya kazi pamoja.

  • @chrisantushokororo8450
    @chrisantushokororo8450 Před 7 měsíci

    Hapo kwenye bafu umetudanganya mbona kaonesha bafu ni kubwa sana acha uwongo

  • @salamamamashenge5493
    @salamamamashenge5493 Před 7 měsíci

    Ila Babalevo na Mwijaku nilikua nazani ni marafiki 😅na tena alikua anajipanguza nini 😂😂😂

  • @stratega03
    @stratega03 Před 7 měsíci

    jamaa domo kaya😂😂😂

  • @Ammarloliso
    @Ammarloliso Před 7 měsíci +1

    😂

  • @HassanJaphari-rx7jy
    @HassanJaphari-rx7jy Před 7 měsíci

    😅😅😅 eti gorofa modo

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 7 měsíci

    😂😂😂😂 eti Gorofa modo daah

  • @brunokassim4599
    @brunokassim4599 Před 7 měsíci

    Acha unafiki onyesha ya kwako

  • @user-wy6tv5uq5c
    @user-wy6tv5uq5c Před 7 měsíci +1

    Acha wivu

  • @shariffmcleja9533
    @shariffmcleja9533 Před 7 měsíci

    Nyie waandishi ndio mafala mko na video za ile nyumba kama ni mbaya ndogo nzuri au kubwa lakini paka Babalevo atoi maoni yake kuihusu ndio mjue

  • @estarsaidi9110
    @estarsaidi9110 Před 7 měsíci +1

    😂😂😂

  • @user-lq1yg9mk1i
    @user-lq1yg9mk1i Před 7 měsíci

    Mtu mwenye nyumba yake anajua Kila kifaa alichonunua ile si nyumba yake

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 Před 7 měsíci

    wanaume huu ni umama badilikeni ndio maana mukaitwa wa bongo

  • @user-eb3hf1lm9e
    @user-eb3hf1lm9e Před 7 měsíci

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅 jmn

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Před 7 měsíci

    Hamna ghorofa ya billion pale 😂😂

  • @salumabdallah2990
    @salumabdallah2990 Před 7 měsíci +7

    Apo kwenye milioni 100 ndugu umedanganya watu na ni dhahiri wewe ni muongo😂😂😂😂

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    MAONGEZI YA WIVU MWISHO MTAROGANA UNAONGEA MTU ATAJENGA YEYE ANAISHI WACHA ROO MBAYA TABIA ZETU SISI MPAKA VIONGOZI WETU CHAFU WATANZANIA

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 Před 7 měsíci +1

    Apo kashaweza Tu iwenyembamba ila kapata

  • @frowinmgimba8513
    @frowinmgimba8513 Před 7 měsíci

    Huyo muandishi wa habari mdada huyo kwenye suala la nyuma sio yake anapenda umbeya anakazia

  • @athumanmbululo3980
    @athumanmbululo3980 Před 7 měsíci

    Wahuni hawa

  • @vero57
    @vero57 Před 7 měsíci

    Toa hiyo wood mzee!!

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster9462 Před 7 měsíci

    Aloo interview tuu inashika trend kwel machwa niwamooto

  • @Eliya-vv1jp
    @Eliya-vv1jp Před 7 měsíci

    et gorofa la modo

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa Před 7 měsíci

    Hahahahaaa😅😅😅😅😅99

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 7 měsíci

    Hawa wanajuana

  • @edustudiotz3879
    @edustudiotz3879 Před 7 měsíci

    Mh!