Waumiwa wa kanisa la Good News Church of Afrika, wamlaumu askofu kwa ufujaji wa pesa

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024
  • Waumini wa kanisa la Good News Church of Africa tawi la Pumwani hapa jiniji nairobi wanamlaumu askofu wa kanisa hilo wakidai anatumia maafisa wa polisi kuwazuia kuingia kanisani.
    Kulingana nao walimtimua askofu huyo Raphael nzuki Kithuva mwaka jana kwa madai ya kufuja pesa za kiwanja cha kanisa hilo kilichouzwa eneo la Eastleigh. Hata hivyo askofu Kithuva amekanusha madai hayo akisema kuwa pesa zote za kiwanja hicho ziko na hakuna hata senti iliyotumiwa vibaya.

Komentáře • 7