Mzee Makamba akitoa somo la ufugaji wenye tija na jinsi alivyoanza

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 07. 2022

Komentáře • 10

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762

    Safi Sana mzee Makamba

  • @alistairelias536
    @alistairelias536 Před rokem

    Nilikuwa nasubiri kusikia Mama January akitajwa... na ametajwa 😄

  • @wollefernando1257
    @wollefernando1257 Před rokem

    Hakuna inspirational yoyote hapo. Ilikuwa TBC mumtafute mtu wa chini ndio kuwa inspire watu ila sio kwa kigogo kama huyo.

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před rokem

    Anajifurahisha to wazee wanao kula mema ya nchi hawa

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 Před rokem

    Jifunze juu ya mafanikio pitia mtu wa kawaida na wachini aliefanikiwa, na si kwa mtu aliestaafu na pesa nyingi na akiwa na miradi lukuki kila kona ya nchi, utafrastrate tu, labda hii inawafaa wastafu wenzie matajiri

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před rokem +1

    Bado mnakuka Serikalini kupitia Mtoto wako ndio maana unampigia debe

  • @akidahamad142
    @akidahamad142 Před rokem

    Ww umezulumu mwizi mkubwa ww

  • @mathewtwimanye92
    @mathewtwimanye92 Před rokem

    Hana kitu kipya, hii yote nikuwa na pesa, yy na mstaafu mwingine ni vitu2 tofauti anavyanzo vingi vya siri vya pesa, asizarau wasiobahatika kuwa ktk fungu lake, yoote haya ni jeuri ya pesa hawa wazee walivuna sana wanavuna sana nawatavuna sana, so better u flight by your own

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem

    Mzee unaheshimika, usiwaneneee vibaya wastaafu wengine! Ni muhimu kukumbuka kuwa si kila mstaafu alikuwa Katibu Mkuu wa CCM,,,