I wish I can live in Tanzania 🇹🇿 and I come to your church mungu mwenye yote ajaze roho zenu kanisa la mungu .jioni ya Leo nabalikiwa kweli ,from USA 🇺🇸
Tanzania shall get all the Singing Slots in Heaven... Beautiful lead voice by this annointed Man of God....This song makes me Memorise..Visualise the words/Epistle of Paul to the Ephesians . in fact one of the most important Epistles of the Bible by Paul together with the Galatians, Romans..Thesalonians.. Etc.. ''Ninalo neno nawe ...first love and deeds no more '' Todays Church is empty because just like the Church at Ephesus Love evaporated long time....Thank You AICT Chang'ombe ...No more Love in Church..in homes..at work place...where ever...Paul Knew and saw it in the spirit.. no wonder he added all these in 2nd Timothy 3.1..... I like the Gospel of Paul which reiterates/emphasizes the essence of living for Christ and inheriting his Heavenly Kingdom.... This is how Singing is meant to be....ooh My God help me live and cherish Christ love...
Injili kupitia nyimbo inaguza moya hakika. Wimbo huu wanibariki kila ninapousikiliza. Kwaya ya Chang'ombe neema ya Bwana Yesu ikawakweze hata viwango vya kumtumikia zaidi.
please avail other songs for us your beloved listeners like badilika...nchi zinalia ..mwenye busara na mpumbavu...shalom love you people of God,vincus from kenya
Infact its a life time gospal song! Mbarikiwe wapendwa! Tukumbuke tulipoanguka na tugeuke na kutubu! ...pia tumeacha upendo wa kwanza na wakweli...sote tujipeleleze!
Culture ya nyimbo zenu siku zote haibadiriki na ndo msingi wa baraka za hii kwaya. Cha msingi lengo namba moja ktk utunzi liwe ni kufikisha ujumbe na hayo mengine ya kipato yatakuja tu kupitia miujiza yake alie juu. Mbarikiwe sana.
Mnatisha sana kwaya hii mie ni mshabiki Mkubwa Wa kwaya hii wimbo huu huwa naupiga hata Mara kumi na zaidi kwa siku jamani msirudi Nyumba mlipofikia ni mfano Wa kuigwa
Katunge Nyanda , Mtume kacou philippe Ikiwa Mungu anaokoa Mkatoliki, Mkrotestanti, mhubiri au Mkranhamisti au mmoja wa wanachama wa huduma na huduma hizi, Mungu lazima aondoe kuzimu na kila mtu atakwenda peponi hata Shetani. Mtu anawezaje kuokolewa kutoka gharika wakati alipomkataa Nuhu?
Am a fan of your songs, you always bless me starting from twayaweza,usiku wa manane, gusa,mpinga kristo, macho, pazia hadi kanisa efeso. Let's God's mercies,protection and favour be your portion as you continue to bless us and preach the gospel of Christ.
Jamani hii nyimbo naipenda sana na inanibariki sana tena sana mungu awabariki wote mulio shiliki kuuwimba wimbo huu na mtu alie utuga ila nabarikiwa sana na mzee wangu uyo anae azisha nampenda sana ameimba kwa isia sana God bless
12. Na kama Mungu anaokoa mkatoliki, mprotestanti, wakiinjili ao mubranhamisti ao moja wa wanamemba wa hizi ma misioni na huduma, Mungu lazima aondoe jehanumu na kila mtu atakwenda mbinguni hata Shetani. [Ndr: Kusanyiko lasema, "Amina! "]. Namna gani mtu anaweza kukataa nabii aliye hai wa wakati wake na kwenda paradiso ? Namna gani mtu angeweza kupona gharika kama alimu kataa Nuhu. Wakati Bwana Yesu Kristo alikuwa duniani, mtu angewezaje kumkataa na aokolewe? Ulimwengu mzima iko shimoni kwa sababu ya makanisa haya.
Mtume kacou philippe Ikiwa Mungu anaokoa Mkatoliki, Mkrotestanti, mhubiri au Mkranhamisti au mmoja wa wanachama wa huduma na huduma hizi, Mungu lazima aondoe kuzimu na kila mtu atakwenda peponi hata Shetani. Mtu anawezaje kuokolewa kutoka gharika wakati alipomkataa Nuhu?
10. Na sielewi kuona watu na Biblia mkononi kuweza kutenda hivyo, kuweka wanawake mimbarini kuhubiri au kuongoza nyimbo za kusifu japo wanaume wako pale. Na mara, inawezekana wanawake wawe damuni, na wanaweka vitambaa chini yao na wanakuja mimbarini. Ninyi mnao zoea makanisa kama hayo hamna zamiri! Ninyi si watu wazima, ninyi ni uzao wa nyoka, ninyi ni wabaya kuliko wakatolika na waislamu na mnatafuta kuwahubiri. Ikiwa hamfwati shabaha ingine, hamta enda kuketi ndani ya kanisa kama hii. Hata iwe kuhubiri au kuongoza nyimbo, yote ni sawa. Kuvunja sheria nusu ni kuvunja yote. [Ndr: Kusanyiko linasema: “Amina!”]. Mwanamke anapaswa kaa kimya kanisani. Paulo anasema kwamba jambo la mwanamke kutokuhubiri kanisani ni amri. Paulo anasema katika 1 wakorito 14:34 “ wake wenu wanyamaze katika kusanyiko maana hawaruhusiwi kusema lakini wawe watiifu kama vile isemavyo sheria”. Mnaona? Sheria inasema kwamba mwanamke hawezi kusema katika kusanyiko. Hakuna hata mwanamuke mmoja katika ukuhani. 11. Na Kwa shairi la 37, kuhusu jambo la mwanamke kutokusema katika kusanyiko, Paulo anasema hivi: “ Kama mtu anafikiri yeye ni nabii au wakiroho, atambue kwamba maneno ninayo waandikia ninyi ni amri ya Bwana.” [Ndr: Kusanyiko linasema: “Amina!”]. Paulo anasema kwamba jambo hili kuwa mwanamke hapaswe kuhubiri katika kanisa, ni amri kutoka kwa Bwana. Na kama una Roho mtakatifu, na wewe ni mwana wa Mungu, hutatembea kinyume cha amri ya Bwana.
Messia Sulley 9. Wafreemason, makanisa pentekoste, ibada la miungu ya wainka, makanisa protestanti, Krishna, Kanisa la Kristo, méditation transcendantale, Graili, wachawi, makanisa za kiinjili, wamormoni, guru maharadji, uislamu na uyahudi na makanisa zote za uamsho na zile za urudisho… makambi za maombi, monasteri, makao ya watawa, mishoni na huduma hata wabranhamisti, yaani wale wangali wanafwata ujumbe ya William Branham, hata katika usafi wake wote, ni toharani, na nyavu za shetani kwa kuwapeleka watu jehanamu na maroho zinazo tenda katika makanisa haya siyo Roho Mtakatifu, bali mapepo za udanganyifu. Ni yale yale mapepo yaliyokuwa mitoni, mitaro, vinyago, vodoo, msitu takatifu, desturi na mapokeo, ambayo yalikuwa yakitokeza wachawi wa kiasili. www. philippekacou. org
Lameck John Sylvanus , Mtume kacou philippe Ikiwa Mungu anaokoa Mkatoliki, Mkrotestanti, mhubiri au Mkranhamisti au mmoja wa wanachama wa huduma na huduma hizi, Mungu lazima aondoe kuzimu na kila mtu atakwenda peponi hata Shetani. Mtu anawezaje kuokolewa kutoka gharika wakati alipomkataa Nuhu?
unapoona kiongozi mkubwa serikalini kasimama anaimba halafu wewe unajiona wa tofauti sijui kwa lipi. kwa Mungu tunatakiwa kujishusha. asante mkuu
Every kenyan who is saved knows how tanzanians choirs has changed many people lives
Ameeen
Changombe mko vizur mungu awepe nguvu mm mpenz wa choir yenu.amen
Nyimbo hii inanikumbusha mbali sana mwaka 1989 inatoka Mzee mbusure akiwa kijana siyo Sasa hivi.
what an amazing voice from changombe
Kwa hakika huu wimbo inatia Moyo Sana mungu hawabariki na awafanyie mini saidi ya hapo
Toka nikiwa mdogo mpaka leo hamjawahi badilika watoto wa mungu
Asante efeso choir mnabariki xana
Nyimbo zenu ni manukato mazuri,Hallelujah.
Wimbo umejaa upako kweli kweli, Mungu awabariki Sana.
Powerful lyrics
I love this song so much.. Thanks to the mwalimu wa kwaya
I wish I can live in Tanzania 🇹🇿 and I come to your church mungu mwenye yote ajaze roho zenu kanisa la mungu .jioni ya Leo nabalikiwa kweli ,from USA 🇺🇸
One day il worship in this church
KARIBU TANZANIA TAIFA TEULE
Tanzania shall get all the Singing Slots in Heaven... Beautiful lead voice by this annointed Man of God....This song makes me Memorise..Visualise the words/Epistle of Paul to the Ephesians . in fact one of the most important Epistles of the Bible by Paul together with the Galatians, Romans..Thesalonians.. Etc.. ''Ninalo neno nawe ...first love and deeds no more '' Todays Church is empty because just like the Church at Ephesus Love evaporated long time....Thank You AICT Chang'ombe ...No more Love in Church..in homes..at work place...where ever...Paul Knew and saw it in the spirit.. no wonder he added all these in 2nd Timothy 3.1..... I like the Gospel of Paul which reiterates/emphasizes the essence of living for Christ and inheriting his Heavenly Kingdom....
This is how Singing is meant to be....ooh My God help me live and cherish Christ love...
Injili kupitia nyimbo inaguza moya hakika. Wimbo huu wanibariki kila ninapousikiliza. Kwaya ya Chang'ombe neema ya Bwana Yesu ikawakweze hata viwango vya kumtumikia zaidi.
Aic Chang'ombe mungu wa mbinguni awa bariki nyimbo zenu Zina gusa maisha ya watu wengi
Endeleeni kulitangaza neno la MUNGU.
please avail other songs for us your beloved listeners like badilika...nchi zinalia ..mwenye busara na mpumbavu...shalom love you people of God,vincus from kenya
Baraka tele. Mungu awabariki sana AICT Chang'ombe Choir!
Nimeukumbuka wimbo huu imedi niutafute.. ujumbe kamili kabisa. Basi kumbuka ulipoanguka ukageuke na kutubu
Hakuna siku inayokwenda bila kusikiliza wimbo huu. Wimbo huu ni faraja Kwangu na huyu Mzee anayeuongoza nampa tank amefit sawa sawa kabisa
It seems every Tanzanian has the voice to sing lead. I am impressed; just impressed. P.s Brother from Haiti ( the first black republic in the world)
Also I wonder , most of them are doing well in singing. God blessed them with that
@@AICTChangombeChoir_ you are a blessing to many.may you continue this way through out your lives
TZ voices are super lit. Si siri
Nyimbo hizi zinanibariki sana!! Mungu azidi kuwapa nguvu za kumtukuza hadi mwisho wa dahari........
Nikweli mbarikiwe xana
My best choir Changombe.
Mubarikiwe Cangombe! Kanisa Efeso ni nyimbo nzuri sana! Bujumbura tupo nanyi
Hepatic song has never happened keep this spirit up mnatisha
Infact its a life time gospal song! Mbarikiwe wapendwa! Tukumbuke tulipoanguka na tugeuke na kutubu! ...pia tumeacha upendo wa kwanza na wakweli...sote tujipeleleze!
God bless this choir!
Endeleeni kubarikiwa na Yesu.
Culture ya nyimbo zenu siku zote haibadiriki na ndo msingi wa baraka za hii kwaya. Cha msingi lengo namba moja ktk utunzi liwe ni kufikisha ujumbe na hayo mengine ya kipato yatakuja tu kupitia miujiza yake alie juu. Mbarikiwe sana.
Bwana yesu asifiwe naburudika sana na wimbo huu mbarikiwe
Old is gold, nyimbo za zamani zinabariki Sana Zina utukufu mno
Wow. A. I. C chang'ombe is a blessing to the world. Only God can reward you
Jamani jamani wimbo huu unanibariki sana Mungu awabariki sana na huyu mzee hapo amefiti mno wimbo umeendana na umri wake
What a blessing even in 2024
Amen aic changombe
Hongera mtunzi wa huu wimbo,Ahsanteni kwaya.
God ble you people
Wimbo mzur sana pia nabarikiwa na hii saut ya huyu baba nasikiliza kila mda aisee
Like me
Jaman hii kwaya huwez kuchoka kuangalia. Very blessed
Am really blessed here in kenya ... someone to give me contacts of them
I love this songs
Touching,very spiritual, playing on my TV continuously🇰🇪 2021 viewing
Cool music 🎶
Mnatisha sana kwaya hii mie ni mshabiki Mkubwa Wa kwaya hii wimbo huu huwa naupiga hata Mara kumi na zaidi kwa siku jamani msirudi Nyumba mlipofikia ni mfano Wa kuigwa
Katunge Nyanda , Mtume kacou philippe
Ikiwa Mungu anaokoa Mkatoliki, Mkrotestanti, mhubiri au Mkranhamisti au mmoja wa wanachama wa huduma na huduma hizi, Mungu lazima aondoe kuzimu na kila mtu atakwenda peponi hata Shetani. Mtu anawezaje kuokolewa kutoka gharika wakati alipomkataa Nuhu?
Waoooo MUNGU anawatu wengi aseee ukishuka wengine wanapanda♥️
Mungu azidi kuwainua mbalikiwe
cvc you are ever a Blessing , May God take you far in this Ministry, never Tire THERE IS A GREAT REWARD AWAITING FOR YOU
Hallelujah family
Oooooh iko poa sana ibadilishe matendo yangu kweli.😢😢😢😢😢😢
Nakosa cha kusema, you are a blessing to the lives of many. God bless you
Zinanibariki sana love playing them daily. Amen & thank you Lord
it was my pleasure meeting you guys at KAHAMA kanisa Efeso is the best song I am blessed hallelujah.
Am a fan of your songs, you always bless me starting from twayaweza,usiku wa manane, gusa,mpinga kristo, macho, pazia hadi kanisa efeso. Let's God's mercies,protection and favour be your portion as you continue to bless us and preach the gospel of Christ.
Mungu awabaliki sana nyimbo nzuri sana inanisayidiya sana
Am very blessed by this song i am fan of Tanzania choirs may God bless you my brethrens, your songs is very much a lot of blessings,,
Am getting possesed with this song
Powerful powerful powerful
Tanzania imekuwa inchi ya baraka kwa eneo la africa mashariki na africa yakati yaani great lakes Mungu awabariki sana na wimbo huwu umenigusa moyoni
Nawapenda bure
Huu wimbo unibariki saana wapendwa
Tukumbuke tulipo anguka ,wengi hatujielewi jamani tutubu tusiwe kama Waefeso.
Huyu mzee ananibariki kweli.
Good
Marvelous song. Mungu apewe sifa kwa huu wimbo.
My favourite song! Blessed again and again
Aameeen muendelee kubalikiwa!!
Amen amen mubarikiwe sana waimbaji wa Mungu nyimbo nzuri sana
Mungu awabariki sana waimbaji wetu kwa kuzidi kumtukuza Baba Muumba.
Mwimbaji yuko vizuri.
nywele zangu zinahesabika hadi...
Nyimbo hii inaupako mzito mbarikiwe sana
Jamani hii nyimbo naipenda sana na inanibariki sana tena sana mungu awabariki wote mulio shiliki kuuwimba wimbo huu na mtu alie utuga ila nabarikiwa sana na mzee wangu uyo anae azisha nampenda sana ameimba kwa isia sana God bless
12. Na kama Mungu anaokoa mkatoliki, mprotestanti, wakiinjili ao mubranhamisti ao moja wa wanamemba wa hizi ma misioni na huduma, Mungu lazima aondoe jehanumu na kila mtu atakwenda mbinguni hata Shetani. [Ndr: Kusanyiko lasema, "Amina! "]. Namna gani mtu anaweza kukataa nabii aliye hai wa wakati wake na kwenda paradiso ? Namna gani mtu angeweza kupona gharika kama alimu kataa Nuhu. Wakati Bwana Yesu Kristo alikuwa duniani, mtu angewezaje kumkataa na aokolewe? Ulimwengu mzima iko shimoni kwa sababu ya makanisa haya.
Naupenda Sana huu wimbo. Kutoka Nairobi kenya
Mtume kacou philippe
Ikiwa Mungu anaokoa Mkatoliki, Mkrotestanti, mhubiri au Mkranhamisti au mmoja wa wanachama wa huduma na huduma hizi, Mungu lazima aondoe kuzimu na kila mtu atakwenda peponi hata Shetani. Mtu anawezaje kuokolewa kutoka gharika wakati alipomkataa Nuhu?
Great !! May God blessing you😍😍
Following fro Kenya ....ujumbe mzito huo
A very blessing song. Clear video. Would like to reward the choir. Good work.
Blessed
Powerful
Very beautiful song inaguza roho zetu endeleeni kutoa xingine God 🙏🙏🙏 blessed you people tunatarajia zingine
Much blessed by this song,may God always shine upon you guys.
❤❤❤🙏🙏🙏
10. Na sielewi kuona watu na Biblia mkononi kuweza kutenda hivyo, kuweka wanawake mimbarini kuhubiri au kuongoza nyimbo za kusifu japo wanaume wako pale. Na mara, inawezekana wanawake wawe damuni, na wanaweka vitambaa chini yao na wanakuja mimbarini. Ninyi mnao zoea makanisa kama hayo hamna zamiri! Ninyi si watu wazima, ninyi ni uzao wa nyoka, ninyi ni wabaya kuliko wakatolika na waislamu na mnatafuta kuwahubiri. Ikiwa hamfwati shabaha ingine, hamta enda kuketi ndani ya kanisa kama hii. Hata iwe kuhubiri au kuongoza nyimbo, yote ni sawa. Kuvunja sheria nusu ni kuvunja yote. [Ndr: Kusanyiko linasema: “Amina!”]. Mwanamke anapaswa kaa kimya kanisani. Paulo anasema kwamba jambo la mwanamke kutokuhubiri kanisani ni amri. Paulo anasema katika 1 wakorito 14:34 “ wake wenu wanyamaze katika kusanyiko maana hawaruhusiwi kusema lakini wawe watiifu kama vile isemavyo sheria”. Mnaona? Sheria inasema kwamba mwanamke hawezi kusema katika kusanyiko. Hakuna hata mwanamuke mmoja katika ukuhani.
11. Na Kwa shairi la 37, kuhusu jambo la mwanamke kutokusema katika kusanyiko, Paulo anasema hivi: “ Kama mtu anafikiri yeye ni nabii au wakiroho, atambue kwamba maneno ninayo waandikia ninyi ni amri ya Bwana.” [Ndr: Kusanyiko linasema: “Amina!”]. Paulo anasema kwamba jambo hili kuwa mwanamke hapaswe kuhubiri katika kanisa, ni amri kutoka kwa Bwana. Na kama una Roho mtakatifu, na wewe ni mwana wa Mungu, hutatembea kinyume cha amri ya Bwana.
I love how this choir began
watu hawa huwa nakosag cha kuwaambia, acha wabarikiwe sana
Messia Sulley 9. Wafreemason, makanisa pentekoste, ibada la miungu ya wainka, makanisa protestanti, Krishna, Kanisa la Kristo, méditation transcendantale, Graili, wachawi, makanisa za kiinjili, wamormoni, guru maharadji, uislamu na uyahudi na makanisa zote za uamsho na zile za urudisho… makambi za maombi, monasteri, makao ya watawa, mishoni na huduma hata wabranhamisti, yaani wale wangali wanafwata ujumbe ya William Branham, hata katika usafi wake wote, ni toharani, na nyavu za shetani kwa kuwapeleka watu jehanamu na maroho zinazo tenda katika makanisa haya siyo Roho Mtakatifu, bali mapepo za udanganyifu. Ni yale yale mapepo yaliyokuwa mitoni, mitaro, vinyago, vodoo, msitu takatifu, desturi na mapokeo, ambayo yalikuwa yakitokeza wachawi wa kiasili.
www. philippekacou. org
Hongereni
God is Good
Wow so Beautiful.....So Blessing.... GOD BLESS YOU.
this song has a lot to learn from
This is one of the best songs
My favourite song
Great God bless u
Very blessing song!
Dah niliwish sana Kuskia vitu kama hiv asili vya Aic maana Now hatufanyi hivi Tumeiga bondeni ila kwa hapa Nimefrah sana Maaana unapata ujumbe kamil
Lameck John Sylvanus , Mtume kacou philippe
Ikiwa Mungu anaokoa Mkatoliki, Mkrotestanti, mhubiri au Mkranhamisti au mmoja wa wanachama wa huduma na huduma hizi, Mungu lazima aondoe kuzimu na kila mtu atakwenda peponi hata Shetani. Mtu anawezaje kuokolewa kutoka gharika wakati alipomkataa Nuhu?
This song blesses me a lot...# 🇰🇪
Nice music,
Soo touching...mbarikiwe sana.
Mungu awabarik watumish wake
Kwa ujumbe mzur
Am blessed by this song
Wimbo mzuri Mungu na awabariki sana
😭😭😭😭😭
Mungu awabariki kazi nzuri nabarikiwa sana
The song is really reviving blessed brethren.