MWANAMKE AHUKUMIWA MWAKA MMOJA BAADA YA KUMTUKANA MAMA YAKE MZAZI
Vložit
- čas přidán 26. 08. 2021
- Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemtia hatiani na kumuhukumu kwenda jela mwaka mmoja, Zarina Sadiki kwa kosa la kutumia lugha ya kuudhi, kumtukana Mama yake mzazi.
Zarina alihukumiwa jana mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mpaze baada ya kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili.
SUBHANALLAH mwenyezi MUNGU amlaze mama yangu mahala pema peponi Amin😭😭😭😭
Mwaka mmoja mdogo. Angefungwa mingi huyoo
Masha Allah uzuri Sana Ila siku nyengine iwe angalau miaka mitano hivi ya ili mbu wapate supu ya mwili wake gerezani uzuri
Subhanaallah alhamdullilah rabillamin hakimu umefanya Vizuri sana na itakuwa fundisho kwa wengine 👍❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏 sasa angoje. Na yeye kutukana na wanaye
SubhanAllah, Asante Hakimu,Na Atumikie Huo Mwaka Mpaka Uishe,Adabu Na Heshima.
Huyo Dada ana laana
Mama nae anatukanwa jamani 😭😭 eemungu mlaze mama yangu mahara pema peponi amen
Dahhh😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ikiwezekana aongezewe miak yaan mtu unamlinda tangu mdogo unakesha naye af anakupandia kichwan akipata nguvu khaaaah
Asante mahakama watanyoka tu
SAFI KABISA’ akijitetea muongezee mingine MITATU...!...nimependa sana Haya maamuzi ....👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
😂😂😂😂apew mitano
Cyo mtano afungwe 30 kabisa Chizi huyo
Subhannallah. Daaaah waraah huyu anaikwaluza nguzo yk kwa kinywa chake ddaaaah.Waraah chozi la mzazi ni laaana tosha
Safi sana
Nahao mashahd wake wangefungwa mwaka mmoja 🤣
Inatakiwa 5
Safi sana ila mwaka mdogo sana😭😭😭
Subhana Allah daaah mtumee HeeeAkaaa mtihani vo jomoni
Safiiiii
Mim uwaga najiuliza Hili swali mpka nakosa Majibu iv kwann watto wa kike ndio wanao Ongoza kwa kuatukana Wazazi Wao
Tna Hasa Mama Mbona mim mwezenu Siwez Ata nigombeshwe Vp siwez jibizana na mama Angu
Iv nynyi Wezangu Nguvu Ya Kujibizana Na Mama Znu Uwaga Mnazitolea Wpi Nami Nikazichukue
Safi sana.
Funga mjinga huyo unamtukanaje mzazi wako aiseeeee
Safi sana watt wasiku hizi hawana adabu
Safi wangeongeza miaka miwilii
Mhm adhabu ndogo.mama anatukanwa😭😭😭
Safiiii
Subhanallah mamaaaaaa😭😭
Asante hakimu
Subuanallah
Ongezenii miaka mitanoo
Mmoj hautosh atatok akitoka anammaliza Tu😢😢
Innah lillah wainnah illah rajiuna 😭😭😭😭😭
Machozi ya mama yake tu ni kifungo cha maisha.wangemuacha tu atumikie kifungo chake cha maisha
Mwaka mmoja kidogo
Bila hata viboko??
Bass haya mamake amezaa baadae atukana hee mtihani atapata adabu huko jela mtihani hiyo ni lana hajaolewa amezaa hee mtihani huo mungu azidishiye aghadhabu huyo matusi ya nguoni hayo safi sana kwenda jela mm niko oman siku nyengine naliya mama anaumwa tabani
Wacha afunzwe na ulimwengu bass
Uyo anaitaji kichapo
Mwaka mmoja ni mdogo sana umefungiwa miaka 5
Mmhhh mnaotukana wazazi aisee
Kuzaa kuaibika😭😭😭
Safi sana, sema hio familia ndio basi tena nauhakia mama na mtoto hawata samehana
Hasara ya nani km sio ya mtoto
@@AishaAisha-rh1fc mtoto kupoteza mama nikawaida, lakini mama kupoteza mtoto litauma zaidi
angepewa kifungo cha nje tu.Na kupigwa faini.Mnajaza jela tu bila sababu
Safiiii 👏👏👏😁
Bola ili watu wawe na hekma na busara
mmmh huyo dada hana radhi analaana kwa kweli
Azibiwe tu asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.
Wacha akajifunze wanatutesa sana wtt km hao
Atanyooka tu...hana adabu
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo
Huyo ni mlanifu hajuwi kutumia maneno mazur mamake akiongeya vizur ni sadaka kwake ataepukana na matizo ya dunia
Hakimu heshima yako
Analaaana huyo mamaako unamtukana vip?
Shkamoo jaji
Mdogo huo mitatu
Mwaka mmoja tuuu jaman mbona mdogo hvyo,alipaswa apigwe hata mi 5 hv hana akili huyoo dada
Mipombe na mibangi aliyovuta imempeleka pabaya mm siwez kumtukana mama angu jmm
du huyu kalaaniwa aombe radhi kwa mama yake asije juta hata huo mwaka ni kiidogo angeenda 2
Aje huku ulimwengu yupo huku aje afunzwe tu ni buree
Kwani vioo vya madirishani ni bei gani
Kalaaniwa huyo loooh
Mama mzazi?????
Mm naona malezi mabovu wanaowalea watt wao kama umemlea kimaadili mtt hawezi kukutukana
Dada bakisha maneno..muombe mungu akunusuru akistiri na kizaz chako
@@comulusnimbuss931 dada kuna watt niwajeuri lakin akifika kwa mzazi wake heshima na adabu
@@comulusnimbuss931 ....kweli kabisa ‘ kuna watoto wanalelewa vyema na wazazi ‘ lkn akishaingia mtaani anabadilika tabia ‘ halafu lawama zinarudi Kwa wazaza’ ...Nakubali Sio Kweli ukimuona mtoto ana maadili mabovu basi ni wazazi wengine wanayaiga mitaani...Na dunia ya leo kuna MTAA WA MTANDAO ‘ huu mtaa ni hatari sana Kwa VIZAZI VYA LEO..!
Umemwambia vyema amuombe MUNGU asitiri kizazi chake..!
Unatukana mama!!!!!!!?lanatulah*1000!!!
Sasa hapo wametatua tatizo au wameongeza chuki dhidi yao??
Ilikuwaje hadi mashtaka yakafika huko? Wazaz, walezi wasisahau jukumu lao la malezi bor na kuwaombea watoto wao! Yaan kweli mwanangu wa kumzaa anaanzaje kunitukana kwa mfn???🤔
Hujayajua bd unaona ulikosimama siku ukianza kuona unakokwenda utaelew kwmb kumbe inawezekana mtt wa kumzaa kukutukana au kukupga kabsa
@@adilialbat708 inategemea na malezi ya huyo mtoto. Ama si hivyo basi atakuwa na tatizo fulani la kisaikolojia. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Na unaweza kujuuliza ni kwanini wengi wao ni wa uswahili au wenye maisha duni au wasio na elimu kubwa?? Kuna kutokuwajibika vizuri kwa mzazi na jamii kwa ujumla. Na ndio matokeo ya kizazi kisicho na maadili. Mzazi huwezi kuwa na maadili halafu mtoto akose maadili. Hapo tatizo ni makuzi +malezi
Kuna mtu namfahamu, wakati wa utoto wake mzazi wake alikuwa anamwambia "yaan ww nimekuzaa tu bahati mbaya, nakuchukia" sasa kwa kauli kama hizi yule binti hakuwa na upendo kabisa na mzazi wake. Na huyo mama alimtambulisha mtoto wake baba zaidi ya mmoja kuwa ni baba yake mzazi. Na inasemaekama alibakwa. Kwahiyo chuki ya baba inahamia kwa mtoto. Mtoto akiuliza ukweli mama anakuwa mkali. Ilijenga chuki kati yao. Na hawapatani. Sasa kwa binti mwingine akiwa keshavurugwa, na akikosa ushauri mzuri anaweza kutoa lugha mbaya bila kujali, kwa7bu ya maumivu ya hisia aliyonayo. Ni tatzo la kisaikolojia
dada sema taratiiibu huku ukinong'oneza ucmalze yote mengine mezea huku ukisema Mungu kijalie hekima kizaz cha tumbon langu kiwe na hofu juu yako ewe Mungu lkn co useme mzazi hawez kuwa na maadili mtoto akakosa maadili wapo weng wako vema lkn walzaa majizi mpk ukiambiwa huyu ndo mtoto wa flan unashangaa kwnn hayupo kama mzazi wake kumbuka hyo ya mtoto umleavyo ndivyo akuavy ilkuwa zaman lkn leo hii mtoto huambiwa hili then yey anafany lile kadri anavyzd kukuwa ndvy anavyjihis yupo vzur zaid ktk kuamua tofaut na yale aliyofunzwa au kukanywa wala hakuna mzazi anaetaman mwanae aharibikiwe na si kwmb wanaoharbkiwa n wa uswahlin tu au wasio na elimu kubwa au wny maisha magum noooo wapo weng wana elimu kubwa maisha matamu nk lkn hao ndo wagum kabsaa hata kukosolewa mana hujitia ujuaji mnoo ukitaka kujua hayo toka nje uyajue nahis unayaongelea ndani ndo mana unajua ya ndani sana kwa kujiangalia wew bnafisi
Wengine hadi wanapigwa na watoto waliowazaa.
Nn
Alivyohukumiwa mimi sikuepo naomba hukumu irudiwe au aongezewe hata miaka miwili
Funga mjinga huyo unamtukanaje mzazi wako aiseeeee