MWANAMKE AHUKUMIWA MWAKA MMOJA BAADA YA KUMTUKANA MAMA YAKE MZAZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2021
  • Mahakama ya Wilaya ya Ilala imemtia hatiani na kumuhukumu kwenda jela mwaka mmoja, Zarina Sadiki kwa kosa la kutumia lugha ya kuudhi, kumtukana Mama yake mzazi.
    Zarina alihukumiwa jana mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mpaze baada ya kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili.

Komentáře • 82

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Před 2 lety +8

    SUBHANALLAH mwenyezi MUNGU amlaze mama yangu mahala pema peponi Amin😭😭😭😭

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Před 2 lety +7

    Mwaka mmoja mdogo. Angefungwa mingi huyoo

  • @ummusamira3518
    @ummusamira3518 Před rokem +1

    Masha Allah uzuri Sana Ila siku nyengine iwe angalau miaka mitano hivi ya ili mbu wapate supu ya mwili wake gerezani uzuri

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před 2 lety +2

    Subhanaallah alhamdullilah rabillamin hakimu umefanya Vizuri sana na itakuwa fundisho kwa wengine 👍❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏 sasa angoje. Na yeye kutukana na wanaye

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 2 lety +1

    SubhanAllah, Asante Hakimu,Na Atumikie Huo Mwaka Mpaka Uishe,Adabu Na Heshima.

  • @markmlay8196
    @markmlay8196 Před 2 lety +4

    Huyo Dada ana laana

  • @peragiaisdor6315
    @peragiaisdor6315 Před 2 lety +3

    Mama nae anatukanwa jamani 😭😭 eemungu mlaze mama yangu mahara pema peponi amen

    • @neemazee1864
      @neemazee1864 Před 2 lety +1

      Dahhh😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @airinsumeno2490
    @airinsumeno2490 Před 2 lety +4

    Ikiwezekana aongezewe miak yaan mtu unamlinda tangu mdogo unakesha naye af anakupandia kichwan akipata nguvu khaaaah

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 Před 2 lety +1

    Asante mahakama watanyoka tu

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 Před 2 lety +2

    SAFI KABISA’ akijitetea muongezee mingine MITATU...!...nimependa sana Haya maamuzi ....👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 Před 2 lety +1

    Subhannallah. Daaaah waraah huyu anaikwaluza nguzo yk kwa kinywa chake ddaaaah.Waraah chozi la mzazi ni laaana tosha

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Před 2 lety +1

    Safi sana

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Před 2 lety +4

    Nahao mashahd wake wangefungwa mwaka mmoja 🤣

  • @ngoshathebest228
    @ngoshathebest228 Před 2 lety +2

    Inatakiwa 5

  • @fetychina3273
    @fetychina3273 Před 2 lety +5

    Safi sana ila mwaka mdogo sana😭😭😭

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 Před 2 lety

    Subhana Allah daaah mtumee HeeeAkaaa mtihani vo jomoni

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 2 lety +1

    Safiiiii

  • @sanoureyaliwadoa460
    @sanoureyaliwadoa460 Před 2 lety +2

    Mim uwaga najiuliza Hili swali mpka nakosa Majibu iv kwann watto wa kike ndio wanao Ongoza kwa kuatukana Wazazi Wao
    Tna Hasa Mama Mbona mim mwezenu Siwez Ata nigombeshwe Vp siwez jibizana na mama Angu
    Iv nynyi Wezangu Nguvu Ya Kujibizana Na Mama Znu Uwaga Mnazitolea Wpi Nami Nikazichukue

  • @mwana4599
    @mwana4599 Před 2 lety

    Safi sana.

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 Před 2 lety +2

    Funga mjinga huyo unamtukanaje mzazi wako aiseeeee

  • @mrs2899
    @mrs2899 Před 2 lety +3

    Safi sana watt wasiku hizi hawana adabu

  • @ayishaayisha8053
    @ayishaayisha8053 Před 2 lety +1

    Mhm adhabu ndogo.mama anatukanwa😭😭😭

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 Před 2 lety

    Safiiii

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 Před 2 lety +1

    Subhanallah mamaaaaaa😭😭

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před 2 lety +3

    Asante hakimu

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 2 lety

    Subuanallah

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 Před 2 lety +6

    Ongezenii miaka mitanoo

  • @mouwanahamisi8216
    @mouwanahamisi8216 Před 2 lety +1

    Mmoj hautosh atatok akitoka anammaliza Tu😢😢

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 2 lety +1

    Innah lillah wainnah illah rajiuna 😭😭😭😭😭

  • @florianhashimu1370
    @florianhashimu1370 Před 2 lety +2

    Machozi ya mama yake tu ni kifungo cha maisha.wangemuacha tu atumikie kifungo chake cha maisha

  • @zuhurasadik6611
    @zuhurasadik6611 Před 2 lety

    Mwaka mmoja kidogo

  • @HamisManoti
    @HamisManoti Před 2 lety

    Bila hata viboko??

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety

    Bass haya mamake amezaa baadae atukana hee mtihani atapata adabu huko jela mtihani hiyo ni lana hajaolewa amezaa hee mtihani huo mungu azidishiye aghadhabu huyo matusi ya nguoni hayo safi sana kwenda jela mm niko oman siku nyengine naliya mama anaumwa tabani

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety +2

    Wacha afunzwe na ulimwengu bass

  • @nasralema2998
    @nasralema2998 Před 2 lety +1

    Uyo anaitaji kichapo

  • @fediliaulomi4969
    @fediliaulomi4969 Před 2 lety

    Mwaka mmoja ni mdogo sana umefungiwa miaka 5

  • @ngoshathebest228
    @ngoshathebest228 Před 2 lety

    Mmhhh mnaotukana wazazi aisee

  • @ilumvalameck1901
    @ilumvalameck1901 Před 2 lety +1

    Kuzaa kuaibika😭😭😭

  • @randomgaming6547
    @randomgaming6547 Před 2 lety

    Safi sana, sema hio familia ndio basi tena nauhakia mama na mtoto hawata samehana

    • @AishaAisha-rh1fc
      @AishaAisha-rh1fc Před 2 lety

      Hasara ya nani km sio ya mtoto

    • @randomgaming6547
      @randomgaming6547 Před 2 lety

      @@AishaAisha-rh1fc mtoto kupoteza mama nikawaida, lakini mama kupoteza mtoto litauma zaidi

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +1

    angepewa kifungo cha nje tu.Na kupigwa faini.Mnajaza jela tu bila sababu

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 Před 2 lety +1

    Safiiii 👏👏👏😁

  • @munamuna7488
    @munamuna7488 Před 2 lety +2

    Bola ili watu wawe na hekma na busara

  • @hidayahassan8014
    @hidayahassan8014 Před 2 lety

    mmmh huyo dada hana radhi analaana kwa kweli

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Před 2 lety +3

    Azibiwe tu asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.

  • @zuhurasadik6611
    @zuhurasadik6611 Před 2 lety

    Wacha akajifunze wanatutesa sana wtt km hao

  • @dorahisinika7576
    @dorahisinika7576 Před 2 lety

    Atanyooka tu...hana adabu

  • @shaibmlandula8384
    @shaibmlandula8384 Před 2 lety +1

    Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety

    Huyo ni mlanifu hajuwi kutumia maneno mazur mamake akiongeya vizur ni sadaka kwake ataepukana na matizo ya dunia

  • @zuhurasadik6611
    @zuhurasadik6611 Před 2 lety

    Hakimu heshima yako

  • @aminasuleiman6402
    @aminasuleiman6402 Před 2 lety

    Analaaana huyo mamaako unamtukana vip?

  • @samaboy2592
    @samaboy2592 Před 2 lety

    Shkamoo jaji

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 Před 2 lety +1

    Mdogo huo mitatu

  • @samwelsanga5339
    @samwelsanga5339 Před 2 lety

    Mwaka mmoja tuuu jaman mbona mdogo hvyo,alipaswa apigwe hata mi 5 hv hana akili huyoo dada

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Před 2 lety

    Mipombe na mibangi aliyovuta imempeleka pabaya mm siwez kumtukana mama angu jmm

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel1078 Před 2 lety

    du huyu kalaaniwa aombe radhi kwa mama yake asije juta hata huo mwaka ni kiidogo angeenda 2

  • @dintazdintaz7311
    @dintazdintaz7311 Před 2 lety

    Aje huku ulimwengu yupo huku aje afunzwe tu ni buree

  • @msafiriiddy3135
    @msafiriiddy3135 Před 2 lety

    Kwani vioo vya madirishani ni bei gani

  • @annajoseph9955
    @annajoseph9955 Před 2 lety

    Kalaaniwa huyo loooh

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 Před 2 lety

    Mama mzazi?????

  • @safiakhamiss4567
    @safiakhamiss4567 Před 2 lety

    Mm naona malezi mabovu wanaowalea watt wao kama umemlea kimaadili mtt hawezi kukutukana

    • @comulusnimbuss931
      @comulusnimbuss931 Před 2 lety +1

      Dada bakisha maneno..muombe mungu akunusuru akistiri na kizaz chako

    • @safiakhamiss4567
      @safiakhamiss4567 Před 2 lety

      @@comulusnimbuss931 dada kuna watt niwajeuri lakin akifika kwa mzazi wake heshima na adabu

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 Před 2 lety

      @@comulusnimbuss931 ....kweli kabisa ‘ kuna watoto wanalelewa vyema na wazazi ‘ lkn akishaingia mtaani anabadilika tabia ‘ halafu lawama zinarudi Kwa wazaza’ ...Nakubali Sio Kweli ukimuona mtoto ana maadili mabovu basi ni wazazi wengine wanayaiga mitaani...Na dunia ya leo kuna MTAA WA MTANDAO ‘ huu mtaa ni hatari sana Kwa VIZAZI VYA LEO..!
      Umemwambia vyema amuombe MUNGU asitiri kizazi chake..!

  • @taturajabukhalfani7953

    Unatukana mama!!!!!!!?lanatulah*1000!!!

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 Před 2 lety +2

    Sasa hapo wametatua tatizo au wameongeza chuki dhidi yao??
    Ilikuwaje hadi mashtaka yakafika huko? Wazaz, walezi wasisahau jukumu lao la malezi bor na kuwaombea watoto wao! Yaan kweli mwanangu wa kumzaa anaanzaje kunitukana kwa mfn???🤔

    • @adilialbat708
      @adilialbat708 Před 2 lety +5

      Hujayajua bd unaona ulikosimama siku ukianza kuona unakokwenda utaelew kwmb kumbe inawezekana mtt wa kumzaa kukutukana au kukupga kabsa

    • @lanlady2504
      @lanlady2504 Před 2 lety

      @@adilialbat708 inategemea na malezi ya huyo mtoto. Ama si hivyo basi atakuwa na tatizo fulani la kisaikolojia. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo. Na unaweza kujuuliza ni kwanini wengi wao ni wa uswahili au wenye maisha duni au wasio na elimu kubwa?? Kuna kutokuwajibika vizuri kwa mzazi na jamii kwa ujumla. Na ndio matokeo ya kizazi kisicho na maadili. Mzazi huwezi kuwa na maadili halafu mtoto akose maadili. Hapo tatizo ni makuzi +malezi

    • @lanlady2504
      @lanlady2504 Před 2 lety

      Kuna mtu namfahamu, wakati wa utoto wake mzazi wake alikuwa anamwambia "yaan ww nimekuzaa tu bahati mbaya, nakuchukia" sasa kwa kauli kama hizi yule binti hakuwa na upendo kabisa na mzazi wake. Na huyo mama alimtambulisha mtoto wake baba zaidi ya mmoja kuwa ni baba yake mzazi. Na inasemaekama alibakwa. Kwahiyo chuki ya baba inahamia kwa mtoto. Mtoto akiuliza ukweli mama anakuwa mkali. Ilijenga chuki kati yao. Na hawapatani. Sasa kwa binti mwingine akiwa keshavurugwa, na akikosa ushauri mzuri anaweza kutoa lugha mbaya bila kujali, kwa7bu ya maumivu ya hisia aliyonayo. Ni tatzo la kisaikolojia

    • @adilialbat708
      @adilialbat708 Před 2 lety +3

      dada sema taratiiibu huku ukinong'oneza ucmalze yote mengine mezea huku ukisema Mungu kijalie hekima kizaz cha tumbon langu kiwe na hofu juu yako ewe Mungu lkn co useme mzazi hawez kuwa na maadili mtoto akakosa maadili wapo weng wako vema lkn walzaa majizi mpk ukiambiwa huyu ndo mtoto wa flan unashangaa kwnn hayupo kama mzazi wake kumbuka hyo ya mtoto umleavyo ndivyo akuavy ilkuwa zaman lkn leo hii mtoto huambiwa hili then yey anafany lile kadri anavyzd kukuwa ndvy anavyjihis yupo vzur zaid ktk kuamua tofaut na yale aliyofunzwa au kukanywa wala hakuna mzazi anaetaman mwanae aharibikiwe na si kwmb wanaoharbkiwa n wa uswahlin tu au wasio na elimu kubwa au wny maisha magum noooo wapo weng wana elimu kubwa maisha matamu nk lkn hao ndo wagum kabsaa hata kukosolewa mana hujitia ujuaji mnoo ukitaka kujua hayo toka nje uyajue nahis unayaongelea ndani ndo mana unajua ya ndani sana kwa kujiangalia wew bnafisi

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 2 lety +2

      Wengine hadi wanapigwa na watoto waliowazaa.

  • @sniper93999
    @sniper93999 Před 2 lety

    Nn

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma Před 2 lety +1

    Alivyohukumiwa mimi sikuepo naomba hukumu irudiwe au aongezewe hata miaka miwili

  • @roseafrael75
    @roseafrael75 Před 2 lety +1

    Funga mjinga huyo unamtukanaje mzazi wako aiseeeee