Zein l'Abdin - Mombasa Taarab Master
Vložit
- čas přidán 4. 09. 2024
- The late Ustadh Zein l'Abdin was the undisputed king among Mombasa taarab musicians. A formidable 'ud-player, singer and composer his career spanned from the early 1960s into the early 2000s with recordings and live performances up and down the Swahili coast. In the 1990s and 2000s Zein also found wider acclaim with international CD releases and touring in Europe. His Zein Musical Party also helped start the careers of some of the best-loved taarab singers of Mombasa’s golden age - Zuhura, Malika and Maulidi. Zein died in late June 2016, aged 77. Mungu amlaze pema peponi.
I was in his house many times at my time in Mombasa ...my friends told me he is already dead since 5 years now....he give me by my last visit a CD ...
We sitting forhpurs in his house...very friendly nice man ...R.I.P.
Zein labidin ya jana
mzuri sana
Naomba wanawake wa kiamu
Urathi wa vyombo vya Taarab watumizi hakuna Tena.Cultute yatoweka.
Man this is beautiful. Love the East African oud players.....actually a little more than the arab ones
Old is gold...safi sana
super
very nice ♡
Mimi ni Mtanzania, ameimba kiswahili cha Pwani, ila ujumbe " sindano yaweza kuwa uzi na kushona isishone, sindano yaweza iwe na incha na huenda isishone" maana waeza kuwa mwanaume una jogoo lakini aweza asiwike ( mwanaume anaweza awe na uume lakini usifanye kazi na ushindwe kumjaza mwanamke mimba) je una swali????? hahahhaa
napenda sana Mombasa song
Can anybody write the lyrics for me? It’s a bit hard for me to make out what he’s singing.
Mimi ni Mtanzania, ameimba kiswahili kwahiyo huwezi elewa, ila ujumbe " sindano yaweza kuwa uzi na kushona isishone, sindano yaweza iwe na incha na huenda isishone" maana waeza kuwa mwanaume una jogoo lakini aweza asiwike ( mwanaume anaweza awe na uume lakini usifanye kazi na ushindwe kumjaza mwanamke mimba) je una swali?????
RAYMOND OYIEKO tafadhali uandike maneno kutoka mwanzo.
Sindano
Texts, music and sing: Zein l'Abdin Ahmed ALAMOODY
Hayo yajana najuzi .. Usambe usinon'gone
Hila nawe pigo mpizi .. Maungo yako tuone
Sindano huwa na uzi .. Nakushona isishone
Navuta nikikukota .. Na mpee naini nisonge
Sheli tawapereketa .. Nyoyo zao zawatange
Sindano huwa nannta .. Na kutunga isitunge
@@Omarsi2000 Shukrani ya dhati.
@@cpd7172@cpd7172 here it is" haya ya jana na juzi musambe Musi no ng'one, hebu nawe piga mbizi maungo yako tuone, sindano huwa na uzi na kushona isishone----navuta na kukokota na mbee nisonge, Sheti tawapereketa nyoyo zao zi watange, sindano huwa na nta na kutunga isi tunge, sindano huwa na uzi na kushona isishone". The kiswahili used in this song is ki Amu, from lamu Island and the sorounding islands.
Mashallah, napataje nyimbo za Zein??
Mashairi Ya Rangimoto utampata Old Town, Mombasa
@@T.Q. ahsante sana ndugu yangu