#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 06. 2021
  • #LIVE: JE, MKE NA MUME WAKITENGANA KWA MUDA MREFU NI TALAKA? - FADHAKKIR
    MUBASHARA: KUANZIA SAA 3:30 USIKU (KIGOMA, TANZANIA)
    MUHADHIR WA KIMATAIFA SHEIKH NURDEEN KISHK
    CZcams: / @kishkionlinetv
    Facebook: / sheikhnurdinkishki
    Twitter: https:/T/ sheikh_kishk
    Instagram: / sheikh_nurdeen_kishk

Komentáře • 221

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 Před 3 lety +13

    "Mashaallah shekh wetu Allah akueke kwakutupa somo la muhimu sana, Maneno yamenipa somo kubwa sana...shukran shekh wetu twakupenda kwa ajili ya Allah"

  • @aishaalimnemo4921
    @aishaalimnemo4921 Před rokem +4

    Mashaallah ALLA akupe uzima,nguvu, na hekma akupe busara, Allah atupe umoja wa kupendana katika njia yake hadi peponi...

  • @sundusabdi3222
    @sundusabdi3222 Před rokem +4

    Allah atuongoze in shaa Allah

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 Před 3 lety +13

    Allah awaeke mashekh wetu na Awalinde.

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 Před 3 lety +3

    Amini... Mungu akuhifadhi shekhe wetu kishk akuzidishe ilmu Mungu akupe umeri mwema na maisha mema inshaallah ..kutoka Kenya khadija said Nahdi mld

  • @Jamila653
    @Jamila653 Před 3 lety +2

    Shukran shekhe wetu allah akuifadhi, iliswala mimi pia nimuwanga ila mimi shekhe mwanaume ali nitelekeza nasijui maka leo alipo au anakoishi mwaka wasaba uu jee nibado mume wangu naojibu shekhe wangu na kupenda kwajili ya allah

    • @Teacher........
      @Teacher........ Před rokem

      *Mtafute kadhi mwanachuoni mwenye elimu yake ya Dini umueleze yeye anajukumu*

  • @hajikabugahamis3149
    @hajikabugahamis3149 Před 3 lety +3

    ManshaAllah Kutoka mwanza Nakufutilia sana Allah Akujaalie

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Před 3 lety +3

    Mada nilikuwa nzuri sana shukrani sheikh pamoja na Admin tunaomba irundiweeeee ilikuwa fupi saan

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 Před 3 lety +2

    Masha allah tabaraqallah shekhe mungu akuhifadhi duniani na kesho aghera Amiin

  • @reena6833
    @reena6833 Před rokem +2

    Mashala shekhe wetu mungu akujaze kilalakher

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Před 3 lety +3

    Shukuln sana sheikh hakika najifunza mengi Sana kupitia ww hata nikija kuolewa sitohangaika mashaallah 😘

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 Před 3 lety +2

    Shukran Sana shekh wetu jazakallahu kheiran

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan2296 Před 3 lety +2

    MashaaAllah MashaaAllah Shukran jazzilan sheikh

  • @mohammedopetu2745
    @mohammedopetu2745 Před 3 lety +2

    MashaAllah masheikh Allah awahifadhi

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Před rokem +1

    Masha Allah ❤❤wallah nakupata shekh

  • @swaumumakunga2469
    @swaumumakunga2469 Před 3 lety +2

    Masha Allah,Masha Allah shukran shekh

  • @radhiaoman9828
    @radhiaoman9828 Před 3 lety +2

    Mada hii shekhe imenigusa sana maashaallah

  • @wahidahamadali2563
    @wahidahamadali2563 Před 3 lety +1

    Asante sana mwenyezimngu akufanyie wepes ktk mihathara

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 Před 3 lety +2

    MashaAllah sheikh Allah akulipe heri Inshaallah

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 Před 3 lety +4

    Kenya uenda pia in sha Allah maana ulikupeza 2020 February nilipokua kenya

  • @aminasuleiman6402
    @aminasuleiman6402 Před 3 lety +2

    Shuklani shehe wetuu Allah akuweke mpaka uzeen uwape dawa mpa vizazi vijavyo Amin🙏🙏🙏

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 Před 3 lety +2

    Mashaallah

  • @umugumyabangahadjiri6104
    @umugumyabangahadjiri6104 Před 3 lety +2

    maashaallah

  • @Zanha582
    @Zanha582 Před 2 měsíci

    Shukrani sana MUNGU akulipe heri

  • @mwatimaabdalla5832
    @mwatimaabdalla5832 Před rokem

    Isha allah shehe Kishki shehe wetu wambie awo mashoga wanao toa talaka bila kujua dini ina semaj❤

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 Před 3 lety +1

    Amina inshallah mwenyezimungu atawalinda

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 Před 3 lety +1

    Shukrani chekh

  • @user-bu9wq4lp3f
    @user-bu9wq4lp3f Před 3 lety

    Masha Allah shukran jazakilau khair

  • @NdayisabaCynthia-kw4zm
    @NdayisabaCynthia-kw4zm Před 10 měsíci

    Jazaka Allah kheir

  • @user-op7ih4ux5z
    @user-op7ih4ux5z Před 11 měsíci

    Mashaaallh ni kweli kabisa unayoyasema shekh

  • @idditsuma4604
    @idditsuma4604 Před 3 lety

    Shukran wa jazzaka Allah khair

  • @AdnanAli-hk6ny
    @AdnanAli-hk6ny Před rokem

    mashaAllah mungu akuzidishie na pia nina swali shekh ni ipi hukmu ya mume kumpa ruhusa mkewe kwenda mbali nae kama vile arabuni

  • @OMARIIDDI
    @OMARIIDDI Před 11 měsíci

    JAZAKALLAH KHAIR

  • @mariamramadhan4296
    @mariamramadhan4296 Před 2 lety

    shukran shekhe kiishik tumenufaika

  • @mariamramadhan4296
    @mariamramadhan4296 Před 2 lety

    shukran sana shehe mola akupe afia njema

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 Před 3 lety

    Shukran sana sheikh

  • @fatumatandika5849
    @fatumatandika5849 Před 3 lety

    Maash Allah jazakallah kheir

  • @saudashosi4158
    @saudashosi4158 Před 3 lety

    Masha allah tabaraka allah allah akuruzuku jannat naeem

  • @jasminishafii5478
    @jasminishafii5478 Před 3 lety

    Masha allah Masha Allah

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 Před 3 lety

    Shukran sana

  • @sundusabdi3222
    @sundusabdi3222 Před rokem

    Ma shaa Allah

  • @mwannerajabu8688
    @mwannerajabu8688 Před 3 lety +1

    Waleykm salaam warahmatulillah wabarakat

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Před 3 lety

    Masha Allah Shukraan

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 3 lety

    hayo mazingira mimi nimeyapenda soo natural thanks

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 Před 3 lety +2

    Masha Allah! sheikh wangu Burundi huji ?

  • @HabibaHabiba-ji5qk
    @HabibaHabiba-ji5qk Před 9 měsíci

    Asante

  • @hazardfundymacapepa119

    Nsha allah

  • @azizadahiri4325
    @azizadahiri4325 Před 3 lety +2

    Please Shee naomba jibu

    • @majalahamisi168
      @majalahamisi168 Před 3 lety

      Shekh nimefurah saana kwa mada hii muhim saana kulingana na zama zetu

  • @mwanaijakarlsson2555
    @mwanaijakarlsson2555 Před 3 lety

    Manshallah
    Je kama anituzi kwa lolote lile

  • @azizadahiri4325
    @azizadahiri4325 Před 3 lety +1

    Asalam aleykum warahmatulahi wabarakatu Shee nauliza ivi je unaweza kupewa ruksa ya kuachwa na baba mkwe?yaani akupe talaka yeye badala ya mwanae?

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 Před 3 lety +1

    Chekh swali umejivuwa ndowa mume akakataa ile mahari unafanya jeee

  • @feswalsalim7909
    @feswalsalim7909 Před 3 lety

    Aslmk good mawatha

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Před 10 měsíci

    MashaAllah shkh naomba tel.. nbr..please

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 Před 3 lety

    Mwanamme anakutukana matusi yote mpaka ya nguoni na anasema nenda kahangaike na dunia talaka sikupi uwe mjane wa maisha

  • @maimunarashid4313
    @maimunarashid4313 Před 3 lety

    ASSALAMU ALEYKUM
    SHEKHE
    MIE NINASWALI......MIMI MIEOREWA NIKAISHI NDANI YA NDOA MIAKA 10...ALHAMDULILAH..NIKAOMBA TALAKA NIKAPEWA TALAKA MOJA
    NILIKUA SIAJAALIWA KUZAA NAE
    LKN ALIPO NIPA ILE TALAKA HAYAKUPITA HATA MASAA 2TUKAKUTANA KIMWILI
    LKN MIMI NIKAONDOKA NYUMBANI NILIPOENDA NYUMBANI NIKAPATA MWANAUME MWINGINE NIKABEBA UJAUZITO YULE MWANAUME ALONIACHA AKANIAMBIA LUDI WEWE BD NIMKE WANGU NIKAJIFUNGUA NIKALUDI NIKAKAA NAE TENA MIAKA 2 NIKAONDOKA HUU NIMWAKA 4 NIKO MBALI NAE JEE.....SHEKHE HAPO KUNA NDOA TENA?....MANA BADO ANANISUMBUA ETI MIMI BADO MKEWE

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 Před 3 lety +1

    Mashallah mie nazangu 3 ZA online wacha nipambane na hali 😂🤣🤣🤣😄

  • @TheAlman
    @TheAlman Před 3 lety +2

    Hahahahaaaaaaaaa kazi kwer kwer

  • @amahorofaridah519
    @amahorofaridah519 Před rokem

    😭😭😭😭subhanallah mimi naomba mnisaidie number ya sheikh

  • @nimomaryan1647
    @nimomaryan1647 Před rokem

    And ankutukana very time na kushuku very time unatebea na wanaume wengine please tell me Shaikh

  • @user-nv9gd6fz8m
    @user-nv9gd6fz8m Před 5 měsíci

    Assalam aleykum shekhe nisaidien hili cjapata msaada wowote mpaka sasa niliondoka Kwa mume wangu Kwa sababu mtoto alikuwa anaumwa na yeye anajua kama mtoto alikuw anaumw na nikamwambia akakubal na kutokana na mtoto alivyokuwa anaumw nikaend kwetu kutokana na yeye alishindwa kunisaidia matibabu na akawa ananiuliza tu kuhusu mtoto lakn alikuw Haj kumuon lakn akija uwa tunashurikian tendo la ndoa ila mwisho wa cku akawa ananitukana matus makubwa tu na ikapelekea kaamua KUMPA mwanamke mwingine ujauzito na Hali ya kuw ajanipa taraka na kaul yey ni kuniambia tu fata vitu vyako je ndoa yangu apo bado ipo au nifate vitu vyangu 🙏🙏🙏

    • @zuhoor-mc7hq
      @zuhoor-mc7hq Před 4 měsíci

      Ulimsikiliza shekh mwanzon kabisa ...alivyosem km hujapew talaka ww bado mke wa mtu ht mtengane miaka 30..bad ndoa ipo ...ila hayo ya matusi jitahidi kuwaambia wazee wako au kadhwi upate kujua nn anachopanga na ww mume wako...
      Na hiyo ambayo hakupatii mahitaji unaweza kujivua kwa kumpa mahari yake talaka khului ...

    • @faridaltamimi7454
      @faridaltamimi7454 Před měsícem

      Hajakupa talaka maswala ya huduma Hatoi, na kumpa mwanamke mngine mimba hayausiani,

  • @neykweyamba1784
    @neykweyamba1784 Před 2 lety

    Jamani 😭😭😭 Mie narudi kudai taraka ata kwajanga ama mikuki Anipe nimiaka zaidi ya 20 na kitu tangu tumetengana

  • @SihabaJuma-ij4sd
    @SihabaJuma-ij4sd Před 10 měsíci

    Asalam alaykum .jee kama kuapishana mukiwa wawilitu Pasi n Shahid Kwa kutoaminiana nayo pia Ni talaka ?

  • @user-jc4nb6co8w
    @user-jc4nb6co8w Před 2 měsíci

    Asalam alaykum shekhe mimi nina dada yangu alipewa talaka 1 mme wake akamlejea baada ya mwaka 1 mme akatoa tena taraka 1 ambayo jumla inakuwa talaka 2 dada yangu alikataa kukaa eda kwa mume wake alikuja nyumbani na mume alimnunulia sim kwa ajili ya mawasiliano lakin dada yangu alizima sim akawa hapatikan na dada yangu akasafili tena kwenda kwa dada yake bila mme wake kujua mme alikuwa anafanya jitihada ya kupata mawasiliano ya mwanamke wake lakin hakufanikiwa ila baada ya miez 4 mwanamke ndipo kamtafuta mume na mume akasema yeye bado n mke wake ,je ndoa hii bado ipo? Au imekufa naomba majibu

  • @mwanaheriwande2682
    @mwanaheriwande2682 Před 3 lety

    Asalaam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh je mwanamke akiondoka kwa sababu mume kaoa je apo ndoa inakuwepo au?

  • @mchilohasna7190
    @mchilohasna7190 Před 3 lety

    Shogawake ndo sheikh wake hata alif ba haijui🤗

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura Před 3 lety +1

    Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh

  • @frdausmwawughanga9047
    @frdausmwawughanga9047 Před 3 lety

    Shukran Kwa mafunzo MOLA akupe umri kuondoka shehe sio MTU kapenda maudhi yanazid kiukweli

  • @shamimnoor2284
    @shamimnoor2284 Před 3 lety

    Je Yule mwanamke baada ya kutengana na mme wake, kisha, aka za nje ya ndoa zaidi ya watoto watatu, je hiyo unasemaje

  • @eddynovic5551
    @eddynovic5551 Před rokem

    Assalam aleikum nina swali,mke anadai talaka kuachwa kulingana na shida anazo pata mume akasema sawa ntakupa talaka ila kuitoa talaka bado,mke akatoka nyumbni na kutengana nae kwa tendo la ndoa ila mume bado hataki kutoa talaka je ndoa ataivunja vpi kama mume hataki kutoa talaka anaisema tu kwa mdomo

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 Před 3 lety

    Admin ebu kata hiki kipande cha karibia na mwisho hicho cha mwanamke hata ukae miaka 100 mpka mwisho

  • @nimomaryan1647
    @nimomaryan1647 Před rokem

    Asc Shaikh kishki I want to ask you if someone tell you that I will give you divorce three times is he still you’re husband please tell me I want to now

  • @tifaabdullahi2733
    @tifaabdullahi2733 Před 3 lety

    Katika point ya 5 (kuapishana) ndoa ikishakwisha kisha mke akiwa ktk edda je mume huyo huyo yuwaweza kumregelea??

  • @keamohamedkhamis
    @keamohamedkhamis Před 3 měsíci

    kwa mke na mume lazima mpijie sim ajue kosa liko wapi

  • @amanaabdallah836
    @amanaabdallah836 Před 3 lety

    Je ukipewa talaka moja baadae ya mwezi mume aregee Tena lkn mke kiwa humtaki mume useme mm basi nakaa eda tuachane ni sawa

  • @shanikakwenda9630
    @shanikakwenda9630 Před 3 lety

    Ikoje hiyo

  • @fatmata9916
    @fatmata9916 Před 3 lety

    Asalamu alaikumu nataka mnambie kitukimja sas wakinamama bariyenda kuftafut maisha kwenye warabu bakatumika myaka miwiri wala myakamitat sas ndoa inavinjik wala ina endereya?🇧🇮🇧🇬

    • @qilil7
      @qilil7 Před 3 lety +1

      Hata bakae miaka 100 kama talaka haijatoka basi bado ndoa ipo

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 Před 3 lety

      Husikilizi sheikh alivyo Sema au..?....kwenda nje kufanya kazi na kukaa huko ndoa haivunjiki ‘ hata kama kabla ya kwenda Mlikorofishana ikiwa Talaka haijatoka iwe Kwa mdomo au maandishi au kuvunjwa na kadhi basi ndoa iko palepale hata ukae huko uarabuni miaka 111...!
      Ndoa bado Ipo ‘ Rudi Kwa mumeo au fuata taratibu ndoa ivunjwe...!

  • @h2mbili717
    @h2mbili717 Před 9 dny

    Hiyo ni talaka direct soma kuhusu masahaba walivyokuwa wakienda vitani waliekewa Sheria ya kuwa wasipitishe miezi minne bila kuwaona wake zao

  • @mirosasaromi6079
    @mirosasaromi6079 Před rokem

    Tupunguze matangazo...na haya wala sio matangazo...
    Introduction kbla ya kuanza kipindi ni kubwa jaman.. yaani dk 3 kweli jamani

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 Před 3 lety +2

    MIE STK ARUDI KBSA ALLAH AMPEPERUSHIE MBALI

    • @saay4273
      @saay4273 Před 3 lety

      Rehema Salimu @mungu anakuona

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 Před 3 lety

      @@saay4273 😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣 itikie dua

    • @saay4273
      @saay4273 Před 3 lety

      urudi tu

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 Před 3 lety

      @@saay4273 😂🤣🤣🤣

    • @bintkijangwa4305
      @bintkijangwa4305 Před 3 lety

      😃😃😃😃😃

  • @alicenirera392
    @alicenirera392 Před 2 lety

    Je mtoto mwenye mama atazaa kwa mume wapili bila kupewa na mume wakwanza uyo mtoto atalithi kwa baba gani ??

  • @pilidilunga2531
    @pilidilunga2531 Před 3 lety

    Wanaume ndio awatoi talaka kusudi kukukomoa na wanawake kutokana matatizo mbali mbali wanashndwa kufuatilia kuangua ndoa zao ndio inabidi wanaolewa bila kupata talaka

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 Před 3 lety

      Ni kosa zaidi kuolewa bila kuachwa....!...Mwanaume hata akikataa kutoa talaka nenda Kwa kadhi ‘ eleza tatizo nini’ Kadhi ana mamlaka ya kuvunja ndoa hata mume akikataa au kutokuja Kwa kadhi’....Tatizo leni wanawake hamfuati utaratibu mnashauriwa na mashoga’ Lkn milango iko wazi ‘ nendeni mkasaidiwe..!

  • @mazialihumako6024
    @mazialihumako6024 Před 3 lety +1

    Shehk usiwe mpaka uwalikwe fanya Kama umekosea ili uje tandahimba mimi binafsi sijakuona unatembellea tandahimba

  • @zuwena1zuwena114
    @zuwena1zuwena114 Před 3 lety

    Na kwa kazi ni masharti mengi na pesa za kufuatilia tunapata wapi shekhe

  • @feswalsalim7909
    @feswalsalim7909 Před 3 lety

    Yatege.meaaa kama ni kazi lakinii mimi nishapeana sawa

  • @lailatrajab6105
    @lailatrajab6105 Před 3 lety

    asalam alaykum je mume akikwambia kwaanzia leo ww sio mke wang inakuaj

  • @keamohamedkhamis
    @keamohamedkhamis Před 3 měsíci

    kadhi ata wezaje kutoa talaka bila kujua kuna makosa gani

  • @amahorofaridah519
    @amahorofaridah519 Před rokem

    Mimi nilienda mpaka kwa kadhi ila sikupata suluh yakitu chochote

  • @allyjumakukulo4972
    @allyjumakukulo4972 Před 3 lety +1

    Kama mwanamke akaomba kujivua mwanaume akakataa nn hukmu yake

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 Před 3 lety +1

      Anaweza kujivua Kwa sababu zilizo kisheria’ ila anatakiwa aende Kwa kadhi ili avunje hiyo ndoa ‘ Sio unajivua mwenyewe mtaani..!

  • @ramak.9587
    @ramak.9587 Před 3 lety

    Apo kwa kubadili dini pana changamoto kubwa sana. Kuna bint wa mchungaji nlisoma nae na saii mambo yashapamba moto ako tayari kuslim ila nafsi inansuta. Ikitokea tukiachana na tuna watoto akienda nao kwao nahic wataenda kanisa tu. Yaani apo pananikula kichwa.

    • @khadijamahmoud4365
      @khadijamahmoud4365 Před 3 lety +1

      Kwann ufikirie kumwacha badala ya kufkiria kumtendea wema mpaka iwe mfano kwawale wa upande wa pili. Jivunie kumuingiza mtu ktk uislam haswa mwanamke. Hiyo ni kher kubwa ndugu yangu jipambe na ucha mungu ili muishi kwa misingi ya dini hapo hakjna kuachana

    • @ramak.9587
      @ramak.9587 Před 3 lety

      @@khadijamahmoud4365 🙏🙏🙏🙏

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 Před 3 lety +1

    😂😂🤣🤣🤣🤣😂🤣😄 shehk nae kwa vibwagizo

  • @Zanha582
    @Zanha582 Před 2 měsíci

    Shekhe umetupaka kisawasawa acha tunyooke

  • @abedkarume9088
    @abedkarume9088 Před 3 lety

    Kumbe waduruma Mila yao inaakili mno...nanikatika Sheria yad Deen....mke kumkimbia mumewe na kwenda olewa mbali na kuzaa kumbe nimzinifu na watoto wote nimali ya Yule mumewe alomkimbia.

  • @SurprisedCheckeredFlags-hl9bx

    Je mume akisema ni mekuacha na Bado hajanipa talaka hadisasa

  • @jumasaumu5819
    @jumasaumu5819 Před 3 lety

    Naje kama mume uliondoka kwake hakushuhulikii, wafanyakazi nakulea watoto miaka minne. Akiitwa na kadhi Haji na alinioa Bure. Naalioa je nifanye je

  • @AshaAmani-nj5rn
    @AshaAmani-nj5rn Před rokem

    Je akikwambia mwenyewe kwamba kila mtu afate shunguli zake nakupa Uhuru ufanye kl ambacho wtk wewe

  • @haditvswahili4045
    @haditvswahili4045 Před 3 lety

    MADA : MADA : KAMA NI KWELI BWANA MTUME (S.A.W.W) ALI AINISHA KIONGOZI BAADA YAKE, KWA NINI MASWAHABA KARIBU WOTE WAMPE MKONO WA BAIIA ABUBAKAR
    czcams.com/video/O3LBEZLVtGg/video.html

  • @mwajumasadallah600
    @mwajumasadallah600 Před 3 lety

    Kwenye kuaminiana hapo mtihan

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 Před 3 lety

    Mada irejelewe maana tuna maswali mengi ya kuuliza

    • @salimonanopa132
      @salimonanopa132 Před rokem

      Asante shehe,naangalia kutoka Pemba mozambique "msumbiji"
      Mkewangu aliomba talaka na kabla yakumpa iyo talaka katoka nyumbani kaenda kwao bila talaka,tuna kama mwezi 6 ivi tango alipotoka

  • @shanikakwenda9630
    @shanikakwenda9630 Před 3 lety

    Kama hataki kukupa taraka anakwambia ukipata me olewa

    • @ismailyusuph740
      @ismailyusuph740 Před 3 lety

      Hutakiwi kukubali ‘ kama hataki kufuata taratibu basi Atamke tu ‘ NIMEKUACHA’ au WW SI MKE WANGU ‘ hapo itakua kakuacha’ ...!...Lkn hataki tu kama hataki usikubali nenda Kwa kadhi au Kwa wanachuoni ili wamuulize’ Na hata akikataa basi utaulizwa sababu za kutaka mtengane ‘ ikiwa kisheria ndoa itavunjwa hata asipokuwepo...!

  • @halimashueib1938
    @halimashueib1938 Před rokem

    Asalamu alekum sheikh mimi mume wangu menipa talaka lakini aja sema amenipa talaka moja ama tatu na sasa tuko wezi nane anataka turudiane kweli kuna uzekano tunaweza rudiana.asante sheikh

    • @wardah7547
      @wardah7547 Před rokem

      Haiwezekani mpk akuoe tena

    • @fatmaharun1210
      @fatmaharun1210 Před 9 měsíci

      Asalam Aleikum. Ikiwa alikupa talaka kisha ukamaliza eda na sahi anakutaka tena bac inabidi alipie tena mahari na mufunge tena nikah.bora isiwe ni talaka tatu