#LIVE
Vložit
- čas přidán 17. 06. 2021
- #LIVE: JE, MKE NA MUME WAKITENGANA KWA MUDA MREFU NI TALAKA? - FADHAKKIR
MUBASHARA: KUANZIA SAA 3:30 USIKU (KIGOMA, TANZANIA)
MUHADHIR WA KIMATAIFA SHEIKH NURDEEN KISHK
CZcams: / @kishkionlinetv
Facebook: / sheikhnurdinkishki
Twitter: https:/T/ sheikh_kishk
Instagram: / sheikh_nurdeen_kishk
"Mashaallah shekh wetu Allah akueke kwakutupa somo la muhimu sana, Maneno yamenipa somo kubwa sana...shukran shekh wetu twakupenda kwa ajili ya Allah"
czcams.com/video/0TtuuMjFvNo/video.html
Mashaallah ALLA akupe uzima,nguvu, na hekma akupe busara, Allah atupe umoja wa kupendana katika njia yake hadi peponi...
Allah atuongoze in shaa Allah
Allah awaeke mashekh wetu na Awalinde.
Aamiin
Amiiin
Amin yarab AL Amiin
Amini... Mungu akuhifadhi shekhe wetu kishk akuzidishe ilmu Mungu akupe umeri mwema na maisha mema inshaallah ..kutoka Kenya khadija said Nahdi mld
Shukran shekhe wetu allah akuifadhi, iliswala mimi pia nimuwanga ila mimi shekhe mwanaume ali nitelekeza nasijui maka leo alipo au anakoishi mwaka wasaba uu jee nibado mume wangu naojibu shekhe wangu na kupenda kwajili ya allah
*Mtafute kadhi mwanachuoni mwenye elimu yake ya Dini umueleze yeye anajukumu*
ManshaAllah Kutoka mwanza Nakufutilia sana Allah Akujaalie
Mada nilikuwa nzuri sana shukrani sheikh pamoja na Admin tunaomba irundiweeeee ilikuwa fupi saan
Masha allah tabaraqallah shekhe mungu akuhifadhi duniani na kesho aghera Amiin
Mashala shekhe wetu mungu akujaze kilalakher
Shukuln sana sheikh hakika najifunza mengi Sana kupitia ww hata nikija kuolewa sitohangaika mashaallah 😘
Ushaolewa dada?
@Hamisi-ks 1sy😅😅😅😅
Shukran Sana shekh wetu jazakallahu kheiran
MashaaAllah MashaaAllah Shukran jazzilan sheikh
MashaAllah masheikh Allah awahifadhi
Masha Allah ❤❤wallah nakupata shekh
Masha Allah,Masha Allah shukran shekh
Shekhe mm😢😢
Mada hii shekhe imenigusa sana maashaallah
Asante sana mwenyezimngu akufanyie wepes ktk mihathara
MashaAllah sheikh Allah akulipe heri Inshaallah
MashaAllah nakupenda sheikh kwa ajili ya Allah
Kenya uenda pia in sha Allah maana ulikupeza 2020 February nilipokua kenya
Shuklani shehe wetuu Allah akuweke mpaka uzeen uwape dawa mpa vizazi vijavyo Amin🙏🙏🙏
Mashaallah
maashaallah
Shukrani sana MUNGU akulipe heri
Isha allah shehe Kishki shehe wetu wambie awo mashoga wanao toa talaka bila kujua dini ina semaj❤
Amina inshallah mwenyezimungu atawalinda
Shukrani chekh
Mashalaaa karibu kwetu kigoma
Masha Allah shukran jazakilau khair
Jazaka Allah kheir
Mashaaallh ni kweli kabisa unayoyasema shekh
Shukran wa jazzaka Allah khair
mashaAllah mungu akuzidishie na pia nina swali shekh ni ipi hukmu ya mume kumpa ruhusa mkewe kwenda mbali nae kama vile arabuni
JAZAKALLAH KHAIR
shukran shekhe kiishik tumenufaika
shukran sana shehe mola akupe afia njema
Shukran sana sheikh
Maash Allah jazakallah kheir
Masha allah tabaraka allah allah akuruzuku jannat naeem
Masha allah Masha Allah
Shukran sana
Ma shaa Allah
Waleykm salaam warahmatulillah wabarakat
Masha Allah Shukraan
hayo mazingira mimi nimeyapenda soo natural thanks
Mazingira tu
Masha Allah! sheikh wangu Burundi huji ?
Asante
Nsha allah
Please Shee naomba jibu
Shekh nimefurah saana kwa mada hii muhim saana kulingana na zama zetu
Manshallah
Je kama anituzi kwa lolote lile
Asalam aleykum warahmatulahi wabarakatu Shee nauliza ivi je unaweza kupewa ruksa ya kuachwa na baba mkwe?yaani akupe talaka yeye badala ya mwanae?
Chekh swali umejivuwa ndowa mume akakataa ile mahari unafanya jeee
Aslmk good mawatha
MashaAllah shkh naomba tel.. nbr..please
Mwanamme anakutukana matusi yote mpaka ya nguoni na anasema nenda kahangaike na dunia talaka sikupi uwe mjane wa maisha
ASSALAMU ALEYKUM
SHEKHE
MIE NINASWALI......MIMI MIEOREWA NIKAISHI NDANI YA NDOA MIAKA 10...ALHAMDULILAH..NIKAOMBA TALAKA NIKAPEWA TALAKA MOJA
NILIKUA SIAJAALIWA KUZAA NAE
LKN ALIPO NIPA ILE TALAKA HAYAKUPITA HATA MASAA 2TUKAKUTANA KIMWILI
LKN MIMI NIKAONDOKA NYUMBANI NILIPOENDA NYUMBANI NIKAPATA MWANAUME MWINGINE NIKABEBA UJAUZITO YULE MWANAUME ALONIACHA AKANIAMBIA LUDI WEWE BD NIMKE WANGU NIKAJIFUNGUA NIKALUDI NIKAKAA NAE TENA MIAKA 2 NIKAONDOKA HUU NIMWAKA 4 NIKO MBALI NAE JEE.....SHEKHE HAPO KUNA NDOA TENA?....MANA BADO ANANISUMBUA ETI MIMI BADO MKEWE
Mashallah mie nazangu 3 ZA online wacha nipambane na hali 😂🤣🤣🤣😄
Hahahahaaaaaaaaa kazi kwer kwer
😭😭😭😭subhanallah mimi naomba mnisaidie number ya sheikh
And ankutukana very time na kushuku very time unatebea na wanaume wengine please tell me Shaikh
Assalam aleykum shekhe nisaidien hili cjapata msaada wowote mpaka sasa niliondoka Kwa mume wangu Kwa sababu mtoto alikuwa anaumwa na yeye anajua kama mtoto alikuw anaumw na nikamwambia akakubal na kutokana na mtoto alivyokuwa anaumw nikaend kwetu kutokana na yeye alishindwa kunisaidia matibabu na akawa ananiuliza tu kuhusu mtoto lakn alikuw Haj kumuon lakn akija uwa tunashurikian tendo la ndoa ila mwisho wa cku akawa ananitukana matus makubwa tu na ikapelekea kaamua KUMPA mwanamke mwingine ujauzito na Hali ya kuw ajanipa taraka na kaul yey ni kuniambia tu fata vitu vyako je ndoa yangu apo bado ipo au nifate vitu vyangu 🙏🙏🙏
Ulimsikiliza shekh mwanzon kabisa ...alivyosem km hujapew talaka ww bado mke wa mtu ht mtengane miaka 30..bad ndoa ipo ...ila hayo ya matusi jitahidi kuwaambia wazee wako au kadhwi upate kujua nn anachopanga na ww mume wako...
Na hiyo ambayo hakupatii mahitaji unaweza kujivua kwa kumpa mahari yake talaka khului ...
Hajakupa talaka maswala ya huduma Hatoi, na kumpa mwanamke mngine mimba hayausiani,
Jamani 😭😭😭 Mie narudi kudai taraka ata kwajanga ama mikuki Anipe nimiaka zaidi ya 20 na kitu tangu tumetengana
Asalam alaykum .jee kama kuapishana mukiwa wawilitu Pasi n Shahid Kwa kutoaminiana nayo pia Ni talaka ?
Asalam alaykum shekhe mimi nina dada yangu alipewa talaka 1 mme wake akamlejea baada ya mwaka 1 mme akatoa tena taraka 1 ambayo jumla inakuwa talaka 2 dada yangu alikataa kukaa eda kwa mume wake alikuja nyumbani na mume alimnunulia sim kwa ajili ya mawasiliano lakin dada yangu alizima sim akawa hapatikan na dada yangu akasafili tena kwenda kwa dada yake bila mme wake kujua mme alikuwa anafanya jitihada ya kupata mawasiliano ya mwanamke wake lakin hakufanikiwa ila baada ya miez 4 mwanamke ndipo kamtafuta mume na mume akasema yeye bado n mke wake ,je ndoa hii bado ipo? Au imekufa naomba majibu
Asalaam Aleykum Warahmatullah Wabarakatuh je mwanamke akiondoka kwa sababu mume kaoa je apo ndoa inakuwepo au?
Shogawake ndo sheikh wake hata alif ba haijui🤗
Assalam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Waaleykumssalam warahmatullahi wabarakatuh
waaleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Waaykum salam warahmatullah wabarakatuh
Shukran Kwa mafunzo MOLA akupe umri kuondoka shehe sio MTU kapenda maudhi yanazid kiukweli
Je Yule mwanamke baada ya kutengana na mme wake, kisha, aka za nje ya ndoa zaidi ya watoto watatu, je hiyo unasemaje
Assalam aleikum nina swali,mke anadai talaka kuachwa kulingana na shida anazo pata mume akasema sawa ntakupa talaka ila kuitoa talaka bado,mke akatoka nyumbni na kutengana nae kwa tendo la ndoa ila mume bado hataki kutoa talaka je ndoa ataivunja vpi kama mume hataki kutoa talaka anaisema tu kwa mdomo
Admin ebu kata hiki kipande cha karibia na mwisho hicho cha mwanamke hata ukae miaka 100 mpka mwisho
Asc Shaikh kishki I want to ask you if someone tell you that I will give you divorce three times is he still you’re husband please tell me I want to now
Katika point ya 5 (kuapishana) ndoa ikishakwisha kisha mke akiwa ktk edda je mume huyo huyo yuwaweza kumregelea??
kwa mke na mume lazima mpijie sim ajue kosa liko wapi
Je ukipewa talaka moja baadae ya mwezi mume aregee Tena lkn mke kiwa humtaki mume useme mm basi nakaa eda tuachane ni sawa
Ikoje hiyo
Asalamu alaikumu nataka mnambie kitukimja sas wakinamama bariyenda kuftafut maisha kwenye warabu bakatumika myaka miwiri wala myakamitat sas ndoa inavinjik wala ina endereya?🇧🇮🇧🇬
Hata bakae miaka 100 kama talaka haijatoka basi bado ndoa ipo
Husikilizi sheikh alivyo Sema au..?....kwenda nje kufanya kazi na kukaa huko ndoa haivunjiki ‘ hata kama kabla ya kwenda Mlikorofishana ikiwa Talaka haijatoka iwe Kwa mdomo au maandishi au kuvunjwa na kadhi basi ndoa iko palepale hata ukae huko uarabuni miaka 111...!
Ndoa bado Ipo ‘ Rudi Kwa mumeo au fuata taratibu ndoa ivunjwe...!
Hiyo ni talaka direct soma kuhusu masahaba walivyokuwa wakienda vitani waliekewa Sheria ya kuwa wasipitishe miezi minne bila kuwaona wake zao
Tupunguze matangazo...na haya wala sio matangazo...
Introduction kbla ya kuanza kipindi ni kubwa jaman.. yaani dk 3 kweli jamani
MIE STK ARUDI KBSA ALLAH AMPEPERUSHIE MBALI
Rehema Salimu @mungu anakuona
@@saay4273 😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣 itikie dua
urudi tu
@@saay4273 😂🤣🤣🤣
😃😃😃😃😃
Je mtoto mwenye mama atazaa kwa mume wapili bila kupewa na mume wakwanza uyo mtoto atalithi kwa baba gani ??
Wanaume ndio awatoi talaka kusudi kukukomoa na wanawake kutokana matatizo mbali mbali wanashndwa kufuatilia kuangua ndoa zao ndio inabidi wanaolewa bila kupata talaka
Ni kosa zaidi kuolewa bila kuachwa....!...Mwanaume hata akikataa kutoa talaka nenda Kwa kadhi ‘ eleza tatizo nini’ Kadhi ana mamlaka ya kuvunja ndoa hata mume akikataa au kutokuja Kwa kadhi’....Tatizo leni wanawake hamfuati utaratibu mnashauriwa na mashoga’ Lkn milango iko wazi ‘ nendeni mkasaidiwe..!
Shehk usiwe mpaka uwalikwe fanya Kama umekosea ili uje tandahimba mimi binafsi sijakuona unatembellea tandahimba
Inshallah atakuja tu kwetu🙏
Na kwa kazi ni masharti mengi na pesa za kufuatilia tunapata wapi shekhe
Yatege.meaaa kama ni kazi lakinii mimi nishapeana sawa
asalam alaykum je mume akikwambia kwaanzia leo ww sio mke wang inakuaj
kadhi ata wezaje kutoa talaka bila kujua kuna makosa gani
Mimi nilienda mpaka kwa kadhi ila sikupata suluh yakitu chochote
Kama mwanamke akaomba kujivua mwanaume akakataa nn hukmu yake
Anaweza kujivua Kwa sababu zilizo kisheria’ ila anatakiwa aende Kwa kadhi ili avunje hiyo ndoa ‘ Sio unajivua mwenyewe mtaani..!
Apo kwa kubadili dini pana changamoto kubwa sana. Kuna bint wa mchungaji nlisoma nae na saii mambo yashapamba moto ako tayari kuslim ila nafsi inansuta. Ikitokea tukiachana na tuna watoto akienda nao kwao nahic wataenda kanisa tu. Yaani apo pananikula kichwa.
Kwann ufikirie kumwacha badala ya kufkiria kumtendea wema mpaka iwe mfano kwawale wa upande wa pili. Jivunie kumuingiza mtu ktk uislam haswa mwanamke. Hiyo ni kher kubwa ndugu yangu jipambe na ucha mungu ili muishi kwa misingi ya dini hapo hakjna kuachana
@@khadijamahmoud4365 🙏🙏🙏🙏
😂😂🤣🤣🤣🤣😂🤣😄 shehk nae kwa vibwagizo
😂😂😂Umeonaee
Shekhe umetupaka kisawasawa acha tunyooke
Kumbe waduruma Mila yao inaakili mno...nanikatika Sheria yad Deen....mke kumkimbia mumewe na kwenda olewa mbali na kuzaa kumbe nimzinifu na watoto wote nimali ya Yule mumewe alomkimbia.
Je mume akisema ni mekuacha na Bado hajanipa talaka hadisasa
Naje kama mume uliondoka kwake hakushuhulikii, wafanyakazi nakulea watoto miaka minne. Akiitwa na kadhi Haji na alinioa Bure. Naalioa je nifanye je
Je akikwambia mwenyewe kwamba kila mtu afate shunguli zake nakupa Uhuru ufanye kl ambacho wtk wewe
MADA : MADA : KAMA NI KWELI BWANA MTUME (S.A.W.W) ALI AINISHA KIONGOZI BAADA YAKE, KWA NINI MASWAHABA KARIBU WOTE WAMPE MKONO WA BAIIA ABUBAKAR
czcams.com/video/O3LBEZLVtGg/video.html
Kwenye kuaminiana hapo mtihan
Mada irejelewe maana tuna maswali mengi ya kuuliza
Asante shehe,naangalia kutoka Pemba mozambique "msumbiji"
Mkewangu aliomba talaka na kabla yakumpa iyo talaka katoka nyumbani kaenda kwao bila talaka,tuna kama mwezi 6 ivi tango alipotoka
Kama hataki kukupa taraka anakwambia ukipata me olewa
Hutakiwi kukubali ‘ kama hataki kufuata taratibu basi Atamke tu ‘ NIMEKUACHA’ au WW SI MKE WANGU ‘ hapo itakua kakuacha’ ...!...Lkn hataki tu kama hataki usikubali nenda Kwa kadhi au Kwa wanachuoni ili wamuulize’ Na hata akikataa basi utaulizwa sababu za kutaka mtengane ‘ ikiwa kisheria ndoa itavunjwa hata asipokuwepo...!
Asalamu alekum sheikh mimi mume wangu menipa talaka lakini aja sema amenipa talaka moja ama tatu na sasa tuko wezi nane anataka turudiane kweli kuna uzekano tunaweza rudiana.asante sheikh
Haiwezekani mpk akuoe tena
Asalam Aleikum. Ikiwa alikupa talaka kisha ukamaliza eda na sahi anakutaka tena bac inabidi alipie tena mahari na mufunge tena nikah.bora isiwe ni talaka tatu