Makundi ya kigaidi yatumia mbinu ya ushawishi mitandaoni

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Vitengo vya usalama katika eneo la Pwani sasa vinachunguza baadhi ya mitandao ya kijamii inayoaminika kutumiwa kuwashawishi vijana kujiunga na makundi ya kigaidi. Idara za usalama zimetaja kaunti za Kwale na Lamu kuwa kwenye darubini kali kuhusu idadi ya watu wanaodaiwa kujiunga na makundi haya.

Komentáře • 2