JINSI YA KUWATUMIA MAJINI ILI WAKUPE MAISHA YA KIFAHARI YENYE PESA NYINGI NA RAHA KUFURUUU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 43

  • @shaban6644
    @shaban6644 Před měsícem

    Ushirikina Mtupu,
    Hawa ndio wafuwasi wa Shaitwani Wanaowavuta Wengine Kwenye Njia iliyopotea. Allah atuepushe na mioyo ya Tamaa.

  • @leahsipasha
    @leahsipasha Před 10 dny

    Hi, nataka utajiri plz

  • @omarymuya142
    @omarymuya142 Před 3 měsíci +2

    Tatizo ujibu meseji doni shafi

  • @MusaMsigala
    @MusaMsigala Před měsícem

    Anapatikana wap

  • @Charles-ne9ub
    @Charles-ne9ub Před 2 měsíci

    Umetisha kaka

  • @user-bl4vy5bo4f
    @user-bl4vy5bo4f Před měsícem

    A T M iyoo😂

  • @shaxshafii6029
    @shaxshafii6029 Před 3 měsíci +1

    🙏🏻🙏🏻shukran🤝🏻

  • @MussaYusto
    @MussaYusto Před 3 měsíci +1

  • @deniskabakama9820
    @deniskabakama9820 Před 3 měsíci +2

    I'm the first one

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx Před 2 měsíci

    Sawa Sawa kbx ustadhu hiyo Pete Mtuu anayipata wapi

  • @JudithKagina
    @JudithKagina Před měsícem

    Nataka utajiri

  • @solokahashim
    @solokahashim Před 3 měsíci +1

    Sikupingi mimi

  • @abdul-kadiraly9312
    @abdul-kadiraly9312 Před 3 měsíci

    kitabu bei gani kaka

  • @epkkunyumbabrothers293
    @epkkunyumbabrothers293 Před 3 měsíci +1

    nahitaji kitabu nitakipata vipi na mimi nipo Tunduma??

  • @user-ty3md8sd6q
    @user-ty3md8sd6q Před 3 měsíci +1

    Kaka Asante sana naomba mtawasiliano yako niko Mwanza

  • @AbrahamManzi-db4gx
    @AbrahamManzi-db4gx Před 2 měsíci

    Kwaje hivyo vifaa vingine vinapatikana huko Pete atapatikana wapi ? Ao Ni Pete tu yeyote?

  • @shabzabdi4923
    @shabzabdi4923 Před 3 měsíci

    Dr.shafi don sasa tunataka kubook appointment lakini hujibu messages

  • @achawanunetv1167
    @achawanunetv1167 Před 3 měsíci

    Mimi naona kama pesa ako anazitowa kwenye hicho kisanduku che upe

  • @NestoryJuma-or5yh
    @NestoryJuma-or5yh Před 3 měsíci

    Ila shafhi ninamambo mengi yakukwambia juu ya awho matapeli kaka naitaji kuwasiliana nawew mimi nipo mbeya

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před 3 měsíci

    La! Uislamu na majini na uganga hamjambo!!

  • @ALIALI-ob5vb
    @ALIALI-ob5vb Před 3 měsíci +2

    Maneno gani huwa unatamka

    • @user-sm1nc3wl9b
      @user-sm1nc3wl9b Před měsícem

      Mwizi tu huyu hata cm hapoiei anajifanyaga yuko bize...afundishi Bali anajiblandi ili spate wajinga awataperi

    • @user-sm1nc3wl9b
      @user-sm1nc3wl9b Před měsícem

      Uyo ni tapering sana

  • @user-ec3uk7br2z
    @user-ec3uk7br2z Před 3 měsíci

    Ukiwa mwislam lazima

  • @DulahAndrew
    @DulahAndrew Před 3 měsíci

    Ni sawa lkn amwelezei hasa sili alisi Kwa maana ya masharit na matatizo yake na ubaya ya hayo mnayowafanyia wateja wenu. Mazala yanayo wakumba watu hao baada ya kulisishwa au kuiigia mikataba. Isipokuwa mnakuja Kwa kujionyeshaonyesha JuJu tu kanakwamba Ni kirahisiraisi tu kumbe mikataba yenyewe ni majanga matupu tu.

    • @boazjoseph6372
      @boazjoseph6372 Před 3 měsíci

      Mkataba wowote ni lazima uwe na sehem zote mbili faida na madhara So hapo akili kichwani mwako

    • @SylvestreNtirampeba-yu3gx
      @SylvestreNtirampeba-yu3gx Před 3 měsíci

      Pambana bro hakuna pesa raisi hâta yasio kuwa ya Kwa munganga kuipata ina masharti

    • @georgenjeri8547
      @georgenjeri8547 Před 3 měsíci

      ​@@SylvestreNtirampeba-yu3gxNaam Swadakta

    • @abdul-kadiraly9312
      @abdul-kadiraly9312 Před 3 měsíci

      @@boazjoseph6372 mambo vp kaka

    • @User92.invisible
      @User92.invisible Před 3 měsíci

      Ni kweli hawa jamaa Hadi kufirwa wanafirwa na majini.

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 Před 3 měsíci +1

    Mmmmmmmmmmmmmmmmmh

  • @JorobiGagarinan
    @JorobiGagarinan Před 3 měsíci

    Nataka mali

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Před měsícem

    Kauli zako mbovu ukipigiwa simu tampeli mkubwa

  • @mkarawizemtasher4897
    @mkarawizemtasher4897 Před 3 měsíci

    We hata usipoonekana Sawa tu, maana M/mungu ktk qur an alishawaita washirikina ni najisi, sasa najisi si uchafu!? Mshirikina wa mitandaoni huyo na mdanganyifu kama mashetani watokao na majini.

    • @SylvestreNtirampeba-yu3gx
      @SylvestreNtirampeba-yu3gx Před 3 měsíci

      Kweli huna akili pumbavu nani kakuita hapa wewe unafahamu dini kutu zidi 😂😂😂 watu wana jifanya ujinga naumasikini unawa uwa

    • @mkarawizemtasher4897
      @mkarawizemtasher4897 Před 3 měsíci

      @@SylvestreNtirampeba-yu3gx Kwani mbona tangu upo mdogo mpaka unamaliza elimu zako ulikuwa ukipata rizika ambayo M/mungu amekukadiria na hakuwa na lolote, Ila sasa uko mtaani mnakutana na wadanganyifu kama hawa mnataka kumkwaza aliewaumben, je unajua ni dhumuni gani walionalo majini/mashetani Kwa wanadamu!? Na je umesoma vitabu vitukufu vya M/mungu alichokisema, ya lengo la viumbe hao juu yetu, hao hawana lengo zuri na hawana jema we nenda usome ndio utajua bila hivyo utaendelea kubisha usichojua, alafu itakuwa fujo.

    • @georgenjeri8547
      @georgenjeri8547 Před 3 měsíci +1

      Kuna nini tena,Mbona manenomaneno jamaa?Ebu tutulieni na Mwenyezi Mungu atabaki kuwa Mwenyezi Mungu