Huku mbagala tunacheza ps5 nusu saa kwa 2000 tv Tv nchi 65... Nyie 5000 daah mnauwa bendi punguzeni kidogo hamna hasara mtayopata mtaongeza tu idadi ya wachezaji ni watu wachache sana wanaweza kuafford 5000 kwa nusu sana.
Camera man. Kazingua hatushibishi matukio. Anafocus na kukuzum Sana. Yan huwez amin uzur unaouona ww sis hatujauona hta kidogo na sehem inaonekana Kali kwel Kwa Jins unavyoilezea.....emb kama inawezekana fnya tour tena bhna
Kuna mda unafungu mlango wa VIP ps5 dah jamaa ndo kayumba kwel mlango wenyew wa pc 5 inaonekana nusu Kwa kwenda juu kaingia ndan ya chumba kile TV kubwa iko karibu na yey kaizum knoma dah co poa kazngua
Kwenye tour bhna inabid ishibishwe mandhari ya eneo usika na camera man anaefnya tour inabid atulie Sana. Mana sometime ujumbe unavyokuja kwetu co kma snash Jins unavyoilezea......tuko pamoja tanks sna .....ila nakukubali sna Kaka......mi napenda kukuita JINI
Bomba sana brooo wapewe heshima zao 💯💯💯💯💯
Like yako leo snash
🔥 only one in 🇹🇿 snatch keep moving
I dream Something like This Soon Inshllh 🙏
Dah hapa jamaa wamefanya investment kubwa sana! Hela nyingi imemwagika hapa kuwekeza!! Bybthe way hongera
Bei ya ps 5 ni tsh ngap
Hello snash. Naitwa ally , nawezaje kupata joystick kwa ajili ya kucheza game za kurusha ndege . Kama vile microsoft fligght simulator
Tuko kijijin huku. Ila unatusanua. Kinoma noma. Thanks bro kwa maujanja
Ahhhh ni noma mzee
We jamaa Nakuona mbali Kaka unatusaidia kuelewa vitu vingi Sana unaposimulia Hasa movies 🔥🔥🔥
Game zone wametisha...the best place to be
Kuna video ulizungumzia PS5 kwenye duka fulani hivi wanauza lkn hukutana bei yake naomba nijue bei yake kaka please .
bonge la investment bro
Noma sana 🔥
Hapo vip izo nyaya cjapenda nipen kaz ya kuhide izo nyaya apo😁😁
Good Good Good 👍........
God of war ps5 VP and gta ps5 Resident Evil ps5 zapatikana nathani bro game Kali Sana all the time wazee wangumu kumeza zinatufaa😈😈😎😎
Kweli bor nikuzuli
Nakubalii
Huku mbagala tunacheza ps5 nusu saa kwa 2000 tv Tv nchi 65... Nyie 5000 daah mnauwa bendi punguzeni kidogo hamna hasara mtayopata mtaongeza tu idadi ya wachezaji ni watu wachache sana wanaweza kuafford 5000 kwa nusu sana.
kodi wanayolipa hapo bro sio mchezo
Let me Save This
noma
Yani natamani ata ingekuepo home Zanzibar nisingekosa kwa wiki japo mara moja
Snash pendera inaanza kupepea tanzania
Bro naomba uzungumzue kuhusu Udemy
Jamani wameentertain na lazima watishe kila ila si wajuba tuliozoea kucheza kwa buku au elfu 2 lazma tukonde
Upo Mbele Ya Muda Bro
BRO VIP, KUHUSU SQUID GAME
Kuna parking?
Camera man. Kazingua hatushibishi matukio. Anafocus na kukuzum Sana. Yan huwez amin uzur unaouona ww sis hatujauona hta kidogo na sehem inaonekana Kali kwel Kwa Jins unavyoilezea.....emb kama inawezekana fnya tour tena bhna
Hey bro snash kuna movie nimeiyona trailer inaitwa squidgame naomba uicheki udondoke nayo bhana
Kelele za kitajiri izo sio poa izo bei
Bonge Moja la kitu
#snashtz tunasikia habari za Whatsaap kufungiwa kwenye baadhi ya simu hii ikoje!!!
#techinswahili
Big up👊🌠🎉🔥
Yakijanja
Kuna mda unafungu mlango wa VIP ps5 dah jamaa ndo kayumba kwel mlango wenyew wa pc 5 inaonekana nusu Kwa kwenda juu kaingia ndan ya chumba kile TV kubwa iko karibu na yey kaizum knoma dah co poa kazngua
Unatumia camera gani? Bro
Kwenye ps5 ndo wamenikosha
Natamani ufanye kama #jerryrigeverything
Weeeee jerry yule sio mtu ni jini anajua kila kitu😂😂😂
vr sh ngp?
hapo lazm uwe na hel ambayo hain kazi
😂😂😂
Umaskini ni kitu kibaya sana kiukweli daaah
Kwenye tour bhna inabid ishibishwe mandhari ya eneo usika na camera man anaefnya tour inabid atulie Sana. Mana sometime ujumbe unavyokuja kwetu co kma snash Jins unavyoilezea......tuko pamoja tanks sna .....ila nakukubali sna Kaka......mi napenda kukuita JINI
VIPI UKICHEZA GAME ZA MISSION HALAFU UKAISHIA NJIANI JE??KUNA UWEZEKANO UKARUHUSIWA KUSAVE ?? @snash