🚨Usajili Mpya Yanga,Duke abuya,Je ni Usajili sahihi kwa upande wa Yanga,Ataongeza?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024
  • #football #ahmedally #alikamwe #simba #simbaislive #simbatanzania #yangafc #yangasc #yangatv #youtube

Komentáře • 19

  • @suleimanmwenyemvua995
    @suleimanmwenyemvua995 Před 26 dny +1

    Wachambuzi... bado mtaielewa tu YANGA... Kwani Yanga ilipata shidaa wakati wa lipoumia wachezaji wake.ndiyo maana ya usajili huo

  • @alexanderfute4559
    @alexanderfute4559 Před 26 dny +1

    Ikumbukwe haya ni mapemdekezo ya kocha na ndio alimhitaji

  • @AshimuMuhammad
    @AshimuMuhammad Před 27 dny +8

    Huyu nasri anajua kuichambua lkn muda mwingine hajielew ikumbukwe tu kuwa gamond haitaji winga pasee anataka kiungo ndyo atumeke pembeni mbona hamuelewi tu we huoni km hao mawinga wenyewe wenye spid wanaachwa km okra sa nyie mnachumbua nn wakat mwalim ndyo anapendekeza matakwa yake

  • @user-qi3wv8sf5j
    @user-qi3wv8sf5j Před 26 dny +2

    Sio KWELI,duke ni winga WEWE wa pande zote,Sifa yake KUBWA ni pumzi na kukaba

  • @user-gh6vc9or3v
    @user-gh6vc9or3v Před 27 dny +1

    Nyiee sio kocha wa yanga hamjui walichoona

  • @worldherotv
    @worldherotv Před 26 dny +1

    Wachambuzi wa kisasa hawana mambo ya namba ten sijui six tena

  • @danielmsoma4741
    @danielmsoma4741 Před 25 dny

    HAYAWAHUSU

  • @RashidiNyinza
    @RashidiNyinza Před 26 dny +1

    😢uyu nasri wachezaj wa yanga wote anawatilia mashaka sjajua kwann atuambie labda alitaka yanga anamsajili nan

  • @tabumayuhana47
    @tabumayuhana47 Před 27 dny +1

    Nasri anashida na Yanga huyo!!!

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 Před 26 dny

    NASRI sometimes unazingua uyo Kacheza winga

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 Před 25 dny

    Mchambuz hii redio kwa sasa ni ambangile

  • @dr.edmundbmgeni486
    @dr.edmundbmgeni486 Před 26 dny +1

    Naamini benchi la ufundi la Yanga wako very strategic. Wachambuzi chungeni maneno yenu. Siku Moja mnaweza jikuta mnatamani kuacha uchambuzi. Mtamwelewa tu Gamond, just wait.

  • @mwalimmwalim545
    @mwalimmwalim545 Před 27 dny +1

    Ukweli ni kwamba kuja kwa Boka kunamfanya Gamondi asitegemee mawinga, kwa sababu watatumia wingbacks badala ya full backs. Maana yake ni kwamba viungo washambuliaji watatumika sana. Huyu ni mmojawapo, ambaye pia anacheza nafasi nyingi nyengine, yaani Kiraka kama Pacome.

  • @ladislausmakarious2023

    Jfdd 18:42 😊ds

  • @dr.edmundbmgeni486
    @dr.edmundbmgeni486 Před 26 dny

    Yanga msimu huu anachukua Makombe yote ya Ndani. CAF champions league Yanga anacheza Nusu finali. Keep in mind this, you will remember.

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 24 dny

    Nina imani kubwa na Duke Abuya!

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 Před 25 dny

    Huyo nasri muongo.. abuya ni winga ya kushoto hata kenya anachezaga hivyo. Japo namba 10 anaweza kuicheza

  • @peterchande957
    @peterchande957 Před 27 dny

    Hakukuwa na haja 1:12