Huyu nasri anajua kuichambua lkn muda mwingine hajielew ikumbukwe tu kuwa gamond haitaji winga pasee anataka kiungo ndyo atumeke pembeni mbona hamuelewi tu we huoni km hao mawinga wenyewe wenye spid wanaachwa km okra sa nyie mnachumbua nn wakat mwalim ndyo anapendekeza matakwa yake
Naamini benchi la ufundi la Yanga wako very strategic. Wachambuzi chungeni maneno yenu. Siku Moja mnaweza jikuta mnatamani kuacha uchambuzi. Mtamwelewa tu Gamond, just wait.
Ukweli ni kwamba kuja kwa Boka kunamfanya Gamondi asitegemee mawinga, kwa sababu watatumia wingbacks badala ya full backs. Maana yake ni kwamba viungo washambuliaji watatumika sana. Huyu ni mmojawapo, ambaye pia anacheza nafasi nyingi nyengine, yaani Kiraka kama Pacome.
Wachambuzi... bado mtaielewa tu YANGA... Kwani Yanga ilipata shidaa wakati wa lipoumia wachezaji wake.ndiyo maana ya usajili huo
Ikumbukwe haya ni mapemdekezo ya kocha na ndio alimhitaji
Huyu nasri anajua kuichambua lkn muda mwingine hajielew ikumbukwe tu kuwa gamond haitaji winga pasee anataka kiungo ndyo atumeke pembeni mbona hamuelewi tu we huoni km hao mawinga wenyewe wenye spid wanaachwa km okra sa nyie mnachumbua nn wakat mwalim ndyo anapendekeza matakwa yake
Sio KWELI,duke ni winga WEWE wa pande zote,Sifa yake KUBWA ni pumzi na kukaba
Nyiee sio kocha wa yanga hamjui walichoona
Wachambuzi wa kisasa hawana mambo ya namba ten sijui six tena
HAYAWAHUSU
😢uyu nasri wachezaj wa yanga wote anawatilia mashaka sjajua kwann atuambie labda alitaka yanga anamsajili nan
Nasri anashida na Yanga huyo!!!
NASRI sometimes unazingua uyo Kacheza winga
Mchambuz hii redio kwa sasa ni ambangile
Naamini benchi la ufundi la Yanga wako very strategic. Wachambuzi chungeni maneno yenu. Siku Moja mnaweza jikuta mnatamani kuacha uchambuzi. Mtamwelewa tu Gamond, just wait.
Ukweli ni kwamba kuja kwa Boka kunamfanya Gamondi asitegemee mawinga, kwa sababu watatumia wingbacks badala ya full backs. Maana yake ni kwamba viungo washambuliaji watatumika sana. Huyu ni mmojawapo, ambaye pia anacheza nafasi nyingi nyengine, yaani Kiraka kama Pacome.
Jfdd 18:42 😊ds
Yanga msimu huu anachukua Makombe yote ya Ndani. CAF champions league Yanga anacheza Nusu finali. Keep in mind this, you will remember.
Nina imani kubwa na Duke Abuya!
Huyo nasri muongo.. abuya ni winga ya kushoto hata kenya anachezaga hivyo. Japo namba 10 anaweza kuicheza
Hakukuwa na haja 1:12