Jinsi ya kukaanga KUKU kama wa KFC ukiwa nyumbani | Pika na Babysky

Sdílet
Vložit

Komentáře • 42

  • @mariamothman7404
    @mariamothman7404 Před 4 lety +7

    Sky umepata mke na nusu nakupenda sana babysky

  • @lakishagreen9996
    @lakishagreen9996 Před 4 lety +2

    Asante sana kwa hili somo nimejifunza na imenisaidia kutoa kitu kizuri na chenye radha 🍗🍗😋😋shukrani 🤝 love from Berlin.

  • @lydiaakimana7988
    @lydiaakimana7988 Před 4 lety +6

    Kama huna hiyo soda unatumia nini baby sky

  • @mohammedrashid9606
    @mohammedrashid9606 Před 4 lety

    Safi sana Allah akubariki ni ulaji mzuri sana. Nayafurahia sana mapishi yako ni mazuri sana na unaelezea vizuri sana Allah akubariki umenufaisha wapishi wengi ahsante sana....

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 Před 4 lety +3

    Nimependa unavyo advitise viungo vya kwetu. Natamani vije hata nje, tunatumia Sana vya Kenya kutoka Mombasa, wakati napenda vya Zanzibar kwetu. Paprika ni pilipili hoo nyekundu zilizo kaushwa na kusagwa. Hiyo mustard seed mmh sijaijua ngoja ntafuatilia, sijui ndio inatengenezwa kutoa mustard sauce ya kuweka kwa hotdogs? Overall Good job Baby SKY. Kama sina krab soda naweza weka nini instead?

  • @zennakailo8106
    @zennakailo8106 Před 4 lety +2

    Waooooooo amazing chicken KFC kutoka kwa babyskytz 😋😋😋😋🏃‍♀️

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 Před 4 lety +2

    Hongera baby kky

  • @zezezeze8408
    @zezezeze8408 Před 4 lety +1

    mashaAllah tabaraka rahman baby sky

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 Před 4 lety +2

    Crispy chicken thanks baby sky 😘😘

  • @khadijasalum2302
    @khadijasalum2302 Před 4 lety

    Simple and very nice

  • @safiaabubakar1120
    @safiaabubakar1120 Před 3 lety +1

    Mashaa Allah yummy yummy 😋😋😋

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před 4 lety +1

    Yummy yummy nitapika tu hii

  • @fallymetoo191
    @fallymetoo191 Před 4 lety +1

    Safi sana! Mashallah

  • @samirarashid8186
    @samirarashid8186 Před 4 lety +1

    Maasha Allah 💛💛💛

  • @maryamsuleiman2944
    @maryamsuleiman2944 Před 4 lety +1

    MashaAllah 😍

  • @zulfahussein6356
    @zulfahussein6356 Před 4 lety +1

    Hellow dada baby kwenye unga ni wa ngano au ule cornfloor

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 4 lety +1

    Mashaa Allah 😍🔥👏

  • @Zahi8080
    @Zahi8080 Před 4 lety

    Maa shaa allah

  • @zaitunifamao7777
    @zaitunifamao7777 Před 4 lety

    Proud of you darling

  • @latriciah01augustino67
    @latriciah01augustino67 Před 4 lety +4

    Aghaaaa 💃💃💃💃 #dontskip

  • @hadijahussein2218
    @hadijahussein2218 Před 3 lety

    Nakupenda sana baby sky wewe mwanamke na nusu .

  • @neylicious_mollel5194
    @neylicious_mollel5194 Před 4 lety

    Tunaomba option mamy kam huna iyo sod unawek nini...!

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 Před 4 lety +1

    Mashallah baby sky

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 Před 4 lety

    Mh nzuri

  • @veronicatweve4786
    @veronicatweve4786 Před 4 lety +1

    Baby Asante sana kwa darasa hilo je hayo mafuta unayasevu yatapika tena kitu kingine au hayana kazi tena?

    • @mourinebey_kenya7027
      @mourinebey_kenya7027 Před 4 lety

      😂😂😂😂😂😂Budget 🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️🤸🏻‍♀️

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 4 lety +1

      Kaa kwa hii hali ya umaskini unaweza mwaga mafuta kweli. Mimi huwa nakaangia samaki. Au chuja yaweke kwa ajili kukaangia tena kitu hicho hicho

  • @taussmussa8144
    @taussmussa8144 Před 4 lety +1

    Mpka nimekisikia kiarufu kwwambaliiii

  • @osmanmohammedosman5493

    Nimejifunza kitu hapo lkn nipo congo kupata viungo ndio mtihani

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 4 lety

    Naishi Kentucky but I never knew how to cook that.... leo nitajaribu

  • @happyjoseph590
    @happyjoseph590 Před 4 lety

    Bbysky uwe unajibug maswal ili tuelewe zaid

  • @Yummykitchenchronicles

    Babyskye joo tupike kwenye CZcams yangu 🤭🤭🤭😍

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool4235 Před 4 lety

    Unajua kunikosha mwaya dah udenda umenitoka utasema nii.......

  • @asinathasinath5090
    @asinathasinath5090 Před 4 lety

    😋😋😋😋😋😋😋😋

  • @zezezeze8408
    @zezezeze8408 Před 4 lety

    na salad yake vp

  • @tellaochero5928
    @tellaochero5928 Před 4 lety

    😘😘😘🤪🤪

  • @tamaraeliz7114
    @tamaraeliz7114 Před 4 lety

    Your the wife material baby Sky Love You thanks nimejifunza kitu

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 Před 4 lety

    Fah!.Una moyo mgumu kweli .Kutumbukiza na gloves hizo unaweza ungua na hilo ligloves likangangania kwenye ngozi yako.

  • @KIVUMBITV
    @KIVUMBITV Před 4 lety

    Ko mnawatangaza KFC bure

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 4 lety +1

      Lakini so ndio signature yao duniani kote? Watu wakitumia recepi Wana aknowledge maana kiukweli sio utamaduni wetu kukaanga hivyo kuku