Safi sana Allah akubariki ni ulaji mzuri sana. Nayafurahia sana mapishi yako ni mazuri sana na unaelezea vizuri sana Allah akubariki umenufaisha wapishi wengi ahsante sana....
Nimependa unavyo advitise viungo vya kwetu. Natamani vije hata nje, tunatumia Sana vya Kenya kutoka Mombasa, wakati napenda vya Zanzibar kwetu. Paprika ni pilipili hoo nyekundu zilizo kaushwa na kusagwa. Hiyo mustard seed mmh sijaijua ngoja ntafuatilia, sijui ndio inatengenezwa kutoa mustard sauce ya kuweka kwa hotdogs? Overall Good job Baby SKY. Kama sina krab soda naweza weka nini instead?
Sky umepata mke na nusu nakupenda sana babysky
Asante sana kwa hili somo nimejifunza na imenisaidia kutoa kitu kizuri na chenye radha 🍗🍗😋😋shukrani 🤝 love from Berlin.
Kama huna hiyo soda unatumia nini baby sky
Safi sana Allah akubariki ni ulaji mzuri sana. Nayafurahia sana mapishi yako ni mazuri sana na unaelezea vizuri sana Allah akubariki umenufaisha wapishi wengi ahsante sana....
Nimependa unavyo advitise viungo vya kwetu. Natamani vije hata nje, tunatumia Sana vya Kenya kutoka Mombasa, wakati napenda vya Zanzibar kwetu. Paprika ni pilipili hoo nyekundu zilizo kaushwa na kusagwa. Hiyo mustard seed mmh sijaijua ngoja ntafuatilia, sijui ndio inatengenezwa kutoa mustard sauce ya kuweka kwa hotdogs? Overall Good job Baby SKY. Kama sina krab soda naweza weka nini instead?
Waooooooo amazing chicken KFC kutoka kwa babyskytz 😋😋😋😋🏃♀️
Hongera baby kky
mashaAllah tabaraka rahman baby sky
Crispy chicken thanks baby sky 😘😘
Simple and very nice
Mashaa Allah yummy yummy 😋😋😋
Yummy yummy nitapika tu hii
Safi sana! Mashallah
Maasha Allah 💛💛💛
MashaAllah 😍
Hellow dada baby kwenye unga ni wa ngano au ule cornfloor
Mashaa Allah 😍🔥👏
Maa shaa allah
Proud of you darling
Aghaaaa 💃💃💃💃 #dontskip
🙌
Nakupenda sana baby sky wewe mwanamke na nusu .
Tunaomba option mamy kam huna iyo sod unawek nini...!
Mashallah baby sky
Mh nzuri
Baby Asante sana kwa darasa hilo je hayo mafuta unayasevu yatapika tena kitu kingine au hayana kazi tena?
😂😂😂😂😂😂Budget 🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️🤸🏻♀️
Kaa kwa hii hali ya umaskini unaweza mwaga mafuta kweli. Mimi huwa nakaangia samaki. Au chuja yaweke kwa ajili kukaangia tena kitu hicho hicho
Mpka nimekisikia kiarufu kwwambaliiii
Nimejifunza kitu hapo lkn nipo congo kupata viungo ndio mtihani
Naishi Kentucky but I never knew how to cook that.... leo nitajaribu
Bbysky uwe unajibug maswal ili tuelewe zaid
Babyskye joo tupike kwenye CZcams yangu 🤭🤭🤭😍
Unajua kunikosha mwaya dah udenda umenitoka utasema nii.......
😋😋😋😋😋😋😋😋
na salad yake vp
😘😘😘🤪🤪
Your the wife material baby Sky Love You thanks nimejifunza kitu
Fah!.Una moyo mgumu kweli .Kutumbukiza na gloves hizo unaweza ungua na hilo ligloves likangangania kwenye ngozi yako.
Ko mnawatangaza KFC bure
Lakini so ndio signature yao duniani kote? Watu wakitumia recepi Wana aknowledge maana kiukweli sio utamaduni wetu kukaanga hivyo kuku