HOUSE GIRL EP 38 | S2 | love story💞💕

Sdílet
Vložit

Komentáře • 873

  • @aminakibwana8343
    @aminakibwana8343 Před 16 dny +192

    Kiukweli candy kuigiza hujui hata kdg pia scrept uliyopewa makelele tu uigizaji wako wewe ni mikelele tu....
    Wanaojua umu ndani namba moja apewee mama tsha ya pili apwe zatiti ya 3 tsha hao wengine sijui ila candy hujui bora hata Sania

    • @busatitv
      @busatitv  Před 16 dny +22

      Kunywa maji kidogo

    • @RosebellahNambiro-gf5ot
      @RosebellahNambiro-gf5ot Před 16 dny +13

      Apana hiyo n role yake c at n makele 😂😂😂 n role amepewa kuicheza

    • @RaymonTz746
      @RaymonTz746 Před 16 dny +11

      Mi nahisi kipengele alicho pangiwa ndo ipo hivo

    • @auntmakochela4202
      @auntmakochela4202 Před 16 dny +8

      Mie hata ningepewa iyo ya makelele mbona nimeshindwa maana ningekohoa kila baada ya kelele moja maana kutoa sauti kama yake pia kipaji 😂😂😂😂😂😂 sio kila mtu anajua😂

    • @Dianaf774
      @Dianaf774 Před 16 dny +4

      Apo sawa tu mbona

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v Před 16 dny +61

    Nimewahi kutoka kenya 🇰🇪team Strong mko wapi💪💪halafu candy na sania mtaishia kutumiwa mpka ile siku mtajua umuhimu wa ndoa 😂😂wenye wanataman Tasha na Zatiti waoane tujuane kwa likes jamni 😍🥰🥰❤️❤️❤️

  • @TumainiJaphary
    @TumainiJaphary Před 16 dny +217

    Wapiiiii penzi jipya la zatiti n Tasha👌👌👌👌👌👌👌👌weka like nyingi km n wwe umefulai km mm😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @neemamnyazi
    @neemamnyazi Před 16 dny +69

    Dakika nne tu watu mia tatu jaman ,haya nipeni nami like leo nimejaribu

  • @KilaindmbapeJnior
    @KilaindmbapeJnior Před 16 dny +297

    Jamani tunaomba mtumaliziye kwanza houss girl ndo muanze my mother gonga like

    • @milkajuma
      @milkajuma Před 16 dny +6

      Mm ata my mother huwa sishuguliki nayo 😂😂😂

    • @Rizikialiamechannel763
      @Rizikialiamechannel763 Před 16 dny +3

      Mm leo nilitaka kusema

    • @FatmaKambanga
      @FatmaKambanga Před 16 dny +1

      Wewe Kama Umechoka move hii Wewe tu Sisi Bado twaipenda

    • @user-lk6mj3yh9r
      @user-lk6mj3yh9r Před 16 dny +4

      Acha zitumwe zote kwani huwezi kuangalia michezo miwili kwa wakati momja acha kazi iendelee sisi mim nafurahi kazi yao ipo vizuri. Hawachelewesh Kam wengine

    • @NasmaBolisa
      @NasmaBolisa Před 16 dny +2

      kwel kabisa wanatuchanganya bhna 😢

  • @WinfridaKelvin
    @WinfridaKelvin Před 16 dny +121

    Jaman zatiti anadeka kwa mama mkwe adi Raha tunaompenda zatiti gonga like

  • @user-gu2yu2wp1z
    @user-gu2yu2wp1z Před 16 dny +29

    Asante sna wapenzi wa uwongo uwongo kuwa wapenzi wa kwel ❤❤❤bdo hilo jambo la kher inshaallah wengine wasikie vinyongo 😂😂😂

  • @كامليا-ر7ز
    @كامليا-ر7ز Před 16 dny +34

    Harusi tunayo ya tasha n zatiti 🎉🎉🎉 wape like basi❤❤❤❤

  • @MICHAELLEONTH
    @MICHAELLEONTH Před 16 dny +17

    Harafu jamani mbona stor Kendi na nyumba yake haiendelei na pap na yule chawa wakee wameishia wapiiii kama na wewe unataman stor zao ziendelee tujuane kw kugonga like

  • @AnnaAmanda-v4q
    @AnnaAmanda-v4q Před 16 dny +21

    Ambao tunapenda My mother na house girl like kidogo 😂😂😂😂

  • @user-ii3rb6uj7g
    @user-ii3rb6uj7g Před 16 dny +16

    Nan amesmile pamoja namm alipoona zatiti anafurah wakat anaulizwa uko tayar nkuone na tasha ama nacheka pekeangu😂😂

  • @AdestiraNgede
    @AdestiraNgede Před 16 dny +49

    Tunaompenda mama tasha like hapa❤

  • @JoanithaSimon
    @JoanithaSimon Před 16 dny +61

    Hakuna sku niliyo furah kama sku ya leo like kwa zatiti na tasha

  • @twinkledestar4277
    @twinkledestar4277 Před 16 dny +31

    Team strong oyeeeeeh ❤❤

  • @mwanakombopopo5117
    @mwanakombopopo5117 Před 16 dny +32

    Mbona mwatutesa ivi😢😢tokea jana basi tupeni 2

  • @JoycJoseph-d1g
    @JoycJoseph-d1g Před 16 dny +3

    Mmmmh raha ya kupendwa na mm mkwe ndo hiyo❤❤❤

  • @violetasirang5183
    @violetasirang5183 Před 16 dny +23

    Wa kwanza nipeni likes @kenya 🇰🇪

  • @FaithJoshua-n8n
    @FaithJoshua-n8n Před 16 dny +5

    Wah wah,, 😂😂yaani Ile furaha ninayo leo sababu nimeona Mr Tasha na zatiti wamekubatiana, Masha Allah

  • @GloriaNahimana-x8p
    @GloriaNahimana-x8p Před 16 dny +33

    Tunao fulahia ndowa ya zuu na kal tujuane🎉❤

  • @boyflany2836
    @boyflany2836 Před 16 dny +5

    Ukiachana na maigizo ya movie aaah🤗 zatt we n mrembo sana asee nakupenda kwa kila kitu 💕💕💕💕 tuendelee na movie

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx Před 16 dny +19

    Aya ndio maneno sasa❤

  • @franksabin7484
    @franksabin7484 Před 16 dny +10

    Wa kwanza naomba like jmn wakuu

  • @zainabuomary9085
    @zainabuomary9085 Před 16 dny +6

    Leo nyumba zote zimechangamka zinapika😅 tasha na zatiti nawapenda

  • @VailethFrancis-ew6ro
    @VailethFrancis-ew6ro Před 16 dny +13

    Yani hii movie yinanifanya siku yangu iende vzr kabs wanawomupenda zatiti tujuwane kwa like apa

  • @user-cg8ti1re1t
    @user-cg8ti1re1t Před 16 dny +4

    🎉🎉wow penzi la tash n zatiti liwe laheri jamani .hlfu mumalze hii ndo tuende kwengne .🎉🎉🎉bila kusahau musininyime like

  • @DamarisomwengaKemunto
    @DamarisomwengaKemunto Před 16 dny +23

    Like kwa zuri

  • @ShamimAbdul-tf3fw
    @ShamimAbdul-tf3fw Před 16 dny +2

    Mama Tasha najivunia kukufaham kz nzur twakupends Mr Tasha mpe mtt mambo afurah changamoto kwa binadam ni kawaida alokamilik ni Allah 🎉🎉🎉🎉

  • @Saumu-lm7nt
    @Saumu-lm7nt Před 16 dny +3

    Tasha na msimamo yake kalegea akuna mkate mgumu mbele ya chai tasha

  • @IreneLudani
    @IreneLudani Před 16 dny +56

    Ila candy sio mtu mzuri kabisa anatabia chafu na huyo sio mtu wa kubadilika siku zote ni mtu wa kupanda juu tu sio mtu wa kujishusha huyo kama na nyie mmemuona gonga like hapa

    • @nasrachimamy
      @nasrachimamy Před 16 dny +5

      Me naona kazid ata km kunawatu wanawajeulia mama zao wapo lakin sio km hv candy

    • @IreneLudani
      @IreneLudani Před 16 dny +2

      @@nasrachimamy yaaaan anakera sana anamuona mama yake mama takataka vile

    • @ModestaMatayo
      @ModestaMatayo Před 16 dny

      Uyu ashapewa rahana​@@IreneLudani

    • @coolboymicky3651
      @coolboymicky3651 Před 16 dny

      We yan candy anamwita mama yake mwazani

    • @felistusAdhiambo
      @felistusAdhiambo Před 16 dny

      No hiyo ni character yake yaani inamfaa sana

  • @OfficialZuli-ve5kh
    @OfficialZuli-ve5kh Před 16 dny +27

    WA Kwanza Leo nawapenda Sana BUSATI TV

  • @FainesGeofrey-h6d
    @FainesGeofrey-h6d Před 16 dny +5

    Yaan hii movie n Bora. Hata isiishe me naipenda balaaa

  • @BennyMabendi
    @BennyMabendi Před 16 dny +2

    Duuhh imekuwa tamu kinyama kazi nzuri sana mama Taaha apewe maua yake

  • @bayahamisi
    @bayahamisi Před 16 dny +7

    Jaman mama Tasha Kua na shukran sania alivaa dhera juu yako akapga magiti juu yako samahani zkawa nyingi juu yako mauwa ya sania🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mauamaua1228
    @mauamaua1228 Před 16 dny +32

    Mmetucheleweshea sana leo toka asubui nachungulia n sipati notification

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Před 16 dny

      Wana tamthilia yao nyingn ile mlioangalia tupeni mrejesho

    • @mauamaua1228
      @mauamaua1228 Před 16 dny +1

      @@Alexismadimo waachane nayo mwanzo watumalizie hii alafu sehemu ya leo imekua fupi sana

    • @NaomiSanga-p5y
      @NaomiSanga-p5y Před 16 dny +1

      Ipo nyingine inaitwa my mother nayo ni nzuri baraa🎉🎉🎉🎉

    • @AminaNgumba
      @AminaNgumba Před 16 dny

      Km mimi yaan

  • @Lydia-oy1cz
    @Lydia-oy1cz Před 16 dny +5

    Tumalizieni house girl mwanzo kwasababu mmeanza kutuchelewecha wangapi wanakubaliana na mm ❤

  • @user-mf1kj1yl4b
    @user-mf1kj1yl4b Před 16 dny +4

    Nampenda sana mama Tasha anaongea kistaarabu sana na anamaneno ya busara sana mobw love mamaa❤

  • @arlovehenrybanyanga
    @arlovehenrybanyanga Před 16 dny +5

    Kama house girl haijaisha siangalie my mother namanisha tena much love from Kenya 🇰🇪 to congo drc

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh Před 16 dny +3

    Daaaaaaaah swadida marihabaaa mapenziii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yatatuaaa jmn

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 Před 16 dny +2

    Tasha zatiti mambo ni moto ❤❤😊😊

  • @LilianKibona
    @LilianKibona Před 16 dny +4

    Nawapenda sana Wote mnao fatiria hiii movie

  • @herveiratunga3656
    @herveiratunga3656 Před 16 dny +46

    Mimi wakwanza tupa like tano

  • @NameMe-c8l
    @NameMe-c8l Před 16 dny +13

    Number one from burundi

  • @Mathi653
    @Mathi653 Před 16 dny +16

    Leo me wakwanza daah siamin like bc🎉🎉🎉😂😂😂😂

  • @sirielypetrombise519
    @sirielypetrombise519 Před 16 dny +13

    Nice one

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r Před 16 dny +3

    Miendelee hadi mwisho anaesema kachoka aache kuangalia sie wengine tunahitaji Hadi mwisho..😊

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula Před 16 dny +4

    Hata kama nimechelewa lakini harusi tunayo hatuna💃💃💃💃🥁🥁🥁

  • @ZeinabBakar-je4nr
    @ZeinabBakar-je4nr Před 16 dny +6

    Kazi nzuri jamani nawapenda Hila naombeni like 🎉🎉a shinning

  • @djunglekyangwi
    @djunglekyangwi Před 16 dny +4

    Wa kwanza kutoka Congo drc

  • @Fathasssane-vs2th
    @Fathasssane-vs2th Před 16 dny +6

    Nimepitwa kam kwa team oman,saudia, Qatar muje hapa

  • @user-lm7vf5vv4p
    @user-lm7vf5vv4p Před 16 dny +14

    House girl isiishe aky

  • @PhorahMahaza-o5b
    @PhorahMahaza-o5b Před 16 dny +41

    Duuuh nyie watu hamchelewi nipeni like mie mchelewaji basi 😂

  • @CatherineAlly-p3q
    @CatherineAlly-p3q Před 16 dny +3

    Jamani sijawahi choka kuangalia hii,,, wekeni iwe ndefu kidogo basi❤❤❤

  • @mwl.hassanzanjabeel1621
    @mwl.hassanzanjabeel1621 Před 16 dny +2

    Jamani huyo mamaake Mr Tasha mungu amuweke miaka 200 yaani ananikosha mpaka natamani angekuwa Mamaangu mzazi... Yaani ana hekima na busara za kutosha...

  • @user-jb9jb7qq9t
    @user-jb9jb7qq9t Před 16 dny +9

    From Burundi nwapenda

  • @faithkalulu
    @faithkalulu Před 16 dny +9

    wa tano, nataka likes

  • @user-st3wo7qi2v
    @user-st3wo7qi2v Před 16 dny +6

    Wp team Mr tasha na zatiti ❤❤

  • @Safina-qg9gv
    @Safina-qg9gv Před 16 dny +11

    Hata mm niwahi❤🎉

  • @nolaskokimario8071
    @nolaskokimario8071 Před 16 dny +1

    Mama sogea Sasa
    unaskilizaje sasaaa

  • @abdulcityter6201
    @abdulcityter6201 Před 16 dny +6

    Aki Busati sasa mwakera, mtumalizie House girl kwanza mwatuchelewesha sana, muachane na vipindi vingine kwanza kwa maana mtatuvuruga buree tukaanza kuchukia

  • @Tynamnyilis9824
    @Tynamnyilis9824 Před 16 dny +6

    Dah leo nimewah nipen like basi❤❤❤

  • @DidaAlly-iz1it
    @DidaAlly-iz1it Před 16 dny +3

    Tunaopenda hukaribu wa mama tasha na tasha na zatiti tujuwane kwa Iikee 🎉🎉🎉🎉 hata 20

  • @user-bu6yy6yg9u
    @user-bu6yy6yg9u Před 16 dny +7

    Wanza leo 🎉❤

  • @pascalkomba8574
    @pascalkomba8574 Před 16 dny +2

    Daaaaaaaaa Jamani zatiti we Mtoto unanimaliza Mie 😭😭😭😭😭 Hadi nalia Jamani

  • @faridadondo2103
    @faridadondo2103 Před 16 dny +7

    Wawoo wakwanza leo lake zangu😅

  • @mwanamisikifogo869
    @mwanamisikifogo869 Před 16 dny +7

    Hapa mbon mumenikosea sasa zatiti mbon aseme hayo maneno mbele ya mama harusi tunayo hatuna❤❤❤❤😂😂😂😂wanaopenda ubwabwa tujuwane🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @herveiratunga3656
    @herveiratunga3656 Před 16 dny +5

    LAKINI UYO KENDI NA SANIA MWISHONI WAPATE MATATIZO MANA WAMEKUWA WAKOROFI SANA

  • @user-uy4bu9bf5n
    @user-uy4bu9bf5n Před 16 dny +5

    Malizeni house girl ndo mtoe hizo zingine maana mnatuchelewesha mwisho watu wasiiangalie

  • @DgratiousDester
    @DgratiousDester Před 16 dny +3

    Daaah kwel inabid house girl iishe nd my mom iaze

  • @user-iw6bv6ft5b
    @user-iw6bv6ft5b Před 16 dny +3

    ❤❤❤❤mm WA kwanza 🎉🎉🎉🎉wow

  • @YvonneNelson-xz7zp
    @YvonneNelson-xz7zp Před 16 dny +5

    Tumechoka sarakasi tunataka arusi ya Tasha na zatiti chiko na Sania watulie Kando weka likes tukisonga

  • @SabrahNibuka
    @SabrahNibuka Před 16 dny +2

    Allah awajaalie zatiti na tasha mapenzi yadumu na amani itawale kila iitwayo leo❤❤🎉

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d Před 16 dny +3

    Weeeeeeeee😂😂😂 Nimefurahije niliona kimnya nikajua haipo Leo kumbe imetoka jpo nimechelewa

  • @EsterWambura-vr6og
    @EsterWambura-vr6og Před 16 dny +10

    Kwa kweli na mm Leo nimewah acha niseme

  • @user-lz1qv1xe4w
    @user-lz1qv1xe4w Před 16 dny +3

    Wow wapi like ya zatiti na Mr Tasha finale wapi nguo ya arusi tuwavishe

  • @FrancisKirringol
    @FrancisKirringol Před 16 dny +2

    Congratulations mr Tasha leo umemupata mke

  • @ReginaJoãoÁdamo
    @ReginaJoãoÁdamo Před 16 dny +10

    😂😂😂jaman leo nimekuwa wa kwanza kwenye house girl 🇲🇿🇲🇿👏

  • @BenditaAguia-md4qp
    @BenditaAguia-md4qp Před 16 dny +4

    Nimechelewa kidogo 😢🇲🇿

  • @gracenyevu8082
    @gracenyevu8082 Před 16 dny +3

    Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @Fatemah-s4d
    @Fatemah-s4d Před 16 dny

    Wow zatiti na Mr tasha nimependa hii couple ❤❤❤

  • @SadaDjuma-e9b
    @SadaDjuma-e9b Před 16 dny +1

    Zatiti na Tasha ongereni saan,ninafurah saaan Big up saan😘😘😘😘, Ninawapenda bure mie, tulishamaliza Ndoa ya Kai na Zuu,tunasubir Ndoa ya Mr Tasha na Mrs Zatiti tuje tuisheherekeye😘😘😘🎉🎉🎉, Oyooooooooooo, Sania atakoma kuringa na huyo Umalaya wake😅😅😅

  • @AgnesNiyonzima-q1f
    @AgnesNiyonzima-q1f Před 16 dny +16

    Wanaotaka ndoa ya kibendu gonga like

  • @shadyazitueni5338
    @shadyazitueni5338 Před 15 dny +1

    Waoooo zatit na tash mmependezan

  • @assyaahally1257
    @assyaahally1257 Před 16 dny +7

    Nimefika kwa wakati

  • @bintijumachongoa892
    @bintijumachongoa892 Před 16 dny +1

    Alafu zuu ubadilike kuvaa bana ww n mzr una maisha mazr bado tu kuvaa upendeze❤tunawapenda

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw Před 16 dny

      Bora tu umesema maana khaaaa😂😂😂😂

  • @priscahmahenzo642
    @priscahmahenzo642 Před 16 dny +2

    ❤❤❤❤❤ᴏᴏᴏᴏᴏᴏʜ ɴɪᴄᴇ ᴍᴏᴠɪᴇ🎉🎉🎉

  • @JoannyBreezy
    @JoannyBreezy Před 16 dny +2

    Jaaamn ni kwamba hamjajua kitu unajua hii movie ina part mbili kwa upande wa wanawakee upande wa kwanza ni upande wa wanawake wenye busura( kacheza ZUU, ZATITI na mke wa mpumbavu mwenzangu) upande wa pili n ya wanawake ambao hawana busara yan shindikana😂😂 ambao hawaelewii yaan wenye tabia za uswaz uswazi na kadhalika ( hapo kapewa candy, sania, dada ake chiko, da masuzy ) so kila mtu anachezeaa part yake kama anavyotakiwa kutokana na kipande alichopangwa jamaan na hawa kina candy, sania , dada ake chiko, na da masuzy wanatufundisha kwamba wanawake wanaotaka kuolewa wasiwe na hizi tabia kwan wanaume hawapend wanawake wenye hizo tabia ndo maana kila wakitaka kuolewa ndoa haifungwi kama sania na tasha siunaona kikamlamba sania aya candy na kai kikamlamba candy so wote wanajuaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kutokana na part yake anayopaswa kuchezaa🎉😂😂😂

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu Před 16 dny +1

    Jamani Zatiti Nampenda sana na RAFIKI WA KAI
    MKO VINZURI SANA HONGERENI SANA❤❤😂😂😂
    NAJIFUNZA KITU HAPO

  • @GladysKarembo
    @GladysKarembo Před 16 dny +1

    Saai nko na Amani sana kumuona Mr Tasha na Zatiti wakiwa pamoja.Alafu mamake Tasha umrembo mamaa Nakupenda ❤.

  • @EmysaidSaid
    @EmysaidSaid Před 16 dny +1

    Kusema kweli leo nimefurahi sana kuona tasha na zatiti wameungana ten na ukwel uko wazi ss hongera kwa busati tv jmn ❤❤❤

  • @merinazyd0532
    @merinazyd0532 Před 16 dny +1

    Nawawekea maua Tasha na zatiti ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Tunasubiria ndoa ❤❤❤❤❤❤❤

  • @AsiaHassani-kf8ww
    @AsiaHassani-kf8ww Před 16 dny +4

    Nilikuwa n subir Kwa hamu n gamu Asnte🎉🎉❤

  • @everlinenjuguna2281
    @everlinenjuguna2281 Před 16 dny +5

    Kumekucha jameni❤❤❤

  • @bahatisimba
    @bahatisimba Před 15 dny +1

    Watu weeeeeeeuweeeeeeeeeeeeeeeeh tasha na zatiti woyeeeeeeee.. Ila inabid sasa busat msituchanganyie mada jaman tumalizien hii halaf tuanze my mother jaman .. Nasubiria jua la chiko na candy

  • @mabagamendez1156
    @mabagamendez1156 Před 16 dny +1

    ❤❤❤❤❤❤❤ asante tasha kwa zatiti kukubali kumuoa

  • @user-yp7qy2qf7k
    @user-yp7qy2qf7k Před 16 dny +2

    Woow nimewahi leo ❤❤🎉🎉

  • @Akimanacedrick-io1yx
    @Akimanacedrick-io1yx Před 16 dny +3

    Mimi naomba kabisa tena sana doa ya zu nakayi ishiye pâle pâle ututaki kuona bimevurugana tena kwasasaivi tunasubili doa yatasha nazatiti

  • @NanaaHaji-qr1rk
    @NanaaHaji-qr1rk Před 16 dny +1

    Heheheee mtongozano mbele ya mkwe😂😂😂😂😂😂

  • @ZainabuKabache-tx7tu
    @ZainabuKabache-tx7tu Před 16 dny +2

    Hongereni sana❤❤❤❤❤❤❤

  • @UwamahoroFefe
    @UwamahoroFefe Před 16 dny

    Hongereni sana ,yani hii episode imenifurahisha sana ,zatiti na Tasha karibuni kwenye penzi jipya huku tunaanda zawadi kwajili ya ndoa yenu ,mama Tasha hongera sana

  • @Aminah-r4s
    @Aminah-r4s Před 16 dny +1

    Maashallah, Asante mama Tasha ❤❤🎉🎉