Kiukweli candy kuigiza hujui hata kdg pia scrept uliyopewa makelele tu uigizaji wako wewe ni mikelele tu.... Wanaojua umu ndani namba moja apewee mama tsha ya pili apwe zatiti ya 3 tsha hao wengine sijui ila candy hujui bora hata Sania
Mie hata ningepewa iyo ya makelele mbona nimeshindwa maana ningekohoa kila baada ya kelele moja maana kutoa sauti kama yake pia kipaji 😂😂😂😂😂😂 sio kila mtu anajua😂
Nimewahi kutoka kenya 🇰🇪team Strong mko wapi💪💪halafu candy na sania mtaishia kutumiwa mpka ile siku mtajua umuhimu wa ndoa 😂😂wenye wanataman Tasha na Zatiti waoane tujuane kwa likes jamni 😍🥰🥰❤️❤️❤️
Acha zitumwe zote kwani huwezi kuangalia michezo miwili kwa wakati momja acha kazi iendelee sisi mim nafurahi kazi yao ipo vizuri. Hawachelewesh Kam wengine
Harafu jamani mbona stor Kendi na nyumba yake haiendelei na pap na yule chawa wakee wameishia wapiiii kama na wewe unataman stor zao ziendelee tujuane kw kugonga like
Ila candy sio mtu mzuri kabisa anatabia chafu na huyo sio mtu wa kubadilika siku zote ni mtu wa kupanda juu tu sio mtu wa kujishusha huyo kama na nyie mmemuona gonga like hapa
Jamani huyo mamaake Mr Tasha mungu amuweke miaka 200 yaani ananikosha mpaka natamani angekuwa Mamaangu mzazi... Yaani ana hekima na busara za kutosha...
Aki Busati sasa mwakera, mtumalizie House girl kwanza mwatuchelewesha sana, muachane na vipindi vingine kwanza kwa maana mtatuvuruga buree tukaanza kuchukia
Zatiti na Tasha ongereni saan,ninafurah saaan Big up saan😘😘😘😘, Ninawapenda bure mie, tulishamaliza Ndoa ya Kai na Zuu,tunasubir Ndoa ya Mr Tasha na Mrs Zatiti tuje tuisheherekeye😘😘😘🎉🎉🎉, Oyooooooooooo, Sania atakoma kuringa na huyo Umalaya wake😅😅😅
Jaaamn ni kwamba hamjajua kitu unajua hii movie ina part mbili kwa upande wa wanawakee upande wa kwanza ni upande wa wanawake wenye busura( kacheza ZUU, ZATITI na mke wa mpumbavu mwenzangu) upande wa pili n ya wanawake ambao hawana busara yan shindikana😂😂 ambao hawaelewii yaan wenye tabia za uswaz uswazi na kadhalika ( hapo kapewa candy, sania, dada ake chiko, da masuzy ) so kila mtu anachezeaa part yake kama anavyotakiwa kutokana na kipande alichopangwa jamaan na hawa kina candy, sania , dada ake chiko, na da masuzy wanatufundisha kwamba wanawake wanaotaka kuolewa wasiwe na hizi tabia kwan wanaume hawapend wanawake wenye hizo tabia ndo maana kila wakitaka kuolewa ndoa haifungwi kama sania na tasha siunaona kikamlamba sania aya candy na kai kikamlamba candy so wote wanajuaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kutokana na part yake anayopaswa kuchezaa🎉😂😂😂
Watu weeeeeeeuweeeeeeeeeeeeeeeeh tasha na zatiti woyeeeeeeee.. Ila inabid sasa busat msituchanganyie mada jaman tumalizien hii halaf tuanze my mother jaman .. Nasubiria jua la chiko na candy
Hongereni sana ,yani hii episode imenifurahisha sana ,zatiti na Tasha karibuni kwenye penzi jipya huku tunaanda zawadi kwajili ya ndoa yenu ,mama Tasha hongera sana
Kiukweli candy kuigiza hujui hata kdg pia scrept uliyopewa makelele tu uigizaji wako wewe ni mikelele tu....
Wanaojua umu ndani namba moja apewee mama tsha ya pili apwe zatiti ya 3 tsha hao wengine sijui ila candy hujui bora hata Sania
Kunywa maji kidogo
Apana hiyo n role yake c at n makele 😂😂😂 n role amepewa kuicheza
Mi nahisi kipengele alicho pangiwa ndo ipo hivo
Mie hata ningepewa iyo ya makelele mbona nimeshindwa maana ningekohoa kila baada ya kelele moja maana kutoa sauti kama yake pia kipaji 😂😂😂😂😂😂 sio kila mtu anajua😂
Apo sawa tu mbona
Nimewahi kutoka kenya 🇰🇪team Strong mko wapi💪💪halafu candy na sania mtaishia kutumiwa mpka ile siku mtajua umuhimu wa ndoa 😂😂wenye wanataman Tasha na Zatiti waoane tujuane kwa likes jamni 😍🥰🥰❤️❤️❤️
❤
❤❤❤❤❤
Wapiiiii penzi jipya la zatiti n Tasha👌👌👌👌👌👌👌👌weka like nyingi km n wwe umefulai km mm😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
❤❤❤❤
We ujafurahi yaan me nimeruka kabs❤😂
❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
🖐🖐🖐🖐
Nimefurahi sana aki juu wameweka penzi lao wazi ,ila naomba isiwe changamoto mingi kama ya zuu ,wafunge ndoa kwa haraka
Dakika nne tu watu mia tatu jaman ,haya nipeni nami like leo nimejaribu
Sawa pretty❤ ongea polepole😂😂😂watakusikia
Jamani tunaomba mtumaliziye kwanza houss girl ndo muanze my mother gonga like
Mm ata my mother huwa sishuguliki nayo 😂😂😂
Mm leo nilitaka kusema
Wewe Kama Umechoka move hii Wewe tu Sisi Bado twaipenda
Acha zitumwe zote kwani huwezi kuangalia michezo miwili kwa wakati momja acha kazi iendelee sisi mim nafurahi kazi yao ipo vizuri. Hawachelewesh Kam wengine
kwel kabisa wanatuchanganya bhna 😢
Jaman zatiti anadeka kwa mama mkwe adi Raha tunaompenda zatiti gonga like
Winy mambo
Asante sna wapenzi wa uwongo uwongo kuwa wapenzi wa kwel ❤❤❤bdo hilo jambo la kher inshaallah wengine wasikie vinyongo 😂😂😂
Harusi tunayo ya tasha n zatiti 🎉🎉🎉 wape like basi❤❤❤❤
Harafu jamani mbona stor Kendi na nyumba yake haiendelei na pap na yule chawa wakee wameishia wapiiii kama na wewe unataman stor zao ziendelee tujuane kw kugonga like
Ambao tunapenda My mother na house girl like kidogo 😂😂😂😂
Nan amesmile pamoja namm alipoona zatiti anafurah wakat anaulizwa uko tayar nkuone na tasha ama nacheka pekeangu😂😂
Tunaompenda mama tasha like hapa❤
Hakuna sku niliyo furah kama sku ya leo like kwa zatiti na tasha
Km mm pia 😅😅
Waaaooo🎉🎉🎉
Kama mm yaninimefurahi sana❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Team strong oyeeeeeh ❤❤
Oyee 😊
Mbona mwatutesa ivi😢😢tokea jana basi tupeni 2
Mmmmh raha ya kupendwa na mm mkwe ndo hiyo❤❤❤
Wa kwanza nipeni likes @kenya 🇰🇪
Wah wah,, 😂😂yaani Ile furaha ninayo leo sababu nimeona Mr Tasha na zatiti wamekubatiana, Masha Allah
Tunao fulahia ndowa ya zuu na kal tujuane🎉❤
Ukiachana na maigizo ya movie aaah🤗 zatt we n mrembo sana asee nakupenda kwa kila kitu 💕💕💕💕 tuendelee na movie
Aya ndio maneno sasa❤
Wa kwanza naomba like jmn wakuu
Leo nyumba zote zimechangamka zinapika😅 tasha na zatiti nawapenda
Yani hii movie yinanifanya siku yangu iende vzr kabs wanawomupenda zatiti tujuwane kwa like apa
🎉🎉wow penzi la tash n zatiti liwe laheri jamani .hlfu mumalze hii ndo tuende kwengne .🎉🎉🎉bila kusahau musininyime like
Like kwa zuri
Mama Tasha najivunia kukufaham kz nzur twakupends Mr Tasha mpe mtt mambo afurah changamoto kwa binadam ni kawaida alokamilik ni Allah 🎉🎉🎉🎉
Tasha na msimamo yake kalegea akuna mkate mgumu mbele ya chai tasha
Ila candy sio mtu mzuri kabisa anatabia chafu na huyo sio mtu wa kubadilika siku zote ni mtu wa kupanda juu tu sio mtu wa kujishusha huyo kama na nyie mmemuona gonga like hapa
Me naona kazid ata km kunawatu wanawajeulia mama zao wapo lakin sio km hv candy
@@nasrachimamy yaaaan anakera sana anamuona mama yake mama takataka vile
Uyu ashapewa rahana@@IreneLudani
We yan candy anamwita mama yake mwazani
No hiyo ni character yake yaani inamfaa sana
WA Kwanza Leo nawapenda Sana BUSATI TV
Mrembo 😍
Yaan hii movie n Bora. Hata isiishe me naipenda balaaa
Duuhh imekuwa tamu kinyama kazi nzuri sana mama Taaha apewe maua yake
Jaman mama Tasha Kua na shukran sania alivaa dhera juu yako akapga magiti juu yako samahani zkawa nyingi juu yako mauwa ya sania🎉🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂
😂😂😂😂lkn aliigiza tu co uhalisia
Mmetucheleweshea sana leo toka asubui nachungulia n sipati notification
Wana tamthilia yao nyingn ile mlioangalia tupeni mrejesho
@@Alexismadimo waachane nayo mwanzo watumalizie hii alafu sehemu ya leo imekua fupi sana
Ipo nyingine inaitwa my mother nayo ni nzuri baraa🎉🎉🎉🎉
Km mimi yaan
Tumalizieni house girl mwanzo kwasababu mmeanza kutuchelewecha wangapi wanakubaliana na mm ❤
Nampenda sana mama Tasha anaongea kistaarabu sana na anamaneno ya busara sana mobw love mamaa❤
Kama house girl haijaisha siangalie my mother namanisha tena much love from Kenya 🇰🇪 to congo drc
Daaaaaaaah swadida marihabaaa mapenziii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ yatatuaaa jmn
Tasha zatiti mambo ni moto ❤❤😊😊
Nawapenda sana Wote mnao fatiria hiii movie
Mimi wakwanza tupa like tano
Number one from burundi
Leo me wakwanza daah siamin like bc🎉🎉🎉😂😂😂😂
Nice one
Miendelee hadi mwisho anaesema kachoka aache kuangalia sie wengine tunahitaji Hadi mwisho..😊
Hata kama nimechelewa lakini harusi tunayo hatuna💃💃💃💃🥁🥁🥁
Kazi nzuri jamani nawapenda Hila naombeni like 🎉🎉a shinning
Wa kwanza kutoka Congo drc
Nimepitwa kam kwa team oman,saudia, Qatar muje hapa
House girl isiishe aky
Duuuh nyie watu hamchelewi nipeni like mie mchelewaji basi 😂
NI hatr
Jamani sijawahi choka kuangalia hii,,, wekeni iwe ndefu kidogo basi❤❤❤
Jamani huyo mamaake Mr Tasha mungu amuweke miaka 200 yaani ananikosha mpaka natamani angekuwa Mamaangu mzazi... Yaani ana hekima na busara za kutosha...
🙏🙏
From Burundi nwapenda
wa tano, nataka likes
Wp team Mr tasha na zatiti ❤❤
🥰🥰
Hata mm niwahi❤🎉
Mama sogea Sasa
unaskilizaje sasaaa
Aki Busati sasa mwakera, mtumalizie House girl kwanza mwatuchelewesha sana, muachane na vipindi vingine kwanza kwa maana mtatuvuruga buree tukaanza kuchukia
Dah leo nimewah nipen like basi❤❤❤
Tunaopenda hukaribu wa mama tasha na tasha na zatiti tujuwane kwa Iikee 🎉🎉🎉🎉 hata 20
Wanza leo 🎉❤
Daaaaaaaaa Jamani zatiti we Mtoto unanimaliza Mie 😭😭😭😭😭 Hadi nalia Jamani
Wawoo wakwanza leo lake zangu😅
Hapa mbon mumenikosea sasa zatiti mbon aseme hayo maneno mbele ya mama harusi tunayo hatuna❤❤❤❤😂😂😂😂wanaopenda ubwabwa tujuwane🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
LAKINI UYO KENDI NA SANIA MWISHONI WAPATE MATATIZO MANA WAMEKUWA WAKOROFI SANA
Malizeni house girl ndo mtoe hizo zingine maana mnatuchelewesha mwisho watu wasiiangalie
Daaah kwel inabid house girl iishe nd my mom iaze
❤❤❤❤mm WA kwanza 🎉🎉🎉🎉wow
Tumechoka sarakasi tunataka arusi ya Tasha na zatiti chiko na Sania watulie Kando weka likes tukisonga
Allah awajaalie zatiti na tasha mapenzi yadumu na amani itawale kila iitwayo leo❤❤🎉
Weeeeeeeee😂😂😂 Nimefurahije niliona kimnya nikajua haipo Leo kumbe imetoka jpo nimechelewa
Kwa kweli na mm Leo nimewah acha niseme
Wow wapi like ya zatiti na Mr Tasha finale wapi nguo ya arusi tuwavishe
Congratulations mr Tasha leo umemupata mke
🙏🙏🙏
😂😂😂jaman leo nimekuwa wa kwanza kwenye house girl 🇲🇿🇲🇿👏
Nimechelewa kidogo 😢🇲🇿
Much love from kenya 🇰🇪🇰🇪
Wow zatiti na Mr tasha nimependa hii couple ❤❤❤
Zatiti na Tasha ongereni saan,ninafurah saaan Big up saan😘😘😘😘, Ninawapenda bure mie, tulishamaliza Ndoa ya Kai na Zuu,tunasubir Ndoa ya Mr Tasha na Mrs Zatiti tuje tuisheherekeye😘😘😘🎉🎉🎉, Oyooooooooooo, Sania atakoma kuringa na huyo Umalaya wake😅😅😅
Wanaotaka ndoa ya kibendu gonga like
Waoooo zatit na tash mmependezan
Nimefika kwa wakati
Alafu zuu ubadilike kuvaa bana ww n mzr una maisha mazr bado tu kuvaa upendeze❤tunawapenda
Bora tu umesema maana khaaaa😂😂😂😂
❤❤❤❤❤ᴏᴏᴏᴏᴏᴏʜ ɴɪᴄᴇ ᴍᴏᴠɪᴇ🎉🎉🎉
Jaaamn ni kwamba hamjajua kitu unajua hii movie ina part mbili kwa upande wa wanawakee upande wa kwanza ni upande wa wanawake wenye busura( kacheza ZUU, ZATITI na mke wa mpumbavu mwenzangu) upande wa pili n ya wanawake ambao hawana busara yan shindikana😂😂 ambao hawaelewii yaan wenye tabia za uswaz uswazi na kadhalika ( hapo kapewa candy, sania, dada ake chiko, da masuzy ) so kila mtu anachezeaa part yake kama anavyotakiwa kutokana na kipande alichopangwa jamaan na hawa kina candy, sania , dada ake chiko, na da masuzy wanatufundisha kwamba wanawake wanaotaka kuolewa wasiwe na hizi tabia kwan wanaume hawapend wanawake wenye hizo tabia ndo maana kila wakitaka kuolewa ndoa haifungwi kama sania na tasha siunaona kikamlamba sania aya candy na kai kikamlamba candy so wote wanajuaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤kutokana na part yake anayopaswa kuchezaa🎉😂😂😂
Jamani Zatiti Nampenda sana na RAFIKI WA KAI
MKO VINZURI SANA HONGERENI SANA❤❤😂😂😂
NAJIFUNZA KITU HAPO
Saai nko na Amani sana kumuona Mr Tasha na Zatiti wakiwa pamoja.Alafu mamake Tasha umrembo mamaa Nakupenda ❤.
Kusema kweli leo nimefurahi sana kuona tasha na zatiti wameungana ten na ukwel uko wazi ss hongera kwa busati tv jmn ❤❤❤
Nawawekea maua Tasha na zatiti ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Tunasubiria ndoa ❤❤❤❤❤❤❤
Nilikuwa n subir Kwa hamu n gamu Asnte🎉🎉❤
Kumekucha jameni❤❤❤
Watu weeeeeeeuweeeeeeeeeeeeeeeeh tasha na zatiti woyeeeeeeee.. Ila inabid sasa busat msituchanganyie mada jaman tumalizien hii halaf tuanze my mother jaman .. Nasubiria jua la chiko na candy
❤❤❤❤❤❤❤ asante tasha kwa zatiti kukubali kumuoa
Woow nimewahi leo ❤❤🎉🎉
Mimi naomba kabisa tena sana doa ya zu nakayi ishiye pâle pâle ututaki kuona bimevurugana tena kwasasaivi tunasubili doa yatasha nazatiti
Unaogopa yasitokee heka heka kumbe wee muoga??😄
Heheheee mtongozano mbele ya mkwe😂😂😂😂😂😂
Hongereni sana❤❤❤❤❤❤❤
Hongereni sana ,yani hii episode imenifurahisha sana ,zatiti na Tasha karibuni kwenye penzi jipya huku tunaanda zawadi kwajili ya ndoa yenu ,mama Tasha hongera sana
Maashallah, Asante mama Tasha ❤❤🎉🎉