BARNABA AFUNGUKA SABABU ZA KUOMBA MSAADA WA DIAMOND / NILIMPIGIA SAA 9 USIKU / MAMBO HAYAENDI
Vložit
- čas přidán 12. 08. 2022
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Je suis congolais vraiment j'aime Diamond et j'aime cette collaboration
Barnaba nakupenda tangu nyimbo yako ya SMS na linah Sanga 💋 Simu zinafanya wapenzi wanaachana😭 love like a virus...
Mkitoka hapo sasa sio kumtukana diamond wetu
ujumbe umefika
Kabisa
Message sent
Kweli
Daimond kama anamoyo wakusaidia watu bure bilayakuigiza pesa nayeye naomba atembee mitaani au hospitali kunawagonjwa hawana uwezo wakufanyiwa uperesheni nawengine hawana uwezo wakununua dawa nawatu wengine walokuwa hawajiwezi kumiliki hata mlo mmoja 1 namuombea akawasaidie mizali anahuruma namoyo wakusaidia watu bure
Tutasave hii interview, tunaomba mbeleni asibadilike
Fact
😄😄😄😄😄
😅😅
Kabisa 😆
Nasibi Ana Akili Sana
Mwenyezi Mungu Ambariki sana Abdull nasib aka#diamondplatnumz
Allahumma ameen InshaAllah
Mwanzo muna musema vizuri ila mwisho ni mtu mbaya
daimond mimi mwenyewe na kupenda sana unapambana sana sema kinacho niuma sana katika maisha yangu nikiwakuta watu wanakuzungumuzia vibaya
Simba ni Simba 👊
NASEEEB NI MTU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jamani anasauti km ya diamond
Barnaba Kuna peps yako yabarid huku 🦁🦁🔥💌
Diamond is diamond
Hehhhe mkiwa mnaanza kusaidiwa mnamsifia anapenda ibada alikua anatoka kwenye ibada😀😀 mkishamtumiaaa mnasema mwizi mnyonyaji 😳😳dai na ww unaokotaokota sana hujifunz unakua km wale wazee wa zaman anasaidiaaa nyumba inajaa watu 100 mpk anafirisika anabak kuchekwa na haohao
😅🤣🤣😅sanaaaaaa ukitska kufanikiwa jishushe
Umeona. Ehee wkaiwa Nishida kila. Kitu kizur wakifanikiwa nasibu mnyonyqj mwizi kila.jina watamuita
Kweli
Kweli
😆😆😆 umenifurahisha Faicy
Simba is the King in Africa , love from Mozambique
Mozambique sehem gn mzee
B
Kweli barnaba
Wahindi wanasema kuja omba kazi kuja kono nyuma patakazi wewe kuja kifua mbele wahindi pikeleleee wewe iyoo 👌🤣💃💃
🤣😅🤣🤣🤣🤣
Umenichekesha sana
@@ngowibeatrice1701 🤣🤣🤣
Hahahahaaa hatareeeeeee
Mwenyezi mungu awaongoze kwa kweli.
Kisha mkitoka mumnange vbaya Tanzania nchi ya amani sana
bigger sana chibu dangote
kinacho niuma Zaid wakifanikiwa Wana msema vibaya diamond 😭😭😭😭
Umeonaee
Mko juu sanaaa
Badaye uje useme ulitumia pesa zako,muda wako,na kila kitu chako ili uifanye brand ya Diamond na wasafi TV ziwe juu eee? Tunakusubiri tu maana lazima uingie 18 kama wenzako
Nilicho jifunza ni kwamba wasanii sahvi wamekubali kuwa mondi yuko mbali sana kimaendeleo mpk wanamtetemekea yani
Alafu baadae watu wanakuja kusema Diamond Platnumz ananyonya wasanii
Kweli
🤙🤙🤙🤙🤙
Umefanya kitu kikubwa hukujali ukubwa wako kwenye game ifike hatu mzk wa bongo uwe km wa naija
Jamaaa anawasev weng san ila mkishapataa mnakuaga na maneno ya hovyoo sana jifunzeni kua na heshima
Hmm nawas sana usipoteze jina ILA NGOJA tuone mana kaka aongelew vizur, zingatia mikataba ucje tulilia mitandaoni
Wakiwaga na shida Diamond mzuri,wakishakua wakubwa sasa Simba mbaya 😂, anyways Barnaba tunaamini utakua na adabu
Wew hujui mziki daimond ndo kanyonya madini mengi kwa Barnabas na daimond anamuhusudu sana barnaba
@@canibalgazaboy8325 kivp Yan 🙄🙄🙄
Ukwel mkuu
Kwahyo uko gengeni nyanya zako wewe zilikuwa znaonaza znakuwa masalo za daimond zinatoka😀😀😀😀
Mondi kichwa so mchezo mchezo yn yule kiumbe ni mtu amini. Sn
Akili nyingi🙏🏿
Simba
To reduce ana maanisha kujishusha?
sas van boy kilichofan atok kitu gan jaman 😥😥😥😥😥
Nampenda mno diamond platnams mpaka nahisi ukichaa, simba huwa haupendi kuongea ongea mno, ndio maana huwa wanamsema na kumsimanga yeye anaendelea kupiga kazi zake tu, ndio maana mungu anaendelea kumbariki, yan hicho ndio kitu ambacho huwa kinanifanya nizidi kumpenda tana na tena, kwamba alikwambia mambo mawili tu, unataka pesa? au unataka kuonekana(yan kuwa maarufu?!!) ikaisha hiyoo!
Mwenzangu namim😀🙏🧡
Basi unamatatizo wewe
Skia kijana unataka helaaa ama unataka kuonekana.
🔥❤🔥
Mnakujaga hivo hivo mkishapata pesa mnaanza kuhaha.
barnaba,super talented
Nakubali Barnaba Uvimbi Na Katika Maisha Kutaka Kujua Ni Jambo Zuri Sana.
BLESS UP TO SIMBAAAAAAAA DIAMOND PLATINUMZ
Big up sana kwa diamond platinum
Waiting for it
Iyo nieshima kubwa sana
Nakubr ss fanya mipango usainiwe
Diamond na Barnaba wametoka mbali
Uko vzzuri sana
Diamond wakipekee sana kama magufuli
Wewe kwisha
Afazali ulijitambua kuliko ukaa bila kujikagua
From 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 wa Tz jivunieni kuwa na msani km Mondi Simba kutoka mbuga ya tandale na msapoti acheni chuki tunaimani Mondi anaitangaza Tz kuliko msani yeyote wa Tz
Kamaliza
Maskin mondi kumbe anaswalo
🔥🔥🔥🔥🔥
#Wasafi ni noma Sanaa kwa ubunifu
Huyu jamaa ana sauti ya mondi platinumz
safii
Barnaba platnamz fire
Praise the dude but don’t kill him once you want out 🤣🤣🤣🤣🤣
Umefinga maneno😆😅😅😅😅😅
Lol
He is not getting in.
Wasanii wakiacha ubinafsi yani tuna masta wengi sana humu sema ndo hvyo kuchaguana baadhi
Kweli kabisa chib Hana shida
Ushatoboa
Kalibu wcb
Jamani pro J mbona hasikiki? Vp kwema?
Genge langu zuri ila halihuziki !! Wenzako wanasir nzito
Simba wapige mikataba ya nguvu hawa kaka wakiwa na njaa wanafunguka yte wakitusua ooh haifai sahii wanajisahau wanabwabwaja yte simba more blessings kaka
Shda ya bongo iko hv unaweza ukasaidia ukstoboa utaskia n mnyonyaj yule yaan sjuw hii nch vp ss 2lioopo chn 2nataman saana 2shkwe mikono ila hakuna wakutushka dah hii nchi😭😭
Tena uyu akifamikiwa cku akitoka utasikia Barba alikuwa a akipjia Chekewenyewe kaenda pale msaniikubwa ss alifata kutaka msaada wann yn binaadamu
@@nishaabdula5015 duuuh yaaaan acha tyu
@@kazoumareeeyuusuph3919 mtihani sn. Ss binaadamu.
Hii ni biashara babu aaaa hakuna kitu cha bure au kusaidiana
Bleseeed kizazi .......😃😃😃
Wajina Elias
Fata nyuki upate asali
Ungejua ni jinx gn, machoz niliyolia kw uchungu wa penz langu nana, eti kisa maali, ukaona bor uniache me na uolew....................
Mwisho utakuwa mtumwa wa mondi na kipaji chako itaicha
wasafi hawanaga show ndogo
Ok
💯💯💯💯💯💯💯💯
"I have to reduce my career and ... ...."?
Sio lazima kuongea English
Zungumza Kiswahili tutaelewa kuliko kiingereza alafu hueleweki
Let's take time to learn and say right things even if with the wrong accent
Hahahhaa umeona eeh!!!
His better than others 😂
Facts bro😂😂😂
Kiswahili kitamu sema uzungu unatuzuzua
Wote tunachanganya hata zaidi...hapo ni kawaida kabisa; acha makasiriko 😄 🤣
Anafanya si ameona atapata naye faida,hapo ni biashar tu
Ivyo ndoinatakiwa kubadilishana mawazo
Im sorry
Baba lao anajua na anafanya kwa moyo sana
Why lie , the guy (Diamond ) is smart
Diamond platnumz ndo msani pekee anaye tuwakilisha EST AFRICAN....kama unabidha leta data✍️✍️✍️✍️✍️✍️fact .
💥💥💥💥❤️❤️❤️🇿🇲🇿🇲
Sasa iv wala hakuna wapambe apo ukisha toka utaona nguluwepoli kibaao wanataka kushilikiana nawe kumtukana mondi mungu yupamoja nae
Mopao m2 mbad
Diamond+ barnabasi
Mpe mkataba huyo barnaba
Diamond platnumz czcams.com/video/XTyrqyX30Vg/video.html
czcams.com/video/XTyrqyX30Vg/video.html
Ivi Nasibu anaswalijeje na tatuu hizo
Anavua ngozi ya tattoo anavaa isiyonayo.
Mungu hakatadhi ibada hizo zingine anajua yy ukumu zake
Unaambiiwa janaba linatoka ndani ya cku 40 vip anaezini Leo na kesho anaenda msikitini
@@Userog254 unaweza kutusaidia dalili za kua janaba linatoka kwa siku 40? Yani namaanisha kua una ushahidi wa andiko au hadithi ya mtume inayosema hivyo au n just maneno tu ya mtaani?
Hakuna mkamilifu kaka
Sio vibaya kuswali. Mengine tumuachie M/Mungu.
Diamond platnumz czcams.com/video/XTyrqyX30Vg/video.html
czcams.com/video/XTyrqyX30Vg/video.html🔥🔥🔥
sala Ya ijumaa unasalia ofisin!!!
Wewe hauna Ofisi mzee. Wenye Ofisi binafsi kunachumba cha ibada.
Jiunge Freemason ww haya unachelewa shauri Yako!!
Wewe li mtu jinga sana wewe li vivu kufanya kazi una muhao ko unazani kila anayefanikiwa n fremason taila kwel wew
😁😁😁😁anachelewa atajua mwenyw😀😀
@@mozespatinam9296 saizi bila njia za mkato au Mali za urithi huwezi toboa kenge ww, nyie ndo mnashinda mnatudanganya kila siku kuwa mnapambana kutafuta hela kumbe mna njia zenu za short cut
@@alexkalonga5323 🙄🙄🤣🤣🤣
Soon tutakusahau Kama rich mavoko😂😂😂😂😂
czcams.com/video/4S8II_RrPGU/video.html
Bonyeza hapa Tuweze kuona jinsi Alivio kuwa na diamond South
czcams.com/video/94oozSYHFss/video.html huu ndo ukweli kuhusu wema kuto zaa
Diamond platnumz ndo msani pekee anaye tuwakilisha EST AFRICAN....kama unabidha leta data✍️✍️✍️✍️✍️✍️fact .
Diamond platnumz czcams.com/video/XTyrqyX30Vg/video.html
czcams.com/video/XTyrqyX30Vg/video.html