JE QURAN IMEUMBWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 18

  • @truthspeaker2062
    @truthspeaker2062 Před 7 měsíci +4

    Ikiwa quran ni sifa Ya dhati ya Allah kwahio atakaechoma quran atakuwa amechoma moto sifa ya Allah . ??Akisha hapo umesema kuna kalaam qadeem na kalaam muhdath .Allah anasema ktk quran kuwa ni muhdath sasa ww tupe hoja inayopinga hii aya . { { مَا یَأۡتِیهِم مِّن ذِكۡرࣲ مِّن رَّبِّهِم مُّحۡدَثٍ إِلَّا ٱسۡتَمَعُوهُ وَهُمۡ یَلۡعَبُونَ }
    [Surah Al-Anbiyāʾ: 2]

  • @alimzeeali2236
    @alimzeeali2236 Před 6 lety +3

    Maelezo ni mengi tu ustadh wangu lakini hujatushibisha dalili ya kwamba qur-an si kiumbe
    sisi wengine tunasoma kupitia nyinyi kwahivyo lazima mutushibishe kwa dalili ili nasi tuweze kuelimika na kujenga hoja kwa watakaohitaji kuelimika pia kupitia sisi
    qur-an ni maneno ya Allah(s.w) ni kweli sababu yeye ndio ameyajaalia kuwa kama ilivyo kifo;njaa n.k
    hata wanaadam ni wa Allah sababu yeye ndio amewaumba kwahivyo kila kitu ni cha Allah sababu yeye ndie mmiliki na tunaambiwa kuwa kila kisichokua Allah hicho ni kiumbe ama qur-an ndio Allah??
    tafadhal tusaidien kielimu kutufafanulia bila kuweka ushabiki wa madhhab
    shukran

    • @allymido1399
      @allymido1399 Před 5 lety +1

      ww haujamuelew kwel sheikh wang ni manen na sio kiumb bad tuu

    • @ABUUALLY-tv8rl
      @ABUUALLY-tv8rl Před 7 měsíci

      Suali kama qur Ani sio kiumbe je ni Allah ?

  • @asiaimamu3435
    @asiaimamu3435 Před 5 lety

    Jazakallahu khaira

  • @fatmaali3838
    @fatmaali3838 Před 6 lety

    Shukran Allah barik

  • @abdulazizal-mazroui3363
    @abdulazizal-mazroui3363 Před 4 měsíci

    Kwani quran ilikuwepo mwanzoni

  • @missfa4650
    @missfa4650 Před 6 lety

    Mashallah Allah akulipe kheri..

  • @Twariqabaalwy
    @Twariqabaalwy Před 6 lety

    Barakallaahu fik yaa sayyidy

  • @saudajulias215
    @saudajulias215 Před 6 lety

    jazzakumullah khery

  • @ABUUALLY-tv8rl
    @ABUUALLY-tv8rl Před 7 měsíci +2

    Huwezi kutoka nje ya vitu viwili hivii imma kiumbe au ni mungu kwahiyo Kila asiekuwa Allah s.w ni kiumbe na qur Ani sio Allah Bali ni maneno ya Allah s.w na kama ni maneno ya Allah basi ameyaumbaa ,kwani shida ipoo wapi ? Kwahiyo ukisema qur anii ni kiumbe ndio utakuwa umemtukana mwenyezimungu ! Au umempwekeshaa? Mbona dalili zipo wazi kabisaa kwenye qur Ani kama imeumbwaa . Na umesema kiumbe maana yake ni kitu ambacho mwanzo kilikuwa hakipoo alafu kikaumbwa ,suali jee qur Ani ilikuwepoo tokeaa enzi na enzi ?kabla ya kuumbwa ulimwengu?

  • @stonecolly
    @stonecolly Před 2 měsíci

    Kumbe kuna madhehebu ya wamanga pia ? hii mpya . Ule upulizo aliopulizwa nabii wetu ADAM (A.S) Vp ..... sheikh ? au ndo yale Khalak adam alasuratihiii... yanaelekea huko . The pure and clear monotheism that avoids misconception is only throught Ibadhi. ukitaka kuipata hii ni madhehebu pekee Ibadhi. Nahili sisemi kwa ubishi ila kwa dalili. Nahapa ndio mayahudi na manasara walipo fail ... hadi kufikia kusema Jesus is a son of God and A God. hii Kadhia ipo deep sana . ukijibu juu juu tuu utajiona umeshashibisha watu elimu kumbe umeshibisha watu Upotevu aidha kwa kujua au kuto kujua. Nasaha yangu kwako na wengine nikutafuta elimu zaidi .

  • @user-we4ko2zf8w
    @user-we4ko2zf8w Před 4 měsíci

    Shk unajichanganya tu kaa chini usome!!!

  • @muhammadal-bimani8120
    @muhammadal-bimani8120 Před 5 měsíci

    Qurani imeumbwa. Shekhe ikiwa huna elimu wache watu wakuelimishe usikufurishe watu mana utahisabiwa huko mbele na Allah.
    Suali ni, jee Qurani ni Mungu? Ikiwa sio Mungu basi imeumbwa. Very simple

    • @z34-kp9qq
      @z34-kp9qq Před 4 měsíci

      Allaah amesema
      ألا له الخلق والأمر تبارك الله رب العالمين
      Kwann allaah katofautisha kati ya yeye na amri na viumbe !!! Iweje atenganishe !!! Kati ya amri na viumbe!!!?

  • @saidalabry6163
    @saidalabry6163 Před 3 měsíci

    Qur-an ni kiumbe.Qur-an sio sifa ya mwenyezimungu ni athari ya sifa ya mwenyezimungu.Sifa ya Allah ni Almutakallim yaani muongeaji na maneno ni matokeo ya sifa ya uongeaji kama ilivo Allah ni muumbaji kiumbe ni matokeo ya sifa hiyo..kwahiyo Qur-an sio sifa ya mwenyezimungu.sheik tafadhali ongea kwa dalili.hadithi na dalili ya kuwa qur-an ni kiumbe zipo nyingi sana lakini kusema kuwa Qur-an si kiumbe hakuna dalili ni maneno matupu ya watu.

    • @saidmohammed2405
      @saidmohammed2405 Před 2 měsíci

      Kweli Shekh quran sisifa ya Allah bali ni Madlulisifa yani ni dalili ya sifayake kama ilivo kwa viumbe vingine
      shekhe afahamu kuwa kuna khalik na makhluk hakunakitucha tatu hapo inabidi aendelee kutafuta elimu kabla hajatoa fatwa
      nakama yeye imaniyake nihiyo basi asiwakufurishe walewanaosema quran ni makhluk