Asante kwa elimu nzuri,nimevutiwa kuwa majani haya Yana protein ,
Kuku wangu wanasumbuliwa na mafua makali nifanyeje mlisema nichukue pilipili na alovera na majani ya mperawa Bado wanakoroma hivi Mmoja nimemshikilia
Tazama hii czcams.com/video/98hkKJeTfWo/video.html ukiwapa hiyo dawa watapona
THANKS FOR THAT GOOD STORY , GOOD FARMING, GOOD VOICE ,GOOD LADY NICE DAY.
Tunakuelewa
Kuku anayetaka kuatamia baada ya kutaga namzuiaje joto la kuatamia ?
Kiswahili fasaha
Kuku wangu wanadonoana. Nitumie nini kuzuia tatizo hili? MAANA wanashambulia hadi vifaranga
Kuku wako wana upungfu wa calcium, lakini wengine ni tabia yao. Wakati unasubiri dawa KATA midomo.
Asante Sana dada Mungu akuinue Kwa marifa Zaidi kama Danieli ktk Bibilia hongera Kwa elimu mzuri nimependa Amen 🙏🙏🙏
Nashukuru sana na Mungu atubariki sote amina