Sijawahi kusoma madrasa ya dufu katika maisha yangu ila huyo msomaji wao qaswida na hiyo madra yake sizani kama wana mpinzani yani natamani siku wakija znz niwaone live dah mashallah jamaa wametufanya mpka sisi wengine tulipende dufu kwa lazima Allah awazidishie mapenz na umoja milele inshallah
Mashallah, Allah awaweke walimu na team nzima ya el ghazal.
Team Dunia
Mashaallah Mashaallah Walim Zangu Sema Nini Neema Ya Mvua Ilikuwa Imeharibu Kidogo Daaaah
Acha tu ila kuna kitu kingine kinakuja
Mashallah ila watingaji mujirekebishe munapishana sana
Wachache wenu munapishana fanyeni maeekebisho haswa munapo kua ktk mazoez
shukrani mwalimu wamekusikia
Kwangu ghazal ndo namba Moja kila siku
Wanajua
Sijawahi kusoma madrasa ya dufu katika maisha yangu ila huyo msomaji wao qaswida na hiyo madra yake sizani kama wana mpinzani yani natamani siku wakija znz niwaone live dah mashallah jamaa wametufanya mpka sisi wengine tulipende dufu kwa lazima Allah awazidishie mapenz na umoja milele inshallah
Allahuma Ameen
Karibuu uje usikie kaswida inayosema umri ni number 🔥
Mashaallah pa 1 San from pemba
Shukrani jazeel habeb
Dah mashallah nimejiona kwa mbali
Hahahaaaaaaa
Good qaswida
Mnoooo
Ghazal 🔥
Wao ndiyo wamefunga mwaka
MashAllah umemaliza
Dooohhh Dua zako Habeeb
Mashaaalllah apa mmetukoshaaa♥️♥️♥️
Doooohhh dua zako shabiki yetu
Masha Allah,hii ndio dufu sasa,nimetoka kuiangalia tiktok kipande kidogo tu nikajikuta naitafuta CZcams nashukuru sana nimeipata
Dooohhh Shukrani sana mwalimu hakika hapa ndiyo viwanja vya burudani
Maashaallah qasda nzuri sana♥️❤️❤️
Kabisa
Seiphabdallah
Hiv wanapatikana magomen sehemu gani (mtaa gani)??
Kondoa mwalimu
Mafundi wa dufu dunia ghazar tamayur tishio madinar
Hujakosea
Hamna tamayur palee yaan now ghazal ndo inapotea watingaji wanapishana sana
Hiki ndiyo kioo cha madufu zungumza habeeb ili next time wajirekebishe
Bara ghazal zenji safina ❤❤❤
Sawa ghazali hamna mpinzani tanzania
Kabisaaa
Fataja Yangu Wacheni kukatakata Qaswida wekeni yote
Sawa mwalimu tumekueleweni hilo
Asikwambie m2 dufu raha
Mnoooo
mvua ilitukosesha radha aisee wale wapemba hawan mpinzan uku bara mwakan wakae na islaah na manaazil
Hahahahaa tutafikisha jumbe inshaallah
Mafundi WA dunia
Ndiyo maana wakaitwa El ghazal