2024 anyone?
It's a nostalgic song because when I was young we used to live in huruma and this was like an alarm on a Sunday morning kuenda church mtu wakuuza cd akiziplay 7.00am ❤❤❤
Who is with me 2024❤❤❤🎉🎉 🔥 🔥
Naupenda huu wimbo jaman acheni tu tuendelee kumsifu Mungu piga like yako hapa kama wampenda Mungu..
Huu wimbo ni Sifa kamili kwa Mungu,
“Daudi alimwimbia Bwana maneno ya wimbo huu wakati Bwana alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.”
Ukisoma maandiko matakatifu 2Samweli 22 utakutana na huu wimbo kuanzia mstari wa 32 na kuendelea.
Glory to God 🙏🏼🔥🔥
Mimi nipo hapa 2024. Tunawapenda kuroka Kigali, Rwanda.
Tulio tazama tena mwaka huu gonga like twende pamoja
2024 mungu nifunge mshipi
2024 still watching 🇨🇲🇨🇲🇨🇲👏👏👏
Nimekuja tena KUSIKILIZA 2024
2024 in it fully,my love for this song can not be measured with anything❤❤❤❤❤
Twende nayo hadi 2024
Takes me far back in time as a very young boy. This song made me admire Catholicism at a very young age and now am a proud catholic
Wimbo mzuri hongera sanaa...2024 here am listening
Nimekuwa Mtu wa elf 1. 1000 kucomment... YESU awatunze ❤❤❤❤
Baada ya miaka mingi nimeupata huu wimbo naskia nimebarikiwa, 2024 still a hit
This mshipi song hits differently 😢❤ asanteni sana St. Cecilia 🇹🇿
Watching in 2024 in UK and remembering how God has been so good.Amen..ni mungu ndiye anifungae mshipi wa nguvu
If im not here tomorrow just know this song started my day....2024 noww
I’m not a catholic but I schooled in catholic schools both primary and secondary, I love their songs. I know all of them and I enjoy listening to them
Who else is steeling watching this song 2019 🙋🙋🙋 nice one Amen
Yes Akinyi we are still watching..Amen indeed.To Nyongesa it might as well have been a typo typing error.God bless us all.
thanks wale tunaendelea kuwatch twende,,, hadi 2030 au sio dio manake
I proud Roman Catholic 🙏
Who also came here from tiktok 😅😅😅😅😅😅
I have been searching for this song for pass 10 years now . Thank God I finally saw it 2024 on February 26 . This was a great song in my child hood as a catholic reform Christian. We usually sing this song and even stage in school even though I don't understand the meaning because I am from Cameroon . Much love to this song .
2024 fans gather here
Also watching from Cameroon 🇨🇲🇨🇲🇨🇲. March 15, 2024.
Which part are you from? I'm from Buea
@@FondahTravel wow great 👍.
All the best brother. How's India? I've always wanted to be there someday
2024 anyone...🔥🔥🙌
2023 am still loving this song, such a masterpiece!
The unique of Roman Catholic is that we have unique tones everywhere you go,when you here these sounds you know exactly where it's belongs...😍
i dont mean to be so offtopic but does any of you know of a method to get back into an Instagram account?
I somehow lost my account password. I appreciate any help you can offer me.
Franchement les catholiques tanzaniens different des autres catholiques.quand on entend les sons de leurs chant avec la facons don't ils dansent,on les reconnait rapident . Je vous suis depuis le burundi.soyez richement benis
This song in sang in almost every Catholic Church here in Kenya! Thank you Tanzanian choir for this masterpiece!
2020..... still in our hearts
Najivunia kuwa mkristu mkatoliki, mbarikiwe na babayetu wa mbinguni, wooote msikilizao nyimbi za kumsifu na kumshukuru yeye aliye juu, naiwe heri kwenu
Mimi piya najivuniya sana piya niko muimbaji wa kwaya ya mtakatifu cecilia🤩😍❤️👌🤦♂️
I really love this song since day one on my CZcams congratulations all catholic for making millions of people happy and blessed 🎉🎉🎉
Hi brothers and sisters of year 2090,,,,.......we enjoyed alot in 2019/2023 with this song hope you are enjoying it too. Stay blessed...make Catholic more respected than we your elders did. And God will put best in your lives.
@@TashTashliny-uh7ts yeah probably most of us will be buried ⚰ 🙏😂🙄
Ni Mungu ndie anifungae mshipi wa nguvu😌
Though am an Adventist this one of my all time Gospel song naupenda wimbo huu... mbarikiwe 🔥🔥💯😘
Thanks Woka for liking our song. You have no idea how I love SDA hymns. You also have a unique way of singing. Let's all praise our Creator. That's why we were put in this world. Our God is one and He loves us equally. Tumtukuze forever.
Any one watching this song 2020, I am so much proud to be a chatolic member God bless you all
Acheni Mungu aitwe Mungu, Nyimbo Katoliki ni tamu saana
Bwana alinitendea sawasawa na haki yangu, akanilipa sawasawa na haki yangu...............................thanks
2020 still watching🙏🙏be blessed🙏
2020 gonga likes hapa
Moto Mwaki Fire ❤💯🇰🇪 chu chu
hizi ni zile enzi za madvd na cd, nakumbuka jirani zangu wakituomba hii cd sundays ati wanaturudishia (listening it in 2023)
Anyone watching in 2020 October make that thumb blue 💙 wow this song in the days of my youth choir were awesome
I remember us singing the song back in 2009- i was form two by then
Ain't catholic but these are some songs that i love listening to..God bless
Hongereni sana kwakupata tuzo
At last i saw this album,for the fact that i never knew the name of the choire i had to watch almost all the Catholic songs just to find this ,i don't speak Swahili but the Rhythms and the acent gives me a deep feeling of belonging 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
2024 here i am enjoying this song
Eeeh Mungu Tufunge Mshipi wakati huu wa Janga la Corona na siku zilizobakia zote
Naipenda Sanaa uwo wimbo unanifnya nijisikiee amni
Nina furaha sana kuwa mkatoriki mkamilifu,tumsifu yesu kristu wapendwa
nimebarikiwa sana kama na ww umebarikiwa please usiache kugonga like
Mwaka ni 2024 karibu tena😊
Ongera sana nawapenda na hizi wimbo nzuri sana ❤
ni mungu ndiye anifungae mshibi wa nguvu Aha!ni mungu ndiye kimbilio la unyonge wangu Aha! nae anifanya kamilifu njia yanguuu🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tamu I say😍😍kipi kitotacho nifungia kuona Mungu💖💖likes za 2021
Jamani nani anapenda huu wimbo kama mimi nakuhusikiliza kila mda 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
I don't think my soul will be tired of loving this song. it blesses me so much
Am proud to be a catholic of Roma by faith. When you sing you pray twice,, it is said so and I believe
Penda san♥️💋🙏🔥wengine wanajikongoja nyie kiboko
Leo hakika imekua cku yangu nzuri. Kwa kuzipata nyimbo nizipendazo. Huu wimbo. Na Mungu ndiyo tegemeo langu.
Yani huu wimbo naupenda mno❤️
Whos here 2024 kenya
I can't get enough of this song, Thank you God for being there me always
nani tuko pamoja hadi sasa 2024
Ain't a Catholic, but as an SDA adherent, this song is so inspiring that I came back to listen to it in Oct 2019
I really like the song. Keep fire burning and God bless you all 🙏🙏🙏
Nani aliye kama Mungu....HAKUNA🤝
Hii sasa ndio huitwa evergreen
When am too low in spirit,I remember this song,I play it,and the beats begin,,,,I feel blessed.
nothing is like God, God is my Castle, my rock, my girdle I love God
Thank you for being rock of my weakness Amen
Yaani no balaaaaa
,asanta sana Kwa wimbo huu
Katika shida zangu nalimwita Bwana Eee Bwana na kumlalamikia Mungu eeh Mungu akaisikia sauti yangu Hekaluni mwake kilio changu kikaingia masikioni mwake... I love it 2019 January
21st June 2020. 1846hrs.. Enjoying this lovely piece in Mbeere, Embu County.. God, open our doors..
Utabaki kuwa MUNGU tu even in the midst of my hard times I will glorify your name
the giant apo ngoma ikipigwa balaa
2019 anyone??...
This song is just beautiful... I looove it.... ❤️
Thank you Mt. Cecilia Choir
Daah asee hii wimbo ilifunika sana, maana mpaka sasa kama mpya vle haki naipenda sana pia na waimbaji woote mbarikiwe sana na Mungu👏👏👏
Sichoki kusikiliza hii nyimbo hakiamungu ina ujumbe mzuri saana kutoka 🇩🇪nafarijika kusikiliza nyimbo za nyumbani ❤️🇹🇿
I live to enjoy and listen to these amazing voices from Tanzania, this song is a melody
💜🙏am blessed.... We need you God during this hard time... Hear our cry🙏🙏#corona will be defeted in jesus name...
Ni yeye jabali langu nampenda sana. Ni Mungu ndiye anifungaye mshipi wa nguvu ahaa...ataifanya kamilifu njia yangu.... wooow!!!
Kua mkatoriki ni raha sana. God bless all participants
Kila mara ninapo sikia huu wimbo hunivuta machozi na kunipa matumaini mapya,mubarikiwe watunzi
I love this song.one of my favourite....... best line "ni mungu anifungae mshipi wa nguvu"
Hakika Yesu Kristo Awabariki Sana Wimbo Mzuri Sana.
Best beautfull catholic songs am very pleased to listen them and be blessed!
My childhood was awesome,Thank God🙏🏽
❤❤mungu a wabarik sana kwahizo sauti nzuri kwamungu
The fact that I dont even know what the lyrics say but it's one of my favorite gospel songs is crazzyyy 🤣💕💃💃
Thank you Theckla. The lyrics of this song especially the chorus is found in Psalms 18:32
Imetishasana nyinbo iiiiiiii❤
st cecilia iam a kenyan and i love your songs mnaimbanga vizuri sana you cant differenciate between young and old you really dance may you live to be blessed
Kama umeisikiliza hii 2024 gonga like