"mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu",lakini Maulana Mwenye Kurehemu Neema Kubwa, Kubwa na Neema Ndogo, Ndogo huwa halali.a story for another day 🥱😠🤬
Huyu alkuwa muuza nunu maarufu Bahrain akicom watu kutoka kenya ati anawatafutia kazi ,then akafunguliwa job ya coffee shop na mwarabu akaandika wakenya nkiwa mmoja wao hakutulipa doo
"mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu",lakini Maulana Mwenye Kurehemu Neema Kubwa, Kubwa na Neema Ndogo, Ndogo huwa halali.a story for another day 🥱😠🤬
I met this soul in 2019 in a party kenyans in Bahrain ..such a strong lady you are
The sacrifices you did in Bahrain will never go in vain
Thanks gal
thanks for that job that you are doing, God bless you
Mimi nilichapa piliphine nikapelekwa police by God’s grace tulienda tuka sign papers tusiongeleshane
Hope Susan you can remember Bethel church of nations in Bahrain under pastor Job cz I use to see you there before corona
True she used to attend Bethel church and she had an hotel in Gudibiya
Susan was good friend of mine.. Btw we need someone to come here in bahrain ahoji watu kadha.. Huku nkama hell but we choose to survive no matter what
Kweli aki
Ni kujikaza 😢 pole
Huyu alkuwa muuza nunu maarufu Bahrain akicom watu kutoka kenya ati anawatafutia kazi ,then akafunguliwa job ya coffee shop na mwarabu akaandika wakenya nkiwa mmoja wao hakutulipa doo
Huyo mwarabu alikuwa mzuri
Mbona hamkuenda direct na flight Dammam airport
Hapo kwa kunyimwa food na coworker na boss hawaongei ndio napitia hapa bahrain
Si you come home aii 😮
@@kadzo6614 ujui reason ilitoa mtu Kenya ,and coming back is not that easy
Kutoka Riyadh mpaka dammam ni 4hours
Depending na mahali unaenda juu pia Riyadh ni kubwa
Sijui Kwa nini nafeel she's not genuine
Navile alitesa watoto wa watu uku Baharain akiwakemboisha na kuchukua pesa ata Bahrain nikutoroka ju alicorn mtu 600bd ya visa
😂😂😂😂
True akijifanya pastor bonoko
Huyo mwarabu halikua poa.
Poa Sana cira