FAIR DECISION PART ONE NEW BONGOMOVIE SWAHILI FILAMU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • #fairdecisionpartone#newbongomovie#swahilifilamu
    FAIR DECISION..Filamu hii inazungumzia mahusino ya kimapenzi kijana valley anatokea kumpenda mwadada MORNE pasipo kujua morne amezama katika penzi la Cryton kijana tapeli wa mapenzi.Morne anapata ajali mbaya sana ya gari,Clayton anakaa mbali pasipo kutoa msaada nae kijana Valley mwenye huruma anaamua kuingia katika makundi yanayo jihusisha na uhalifu iliaweze kupata pesa za kumtibia Morne ambaye yupo kitandani hajitambui.Baada ya matibabu nje ya nchi morne anarejea akiwa ameimarika anapokelewa na tapeli wa mapenzi crayton na wanafunga ndoa sikuchache zijazo morne anapokea video za matukio yote zikionesha namna Valley alivyokuwa anapambana kumletea pesa za matibabu mama yake mzazi ndipo morne anagudua ukweli kuwa craytone hakuhusika na lolote katika ugonjwa wake mwanaume aliempambania alikuwa ni Valley ambae hakupata nafasi ndani ya moyo wa morne..nini kitatokea baada ya morne kugundua mwanaume aliefunga nae ndo nitapeli na ni mnyama?fatilia kisa hiki cha kusisimua na kufundisha...

Komentáře • 135

  • @neemamholu7658
    @neemamholu7658 Před 3 lety +8

    Tunaoangalia comment kwanza kazi iendelee 😁

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kimkasee309
    @kimkasee309 Před rokem +1

    I like sanau

  • @dorocasndunge1829
    @dorocasndunge1829 Před 2 lety +1

    Nzuri sana

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante Sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii WhatsApp +255658570788

  • @anita2965
    @anita2965 Před 3 lety +4

    Ahsanteni sana wahusika nyote, kwakwel napenda sana movi zenu ❤❤

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nuhairahibrahim3728
    @nuhairahibrahim3728 Před 2 lety +2

    Nzurii hongeren sana wahusika😘😻

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @saumubaeb151
    @saumubaeb151 Před 2 lety +1

    Nice 👍 movie

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      🌹🌹😘😘🥰

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies tunajivunia kuwa mwanafamilia wa sanau Swahili movies hakika wewe niwathamani kubwa kwetu nakuomba uendelee kutazama sanau Swahili movies kwani tumejipanga kuweka filamu mpya kila wakati Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @firtbornmollel7685
    @firtbornmollel7685 Před 3 lety +2

    Movie bora kweli ndo maan naipenda sanau media mna vitu vizut

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @aishaahussein3915
    @aishaahussein3915 Před 3 lety +5

    sicomment ngoja niangalie hadi mwisho 💃

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sanauswahilimovies
    @sanauswahilimovies  Před 3 lety +5

    Watazamaji wetu hii filamu ni zaidi ya filamu mlizowahi kuziona nawasihi msiache kuitazama kwa sababu Ina utofauti mkubwa Sana na filamu zingine mlizowahi kuona

    • @samooboris4596
      @samooboris4596 Před 3 lety

      Kwakwel inatofauti saa na filamu zingine
      Dah.... yani ina funzo kubwa
      Kazi nzur mno

  • @lydiamuli3328
    @lydiamuli3328 Před 2 lety +2

    yani nikiona you team huwa najua tayari movie ni.ncuri,hongera sana wahusika.munajua kutufunfisha🙏🙏🙏🙏

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788

  • @astelialaurenti4257
    @astelialaurenti4257 Před 3 lety +2

    Mnajitaidi sana hongeleni kwa kazi nzuli

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hawwasandale1935
    @hawwasandale1935 Před 2 lety +2

    Nacheki coment kwanza kisha naendelea

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @samooboris4596
    @samooboris4596 Před 3 lety +1

    Ivi bado kuna watu ambao wana moyo kma wa huyu jamaa
    kazi nzur sana
    movie nzur sana

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @abelmipwa9854
    @abelmipwa9854 Před 2 lety +1

    Wanaume Kama Valle ni wachache sana

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies tunajivunia kuwa mwanafamilia wa sanau Swahili movies hakika wewe niwathamani kubwa kwetu nakuomba uendelee kutazama sanau Swahili movies kwani tumejipanga kuweka filamu mpya kila wakati Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ruthwanjohi9746
    @ruthwanjohi9746 Před 3 lety +1

    Wow movie nzuri nimeipenda aisee

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 3 lety +1

    Daaa' mapenzi haya'

  • @magrethmartinmussa7356
    @magrethmartinmussa7356 Před 3 lety +1

    Kiukweli filamu hii inafundisha na kusisimua nizaidi ya filam hongereni sana wana Tabora

  • @hajeraaaa214
    @hajeraaaa214 Před 2 lety +1

    Jmn valley nampenda kwl

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante Sana kwa kuangalia Sanau Swahili movies hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana ikiwa ni sehemu ya kuwashukuru watazamaji wetu kwa kutuwezesha kutapa tuzo Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe Sasa na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii kawaida na WhatsApp +255658570788

  • @borbor6801
    @borbor6801 Před 2 lety +1

    Nice one movei

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-iv9sx6fh5s
    @user-iv9sx6fh5s Před 11 měsíci +1

    Mh hatari jamani dah

  • @mackiedaim4511
    @mackiedaim4511 Před 3 lety +1

    Wanangu Kaz Kazi

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nuruheartaman3466
    @nuruheartaman3466 Před 3 lety +1

    Movie nzur

  • @hidayaothuman8486
    @hidayaothuman8486 Před 3 lety +1

    Pongezi kwenu sanau

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @geraldfesto9866
    @geraldfesto9866 Před 3 lety +1

    Big up movie iko hot

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @ibrahimkanyata6211
    @ibrahimkanyata6211 Před 3 lety

    Hongereni sana wana Tabora wenzangu

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      .masikini filamu hii ya mama wa kambo inayozungumzia maisha ya kweli ya watoto waliopitia maisha magumu kutoka.kwa mama yao wa kambo bonyeza maandishi ya blue hapa kuitazama czcams.com/video/rZPm_6Vrs2U/video.html Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @kaselemalamla1546
    @kaselemalamla1546 Před 3 lety

    Mungu awabariki sana haya maisha nilisha wahi kuyaish

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante sana mdau hakika filamu hii nizaidi ya filamu kwamaana imegusa uhalisia wa maisha ya watu wengi hususani vijana

  • @kaselemalamla1546
    @kaselemalamla1546 Před 3 lety

    Sanau tulikua tumeishubili sana

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Tuna washukuru kwa uvumilivu wenu hatimae leo tumekata kiu yenu watazamaji wakituo chetu pendwa

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Před 2 lety +1

    good movie

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @priscadaudi1001
    @priscadaudi1001 Před 2 lety

    Duh ni hatar

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante sana hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana Kama sehemu ya Asante kwenu watazamaji wetu kwa kutuwezesha kupata tuzo hii unaweza kutoa maoni yako moja kwa moja kupitia namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Duu hadi ulihamia kwabandaa 🤕🤕🤕🤕🤕landlord hataki kuvurugwaa.halafu huyo babu hichochumba bs 😅tuu😅😅😅

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @msumenozedon8276
    @msumenozedon8276 Před 3 lety +1

    Huyu Ras jaman anaonekana anajua sana

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Nikweli kwa ujumla tunawapongeza wadau kwanamna nzuri mlivyopendezwa na maudhui ya filamu hii ikiwemo pamoja na wahusika wake

  • @youngsachafurniture5482
    @youngsachafurniture5482 Před 3 lety +1

    Kwan haya mapenz yenyewe yanasemaje mana dah😀😀😀😀😀😀

    • @rahimaaaaa5682
      @rahimaaaaa5682 Před 3 lety

      Naona ayana lakusema😂😂😂😂

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sanauswahilimovies
    @sanauswahilimovies  Před 3 lety

    Usikose kuitazama filamu hii nzuri Sana itakuwa hewani siku ya kesho ijumaa 9/7/2021 muda saa tatu kamili usiku hapa hapa sanau Swahili movie

  • @evolathamachaki4585
    @evolathamachaki4585 Před 3 lety

    Nampenda sn valley jamn,,,! Kaz nzur

    • @nasraally1708
      @nasraally1708 Před 3 lety

      Ata mm nampend

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Hapo sasa urafiki huo wavip wajinsia tofautii😅😅😅😅😅wakaka nadada

  • @msumenozedon8276
    @msumenozedon8276 Před 3 lety

    Jaman movie inasikitisha hii nyie

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante sana nakusii uendelee kufuatilia huduma zetu mwanzo mwisho ahika utajifunza mengi zaidi

  • @maluumaulid8204
    @maluumaulid8204 Před 3 lety +1

    Niliwamis kweli

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @zainabumsoga5957
    @zainabumsoga5957 Před 3 lety +1

    You wa lukingi gelo beautiful 😆😆😆 umeharibu

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @qatarmobaile2153
    @qatarmobaile2153 Před 3 lety +1

    Tunasubiri kwaamu

  • @hamisahamisa5896
    @hamisahamisa5896 Před 3 lety +1

    Nimechelewa

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @joshuaniniyai2407
    @joshuaniniyai2407 Před 2 lety +1

    Kweli mufi tamukweli haaaaaaaaaa

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante sana hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana Kama sehemu ya Asante kwenu watazamaji wetu kwa kutuwezesha kupata tuzo hii unaweza kutoa maoni yako moja kwa moja kupitia namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 3 lety +1

    Duuuuuu, mapenz Yana nguvu ya ajabu

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @KusiriyeOSawe
    @KusiriyeOSawe Před 2 lety +1

    8 MI

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      ❤️❤️

  • @mamakomangonakumbukambalis954

    Nc

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @phabianbwmbo9035
    @phabianbwmbo9035 Před 3 lety

    Tume subil mda sana mhh

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Usijali sasa huu niwakati wako wakuangalia kile ulichokisubiri kwa muda mrefu lengo letu nikuwaletea filamu zilizo bora mbali yakusubili kwa muda mrefu

  • @kaselemalamla1546
    @kaselemalamla1546 Před 3 lety

    Imenikumbusha mbali sana hii filam kiukweli inaelimisha inaburudi

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Tunashukuru sana kwa mawazo yako nasi tunahadi kuwa furahisha wadau na wapenzi wote wafilam zetu pendwa za kitanzania

  • @msumenozedon8276
    @msumenozedon8276 Před 3 lety

    Hawa jamaaa kama wameniandikia mm hii story duu
    Mmefanya poa sana yan

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Ubarikiwe sana lengo la channel yetu mbali na burudani tunaelimisha jamii nakuifunza mengi hakika endelea kufuatilia filamu hii

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 Před 3 lety

      Sema kweli

  • @riziwanisalum3372
    @riziwanisalum3372 Před 2 lety +1

    Mmh valley jmn moyo huo

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 2 lety

      Habari Asante sana hivi karibuni tutaanza kurusha tamthilia nzuri Sana Kama sehemu ya Asante kwenu watazamaji wetu kwa kutuwezesha kupata tuzo hii unaweza kutoa maoni yako moja kwa moja kupitia namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Huyo mpenzi wake alimtaka akiwamxima alelewe sahii mwezake anaumwa hata guu kutia 😱😱😱😱😱😱

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +2

    Jamaa kanyoa timberland kweli hataki kusikia Habari xa mgonjwaa🙄🙄🙄

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mrishosuleyman2516
    @mrishosuleyman2516 Před 3 lety +1

    very very

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      .masikini filamu hii ya mama wa kambo inayozungumzia maisha ya kweli ya watoto waliopitia maisha magumu kutoka.kwa mama yao wa kambo bonyeza maandishi ya blue hapa kuitazama czcams.com/video/rZPm_6Vrs2U/video.html Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @janeliz8825
    @janeliz8825 Před 3 lety

    Nasubiri sehemu ya pili

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante sana ndugu mtazamaji weyu tayari sehumu ya pili ipo hewani tumekusogezea kila kitu kwa ukaribu zaidi iliuweze kufurahi pamoja nasi

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    😅😅😅😅😅😅anajitoa ufahama eti ww nani🤣🤣🤣🤣halafu eti unampa masaa yausiku🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fridarichard9263
    @fridarichard9263 Před 3 lety

    Guyz mmefanya bonge la kaz hongeren

    • @kaselemalamla1546
      @kaselemalamla1546 Před 3 lety

      Hawa jamaa kiukweli wanaitaji pongez

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Tunakushukuru sana mpenzi mtazamaji kwa kuridhishwa na maudhui ya filamu yetu endelea kuangalia mpaka mwisho hakika utajifunza mengi

  • @dominiconsongo7855
    @dominiconsongo7855 Před 3 lety

    Sounds baya

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sarapaulo4718
    @sarapaulo4718 Před 3 lety +1

    Huyu lasi anapambana ila sidhan kama atamuoa

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Mpendwa mtazamaji na mfatiliaji wa filam zetu pendwa tunakuhakikishia ukiendelea kufatilia hii filamu mpaka mwisho hakika utajifunza na kufaudu mengi

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐mapenzi yakweli amepata banda la mpesa kwako huku hiyo helaa anatafuna na pisi kali wewe unashinda ukisimama ukimtafutia

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @fridarichard9263
    @fridarichard9263 Před 3 lety

    Hii so ya nchi hii, iv ni tabora au Hollywood 😳😳😳

    • @kaselemalamla1546
      @kaselemalamla1546 Před 3 lety

      😃😃😃hii itakua hollywod

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety +1

      Hahahhaa asanteni sana wadau naona mnaguswa kwa hisia kali kutoka na ubora wa maudhui yetu nasi tunawaombea kwa mungu mzidi kutufuatilia mtafurahi zaidi

  • @shabanistephano2856
    @shabanistephano2856 Před 3 lety +1

    Mikono ya saport juu yenu🙏🙏🙏🙏🙏

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety

    Kiholela hivyo unapeana nb?subutu mm huwa napeana ilesitumii mana sijakupendaa😅😅😅

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Hahaha asante sana mpenzi mfutailiaji comment yako ni nzuri ila nakusii ufatilie mpaka mwisho utajua kwanini mdada huyo ametoa namba kiholela hapa kunakifunzo kubwa sana kwa wadada wa kile nafunzo hili wakilielewa litawasaidia sana

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 Před 3 lety

      @@sanauswahilimovies sawa sawa

  • @fridarichard9263
    @fridarichard9263 Před 3 lety

    Whaaat??????????

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Karibu endelea kutama huko mbele yapo mengi mazuri na ya kusisimua zaidi na zaidi

  • @busigaprisca9317
    @busigaprisca9317 Před 2 lety +1

    Uyu kaka mwenye lasi nampenda sana no yake plz

  • @nurafedrick378
    @nurafedrick378 Před 3 lety +1

    Yani pata shida ndoujue aliekupenda bdo anakupenda kweli??irine haongei mana ungeongea ungeona msaada wa usio mpenda vile anakujali akupendae amekukimbia mana humpi hela amekanyaga kubwa kubwaa...🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️🤦🏽‍♂️duuu huo mtihani salala kwa rafiki yako huu msala jamani 😱😱😱😱

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @anethwilliam1526
    @anethwilliam1526 Před 3 lety +1

    Nzuri sana

    • @sanauswahilimovies
      @sanauswahilimovies  Před 3 lety

      Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏