Ni kweli naishi canada, kwasasa huku ni summer time jua kwasasa linazama saa nne na nusu usiku, na watu ndio mida yao ya kuenjoy kwasababu hali ya hewa inaruhusu kukaa nje so it’s true
Naishi UK na huku kwetu ikiwa summer usiku unakua mfupi, na mchana mrefu. Jua linachelewa kuzama. Linazama saa 4 kasoro usiku . Saa 2 usiku jua kali bado
Kuna vingi huelewi kuhusu ulaya na Amerika kaskazini... Kwa kipindi summer jua linazama saa tatu usiku. Nenda ukaone hata zile mechi za Euros 🇩🇪 utaona saa mbili usiku kwa saa za ujerumani bado jua lipo
Ni kawaida ya huku ulaya summer jua linachelewa kuzama huku hadi saa 3 usiku ndio jua linazama ila winter huku ulaya jua linazama mapema yaani saa 11 jioni ni giza totoro
Hey Millard Ayo, That was Afrofest, not Alikiba show, a free Afro-Canadian annual music event and has always been like that without Alikiba. Afrofest Toronto is Canadian annual event promoting African musical culture established in 1990 when Alikiba was barely 4 year old. You've got to report honest to fans of Alikiba and any celebrity. Any wrong report you publish about artist is gonna impact on their source of income and deter their career.
Ishu sio mchana au usiku sema tu show ya mondi kulikuwa hakuna watu yaan hakuna mashabiki ila king kiba kauaa❤❤
King ni king tu hapend kufosi anapenda kazi iende yeyewe majibu yamepatikana hapa
Akuna msani mkubwa kama mfalme alikiba tz❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉 wn love by alackson mcongo
From DRC CONGO 🇨🇩🇨🇩 nime mtafuta Brother millard Ayo mdaa sasa sija fanyikiwa kumpata naweza kumpata je
Nenda sns nazani watafanya uonane nae
@@BraveMajaliwa-gf7ru nime ingiya uko akuna number zao
Waliopanda jukwaani wameonyesha support sana hasa yule dogo dance we proud you King 👑 i call you now call 🤙 to call 🤙 king 👑
Wa Congo wanaweza sana
Ee uyo ndio king kiba
Kingkiba salute 👑
Acheni unafiki mpeni sifa zake King kiba
czcams.com/video/kl6Ws0HE_K8/video.htmlsi=cg4XOdNPhqfH6gLZ
Uyo king😊
hongera kwake king kiba na dj dommy
King kiba gud job 👏 🙌🏿 unajua 🙌🏿
Summer time jua linachelewa kuzama, sometimes mpaka saa nne ya usiku bado kweupe, were baba ulayaaa🇬🇧🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hadi saa 7 ya Usiku sometimes 😂😂
Duuuh 🤡
Be up Big brother king 👑👑👑
Kiufup Kuna chakujifunzaa kupitia king kibaa one love king
Majira kwa Eu Sasa hivi giza linaingia saa4 uck
Hata kigoma tu hapo saa moja bado kweupe
Safi cna bba keyan
unyama xn
Nchi za wenzetu ikiwa kipindi cha jua mpk saa 4 usiku kweupe hoi sio show ya.mchana tizameni jua lilivo
Hawajui hilo nataman hii hali itokee tanzania ili waone
Ni kweli naishi canada, kwasasa huku ni summer time jua kwasasa linazama saa nne na nusu usiku, na watu ndio mida yao ya kuenjoy kwasababu hali ya hewa inaruhusu kukaa nje so it’s true
@@Djroja_mo😂😂 mzee watoto wanaweza wasirud nyumban wakaendelea kucheza huko mpka ucku
Diamond noma sana
czcams.com/video/kl6Ws0HE_K8/video.htmlsi=cg4XOdNPhqfH6gLZ
Naishi UK na huku kwetu ikiwa summer usiku unakua mfupi, na mchana mrefu. Jua linachelewa kuzama. Linazama saa 4 kasoro usiku . Saa 2 usiku jua kali bado
Noma
Noma sana king kiba ❤❤❤❤❤
Safi sana
Kibarua😘😘😘😘🙌
Kwenye nko ni saa 9 usiku na kuna jua
acha u K wew ukiona bado kuna mwanga wa jua ujue ni mchana
Kwammi naona mchana io
Ukiona jua alijazama ujue Ni mchana usiku hauna jua
😅😅😅😅
Kuna vingi huelewi kuhusu ulaya na Amerika kaskazini... Kwa kipindi summer jua linazama saa tatu usiku. Nenda ukaone hata zile mechi za Euros 🇩🇪 utaona saa mbili usiku kwa saa za ujerumani bado jua lipo
🔥🔥🔥🔥
King 🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤
Waambie
Kaua
❤❤❤
Naona kama African ❤🔥🔥🔥
Iyo ni Afro fest
Nouma sana
❤
Unyama sana
Ni kawaida ya huku ulaya summer jua linachelewa kuzama huku hadi saa 3 usiku ndio jua linazama ila winter huku ulaya jua linazama mapema yaani saa 11 jioni ni giza totoro
Wenzetu jua lazama saa tatu usiku ulaya mwanzo
🔥🔥🔥✅fayakunfaya
Io ni mchana kweupe musitudanganyebapa tunaliona jua ilo
Sio mchana iyo ni jioni
Bro huku jua linazama 21:00
Tafuta hela ujue Dunia. Usiku Ni masaa sio issue ya jua tu😂😂😂
Ona mwanga wa taa wewe boya mchana taa haziwaki hvo pimbi wewe
Jamani hamjui huku summer
🔥🔥🔥
Dua and Unyama
King🎉
Aaaah ndomana alimtetea mondi kumbe aiseee nimeamini alikiba mnafiki sana mi nilitaka nishangae imekuwa vp alikiba amtete diamond nyooooh
Pole kwa kua mgeni wa social media 😆😆 mm sijawai ona kiba Ana mponda uyo mwakitombi anaye kutoa povu adi kwenye boxa😆
2018 Ali kiba aliperform Canada. Na palijaaa
Ali salehe kiba
🔥🔥
Summer season
😢😂😂
Alikiba mala yake ya pili kufika Canada na kuuuwa shoo kari
Mbona maelezo mengi
😁😁😁😁😁😁😁
🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Uyo kiba ni babu
Kama jua halijazama unawezaje kusema usiku au usiku unaamuliwa na nini?
Muda
Hey Millard Ayo,
That was Afrofest, not Alikiba show, a free Afro-Canadian annual music event and has always been like that without Alikiba.
Afrofest Toronto is Canadian annual event promoting African musical culture established in 1990 when Alikiba was barely 4 year old.
You've got to report honest to fans of Alikiba and any celebrity. Any wrong report you publish about artist is gonna impact on their source of income and deter their career.
Hapa Germany juwa kipindi cha sama linazama saaa 4
Ulaya wakat huu mchana huo ni mrefu sana jua hadi saa sita usk.
😂😂😂😂😂😂💪❤❤❤❤
Kwa diamond mnaponda kwa huyo mnajieleza mwache unafiki 😂😂😂😂
Mchana hakuwez kuwa na taa au huoni we unaesema mchana acha wivu alikiba ni mkubwa
Kiba hana lolote afanye kazi kwa juhundi
Wandishi wa bongo kweri mtihani kwai na wewe vido unaona kama umeongea point. Ivi unaelewa nini kuhusu mziki
Kwanza haujui kuandika rudi shule
Inge kuwa daimond angesemwa oo kapewe mchana sasa uyo jeee
angalia Ina fanana na ya dada Yako ilikua kama ivyooo chokowee
Ya mond ilibuma 😂😂
Kwani lazima umlinganishe na huyo Mond??😂😂😂😂
Alikiba noma sana
czcams.com/video/kl6Ws0HE_K8/video.htmlsi=cg4XOdNPhqfH6gLZ
❤❤❤