Nime isubiriya sana mziki Ni mzuri sana na kukubali sana eto Dunia Kazi zako ziko vizuri sana auja wahi kuniangusha nipe basi like zenu kama ume kubali nyimbo hii
🤣🤣🤣nimeona dance mpya ya esoba.nimependa sana jamani kaka Mungu akubariki sana nalipenda kabila langu sasa ❤❤ijapokuwa wengi wapo tz ila wameishi kwakukana kabila lao nakujiita makabila mengine.wekeni nyimbo nyingi za rugha labda ndugu zetu wataamka walipo jificha..
Shukrani saaana ume nifuraisha sana dada yangu ijapo sijawai kuku hona ila kila wimbo naonaga comment na waga ina nipa furaa sana. Kweli wengine wabembe wana pitaga bila ku comment ila wewe mungu akulipe Shukrani saaana wewe sio shabiki wa mzaa kila wimbo naonaga comment yako 😭😭😭😭😭😭😭😭
Nakumbuka mbali nilivyoolewa ndo nyimbo niliimbiwa izo,mnyakye wa Hùnú mwana tale na ngena,nimekumbuka mbali kweliiiiii jamaniiii ndo siku nilienda kwangu
Kazi nzur
Congolese juhu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 I really love this song
Nime isubiriya sana mziki Ni mzuri sana na kukubali sana eto Dunia Kazi zako ziko vizuri sana auja wahi kuniangusha nipe basi like zenu kama ume kubali nyimbo hii
Nice song
Ebembe in the world
Sisikie luga lkn Naipenda sana❤
This so good I been looking for it so long time
Nakumbuka kwetu jamani,, wimbo mzuri sana,,
Nakumbuka zamazi kabisa
Hapana chezea moto wa Gaz kutoka Amani music band
Wimbo nzuri sana umenikumbusha sana
très belle chanson
💯💯💯💯💯💯🤭🤩
Mwakole manga sana sana longe manga (tulubye tata)
Twakoca manga wetù mwana 'wa obe aci tata
La meilleure tribu du monde. Ebembe ma fierté
Non au tribalisme svp
🤣🤣🤣nimeona dance mpya ya esoba.nimependa sana jamani kaka Mungu akubariki sana nalipenda kabila langu sasa ❤❤ijapokuwa wengi wapo tz ila wameishi kwakukana kabila lao nakujiita makabila mengine.wekeni nyimbo nyingi za rugha labda ndugu zetu wataamka walipo jificha..
Shukrani saaana ume nifuraisha sana dada yangu ijapo sijawai kuku hona ila kila wimbo naonaga comment na waga ina nipa furaa sana. Kweli wengine wabembe wana pitaga bila ku comment ila wewe mungu akulipe Shukrani saaana wewe sio shabiki wa mzaa kila wimbo naonaga comment yako 😭😭😭😭😭😭😭😭
Noma sana
Hatari sana
Shukrani saaana
Napenda hii kaka
Hasante sana
Byaene tata
Na mtúmbe na Jolliette na nilùndù hi maaeeeeeeeeeeeee💯wanjaka na lesheeeeeeee
Mwakole betú bana
Très très fort, on est derrière toi, la meilleur chanson de 2019
Hatari sana ngoma uko juuu
Nakumbuka mbali nilivyoolewa ndo nyimbo niliimbiwa izo,mnyakye wa Hùnú mwana tale na ngena,nimekumbuka mbali kweliiiiii jamaniiii ndo siku nilienda kwangu
asante sana mrembo mungu aku bariki sana kwenye ndowa yako tuko pamoja sana
Bonne chanson
Amani music
Kitoko tokoss
Rerou
Mwakole manga betu bana I like this 👌👌👌
weto mwana , nice
asante sana ndugu yangu
Wakili wa wabembe Tanzania nakupa ongera ujawai kukosea kazi mwakole manga
Good job wakwetu. Mungu azidi kuwabariki papa Kaba. Wako mtoto Mimie Bwisemene nakati ya Manchester.
Nihatari sana 😂😂😄👌❤❤Africa oyeeeeeeee.
WOW congratulations my dear 😔🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩🤩
Kirega
Nice one ☝️
Nko vizur ila mlikua bdo amja jipanga kutoa dance
Mnaheja oppa oppa
Ndugu yangu siunajuwa tuna fanyia vingi inchi ya ugeni ? Madada zetu awa sio wabondo
Lljjjjjjjjjjuijjjj
Good vibe
Ha babondohee mièci 'yenda mnda tamalé ma'ina, N'ilúndú hi mahaheeee...!!!
I say, Eto Dunia wimbo wako hume nitoa stress kweli.
Nimependa sana iikazi
Haya ndugu yangu nilazima utangaze utamaduni wetu sisi wabembe
Nyimbo Nzur Sana unazopiga Ndugu yangu naomba Support Yako please inbox me on WhathsApp Please +255767985529