Namna Ya Kuoga Janaba /How to perform Janaba - PART 4

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • Like, Share and Subscribe

Komentáře • 796

  • @abaafarhat9191
    @abaafarhat9191 Před 3 lety +5

    Allah akbar mungu huleta viumbe wa kipekee kama hawa kueneza elimu yake wallah huyu jamaa nimempenda kwa ajili ya Allah(subhanna wataala) mungu akulipe kila la kheri inshaallah nakuombea kwa Allah najiuliza ni watu wangapi wamepata elimu hiyo wakaelewa wallah ukiendelea hivyo malipo yake mungu ndo anajua

  • @mozazahor7161
    @mozazahor7161 Před 3 lety +57

    Dah subhanallh nilikuwa nafanya makosa sana 😭 alhmdulilh sasa nimeelewa shukran allh akulip ujira mkubwaaa amyn 🤲

  • @naimasaid7763
    @naimasaid7763 Před 3 lety +223

    Maa sha Allah, raha sana ukiwa na mume kama huyu mwenye uelewa wa dini, yarabbi tujaalie waume wenye elimu ya dini wapate kutuongoza.

  • @husseinalieth4346
    @husseinalieth4346 Před 11 měsíci +3

    Maasha Allah..nmeoa juzi na nmejifunza kitu.. jazaakul khair brother katika imani

  • @seifchembela4346
    @seifchembela4346 Před 3 lety +16

    Ivi ndo namna ya kufundisha alhmdulilah mwenyezimungu akulipe heli nyingi isha allah

  • @hashimumussa7440
    @hashimumussa7440 Před 3 lety +10

    Umetupa faida kubwa Sana ama kweli Allah akufanyie wepesi kaka

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k Před rokem +3

    Mashaallah Mwenyez Mungu akujalie Hawa ndio waume wema

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 3 lety +25

    Wallah huyu Jamaa katufunza frshy sana ...Mungu akupe umri mrefu In Sha Allah

  • @abdulsaidi7007
    @abdulsaidi7007 Před 3 lety +51

    ALLAH akuhifadhi maalim na akulipe kheri zaidi kwa hiki unachokifanya kwasababu ni mafunzo na tunafaidika inshallah

    • @khamalyali9815
      @khamalyali9815 Před rokem

      Asalam alaykum. Hukupatia ila umejitahidi umekosea kdg t Allah akubarik

  • @ShaniehusseinShanihussein
    @ShaniehusseinShanihussein Před měsícem

    Asante mana nlikua naoga janaba sivo hatimae nmejua Mungu akuongoze shekhe

  • @DelightfulPenguin-wk4kv
    @DelightfulPenguin-wk4kv Před měsícem

    MashaAllah tabaraka Allah , Allah akulipe kheri katika mambo Yako inshaAllah

  • @jamilshisia5929
    @jamilshisia5929 Před 4 lety +11

    JazzakAllah mwenyezi Mungu amzidishie umri, nilikuwa nimengojea kwa hamu hili somo

  • @ShafShamat
    @ShafShamat Před 3 lety +8

    Jazaaka Allahu khaira, Mungu akulinde na akulipe heri in shaa Allah uzidi kutukumbusha mengi kuhusu dini yetu.

  • @ummuhkhalfan5542
    @ummuhkhalfan5542 Před 3 lety +11

    Masha'Allah Allah akulipe jaza yako na akuwekee katika amali zako njema

  • @salimthabit2854
    @salimthabit2854 Před 3 lety +8

    Mashaallah Allah akubarikini.lau kama vijana tunapomaliza michezo yetu tunapata mda wa kuongozana kwa mambo mazur km hivo tungalipija hatua

  • @rashidhusain2958
    @rashidhusain2958 Před 3 lety +20

    Mashaallah Babuzi Allah akupe umri uzidi kutuelimisha na akulipe ujira mkubwa siku ya malipo

  • @LithoMwembe
    @LithoMwembe Před měsícem

    Mungu akupe maisha marefu na mwsho mwema

  • @hassanalikombozanzibar1192

    Allah akulipe inshallah umetufungua macho sisi wengine

  • @princeswaibu807
    @princeswaibu807 Před rokem +2

    Nmefaidika sana brother, Allah akurudishe mema ✋️ 🙏

  • @husseinsadam993
    @husseinsadam993 Před 3 lety +21

    May Allah bless you and increase your eilm brother good lesson indeed

  • @mwanahamza5198
    @mwanahamza5198 Před 3 lety +33

    Masha Allah allah awape nuru Katk maisha yenu walimu wetu

  • @user-pg1lv4rn6f
    @user-pg1lv4rn6f Před 8 měsíci

    Mashaallah mungu akupe umli mrefu ili uweze kutufundisha zaidi yahayo amina

  • @jumamtiifu6263
    @jumamtiifu6263 Před 3 lety +6

    Mashaallah, Allah akupe afya njema uzidi kusambara elmu ya Allah..

  • @mwinyiadno9495
    @mwinyiadno9495 Před 3 lety +17

    Allah akupe barka tele kwa somo hili 🙏

  • @calmness4348
    @calmness4348 Před 3 lety +45

    I really appreciate u brother..U explained very nicely.. Even though I can't understand ur language..May Allah grant u jannah

    • @theavmedia5374
      @theavmedia5374 Před 3 lety +3

      How did you know he explained very nicely if you couldn’t understand the language 😅😂🤣

    • @hamisirajabu7207
      @hamisirajabu7207 Před 3 lety +3

      @@theavmedia5374 its not necessarily to understand through oral language sometimes symbolic language is very clear to understand

    • @calmness4348
      @calmness4348 Před 3 lety +5

      @@theavmedia5374 He did physically brother,
      Most of them just explain but he did it practically!

    • @othmankhamis8117
      @othmankhamis8117 Před 2 lety

      @@calmness4348 shortly je explain how bath janaba, firsty SAID you should wash your private party, than yake udhu as you want to pray, than start wash your head, than wash your body by start With right hand starting on the head to the toe, than you do the sana au left hand, than insist that "if you are fat one you must make sure some water spread in hilo body

    • @swalehabuu3274
      @swalehabuu3274 Před 2 lety

      What you just complain about is not nessesary

  • @Kiyara0000
    @Kiyara0000 Před 5 měsíci

    Masha Allah jazakallah khaira nakumbe ugumu unasababishwa nabaadhi yawalim Alhamdulillah

  • @adaljumar_official8717

    mashaallaah darsa nzurii xana maalimuuHapo mwisho kuosha mwilii nzima jee ukishika sehemu za sirii jee kuna tabuu apoo

  • @ramamohammed1438
    @ramamohammed1438 Před 3 lety +10

    Masha Allah....Allah awazdshie ilm na iwe yenye manufaa ktk jamii na vizazi vyetu vya kesho...Allahumma ameen.

  • @bitumujuma5383
    @bitumujuma5383 Před 3 lety

    MashaAllah Allah hawape umri mzidi kutufundisha mema.. Wallahi Kuna watu hawajui hata kuoga janaba...

  • @bweleoicon1994
    @bweleoicon1994 Před 3 měsíci

    Marshall Allah akujalie ilim zaidi kuokowa umatihuu juu ya elim ya Dini sahishi

  • @ashurarugarabamu5214
    @ashurarugarabamu5214 Před 3 lety +12

    Maashallah maashallah, lesson well understood.

  • @zamzamidrissa4182
    @zamzamidrissa4182 Před 3 lety

    Maa Shaa Allah.. Shukran..Allah aendelee kukupa afya njema ili tuendelee kupata elimu kutoka kwako.

  • @shadiahussein101
    @shadiahussein101 Před 3 lety

    Mashaallah tabaraka rahman mwenyezi Mungu akupe elimu zaidi uzidi kutuelimisha inshallah

  • @hamissuche6576
    @hamissuche6576 Před 3 lety +2

    Wallah ambae hajaupokea uislam innaliilai wainna rajiun,.. Wallah dini ya kiislam ni dini iliokamilika haikuacha kufundisha chochote chini ya jua,.. Kweli ule upande mwengine wa wenzetu wanaweza kutuonesha haya kwenye kitabu chao ?

  • @MuhammedHamad-h9u
    @MuhammedHamad-h9u Před 24 dny

    masha allah umetuweka saw hongera san

  • @iddyjacqsonbondo340
    @iddyjacqsonbondo340 Před 4 měsíci

    Masha Allah...... Allah akulinde popote pale ulipo n'a aibariki kazi uifanyalo 🙏🤲🤲

  • @mohamedmakalo5851
    @mohamedmakalo5851 Před 3 lety

    Allah awajaaliye kwa kutupatia elimu sisi ambao tulikua hatuyajui haya.

  • @swaiseif2989
    @swaiseif2989 Před 3 lety +1

    Allah amenipitisha hpa alhamdulilah nimeelewa vizur nilikua sifaham uzur

  • @NassorGhiyath
    @NassorGhiyath Před 2 měsíci

    jakaALLAH khair Allah akulipe kwa hili

  • @fathiabdulmajid3854
    @fathiabdulmajid3854 Před 4 lety +8

    Mashallah Ustadh Abdul, Jazaka Allahu kheir

  • @abrahamlincoln9731
    @abrahamlincoln9731 Před 2 lety +8

    ما شاء الله جزاك الله الخير
    تعلمنا حقيقة المعرفة
    ممتاز

  • @bejamutti7824
    @bejamutti7824 Před 3 lety +6

    Shukran ustazi, Allah akulinde InshaAllah

  • @makinibwika1427
    @makinibwika1427 Před 3 lety

    Shukran Brother. Mafundisho mazuri na muhimu yenyekueleweka. Allah akujaze kheyr na akubariki. Amin

  • @rashidharoun6792
    @rashidharoun6792 Před 3 lety +2

    Mashaallah,Mungu akupe Maisha marefu uzid kutupa elimu ya vitendo

  • @bbycandy3979
    @bbycandy3979 Před 3 lety

    Mashallah shukuran maalmath mm nilkua na kosea umenirekebisha mungu akuzidishie kheri

  • @happydumba7336
    @happydumba7336 Před 3 lety

    Alhamdulilah nashukuru sana, nilikuwa naruka baadhi ya hatua kwa sasa nimeelewa vizuri

  • @abdallahsinenosaidsinenosa7379

    Mashaallah nakupatia 💯% umenielimisha sana alhamdhlillahi mungu akupe maanufaa zaidi

  • @bekutachirongo7804
    @bekutachirongo7804 Před 9 měsíci +1

    Mashallah. Allah akujalie kheri inshallah

  • @ibraa1157
    @ibraa1157 Před rokem

    Shukran sana Bro....Jazaka Allah khair, in shaa Allah

  • @mwanahamisirajabu5238
    @mwanahamisirajabu5238 Před 3 lety

    Asante sana mungu akujaalie maisha marefu ili uweze kutujuza zaidi

  • @ramlahusein7935
    @ramlahusein7935 Před 2 lety

    mashaallah shahi shukrani sana kwa elimu hiyo alla akujaze kila laheri

  • @zahaaomar6792
    @zahaaomar6792 Před 3 lety

    MashaAllah mwenye mungu akulipe ajira kwa kutunufaisha n ilim

  • @lucycase9356
    @lucycase9356 Před 3 lety +1

    Ishaallah mungu akulinde nimejifunza kwa kwel

  • @jaqulinemodest4774
    @jaqulinemodest4774 Před 3 lety +5

    Mashaallah ALLAH anijalie mume km huyu In Shaa Allah

  • @Ali-gk5mv
    @Ali-gk5mv Před 3 lety +1

    Shukran sana brother kwa kutuelimisha🤲ALLAH Akubariki na Ukupe Umri

  • @wazirihashim5284
    @wazirihashim5284 Před 3 lety +2

    Akhsante sheikh kwa ukumbusho mzuri... Allah akupe Umri Mrefu InshaAllah

  • @ashurasaidi3038
    @ashurasaidi3038 Před 3 lety

    Maashaallah ukipata mume kama huyo una pepo ya dunia Allah atuwafikishe tupate waume wema 🤲

  • @aminaswedy6927
    @aminaswedy6927 Před 3 lety +1

    Waullah mi nilikuwa sjui kabisaa kwaiyo nimejifuza sana hapa na nimeelewa. Asante sana mwallim

  • @eunicebaiby7655
    @eunicebaiby7655 Před rokem

    MashaAllah barikiwa sana kaka kwa mafunzo yako mema🙏🙏.

  • @kaya.o1673
    @kaya.o1673 Před 3 lety

    Asante kakutupa elimu ya bure ALLAHU akuongeze rizki na mazuri yote

  • @daretowatch7214
    @daretowatch7214 Před 4 měsíci

    Mashallah elimu yenye mafaida .
    Shukran bradha Ali🎉

  • @jabibutv3970
    @jabibutv3970 Před 3 lety +2

    mungu awalinde sana hakika nimafunzo mazur sana

  • @SeifAlkhan
    @SeifAlkhan Před 3 měsíci

    Jazakalahu khaura shukran Sana kwa kutupa elimu

  • @SHABANIABEDI-qt1vw
    @SHABANIABEDI-qt1vw Před rokem

    Mashallah elimu kwavitendo ina eleweka sana shukran allah akuweke uzidi kutupa faida

  • @Omary_Mjema
    @Omary_Mjema Před 3 lety

    Wanaotumiwa bomba La Mvua

  • @sabrihaji362
    @sabrihaji362 Před 4 měsíci

    Mwenyezi mungu akulipe heri umetoa elimu kubwa watu wengi hawajui hili jambo kubwa la kuoga janaba

  • @ummylahlove3418
    @ummylahlove3418 Před 3 lety

    Ma shaa allh....allh akuzidishie elmu zaidi ...nilikua sijui haya

  • @vialebilal4097
    @vialebilal4097 Před 3 lety +1

    Allah akupeni umri mrefu wenye kheri

  • @saidahmed2970
    @saidahmed2970 Před 3 lety

    Yaani maashallaah al,akhy umetupa elimu kubwa sana allaah akuongoze ktk kutufunza dini ilio sahihi

  • @issamdenki4692
    @issamdenki4692 Před měsícem

    Ujumbe mzuri sana.akhy

  • @mimahfabolasawa9304
    @mimahfabolasawa9304 Před 3 lety

    Alhamdhulillah .MashaAllah .sshukrn kaka kwa elmu ykp

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970

    Allah is bless for you broo Umetupa Elmu kubwa sana inshallah Allah Akbaru

  • @snowpiecer5757
    @snowpiecer5757 Před 3 lety

    Mola akuzidishie Umrih na afya njema In Shaa Allah .

  • @habibrwegoshora6624
    @habibrwegoshora6624 Před 3 lety +2

    JANABA LINA NGUNZO MBILI KUOGA (1) KUTIA NIA YAANI KUKUSUDIA KUOGA JANABA (2)ENEZA MAJI KIWILIWILI CHOTE NA KILA UNYWELE..HAYA MAMBO MENGINE MEENGI NI KUUTIA UGUMU UISLAM..

    • @mwanaishazain7985
      @mwanaishazain7985 Před 3 lety +1

      Janaba lina nguzombili 1. Nia 2. Kujitia maji mwili mzima kuanzia kichwani hadi unyayoni mara tatu. Waweza pia kujitumbukiza baharini ama mtoni baada kutia nia kukoga janaba. Na wala sio lazima kujikamua maana manii sio najis.

    • @bakarimabele9295
      @bakarimabele9295 Před 3 lety

      Na bila shaka kushika dhakar hakutengui udhuu

  • @ahmedkassim6906
    @ahmedkassim6906 Před 2 lety +7

    This is unique Mashallah

  • @leilahassan6731
    @leilahassan6731 Před 3 lety +1

    MashaAllah Allah barik Wallahi practical inaeleweka than theory

  • @abuukhansaa2979
    @abuukhansaa2979 Před 3 lety +2

    MASHAALLAH mfano mzuri sana kwetu TANZANIA naomba tuwasiliane ili nasisi tunufaike huku

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před 3 lety

    Mimi Huoga mwanzo kwa sabun kisha ndio najitoharisha Alhamdulillah cjakosea hata kidogo hivyo ndivyo navyo jitoalisha jazaka llahu kheri

  • @bakarmsangi963
    @bakarmsangi963 Před rokem

    Mashaallah molah ukupe wepes amin

  • @pendohillrey1164
    @pendohillrey1164 Před 3 lety

    Mafunzo mazur sana ata asie jua yuajua Asante sana mungu akuongoze

  • @dijadiose7400
    @dijadiose7400 Před 3 lety

    Mashallah... Allah akupe kheri zaidi na zaidi🙏

  • @muhammadmakame8552
    @muhammadmakame8552 Před rokem

    Ma sha allah...... Allah akulipe kher in sha allah

  • @mwanaishaalfan3145
    @mwanaishaalfan3145 Před 3 lety

    Masha Allah shukrani Sana usthadhi kwakutuilimisha mungu akulinde

  • @abubakarchamosi5445
    @abubakarchamosi5445 Před 2 lety

    Mashaallah.maalim niko na swali.vp kuhusu muosho wa baharini twaoga vp janaba.

  • @joharramadhab130
    @joharramadhab130 Před 3 lety +3

    Mashallaah mashallah Allah akujalie afya njema

  • @zainabmaulidi9846
    @zainabmaulidi9846 Před 3 lety +1

    Shukrani kwa darasa nzuri Allah akulipe kheri

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Před 3 lety +7

    mashaAllah nimekutana n hii clip nimeelewa zaiidi, shukran yàa sheikh barakalafkkum 🙏

  • @ahmmadaaly5112
    @ahmmadaaly5112 Před 3 lety +3

    M/mungu akubarik kwa elimu yako ulio toa kwa jamii ninakuombea kila LA kheir ktk maisha yako aamin

  • @user-sm1wk5cg6n
    @user-sm1wk5cg6n Před 6 měsíci

    Alhamdu lillah nashukur shekh

  • @samiraali5505
    @samiraali5505 Před 3 lety +1

    MashaAllah Allah akuhifadhi fil dunya wal akhera

  • @ibra.mstudingfile8584
    @ibra.mstudingfile8584 Před 3 lety

    Hongera kiukweli wa2 hawajui kuoga janaba baadhi ya watu na n waislam na watu wazima anarand na uchafu tu n vyema Kaka shukran kutoa ukumbusho

  • @homesmartrecords3512
    @homesmartrecords3512 Před rokem

    Mungu akuzidishie

  • @mudathirsaid872
    @mudathirsaid872 Před 3 lety

    Mashaallah Broo .
    Naomba mtengeneze gruup la mafundixho haya ya dini yetu ya Kislam kwa sababau vijana wengi hatuna elimu ya kuyajuwa haya .
    Tafadhali kk naomba nifikirie hili wazo langu. Shukuran Allah ukulipe .

  • @rashidbakari3604
    @rashidbakari3604 Před 4 lety +12

    Jazakallahu Kheir!.. nimefaidika kutokana na video hii.

  • @zahororashid239
    @zahororashid239 Před 3 lety +8

    Mashallah darsa nzur inaeleweka kirahic, Elimu kivitendo inaeleweka zaid

  • @rukyarukya2230
    @rukyarukya2230 Před 3 lety

    MashaaAllah Allah akuongoze kwa kila jambo Jazzakllah khery umenielimisha nilikuwa sijui santeee

  • @buddahboy
    @buddahboy Před 3 lety +1

    Mashallah Allah Akuzidishie Elimu Maalim wangu

  • @salummohmdhilal2504
    @salummohmdhilal2504 Před 3 lety

    dah mung akupe umri mref wenye her na we uzidi kutuelemish cc na kuismamia din ya Allah kwa pamoja inshalla

  • @jumanente4200
    @jumanente4200 Před 3 lety +2

    MashaAllah nimepata elimu kubwa sana

  • @jumaakida9879
    @jumaakida9879 Před 2 lety

    shukuran kwakutu Zindua mungu aku fanyie wepec ktk majamb yak yaheri