Allah akbar mungu huleta viumbe wa kipekee kama hawa kueneza elimu yake wallah huyu jamaa nimempenda kwa ajili ya Allah(subhanna wataala) mungu akulipe kila la kheri inshaallah nakuombea kwa Allah najiuliza ni watu wangapi wamepata elimu hiyo wakaelewa wallah ukiendelea hivyo malipo yake mungu ndo anajua
@@calmness4348 shortly je explain how bath janaba, firsty SAID you should wash your private party, than yake udhu as you want to pray, than start wash your head, than wash your body by start With right hand starting on the head to the toe, than you do the sana au left hand, than insist that "if you are fat one you must make sure some water spread in hilo body
Wallah ambae hajaupokea uislam innaliilai wainna rajiun,.. Wallah dini ya kiislam ni dini iliokamilika haikuacha kufundisha chochote chini ya jua,.. Kweli ule upande mwengine wa wenzetu wanaweza kutuonesha haya kwenye kitabu chao ?
JANABA LINA NGUNZO MBILI KUOGA (1) KUTIA NIA YAANI KUKUSUDIA KUOGA JANABA (2)ENEZA MAJI KIWILIWILI CHOTE NA KILA UNYWELE..HAYA MAMBO MENGINE MEENGI NI KUUTIA UGUMU UISLAM..
Janaba lina nguzombili 1. Nia 2. Kujitia maji mwili mzima kuanzia kichwani hadi unyayoni mara tatu. Waweza pia kujitumbukiza baharini ama mtoni baada kutia nia kukoga janaba. Na wala sio lazima kujikamua maana manii sio najis.
Mashaallah Broo . Naomba mtengeneze gruup la mafundixho haya ya dini yetu ya Kislam kwa sababau vijana wengi hatuna elimu ya kuyajuwa haya . Tafadhali kk naomba nifikirie hili wazo langu. Shukuran Allah ukulipe .
Allah akbar mungu huleta viumbe wa kipekee kama hawa kueneza elimu yake wallah huyu jamaa nimempenda kwa ajili ya Allah(subhanna wataala) mungu akulipe kila la kheri inshaallah nakuombea kwa Allah najiuliza ni watu wangapi wamepata elimu hiyo wakaelewa wallah ukiendelea hivyo malipo yake mungu ndo anajua
Dah subhanallh nilikuwa nafanya makosa sana 😭 alhmdulilh sasa nimeelewa shukran allh akulip ujira mkubwaaa amyn 🤲
Amiin
Amiiin
Inshallah
Moza nambie ulikua unakogaje
Pia mimi nilikua naanza kukoga nikimaliza ndo natawaza 😢
Maa sha Allah, raha sana ukiwa na mume kama huyu mwenye uelewa wa dini, yarabbi tujaalie waume wenye elimu ya dini wapate kutuongoza.
Amiin 🙏
Mashallah
Ameen inshaAllah 💋💋
Amiin
Amni inshllh
Maasha Allah..nmeoa juzi na nmejifunza kitu.. jazaakul khair brother katika imani
Ivi ndo namna ya kufundisha alhmdulilah mwenyezimungu akulipe heli nyingi isha allah
Ujumbe mzuri
Umetupa faida kubwa Sana ama kweli Allah akufanyie wepesi kaka
Mashaallah Mwenyez Mungu akujalie Hawa ndio waume wema
Wallah huyu Jamaa katufunza frshy sana ...Mungu akupe umri mrefu In Sha Allah
ALLAH akuhifadhi maalim na akulipe kheri zaidi kwa hiki unachokifanya kwasababu ni mafunzo na tunafaidika inshallah
Asalam alaykum. Hukupatia ila umejitahidi umekosea kdg t Allah akubarik
Asante mana nlikua naoga janaba sivo hatimae nmejua Mungu akuongoze shekhe
MashaAllah tabaraka Allah , Allah akulipe kheri katika mambo Yako inshaAllah
JazzakAllah mwenyezi Mungu amzidishie umri, nilikuwa nimengojea kwa hamu hili somo
Jazaaka Allahu khaira, Mungu akulinde na akulipe heri in shaa Allah uzidi kutukumbusha mengi kuhusu dini yetu.
Masha'Allah Allah akulipe jaza yako na akuwekee katika amali zako njema
Mashaallah Allah akubarikini.lau kama vijana tunapomaliza michezo yetu tunapata mda wa kuongozana kwa mambo mazur km hivo tungalipija hatua
Mashaallah Babuzi Allah akupe umri uzidi kutuelimisha na akulipe ujira mkubwa siku ya malipo
Amiin
Mungu akupe maisha marefu na mwsho mwema
Allah akulipe inshallah umetufungua macho sisi wengine
Nmefaidika sana brother, Allah akurudishe mema ✋️ 🙏
May Allah bless you and increase your eilm brother good lesson indeed
Masha Allah allah awape nuru Katk maisha yenu walimu wetu
Mashaallah mungu akupe umli mrefu ili uweze kutufundisha zaidi yahayo amina
Mashaallah, Allah akupe afya njema uzidi kusambara elmu ya Allah..
0
Allah akupe barka tele kwa somo hili 🙏
kwasote inshaAllah
I really appreciate u brother..U explained very nicely.. Even though I can't understand ur language..May Allah grant u jannah
How did you know he explained very nicely if you couldn’t understand the language 😅😂🤣
@@theavmedia5374 its not necessarily to understand through oral language sometimes symbolic language is very clear to understand
@@theavmedia5374 He did physically brother,
Most of them just explain but he did it practically!
@@calmness4348 shortly je explain how bath janaba, firsty SAID you should wash your private party, than yake udhu as you want to pray, than start wash your head, than wash your body by start With right hand starting on the head to the toe, than you do the sana au left hand, than insist that "if you are fat one you must make sure some water spread in hilo body
What you just complain about is not nessesary
Masha Allah jazakallah khaira nakumbe ugumu unasababishwa nabaadhi yawalim Alhamdulillah
mashaallaah darsa nzurii xana maalimuuHapo mwisho kuosha mwilii nzima jee ukishika sehemu za sirii jee kuna tabuu apoo
Masha Allah....Allah awazdshie ilm na iwe yenye manufaa ktk jamii na vizazi vyetu vya kesho...Allahumma ameen.
MashaAllah Allah hawape umri mzidi kutufundisha mema.. Wallahi Kuna watu hawajui hata kuoga janaba...
Marshall Allah akujalie ilim zaidi kuokowa umatihuu juu ya elim ya Dini sahishi
Maashallah maashallah, lesson well understood.
Maa Shaa Allah.. Shukran..Allah aendelee kukupa afya njema ili tuendelee kupata elimu kutoka kwako.
Mashaallah tabaraka rahman mwenyezi Mungu akupe elimu zaidi uzidi kutuelimisha inshallah
Wallah ambae hajaupokea uislam innaliilai wainna rajiun,.. Wallah dini ya kiislam ni dini iliokamilika haikuacha kufundisha chochote chini ya jua,.. Kweli ule upande mwengine wa wenzetu wanaweza kutuonesha haya kwenye kitabu chao ?
masha allah umetuweka saw hongera san
Masha Allah...... Allah akulinde popote pale ulipo n'a aibariki kazi uifanyalo 🙏🤲🤲
Allah awajaaliye kwa kutupatia elimu sisi ambao tulikua hatuyajui haya.
Allah amenipitisha hpa alhamdulilah nimeelewa vizur nilikua sifaham uzur
jakaALLAH khair Allah akulipe kwa hili
Mashallah Ustadh Abdul, Jazaka Allahu kheir
ما شاء الله جزاك الله الخير
تعلمنا حقيقة المعرفة
ممتاز
Shukran ustazi, Allah akulinde InshaAllah
Shukran Brother. Mafundisho mazuri na muhimu yenyekueleweka. Allah akujaze kheyr na akubariki. Amin
Mashaallah,Mungu akupe Maisha marefu uzid kutupa elimu ya vitendo
Mashallah shukuran maalmath mm nilkua na kosea umenirekebisha mungu akuzidishie kheri
Alhamdulilah nashukuru sana, nilikuwa naruka baadhi ya hatua kwa sasa nimeelewa vizuri
Mashaallah nakupatia 💯% umenielimisha sana alhamdhlillahi mungu akupe maanufaa zaidi
Mashallah. Allah akujalie kheri inshallah
Shukran sana Bro....Jazaka Allah khair, in shaa Allah
Asante sana mungu akujaalie maisha marefu ili uweze kutujuza zaidi
mashaallah shahi shukrani sana kwa elimu hiyo alla akujaze kila laheri
MashaAllah mwenye mungu akulipe ajira kwa kutunufaisha n ilim
Ishaallah mungu akulinde nimejifunza kwa kwel
Mashaallah ALLAH anijalie mume km huyu In Shaa Allah
Tuko
. nitafute nikuowe
Hata mm nmependa muungu atujaalie tupate waume kma hawa wenye kuelewa dini
Shukran sana brother kwa kutuelimisha🤲ALLAH Akubariki na Ukupe Umri
Akhsante sheikh kwa ukumbusho mzuri... Allah akupe Umri Mrefu InshaAllah
Mashallah! Allahu bar'k
Maashaallah ukipata mume kama huyo una pepo ya dunia Allah atuwafikishe tupate waume wema 🤲
Umeolewa?
Waullah mi nilikuwa sjui kabisaa kwaiyo nimejifuza sana hapa na nimeelewa. Asante sana mwallim
Masha Allah shukran haki nimepata mafunzo
MashaAllah barikiwa sana kaka kwa mafunzo yako mema🙏🙏.
Asante kakutupa elimu ya bure ALLAHU akuongeze rizki na mazuri yote
Mashallah elimu yenye mafaida .
Shukran bradha Ali🎉
mungu awalinde sana hakika nimafunzo mazur sana
Jazakalahu khaura shukran Sana kwa kutupa elimu
Mashallah elimu kwavitendo ina eleweka sana shukran allah akuweke uzidi kutupa faida
Wanaotumiwa bomba La Mvua
Mwenyezi mungu akulipe heri umetoa elimu kubwa watu wengi hawajui hili jambo kubwa la kuoga janaba
Ma shaa allh....allh akuzidishie elmu zaidi ...nilikua sijui haya
Allah akupeni umri mrefu wenye kheri
Yaani maashallaah al,akhy umetupa elimu kubwa sana allaah akuongoze ktk kutufunza dini ilio sahihi
Ujumbe mzuri sana.akhy
Alhamdhulillah .MashaAllah .sshukrn kaka kwa elmu ykp
Allah is bless for you broo Umetupa Elmu kubwa sana inshallah Allah Akbaru
Mola akuzidishie Umrih na afya njema In Shaa Allah .
JANABA LINA NGUNZO MBILI KUOGA (1) KUTIA NIA YAANI KUKUSUDIA KUOGA JANABA (2)ENEZA MAJI KIWILIWILI CHOTE NA KILA UNYWELE..HAYA MAMBO MENGINE MEENGI NI KUUTIA UGUMU UISLAM..
Janaba lina nguzombili 1. Nia 2. Kujitia maji mwili mzima kuanzia kichwani hadi unyayoni mara tatu. Waweza pia kujitumbukiza baharini ama mtoni baada kutia nia kukoga janaba. Na wala sio lazima kujikamua maana manii sio najis.
Na bila shaka kushika dhakar hakutengui udhuu
This is unique Mashallah
MashaAllah Allah barik Wallahi practical inaeleweka than theory
MASHAALLAH mfano mzuri sana kwetu TANZANIA naomba tuwasiliane ili nasisi tunufaike huku
Mimi Huoga mwanzo kwa sabun kisha ndio najitoharisha Alhamdulillah cjakosea hata kidogo hivyo ndivyo navyo jitoalisha jazaka llahu kheri
Mashaallah molah ukupe wepes amin
Mafunzo mazur sana ata asie jua yuajua Asante sana mungu akuongoze
Mashallah... Allah akupe kheri zaidi na zaidi🙏
Ma sha allah...... Allah akulipe kher in sha allah
Masha Allah shukrani Sana usthadhi kwakutuilimisha mungu akulinde
Mashaallah.maalim niko na swali.vp kuhusu muosho wa baharini twaoga vp janaba.
Mashallaah mashallah Allah akujalie afya njema
Shukrani kwa darasa nzuri Allah akulipe kheri
mashaAllah nimekutana n hii clip nimeelewa zaiidi, shukran yàa sheikh barakalafkkum 🙏
Aslm Alykm
Uko sawa
@@mohammedimshihiri4435 walaykumsalam
@@hooswengosha2985 sn
M/mungu akubarik kwa elimu yako ulio toa kwa jamii ninakuombea kila LA kheir ktk maisha yako aamin
Alhamdu lillah nashukur shekh
MashaAllah Allah akuhifadhi fil dunya wal akhera
Hongera kiukweli wa2 hawajui kuoga janaba baadhi ya watu na n waislam na watu wazima anarand na uchafu tu n vyema Kaka shukran kutoa ukumbusho
Mashaallah
Mungu akuzidishie
Mashaallah Broo .
Naomba mtengeneze gruup la mafundixho haya ya dini yetu ya Kislam kwa sababau vijana wengi hatuna elimu ya kuyajuwa haya .
Tafadhali kk naomba nifikirie hili wazo langu. Shukuran Allah ukulipe .
Jazakallahu Kheir!.. nimefaidika kutokana na video hii.
Mashallah darsa nzur inaeleweka kirahic, Elimu kivitendo inaeleweka zaid
MashaaAllah Allah akuongoze kwa kila jambo Jazzakllah khery umenielimisha nilikuwa sijui santeee
Mwenyezimungu akulipe kila lakheri
@@alfanhassan1544 Ameen
Mashallah Allah Akuzidishie Elimu Maalim wangu
dah mung akupe umri mref wenye her na we uzidi kutuelemish cc na kuismamia din ya Allah kwa pamoja inshalla
MashaAllah nimepata elimu kubwa sana
shukuran kwakutu Zindua mungu aku fanyie wepec ktk majamb yak yaheri