Khutba Ya Ijumaa Sheikh Othman Maalim Mada Fanya Wema Upate wema. Subscribe For More Darsa And Khutba #Othmanmaalim#Khidhry29#Fridaysermon#Islamicteachings
Alhamdullillah.. Hapana Mola apasaekuabudiwakwa hakki ila Allah. Basi namuomba Allah atujaalie mwisho mwema inshaallah. Na akujaalie sheikh wetu khatima njema nanguvuya kutuddawasishasisi...
Shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazuri unayo tupatia tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu na Allah akulipe kher hapa dunian na akhera
Hakika nyoyo zetu zinafarijika sana tunapo sikiliza mawaidha yako pia tunapata faida kubwa kwa uwepo wako, shukran jazakum khayran Allah akulinde na hasad za watu wasiopenda ne'ema aliokupa Allah
Jamaa ktk Imani..... Mi ni ndugu yenu ktk Imani (uislamu) Nina umri wa miaka 27, natafuta mwanamke wa kuoa... dua zenu inshaa Allah anionyeshe shina bora
Masha Allah mungu akujaze kheir, hapa duniani ,nakupenda kwa ajili ya Allah ,kila unapo soma aya za Quran waniliza,nakutakia saum maqbul we we na familia yako.
Asalam alaikum shehe mie nashkur kwa kutupa daawa na mwenyezimungu akulipe kwa hayo unayoyafanya shehe mie ninaombi ningependa nyie mashehe WA afrika muungane wrote kwa pamoja muende mukafundishe mambo ya Dino huko ulaya kwa mie naona hao waislam WA huko hawafuati maamrisho ya dini kama inavyotakiwa
Allah atujalie wenye kuyaskia na kuyafwata
Jazzakah llah khaira sheikh othman maalim
Allah Akbar, ndo sahihi
JAZAKALLAHu kheir ALLAH akuruzuku umri mrefu kwa rehma zake tuendelee kupata manufaa ktk mawaidha utowayo
Neema kubwa sana mwenyezi mungu amekupa zaidi Ww Othman maalimu
Mungu akujaze kheir baba wewe
JazakaLLAH kheir sheikh
ALLAH akulipe kheir
Mungu amuweke sheikh wetu
Alhamdullillah.. Hapana Mola apasaekuabudiwakwa hakki ila Allah. Basi namuomba Allah atujaalie mwisho mwema inshaallah. Na akujaalie sheikh wetu khatima njema nanguvuya kutuddawasishasisi...
Amin
Mashaĺlah
mashaallah mawaidha mazuri sana allah akulipe kheri
Shukrani shekhe wetu athumani maalim
Mashallah
MASHA ALLAH . ALLAH AKULIPE HII DAHWA .
Ma sha Allah jazaka llah kheri
Maa Shaa Allah jazakallah khair
Shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazuri unayo tupatia tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu na Allah akulipe kher hapa dunian na akhera
Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin
Mashaallah,mwenyezi mungu amekupa neno kubwa sana.
Mashallah jazakum Allah khayr
jazakaallahu kheir
Hakika nyoyo zetu zinafarijika sana tunapo sikiliza mawaidha yako pia tunapata faida kubwa kwa uwepo wako, shukran jazakum khayran Allah akulinde na hasad za watu wasiopenda ne'ema aliokupa Allah
Aamin Yaa Allah!
Amiin yaarab
Safi sana
Jamaa ktk Imani.....
Mi ni ndugu yenu ktk Imani (uislamu) Nina umri wa miaka 27, natafuta mwanamke wa kuoa... dua zenu inshaa Allah anionyeshe shina bora
Ameen
Masha Allah mungu akujaze kheir, hapa duniani ,nakupenda kwa ajili ya Allah ,kila unapo soma aya za Quran waniliza,nakutakia saum maqbul we we na familia yako.
Allah akbal
Assalaam Alaykum.
Nampenda sana Ustad Othman Moallim. Mola amhifadhi. Vipi hali yake na afya?
Asalaam aleykum ndugu zangu nawezakupata number za sheikh othman maalim ndugu yangu
Asalam alaikum shehe mie nashkur kwa kutupa daawa na mwenyezimungu akulipe kwa hayo unayoyafanya shehe mie ninaombi ningependa nyie mashehe WA afrika muungane wrote kwa pamoja muende mukafundishe mambo ya Dino huko ulaya kwa mie naona hao waislam WA huko hawafuati maamrisho ya dini kama inavyotakiwa
Nice
Mungu amuweke sheikh wetu
MashaAllah