Othman Maalim - Fanya Wema

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Khutba Ya Ijumaa Sheikh Othman Maalim Mada Fanya Wema Upate wema. Subscribe For More Darsa And Khutba
    #Othmanmaalim#Khidhry29#Fridaysermon#Islamicteachings

Komentáře • 36

  • @halimamuketi6738
    @halimamuketi6738 Před 5 lety +2

    Allah atujalie wenye kuyaskia na kuyafwata

  • @muddyjimmy6995
    @muddyjimmy6995 Před 6 lety +2

    Jazzakah llah khaira sheikh othman maalim

  • @mimamkassy6563
    @mimamkassy6563 Před 5 lety +2

    JAZAKALLAHu kheir ALLAH akuruzuku umri mrefu kwa rehma zake tuendelee kupata manufaa ktk mawaidha utowayo

  • @shaabans.marijani9659
    @shaabans.marijani9659 Před 6 lety +2

    Neema kubwa sana mwenyezi mungu amekupa zaidi Ww Othman maalimu

  • @nath-ali2983
    @nath-ali2983 Před 6 lety +2

    Mungu akujaze kheir baba wewe

  • @mimamkassy6563
    @mimamkassy6563 Před 6 lety +4

    JazakaLLAH kheir sheikh
    ALLAH akulipe kheir

  • @wanawakewakiislam9716
    @wanawakewakiislam9716 Před 6 lety +5

    Mungu amuweke sheikh wetu

  • @halimamajid5252
    @halimamajid5252 Před 5 lety +4

    Alhamdullillah.. Hapana Mola apasaekuabudiwakwa hakki ila Allah. Basi namuomba Allah atujaalie mwisho mwema inshaallah. Na akujaalie sheikh wetu khatima njema nanguvuya kutuddawasishasisi...

  • @aliyussuf6078
    @aliyussuf6078 Před 3 lety +1

    Mashaĺlah

  • @maryamsinganomaryamsingano7938

    mashaallah mawaidha mazuri sana allah akulipe kheri

  • @jumamahayu6077
    @jumamahayu6077 Před 6 lety +2

    Shukrani shekhe wetu athumani maalim

  • @mtumwaahmad438
    @mtumwaahmad438 Před 6 lety +3

    Mashallah

  • @umimahir1039
    @umimahir1039 Před 6 lety +5

    MASHA ALLAH . ALLAH AKULIPE HII DAHWA .

  • @habibahmatano1815
    @habibahmatano1815 Před 4 lety

    Ma sha Allah jazaka llah kheri

  • @mussachamwenyewe9499
    @mussachamwenyewe9499 Před 6 lety +3

    Maa Shaa Allah jazakallah khair

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 Před 6 lety +7

    Shukran sheikh wetu kwa mawaidha mazuri unayo tupatia tunamuomba Allah akujaalie umri mrefu na elmu zaid uzidi kutuelimisha sisi pamoja na vzazi vyetu na Allah akulipe kher hapa dunian na akhera

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 Před 6 lety +6

    Allah akuzidishie elimu yenyee manufaa amin

  • @shaabans.marijani9659
    @shaabans.marijani9659 Před 6 lety +2

    Mashaallah,mwenyezi mungu amekupa neno kubwa sana.

  • @taabohosain3849
    @taabohosain3849 Před 6 lety +2

    Mashallah jazakum Allah khayr

  • @halishrajish7829
    @halishrajish7829 Před 6 lety +1

    jazakaallahu kheir

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 Před 6 lety +8

    Hakika nyoyo zetu zinafarijika sana tunapo sikiliza mawaidha yako pia tunapata faida kubwa kwa uwepo wako, shukran jazakum khayran Allah akulinde na hasad za watu wasiopenda ne'ema aliokupa Allah

  • @zulekhanassor9977
    @zulekhanassor9977 Před 3 lety

    Safi sana

  • @jumamj2607
    @jumamj2607 Před 5 lety +1

    Jamaa ktk Imani.....
    Mi ni ndugu yenu ktk Imani (uislamu) Nina umri wa miaka 27, natafuta mwanamke wa kuoa... dua zenu inshaa Allah anionyeshe shina bora

  • @salwawairimu5536
    @salwawairimu5536 Před 6 lety +5

    Masha Allah mungu akujaze kheir, hapa duniani ,nakupenda kwa ajili ya Allah ,kila unapo soma aya za Quran waniliza,nakutakia saum maqbul we we na familia yako.

  • @isackmagaka4954
    @isackmagaka4954 Před 6 lety +1

    Allah akbal

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 Před 6 lety +3

    Assalaam Alaykum.
    Nampenda sana Ustad Othman Moallim. Mola amhifadhi. Vipi hali yake na afya?

  • @najahyusuf5727
    @najahyusuf5727 Před 6 lety +2

    Asalaam aleykum ndugu zangu nawezakupata number za sheikh othman maalim ndugu yangu

  • @mwanahamisjuma3361
    @mwanahamisjuma3361 Před 6 lety +4

    Asalam alaikum shehe mie nashkur kwa kutupa daawa na mwenyezimungu akulipe kwa hayo unayoyafanya shehe mie ninaombi ningependa nyie mashehe WA afrika muungane wrote kwa pamoja muende mukafundishe mambo ya Dino huko ulaya kwa mie naona hao waislam WA huko hawafuati maamrisho ya dini kama inavyotakiwa

  • @wanawakewakiislam9716
    @wanawakewakiislam9716 Před 6 lety +2

    Mungu amuweke sheikh wetu

  • @daleylahdaleylah2018
    @daleylahdaleylah2018 Před 6 lety +2

    MashaAllah