Abali yako kakaa tnashukulu. Kwamaerekezo. Yako. Mazur mungu.akblik sana. Ila tnaomba tuandikie namba yako apa ili watu.tuone kwa pamoja na paspprt. Nnayo
Asalam aleykum kaka mimi nina uzoefu zaidi ya miaka 15 katika tasnia ya ujenzi.niko napaspoti hapa nilipo njaa kali mpaka ntakufuru hali ningumu unanisaodiaje please?
Hapo nimekuelewa sana
Heloo
Asalam alaikum warahamatullah wabarakatuh kaka Nina mdogo wangu anayo paspot anahitaj kazi nchi yoyot
Nisaidyen nipat kazi uko imani nisaidy nipat kazi imani
Mie nakupendaga tu kwa kusema ukweli maana kuna watu wanatapeliwa sanaa na hawa maagent wa njia za panya 😢😢allah akupe umri mrefu inshallah 🤲
kaka tunaweza pataje namba zako
Asalaam aleykum kaka naomba number yako
Abali yako kakaa tnashukulu. Kwamaerekezo. Yako. Mazur mungu.akblik sana. Ila tnaomba tuandikie namba yako apa ili watu.tuone kwa pamoja na paspprt. Nnayo
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh kaka naomba namba yako
Naomba namba yako ya simu,Niko tayali unifanyie mpango wa Viza na mengineyo
Assalam alaykum vp Hali bro...Mimi ninakilakitu kasoro pesa bro je utanisaidiaje?!
Nakupata kwa mawasiriano gani
Mtangulize mungu the biggest thing
Shukran bro Allah akubaliki
Naomba unisaidiye ninakaka yangu anahitaji kuja anakila kitu chake gharama itakua kiyasi gani
Shukrani
Allah akufanyie wepesi aamin
Nakuelewa kaka ila tusaidie kujua mawakala ambao wanajulikana hapo dubai kwa kumtafutia watu kazi
Saw
hello am interested niko Burundi na niko na passport pls nisaidiye
Nikitaka kuja mimi mwenyewe gharama kutoka tz tsh ngapi hapo paspoti ninayo
Catering jobs za ladies ziko ama
Naomba no yako brother
kazi zandani zipo au hamna
Shukran sana kaka
Unapatikana wapu
🙏
Naombaa namba zakoo please
😅😊
Naomba kuuliza ghalama,ya Viza nibeigani, kiongozi
Mi na kazi ya Qatar security gharama 2milion kila ktu
Naomba namba yasimu tuwasiliane Niko tayari kiongozi
Kila kitu 2molion
Million mbili kila kitu ticket na visa
namb yk ndug
Asslam aleyk kaka
namba no zako
Ok tuwasiliane
Anko
Asalam aleykum kaka mimi nina uzoefu zaidi ya miaka 15 katika tasnia ya ujenzi.niko napaspoti hapa nilipo njaa kali mpaka ntakufuru hali ningumu unanisaodiaje please?
Mimi nataka kuja huko lakini sna passport wa Visa
Passport na visa n muhimu dear Anza na passport kwanza
Kaka nipe no yako mim nipo South nimechoka mbaya
Mambo
Mambo upo south
Samahn nipe no zako
@@bahatimnally152😅😅😅
Asalaam aleykum kaka naomba number yako
Anko
Asalaam aleykum kaka naomba number yako