Huyu ni tapeli anayejitangaza. Nawapa tahadhar. Kwa alivyonitapel naaamim kawaliza wengi. Mimi nimefata wasap akatuma maelezo yake kuwa anatengeneza biti kisha anatuma kipande then ukilipa ndo anatuma bit yote. Basi mi nikamwamin nikampa wimbo atengeneze, baada ya saa akatuma kipande cha biti akadai malipo. Nikamlipa hela yote. Baada ya hapo hakutuma bit kamali, hajibu SMS wala kupokea cm toka July 2023. Huu ni mwez wa 3 sasa Serikal kupitia TCRA ilizindua kampen endelevu ya kutokomeza wizi mitandaon. Hvyo, hamna haja ya kukaa kimya, kama na ww umelizwa toa taarifa polisi au ujumbe namba 15040. Nenda na ushahid wa malipo na screenshot za chatting au recorded voice notes na contac zote ili tupunguze wezi. Kuna watu ni waaminifu kbsa, ila wako wahuni wachache na wezi akiwemo producer robby wanaharibu reputation ya hii biashara
We humjui huyu Robby ni tapeli. Siwez kunyamazia kimya. Watanzania weng hupotezea na kumwachia Mungu kumbe ndo tunazid kuharibu. Mi nimeshachukua hatua kisheria. Hapa nakupa tahadhar ili usije ingia mkenge ndugu yangu. Kama namsingizia na aseme hapa. Kwann tulee uhalifu? Nawaomba wenzang muwe na makin na msikae kimya kama umetendewa sivyo. Shera zipo wazi na tena zimeongezewa adhabu hasa wizi na utapel kwa njia ya mtandao
Hakuna anae kuweza kwa biti za kiwango
🙏 Si Mimi bali ni Roho Mtakatifu ananiwezesha
May your hands be blessed
Amen Amen
Huyu ni tapeli anayejitangaza. Nawapa tahadhar. Kwa alivyonitapel naaamim kawaliza wengi.
Mimi nimefata wasap akatuma maelezo yake kuwa anatengeneza biti kisha anatuma kipande then ukilipa ndo anatuma bit yote.
Basi mi nikamwamin nikampa wimbo atengeneze, baada ya saa akatuma kipande cha biti akadai malipo. Nikamlipa hela yote. Baada ya hapo hakutuma bit kamali, hajibu SMS wala kupokea cm toka July 2023. Huu ni mwez wa 3 sasa
Serikal kupitia TCRA ilizindua kampen endelevu ya kutokomeza wizi mitandaon. Hvyo, hamna haja ya kukaa kimya, kama na ww umelizwa toa taarifa polisi au ujumbe namba 15040. Nenda na ushahid wa malipo na screenshot za chatting au recorded voice notes na contac zote ili tupunguze wezi.
Kuna watu ni waaminifu kbsa, ila wako wahuni wachache na wezi akiwemo producer robby wanaharibu reputation ya hii biashara
We humjui huyu Robby ni tapeli. Siwez kunyamazia kimya. Watanzania weng hupotezea na kumwachia Mungu kumbe ndo tunazid kuharibu.
Mi nimeshachukua hatua kisheria. Hapa nakupa tahadhar ili usije ingia mkenge ndugu yangu.
Kama namsingizia na aseme hapa. Kwann tulee uhalifu? Nawaomba wenzang muwe na makin na msikae kimya kama umetendewa sivyo. Shera zipo wazi na tena zimeongezewa adhabu hasa wizi na utapel kwa njia ya mtandao