SHUHUDIA ALICHOKIFANYA MAKAMO WA PILIWA RAIS KIJIJINI KWAO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 04. 2021
  • Kutoka AL FATAH TV ONLINE
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​
    #ZANZIBAR​

Komentáře • 40

  • @husnamohamed9245
    @husnamohamed9245 Před 3 lety +3

    Nakumiss kiwsni kwetu mashallah watu wana heshma kwelikweli mashallah mashallah nimeipenda

  • @othmanalnabhany3208
    @othmanalnabhany3208 Před 3 lety +2

    Karibuni sana kiwani Miss u sweet home

  • @salehsuleimanmbaruk2645
    @salehsuleimanmbaruk2645 Před 3 lety +1

    Imani kweli Ni mashehe wetu wasidhalilike ewe Allah tunaomba hukmu ya hili

  • @IBRAHIMALI-isal
    @IBRAHIMALI-isal Před 3 lety

    Napenda waislamu kwanza na kuanza kumshukuru mwenye enzi Mungu,then kuendelea kumshukuru binaadam

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 Před 3 lety +3

    Sasa kodi msikitini basi ila samahan ungewaita njee

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 3 lety

    Nimekumiss sana nyumba😭 pemba yangu nakupenda sana

  • @fatumaabdhul8620
    @fatumaabdhul8620 Před 3 lety

    MASHALLAH

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 3 lety

    Mashallah Allah

  • @issaidrisamusa8437
    @issaidrisamusa8437 Před 3 lety

    Unapokua msikitini ongea maneno ya kiimani , hata hiyo Kodi Kwa mwenye Iman hawezi kupinga

  • @abdallahsalum7301
    @abdallahsalum7301 Před 3 lety

    Wapemba mbwana mnafurahisha Sana sipti jibu jamazangu

  • @SA-xj8hc
    @SA-xj8hc Před 3 lety

    Mashallah, unakwenda kijijini kwenu kuftari ukimaliza ✈️ jetty inakusubiri kukurejesha kwako.😃😃

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 3 lety +1

    Sasa hio ndio hutuba ya msikitin naona sasa mnakofikia nimbali.

  • @fatmanassormohd8071
    @fatmanassormohd8071 Před 3 lety

    Kwann usingelisoma jpo alhamdu ukatoka

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 Před 3 lety

    Shukraan Sana sheikh wetu

  • @osmanha6915
    @osmanha6915 Před 3 lety +1

    Ili porojoo la kodi lintokea wapi?

  • @dotahamad6640
    @dotahamad6640 Před 3 lety

    Yaan msikitin uhutubia kod baada ya mawaidha ya kumcha Allah

  • @yassirmohd3069
    @yassirmohd3069 Před 3 lety

    Naona jamaa analeta siasa katika nyumba za mungu dah! Dunia imeisha

  • @allahinbendesi3464
    @allahinbendesi3464 Před 3 lety

    MawaALLAH

  • @mohdmbarouk8465
    @mohdmbarouk8465 Před 3 lety

    Maendeleo ktk kisiwa chetu 😢😢😢😢

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 Před 3 lety

    Mashallah allah akuhifadhi na akulipe ujira mkubwa kwakuwafutarisha waumini awlipe nyote mlioshirikiana
    Na ushauri wangu kuwa uwakusanye na masheha wakupe orodha ya watu mafakiri ili muwakumbuke allah akuwezesheni wapitieni nyumba kwa nyumba inshaallah majumbani mnasuri nyingi sana

  • @ustzsele66
    @ustzsele66 Před 3 lety

    Utaratibu huu wa kuftrisha sio nzr Bora kila 1 ampe bahasha halaf matelevishein ya Nini

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis8092 Před 3 lety

    Mhhhh

  • @salehsuleimanmbaruk2645

    Who is uamsho ?

  • @fahadhassan7390
    @fahadhassan7390 Před 2 lety

    huyu jamaa vp sisa unapeleka msikitin why heeee jamn mnakwenda mbali

  • @ulfatsalamy1139
    @ulfatsalamy1139 Před 3 lety

    Tusiwe waja wakuongea tu huo ulikua kma ukubusho

  • @ustzsele66
    @ustzsele66 Před 3 lety

    Bora mtu mpe akapike nyumbani kwake cio vzr utrtbu huo

  • @phunter4115
    @phunter4115 Před 3 lety

    Hivi jamani huyu mtangazaji amesomea hii kazi au ni basi tu? Naona anapresent bila ya preparation yeyote, anasema tu kinachomjia akilini kwa saa ile, matokeo yake anarudia rudia sana maneni "wapenzi watazamaji" na pia anatumia neno lakini pasipo hitajika inayopelekea maneno yake kushindwa kufahamika kisawa sawa

  • @novakauki5560
    @novakauki5560 Před 3 lety

    Kwan shekha ye anasemaje kuusu kuongea siasa msikitin

  • @nuumanrk4814
    @nuumanrk4814 Před 3 lety

    Njiya ya mkowani vipi......Njiya ya wete kongwe vipi tunataka maendeleo pemba.....nasiyo mengineo

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Před 3 lety

    Sasa hayo ndio maneno ya kuyaongea msikitini akaa subiri mkiwa sehemu husika hapo sipo mahala pake haswa ramadhani hii

  • @abdullabilal2102
    @abdullabilal2102 Před 3 lety

    mimi niulize tu kwani kodi katika dini ya kiislam haifai? maana kama wengine wanaweka mipaka wapi inafaa kuzungumziwa na wapi haifai .

    • @jumayahya2661
      @jumayahya2661 Před 3 lety

      Abdulla bilali katika uislam hukusanywa zaka nasio kodi.

    • @rajabomar4505
      @rajabomar4505 Před 3 lety

      Inafaa Kodi kwenye uislamu

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 Před 3 lety

    NANI ALIYEMCHAGUWA KUWA MAKAMO?

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Před 3 lety

    Daaah subhanna allaah yaani siasa ime take over mahubiri ya dini sasa wewe ume amuwa kufutarisha na kufanya ibada na waumini sasa badala ya kutowa khutba kuhusu ibada na mwezi mtukufu wa ramadhaan unakwenda kusimama msikitini unaongea about kulipa codi hukuwa na hataa kusoma hataa aya moja wala maombi uliyo yaongea tofauti na sio pahala oake sasa jabla ya kufutarisha unawatia watu majiti ya roho kwanza daah ililmuradi hujielewi unacho kifanya unachanganya changanya tuu hayo uliyoyaongea sio muda wakee walaa pahala pakee DAAH MTIKHAANI KWELI UFALME WA ALLAAH KUUONA KUNA KAZI KWELIII POLE SANA

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman1838 Před 3 lety

    Mskitini mwaongei mambo ya codi

  • @shafiqmohd1491
    @shafiqmohd1491 Před 3 lety

    Mh humo ulimo ni msikitini tumia ulimi wako mda mkubwa kumtaja allah hiyo ndio tija kubwa kwako na ndio mafanikio makubwa sna sna mh mm napnda sna ili usije kupata mtihani kesho ukiacha uluwa

    • @mrjagenmuuz5704
      @mrjagenmuuz5704 Před 3 lety

      Kodı zenyewe hazıkubalıkı kısherıa ua dını ya kıslamu