SHUHUDIA ALICHOKIFANYA MAKAMO WA PILIWA RAIS KIJIJINI KWAO
Vložit
- čas přidán 23. 04. 2021
- Kutoka AL FATAH TV ONLINE
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Nakumiss kiwsni kwetu mashallah watu wana heshma kwelikweli mashallah mashallah nimeipenda
Karibuni sana kiwani Miss u sweet home
Imani kweli Ni mashehe wetu wasidhalilike ewe Allah tunaomba hukmu ya hili
Napenda waislamu kwanza na kuanza kumshukuru mwenye enzi Mungu,then kuendelea kumshukuru binaadam
Sasa kodi msikitini basi ila samahan ungewaita njee
Nimekumiss sana nyumba😭 pemba yangu nakupenda sana
MASHALLAH
Mashallah Allah
Unapokua msikitini ongea maneno ya kiimani , hata hiyo Kodi Kwa mwenye Iman hawezi kupinga
Wapemba mbwana mnafurahisha Sana sipti jibu jamazangu
Mashallah, unakwenda kijijini kwenu kuftari ukimaliza ✈️ jetty inakusubiri kukurejesha kwako.😃😃
Sasa hio ndio hutuba ya msikitin naona sasa mnakofikia nimbali.
Kwann usingelisoma jpo alhamdu ukatoka
Shukraan Sana sheikh wetu
Ili porojoo la kodi lintokea wapi?
Yaan msikitin uhutubia kod baada ya mawaidha ya kumcha Allah
Naona jamaa analeta siasa katika nyumba za mungu dah! Dunia imeisha
MawaALLAH
Maendeleo ktk kisiwa chetu 😢😢😢😢
Mashallah allah akuhifadhi na akulipe ujira mkubwa kwakuwafutarisha waumini awlipe nyote mlioshirikiana
Na ushauri wangu kuwa uwakusanye na masheha wakupe orodha ya watu mafakiri ili muwakumbuke allah akuwezesheni wapitieni nyumba kwa nyumba inshaallah majumbani mnasuri nyingi sana
Utaratibu huu wa kuftrisha sio nzr Bora kila 1 ampe bahasha halaf matelevishein ya Nini
Mhhhh
Who is uamsho ?
huyu jamaa vp sisa unapeleka msikitin why heeee jamn mnakwenda mbali
Tusiwe waja wakuongea tu huo ulikua kma ukubusho
Bora mtu mpe akapike nyumbani kwake cio vzr utrtbu huo
Hivi jamani huyu mtangazaji amesomea hii kazi au ni basi tu? Naona anapresent bila ya preparation yeyote, anasema tu kinachomjia akilini kwa saa ile, matokeo yake anarudia rudia sana maneni "wapenzi watazamaji" na pia anatumia neno lakini pasipo hitajika inayopelekea maneno yake kushindwa kufahamika kisawa sawa
Kwan shekha ye anasemaje kuusu kuongea siasa msikitin
Njiya ya mkowani vipi......Njiya ya wete kongwe vipi tunataka maendeleo pemba.....nasiyo mengineo
Sasa hayo ndio maneno ya kuyaongea msikitini akaa subiri mkiwa sehemu husika hapo sipo mahala pake haswa ramadhani hii
Ndio kuchanganyikiwa! Huko
mimi niulize tu kwani kodi katika dini ya kiislam haifai? maana kama wengine wanaweka mipaka wapi inafaa kuzungumziwa na wapi haifai .
Abdulla bilali katika uislam hukusanywa zaka nasio kodi.
Inafaa Kodi kwenye uislamu
NANI ALIYEMCHAGUWA KUWA MAKAMO?
Daaah subhanna allaah yaani siasa ime take over mahubiri ya dini sasa wewe ume amuwa kufutarisha na kufanya ibada na waumini sasa badala ya kutowa khutba kuhusu ibada na mwezi mtukufu wa ramadhaan unakwenda kusimama msikitini unaongea about kulipa codi hukuwa na hataa kusoma hataa aya moja wala maombi uliyo yaongea tofauti na sio pahala oake sasa jabla ya kufutarisha unawatia watu majiti ya roho kwanza daah ililmuradi hujielewi unacho kifanya unachanganya changanya tuu hayo uliyoyaongea sio muda wakee walaa pahala pakee DAAH MTIKHAANI KWELI UFALME WA ALLAAH KUUONA KUNA KAZI KWELIII POLE SANA
Mskitini mwaongei mambo ya codi
Mh humo ulimo ni msikitini tumia ulimi wako mda mkubwa kumtaja allah hiyo ndio tija kubwa kwako na ndio mafanikio makubwa sna sna mh mm napnda sna ili usije kupata mtihani kesho ukiacha uluwa
Kodı zenyewe hazıkubalıkı kısherıa ua dını ya kıslamu