Newyork ughaibuni World Trade Center ( kwa Visa nicheki mapema nikusaidie)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 09. 2022

Komentáře • 32

  • @hamisikimbatikwa6959
    @hamisikimbatikwa6959 Před rokem +2

    Dar sawa-kitu kimoja ungemtoa mmoja kwanza hasa mtu wa hari ya chini-Arafu anakulipa baada ya safari-lakini hayo maeelezo ni kweli kwani tunalinganisha kwa watu Wa amerika wengine-wa uko lakini kwa mimi wananiambia c kwa ulaisi namna iyo sasa apo cjajua wana maana gani?kwa sababu watu wameita safari mpaka kwA ml 20 wameshindwa-kwa sababu Amerikani wako makini mno

  • @jacksonjohn779
    @jacksonjohn779 Před rokem

    Thanks bro

  • @lwegelefistonnjoku1955

    Good

  • @evancekaganda1250
    @evancekaganda1250 Před rokem

    Big up brother unatupa exposure saana

  • @AbdulCannabis-yd4wx
    @AbdulCannabis-yd4wx Před rokem

    More respect

  • @mdmahammad3278
    @mdmahammad3278 Před rokem

    Asante

  • @aulamongi2020
    @aulamongi2020 Před rokem

    Good content

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    👍👊

  • @Osmarnkanjo
    @Osmarnkanjo Před 7 měsíci

    Daaah brooh unanpa gazabu saana na me kwl mdoto yng kubwq n kusafr

  • @drmbekiclinic
    @drmbekiclinic Před rokem

    Hivi unajuaje mitaa 🔥Msaada hapa

  • @AbdulCannabis-yd4wx
    @AbdulCannabis-yd4wx Před rokem

    Mmmh ilojiji so mchezo siku ya kwanza kudrop unaweza kuget zebra kick

  • @stellacosmas6047
    @stellacosmas6047 Před rokem

    Kaka nakukubali sana mungu akutuze sana

  • @dollarjohn9292
    @dollarjohn9292 Před rokem

    Sis wenye uwezo wa ulaya tu huko tutakuwa na wenyeji maana ww upo marekani

  • @raychipanha1919
    @raychipanha1919 Před rokem

    Kaka umeuwa mbaya iyo video ya jengo la worldcentre nimeidownload nainjoy sana

  • @user-le7mh1bb1j
    @user-le7mh1bb1j Před rokem

    saf san

  • @bakarisultanindima3513

    Tunakuombea Dua kaka

  • @user-ft9kx7nd5t
    @user-ft9kx7nd5t Před rokem

    Habar broo mm nipo Tanzania nahitaji namba yk Whatsapp tuongee private

  • @thedonheritier3584
    @thedonheritier3584 Před rokem +1

    Mimi Niko Congo DRC kaka hiyo milioni 9 itakua kama kihasi gani kwa dollar na ndo garama zote hizo Wala itabidi nilipia bingine kama ndege,na pili pakufikia nikwako ?kunitafutiya kazi na kunizunguhusha mjini

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Před rokem

    Naomba pia uzungumzie KAZI ya udereva sifa zake kwa sisi wageni tunawezaje kuruhusiwa kuendesha hizo tax?

  • @zakariarobert3426
    @zakariarobert3426 Před rokem

    Familia unanichanganya ujue

  • @why1056
    @why1056 Před rokem

    Tunakuja tunakuja mzee tunakuja