Dar sawa-kitu kimoja ungemtoa mmoja kwanza hasa mtu wa hari ya chini-Arafu anakulipa baada ya safari-lakini hayo maeelezo ni kweli kwani tunalinganisha kwa watu Wa amerika wengine-wa uko lakini kwa mimi wananiambia c kwa ulaisi namna iyo sasa apo cjajua wana maana gani?kwa sababu watu wameita safari mpaka kwA ml 20 wameshindwa-kwa sababu Amerikani wako makini mno
Mimi Niko Congo DRC kaka hiyo milioni 9 itakua kama kihasi gani kwa dollar na ndo garama zote hizo Wala itabidi nilipia bingine kama ndege,na pili pakufikia nikwako ?kunitafutiya kazi na kunizunguhusha mjini
Dar sawa-kitu kimoja ungemtoa mmoja kwanza hasa mtu wa hari ya chini-Arafu anakulipa baada ya safari-lakini hayo maeelezo ni kweli kwani tunalinganisha kwa watu Wa amerika wengine-wa uko lakini kwa mimi wananiambia c kwa ulaisi namna iyo sasa apo cjajua wana maana gani?kwa sababu watu wameita safari mpaka kwA ml 20 wameshindwa-kwa sababu Amerikani wako makini mno
Thanks bro
Good
Big up brother unatupa exposure saana
More respect
Asante
Good content
Asante
👍👊
Daaah brooh unanpa gazabu saana na me kwl mdoto yng kubwq n kusafr
Hivi unajuaje mitaa 🔥Msaada hapa
Mmmh ilojiji so mchezo siku ya kwanza kudrop unaweza kuget zebra kick
Kaka nakukubali sana mungu akutuze sana
Asante
Sis wenye uwezo wa ulaya tu huko tutakuwa na wenyeji maana ww upo marekani
Kaka umeuwa mbaya iyo video ya jengo la worldcentre nimeidownload nainjoy sana
saf san
Tunakuombea Dua kaka
Habar broo mm nipo Tanzania nahitaji namba yk Whatsapp tuongee private
Mimi Niko Congo DRC kaka hiyo milioni 9 itakua kama kihasi gani kwa dollar na ndo garama zote hizo Wala itabidi nilipia bingine kama ndege,na pili pakufikia nikwako ?kunitafutiya kazi na kunizunguhusha mjini
Dolla $4000
Naomba pia uzungumzie KAZI ya udereva sifa zake kwa sisi wageni tunawezaje kuruhusiwa kuendesha hizo tax?
Sawa amna shida
Familia unanichanganya ujue
Tunakuja tunakuja mzee tunakuja
Sawa karibuni
Mambo
@@rabyasalehe6300 salam ni yangu au ya dulla kama ni mimi safi hali yako