Mashine Bei gani na material yanapatikanaje
Samahan hamtengenez mifuko ile ya kuwekea mahing ambayo ukihifadhi mahind huwek dawa kweny mahind unayapepet t na kuwek ktk mifuko na kuufunga vizur
Je nikihitaji kwa bei ya kununua kiwandani kwa bei ya jumla ni shingapi
Nauliza mifuko y salfet sio plastic
daaah mpKa raha,, this is Tanzania,, tumeweza
Mifuko hiyo naipataje nipo Kigoma ,kasulu
Kwasiku unaweza kutengeneza tan ngap au ni zakuuza tuu uko mkoan kwako?
Kazi nzuri ubarikiwe
Hata Kenya mifuko yao iko kama hiyo
Ahsante Kwa elimu Mimi ni walala WA kuuza vifungashio naomb mawasiliano nije kujumua mzigo??
Mwananchi digital unaeza Nipa connection ya kupata mzigo kwenye hicho kiwanda /mawasiliano nao
Naipatje namba yak mkuu nahtaje kupata gharam za mashine nifanye huduma hyo
nikitaka kuiuza apa dukani kwangu naipataje
inachanika haraka hivo 😄
Boss muko wap kiwanda cheng niko arusha
nilikuw naitaji mawasiliano ili niweze kupat furusa ya kuwa naagiza mzigo moja kwa moja kutoka kiwandani kwenu
Naweza pata vipi hizo jora za kutengenezea Mifuko na nishingapi kwa jora
Tumia fursa kaka
Nahitaji namba yasimu
nataman nijue upatikanaji wa material pamoja na bei
Hichi kiwanda muko wap nahitaji kufanya biashara nanyiye naomba malekeazo mim niko arush maeneo ya tengeru
Mifuko hiyo inapatokanaje ...nipo Zanzibar 0773520677
Kiwanda kipo wap ??? Nina hitaji hio
Naombeni namba yake jamani niweze kuwasiliana nae kuhusu upatikanaji wa mashine
Naitaji
nahitaji kujumua Belo la viroba vya kubebea Mahindra nataka kufanya biashara je niwe na shngp nipo mbeya naitwa said daimoni katembwe 0767997162 au 0784997161 naomba nijibiwe tafadhar
Inauzweje
Namba kuuza mifuko jumla
Mimi nahitaji kitambaa nishone mwenyewe nitapataje Niko moshi, Mimi mjasiriamali mdogo
Naipataje nipo geia
Namb zenu
Nitaipataj mifuko nip mpwapwa
Mawasiliano tunakupataje
Naomba kufanamu je inaoza?
@@janesuma2193
Inatumia Malighafi ya Chupa za Palastiki zinasagwa kisha hutengenezwa uzi mdogo mdogo unaoitwa polistar .
Kisha Wanatengeneza Mifuko hiyo.
Ukweli ni kwamba Mifuko hiyo haiozi wala Mabaki Yake hayarejelezwi na wala si Rafiki wa mazingira.
Ramadhani Mussa nakubaliana na wewe ninayo nimenunua kariakoo uwez amin haiyoz ndio mana nikashangaa mbona serekali bado itaipiga marufuku
@@janesuma2193 hii ndio TZ wamepga marufuku Rambo wanatengeneza mifuko ya purastiki tena ambayo nayo haiozi cku chache tena watapga marufuku lengo nikututia hasara wafanyabiashara wote kwa ujumura. Au wanazo wenyewe hizo mari ghafi wanataka wauze??
Nawezaje kukupata, nina nia ya kuwa na kuwa na kiwanda cha vifungashio hivo
Hizo mashine tunazipataje na ni bro gan