Komentáře •

  • @user-wj6im8ud9e
    @user-wj6im8ud9e Před 9 měsíci +1

    Hizo mashine tunazipataje na ni bro gan

  • @user-es2sk8nc1i
    @user-es2sk8nc1i Před 4 měsíci

    Mashine Bei gani na material yanapatikanaje

  • @PauloNdundulu-xt1li
    @PauloNdundulu-xt1li Před 3 měsíci

    Samahan hamtengenez mifuko ile ya kuwekea mahing ambayo ukihifadhi mahind huwek dawa kweny mahind unayapepet t na kuwek ktk mifuko na kuufunga vizur

  • @LaurentKimaro
    @LaurentKimaro Před 2 měsíci

    Je nikihitaji kwa bei ya kununua kiwandani kwa bei ya jumla ni shingapi

  • @user-un6jw1wm2c
    @user-un6jw1wm2c Před 5 měsíci +1

    Nauliza mifuko y salfet sio plastic

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 5 lety +4

    daaah mpKa raha,, this is Tanzania,, tumeweza

  • @user-tp8of4ij6v
    @user-tp8of4ij6v Před měsícem

    Mifuko hiyo naipataje nipo Kigoma ,kasulu

  • @sarahkendrick8356
    @sarahkendrick8356 Před 5 lety +1

    Kwasiku unaweza kutengeneza tan ngap au ni zakuuza tuu uko mkoan kwako?

  • @richardntullo6105
    @richardntullo6105 Před 4 lety

    Kazi nzuri ubarikiwe

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 Před 5 lety +3

    Hata Kenya mifuko yao iko kama hiyo

  • @PauloMwilapwa-hb6wv
    @PauloMwilapwa-hb6wv Před 10 měsíci

    Ahsante Kwa elimu Mimi ni walala WA kuuza vifungashio naomb mawasiliano nije kujumua mzigo??

  • @samdelilatz2322
    @samdelilatz2322 Před 2 lety

    Mwananchi digital unaeza Nipa connection ya kupata mzigo kwenye hicho kiwanda /mawasiliano nao

  • @angelissack3983
    @angelissack3983 Před rokem

    Naipatje namba yak mkuu nahtaje kupata gharam za mashine nifanye huduma hyo

  • @kennybenny7651
    @kennybenny7651 Před 5 lety +2

    nikitaka kuiuza apa dukani kwangu naipataje

  • @mohamedkwiga6870
    @mohamedkwiga6870 Před 5 lety +2

    inachanika haraka hivo 😄

  • @athumanhassani
    @athumanhassani Před rokem

    Boss muko wap kiwanda cheng niko arusha

  • @azizkassim9317
    @azizkassim9317 Před 5 lety +1

    nilikuw naitaji mawasiliano ili niweze kupat furusa ya kuwa naagiza mzigo moja kwa moja kutoka kiwandani kwenu

  • @abdalahsalimu6891
    @abdalahsalimu6891 Před 4 lety

    Naweza pata vipi hizo jora za kutengenezea Mifuko na nishingapi kwa jora

  • @homeboybeyondtheborders4935

    Tumia fursa kaka

  • @georgemsemwa1710
    @georgemsemwa1710 Před rokem

    Nahitaji namba yasimu

  • @justinewilfred5951
    @justinewilfred5951 Před 2 lety

    nataman nijue upatikanaji wa material pamoja na bei

  • @witnessissac9106
    @witnessissac9106 Před 5 lety +2

    Naombeni Namba mm agent nipo Shinyanga pleaz

  • @athumanhassani
    @athumanhassani Před rokem

    Hichi kiwanda muko wap nahitaji kufanya biashara nanyiye naomba malekeazo mim niko arush maeneo ya tengeru

  • @officialshabashytrader8085

    Mifuko hiyo inapatokanaje ...nipo Zanzibar 0773520677

  • @ninjaboy3708
    @ninjaboy3708 Před 5 lety +3

    Kiwanda kipo wap ??? Nina hitaji hio

  • @charlesmarwa9108
    @charlesmarwa9108 Před 3 lety

    Naitaji

  • @saidkatembwe2996
    @saidkatembwe2996 Před 3 lety

    nahitaji kujumua Belo la viroba vya kubebea Mahindra nataka kufanya biashara je niwe na shngp nipo mbeya naitwa said daimoni katembwe 0767997162 au 0784997161 naomba nijibiwe tafadhar

  • @kamilusmgaya4806
    @kamilusmgaya4806 Před 5 lety

    Inauzweje

  • @machimushukran3742
    @machimushukran3742 Před 2 lety

    Namba kuuza mifuko jumla

  • @rehemabonza4529
    @rehemabonza4529 Před 5 lety +3

    Mimi nahitaji kitambaa nishone mwenyewe nitapataje Niko moshi, Mimi mjasiriamali mdogo

  • @machimushukran3742
    @machimushukran3742 Před 2 lety

    Naipataje nipo geia

  • @limolimo4701
    @limolimo4701 Před 5 lety

    ok mkuu

  • @JANEKAMBENGA-to1sn
    @JANEKAMBENGA-to1sn Před rokem

    Napataje mzigo,na Bei zipoje

  • @user-tn3of4uh2k
    @user-tn3of4uh2k Před rokem

    Namb zenu

  • @hbnemesihbnemesitesha7735

    Nitaipataj mifuko nip mpwapwa

  • @julianamichael1848
    @julianamichael1848 Před 3 lety

    Mawasiliano tunakupataje

  • @witnessissac9106
    @witnessissac9106 Před 5 lety +1

    06730 09188 agent Shinyanga naipataje

  • @damaskimati4280
    @damaskimati4280 Před 5 lety +3

    Naomba kufanamu je inaoza?

    • @ramadhanimussa882
      @ramadhanimussa882 Před 5 lety +1

      Hilo nalo Neno
      Jee inaoza ?
      Kaka umeuliza swali la Msingi Mno

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 Před 5 lety

      Damas Kimati hii sizan kama inaoza mana ina uplastik flan hivi

    • @ramadhanimussa882
      @ramadhanimussa882 Před 5 lety

      @@janesuma2193
      Inatumia Malighafi ya Chupa za Palastiki zinasagwa kisha hutengenezwa uzi mdogo mdogo unaoitwa polistar .
      Kisha Wanatengeneza Mifuko hiyo.
      Ukweli ni kwamba Mifuko hiyo haiozi wala Mabaki Yake hayarejelezwi na wala si Rafiki wa mazingira.

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 Před 5 lety

      Ramadhani Mussa nakubaliana na wewe ninayo nimenunua kariakoo uwez amin haiyoz ndio mana nikashangaa mbona serekali bado itaipiga marufuku

    • @uswizinyanginywa2498
      @uswizinyanginywa2498 Před 5 lety

      @@janesuma2193 hii ndio TZ wamepga marufuku Rambo wanatengeneza mifuko ya purastiki tena ambayo nayo haiozi cku chache tena watapga marufuku lengo nikututia hasara wafanyabiashara wote kwa ujumura. Au wanazo wenyewe hizo mari ghafi wanataka wauze??

  • @KastonHSanga
    @KastonHSanga Před 10 měsíci

    Nawezaje kukupata, nina nia ya kuwa na kuwa na kiwanda cha vifungashio hivo