![SMARTFARMERS FOR CHANGES](/img/default-banner.jpg)
- 30
- 44 462
SMARTFARMERS FOR CHANGES
Registrace 26. 07. 2015
Farmers save the World...
Without farmers imagine how life could be.
Our life begins in what comes from fild of agriculture
It's a time to support farmers...
To make sure they get aid in all requirements concerning farming material
Better market to trade their crops ...
If you help farmers to successes
You have helped the World
Without farmers imagine how life could be.
Our life begins in what comes from fild of agriculture
It's a time to support farmers...
To make sure they get aid in all requirements concerning farming material
Better market to trade their crops ...
If you help farmers to successes
You have helped the World
FULSA YA KUNUNUA MPUNGA PART 3
Ukiacha kulima mpunga wakulima wanakuwa na uhitaji wa wanunuzi haswa wakati wa kuvuna.
je una mtaji na unataka kufanya hii biashara ika hujui yanzie wapi.
nichek wakati wako ndio na msimu ndio huu
+255 764 536 790
je una mtaji na unataka kufanya hii biashara ika hujui yanzie wapi.
nichek wakati wako ndio na msimu ndio huu
+255 764 536 790
zhlédnutí: 164
Video
MPUNGA - MAVUNO PART 2
zhlédnutí 27Před měsícem
kilimo ni uti wa mgongo na ni biashara bora ukikipata kwa usahihi
MPUNGA ATUA YA MAVUNO PART 1
zhlédnutí 85Před měsícem
Ni zao pendwa kwa chakula na biashara. msimu huu katika Habari za kilimo cha mpunga kijiji cha mbigiri mkoa wa Morogoro kilimo kimefanya vizuri. maeneo haya yanahitaji maboresho ya kisasa. ikiwemo mashine za kisasa ambazo zinaweza kukologa tope. wakati maji yakiwahi. Nina Imani kubwa video hizi zitampata muekezaji. Pia ktk kuwekeza ktk kununua mpunga na kuwa mnunuzi mkubwa wa mpunga. Fulsa iko ...
KULIMA MPUNGA - UMWAGILIAJI PATA GUNIA 40 AU ZAIDI
zhlédnutí 691Před 2 měsíci
Mpunga hivi karibuni limekuwa zao sio tu kwa ajili ya chakula pekee lakini biashara. mchele umechukua nafasi ya kufanya vizuri katika soko la ndani na nje ya Tanzania.. Leo ktk video hii inakuletea elimu ya kilimo cha mpunga. Haswa katika kukupa taarifa kuhusu kulima katika mashamba yanayotegemea maji kutoka milimani na mashamba yanayotumia mfumo wa kuingiza maji na kutoa. Mkoa wa Morogoro umeb...
JINSI YA KUFANIKIWA KTK KILIMO
zhlédnutí 344Před 3 lety
Morogoro ndani ya Tanzania wilaya ya Kilosa kijiji cha mbigiri kimebarikiwa ardhi inayofaa kwa kulima mazao mengi ili ni shamba la mpunga linaloendelea vema tazama usiache to subscribe ujifunze mengi
JINSI MPUNGA ULIVYOKUWA
zhlédnutí 659Před 3 lety
JINSI YA KUTAJILIKA KWA KULIMA MPUNGA
zhlédnutí 577Před 3 lety
Wakati tunalima ..ardhi ilikiwa kavu tena yenye majani ...inahitaji ujasili kuchukua hatari ya pesa na kuzihifadhi katika ardhi ...baada ya miezi minne shamba lipo katika hali ya kijani kibichi ... Kilimo ni shughuli ambayo hatupaswi kuiacha... tuna wajibu wa kufundisha vijana wetu waweze kufanya hii kazi... Serikali ifanye jitihada kufikia wakulima wote haswa kuweka soko la ndani la mchele len...
JINSI YA KUPATA GUNIA 40 ZA MPUNGA KWA EKALI MOJA
zhlédnutí 2KPřed 3 lety
Uongozi wa kikundi cha smart Farmers for.change ulifika kuangalia maendeleo na kubaini changomoto
JINSI YA KUPATA UFUMBUZI CHANGAMOTO ZA KILIMO
zhlédnutí 643Před 3 lety
Ingawa kilimo cha mpunga kimekuwa tegemeo la watu wengi ila bado changamoto kuu ni ktk masoko.. Mkulima hana soko la moja kwa moja .... kwamba nikimaliza kulima ni wapi nipeleke na kuuza mazao. Ni mtazamo wako kuhusu serikali ? Kama Mkulima na swala la kuwa na soko la ndani linalo eleweka na mpango wa kuwa na soko la nje. Ili kilimo kiweze kumkwamua Mtanzania
FULSA MPUNGA EKALI MOJA GUNIA 20
zhlédnutí 643Před 3 lety
Shughuli ya kilimo imekuwa ikitazamwa na vijana kama kazi ya mwisho ktk maisha au kazi inayofanywa na wazee, wastaafu nk. Kutana na vijana kutoka Dar es salaam hadi Morogoro ktk kijiji cha mbigiri wilaya ya Kilosa wakiongelea mabadiliko ktk shamba la mpunga. Vijana ndio haswa wanapaswa kufanya shughuli hii... kwasababu ndio Taifa la kesho. changomoto ktk sector ya kilimo ni za kuzifanyia na zit...
FULSA YA KULIMA MPUNGA KTK MASHAMBA YA ASILI
zhlédnutí 211Před 3 lety
Tupo ktk hatua mpunga umeota na unaendelea vizuri .. kilimo ni uti wa mgongo karibu tulime pamoja
FULSA KULIMO CHA MPUNGA MAANDALIZI NA CHANGAMOTO ZAKE
zhlédnutí 865Před 3 lety
Biashara ya kilimo ina tazamwa kwa mtazamo mgumu ..kutokana na mazingira yake ya kuandaa baadhi ya mazao haswa haswa mpunga. Kutana na kijana Batromeo kutoka Dar es salaam aliyeamua kuanzisha shughuli ya kulimo cha mpunga ili kuamsashisha Vijana kuona kulima sio kwa ajili ya wazee. Pamoja na hayo kumekuwa na tatizo kubwa katika masoko ya kulimo ... Wito kwa serikali ni kutazama zao la mpunga na...
JINSI YA KUANDAA SHAMBA ZA MPUNGA
zhlédnutí 4KPřed 3 lety
Jifunze maandalizi ya kilimo cha mpunga ... napa ndio tumeanza Leo tuna lima nataka ujifunze... sina uchoyo wa nafsi kilimo kina kukosa katika kukosa kuna wengine wanapata .. Wanapataje unakosaje... Nafungua mjadala .. Sehemu ya kwanza msimu wa mwaka 2020 to 2021 ... Usiache to subscribe ... ili upate post zote za kilimo cha mpunga na ujue changamoto zote
JINSI YA KULIMA MPUNGA - KISHA KUPANDA NYANYA
zhlédnutí 146Před 3 lety
Bila wakulima hakuna maisha na pia kulimo sio shughuli ya mwisho baada ya kushindwa maisha na wala sio kwa ajili ya wazee na WASTAAFU... Kilimo ni kazi ..kilimo ni uti wa mgongo... Mashamba haya yaliyopo ktk kijiji cha mbigiri mkoa wa Morogoro wilaya ya kilosa ... Yamebarikiwa sana ebu ..ona ukimaliza mpunga unaweza ukapanda mahindi,nyanya na mazao yanayo fanana na hayo... Usiache kunichek kwa ...
Mbinu mbalimbali zikijadiliwa na WAKULIMA wa MPUNGA zakupata mazao mengi, masoko na fursa za kilimo
zhlédnutí 247Před 3 lety
#kilimokwanza #wakulimatz Wakulima wa mpunga kijiji cha mbigiri Mkoani morogoro wakijadili mbinu mbalimbali za kukuza kilimo cha mpunga na jinsi ya kupata masoko kwa mazao yao wakiwa pamoja DM part 1
Mbona unatumia nguvu saaana kushawishi?😂
Kilimo ni uti wa mgongo
Mbegu Gani ya mpunga hii?
Masantula
@@smartfarmersforchanges4419 kaka hii inatoa gunia ngapi kwa eka? Ni ya kienyeji?
Hii mbegu inapatikana Morogoro maeneo gani nalimia songea nina shida nayo
Kuanzia Dakawa na pale mbigiri zinapatikana
Somo la leo nimelielewa mno kaka nitakutafuta inshallah
Sawa ndugu
morogoro sehem gan
Mbigiri ... jirani na dakawa
hayo mashamba yapo mkoa gan mi nataka kulima lakin cjui nianzie wap
Sawa kaka
Kubwa sana kaka
Kaka samahani naomba namba zako nataman sana kulima kilimo cha mpunga nisaindie kaka
Eka moja kununua shingapi
Bei utofautiana ... kuanzia laki 6 na kuendelea
Mimi nataka kununua shamba yanapatikana eka shingapi
Ndio yanapatikana
Gunia 40 eka 1 kumbe yaweza pata
Namba yako ya wasap
punguzeni tu mziki kwenye video zenu na mujikite zaidi kwenye uelimishaji yani jins ya kulima mpunga kuweka kama ni mbolea na utaratibu unaotakiwa sio malalamiko tu mwanzo mwisho
Mtaji ni kias gan asa kwa me sjawai lima
Apologies kwa kuchelewa kujibu. Mtaji kwa ekali hadi una maliza ktk eneo ili la umwagiliaji. Kwa ekali kuanza kukodi hadi mwisho inaweza kukughalimu hadi 1M +
Safi sana brother Batromeo. Hii imekaa vizuri. Nitakutafuta kwa taarifa zaidi.
Tutafutane kama nilivyo Sema kilimo cha mpunga kina nufaisha watu wachache ambao wamegundua siri. Nita post video ingine nitoe fulsa ya kununua mpunga na kuuza mchele
Hiyo ni mbegu ya salo///
Muwe mna WEKA namba za Mawasiliano
Waoooh
Very nice blood Naomba no zako samahan
Sauti ya kinanda inaondoa usikivu,jitahidi kuipunguza au kuitoa kabisa kama itawezekana Ili kuweza kukuza usikivu wa wasikilizaji na watazamaji,asante
Mbegu Gani iyoo
Elimu imenifikia, naomba unitumie namba yako ya simu kwa ajili ya mawasiliano zaidi
kaka naomba kulima namm plz nisaidie
Hiyo mbegu inaitwaje
Uwa Nashangaa Sana sisi Waafrika sijui uwa tunatatizo gani Badala ya kutoa elimu na kuwaelimiha watu kuhusu kilimo unachofanya ili wavutike kukufuatilia na kuwekeza inaanza Mara muziki Ivi uwa mnajifikiria chakuwaeleza watu kabla ya kufanya Ivo. Jamani naomba tubadilike Alafu jamaa anaongea na lugha ya kigeni ambayo wachache wanaelewa haina maana labda angeelimisha alimaanisha Nini kwa kutafsiri. #Tafuta maarifa ya kitu chochote kabla ya kilifanya.
You are doing great brother.. hongera sana na Mungu azidi kubariki juhudi na mzidi kutuhamasisha zaidi na zaidi..
Nakukubal sana kk
Kingereza hujui
Hueleweki
Nauliza kwenye shimo moja naweka Miche mingapi
Sxzvf
E and
Namb namba zako ndugu
Good.
Mr. Tayari nime subscribe.
Shukrani
Mr. uko vizuri hongera sana kuelimisha.
Kwa heka moja nafaa kuanza na hela ngapi? Kukodi , kulima, kupanda, mpaka kuvuna.
Brother namba zako hazipatikani
Namba yenye huwa haipatikan
Bro nitumie namba yako unayo patikana tuongee jambo moja
Kaka naomba yako
Kaka naomba naomba yako
Nahitaji contact zako
Safi kabsa hiyo fursa nzuri inapendeza.
Nimependa nikweli kabisa unapaswa kua na imani na mvumilivu. 🥰🥰 Heshima huja kwa mvumilivu na matokeo mazuri
Kaka naomba namba yako tuwasiliane zaidi kuhusu kilimo
Naomba msada namba yangu 0620279243
Ndungu naomba nidipu 2 tuongee
Naomb tuongee namba 0715483006
Naomba msaada kuusu kilimo mm isaka namba
Asante Apostle Makumbula Mungu abariki kazi za Mikono yako. 🙋🏼♀️🙋🏼♀️🙋🏼♀️ Nitakuja kukusaidia kuvuna 🤪🤪🤪🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Nashukuru sana boss wangu .... karibu sana
Kwa nn haupandi kwa mstari😅😅
Upana na mrefu wa upachikizaji ni cm 15 kwa 20 Kitu ambacho ndio kinachofayika
Boss namb yako haipatkan me nnashida ya shamba natka shamba nnunue kam kunauwezekan nkuomb kak ang ntaka nlime na mie ntaka eka kumi
@@ashrafhassan9721 +255764536790
Hizi namba zako hazipatikani kamanda