Mapi
Mapi
  • 202
  • 106 015

Video

IRINGA INAVOPENDEZA ANGALIA KUTOKA MTAA WA KITANZINI MPAKA IPOGOLO #iringa #ipogolo #kitanzini
zhlédnutí 43Před 14 hodinami
IRINGA INAVOPENDEZA ANGALIA KUTOKA MTAA WA KITANZINI MPAKA IPOGOLO Tazama mandhari ya kuvutia ya mkoa wa iringa kutokea kitanzini mpaka maeneo ya ipogolo.
NASAHA ZA MZEE MSUNGU KWA VIJANA KUHUSU KAZI #iringa #vijana #kazi
zhlédnutí 59Před dnem
NASAHA ZA MZEE MSUNGU KWA VIJANA KUHUSU KAZI Mzee Msungu anaendelea na mazungumzo, na sasa anatoa nasaha kwa vijana kuhusu kutafuta pesa na masuala mengine mtambuka kama vile kuwa na uvumilivu wakati wakifanya kazi. Mzee pia amegusia kuhusu masuala mazima ya ushirikiano kwenye kazi ili kupata mafanikio endelevu.
MZEE MSUNGU AKIELEZA MBINU ZA KUISHI NA MWANAMKE #iringa #mwanamke #kuishi
zhlédnutí 73Před 14 dny
MZEE MSUNGU AKIELEZA MBINU ZA KUISHI NA MWANAMKE Mzee Msungu mwenye miaka 104 ameeleza mbinu mbalimbali ambazo wanaume wanapaswa kuzitumia ili kuishi na wanawake kwa amani na kujenga familia imara. Sikiliza kwa makini makala hii yote, utapata mambo ya msingi ambayo kwa namna moja ama nyingine yanaweza kusaidia katika maisha.
MAJI ROMBO KILIMANJARO TANZANIA AFRICA #maji #rombo #africa
zhlédnutí 89Před 21 dnem
MAJI ROMBO KILIMANJARO TANZANIA AFRICA Suala la upatikanaji wa maji kwa baadhi ya maeneo katika Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro Nchini Tanzania limekua moja ya mambo yanayoathiri maisha ya wakazi kwa kiasi kikubwa. Jitihada kubwa zimefanyika na wadau mbalimbali katika kuboresha upatikanaji wa maji na matunda yake yameanza kuonekana, ila kuna changamoto kadhaa kama zilivoelezwa katika video hii.
MZEE MSUNGU AKIELEZA KUHUSU UTARATIBU WA KUOA ULIVOKUA ZAMANI IRINGA KWA WAHEHE #ndoa #iringa
zhlédnutí 136Před 21 dnem
MZEE MSUNGU AKIELEZA KUHUSU UTARATIBU WA KUOA ULIVOKUA ZAMANI IRINGA KWA WAHEHE Mzee Emmanuel Msungu mwenye mri wa miaka 104 ameeleza kuhusu utaratibu ulivokua kwa kijana anaetaka kuoa. ameeleza pia kuhusu yeye na idadi ya wake aliopata kuoa. Sikiliza makala hii upate kufahamu mambo mengi adimu sana kutoka kwa mzee huyu wa siku nyingi hapa Kilolo, Iringa.
HISTORIA YA UTAWALA WA KI AFRICA NA WA WAKOLONI MKOA WA IRINGA TANZANIA #iringa #tanzania #africa
zhlédnutí 188Před měsícem
HISTORIA YA UTAWALA WA KI AFRICA NA WA WAKOLONI MKOA WA IRINGA TANZANIA Katika makala hii utapata kusikia kuhusu mambo yalivokua miaka ya nyuma mpaka wakati wa ukoloni wa wajerumani na waingereza mkoani Iringa. Simulizi hizi ni kutoka kwa mzee Msungu, Mzee mwenye umri wa miaka takriban 104 ambae ameishi na bado anaishi Wilayani Kilolo katika mkoa wa Iringa.
RELIGIOUS LEADER IN GHANA - AFRICAN LEADERS ARE MAKING DEMOCRACY TOO EXPENSIVE #africa #leadership
zhlédnutí 24Před měsícem
RELIGIOUS LEADER - AFRICAN LEADERS IN GHANA THAT THEY ARE MAKING DEMOCRACY TOO EXPENSIVE Chairman of The Church of Pentecost, Apostle Eric Nyamekye, has expressed concerns that government leaders, especially parliamentarians, are making democracy too expensive. He urges them to live and Work for the Good of the people.
MZEE MWENYE MIAKA 104 FAHAMU KUHUSU CHAKULA ALICHOTUMIA NA KAZI ALIZOFANYA #mzee #chakula #iringa
zhlédnutí 326Před měsícem
MZEE MWENYE MIAKA 104 FAHAMU KUHUSU CHAKULA ALICHOTUMIA NA KAZI ALIZOFANYA Mzee Msungu ameelezea kuhusu mtindo wake wa maisha ulivokuwa, kwenye chakula ameeleza mambo kadhaa ikiwemo ulaji wake wa matunda ya msituni na kunywa maziwa ya ng'ombe wakati wa mchana. Sikiliza makala hii upate kufahamu mengi zaidi kutoka kwa Mzee Msungu ambae ana miaka 104 mpaka sasa
MZEE MWENYE MIAKA 104 AKIFUNGUKA KUHUSU MAMBO YALIVOKUA ZAMANI KILOLO IRINGA #mzee #kilolo #iringa
zhlédnutí 279Před měsícem
MZEE MWENYE MIAKA 104 AKIFUNGUKA KUHUSU MAMBO YALIVOKUA ZAMANI KILOLO IRINGA Mzee Msungu ni mzee wa siku nyingi sana hapa Kilolo. Ana umri wa miaka 104, kwenye makala hii anaeleza mambo mengi kuhusu Kilolo na Iringa kwa Ujumla, ameelezea pia kuhusu namna walivoanzisha kijiji cha ujamaa wakati wa Utawala wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania.
Matunda ya Mapeas yanachumwa Yanga au Simba wamtafute huyu anaedaka #matunda #iringa #simba
zhlédnutí 119Před měsícem
Matunda ya Mapeas yanachumwa Yanga au Simba wamtafute huyu anaedaka
RAIS WA KENYA WILLIAM RUTO AVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI KUFUATIA MAANDAMANO YA GEN Z #kenya #ruto
zhlédnutí 151Před měsícem
RAIS WA KENYA WILLIAM RUTO AVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI KUFUATIA MAANDAMANO YA GEN Z Rais wa Jamhuri ya Kenya Dr. William Samoei Ruto leo hii amelivunja baraza lake la mawaziri. Hii ni kufuatia shinikizo linaloendelea Nchini humo hasa kutokana na maandamano ya Vijana maarufu kama Gen Z
Ombi la Mama Jesca kwa wawekezaji kama vile Mo Dewji na ASAS #mama #matunda #modewji
zhlédnutí 53Před 2 měsíci
Ombi la Mama Jesca kwa wawekezaji kama vile Mo Dewji na ASAS
ALIYEKUWA MBUNGE IRINGA MJINI KUPITIA CHADEMA MCHUNGAJI PETER MSIGWA AHAMIA CCM #mbunge#ccm#iringa
zhlédnutí 720Před 2 měsíci
ALIYEKUWA MBUNGE IRINGA MJINI KUPITIA CHADEMA MCHUNGAJI PETER MSIGWA AHAMIA CCM Aliyekuwa Mbunge wa Iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa amehamia Chama cha Mapinduzi CCM na kupokelewa na Mwenyekiti wa chama ambae pia ni Rais wa Tanzania Mhe. Dr. Samia Suluhu Hassan.
MBUNGE WA KISESA LUHAGA MPINA KUMSHTAKI WAZIRI WA KILIMO HUSSEIN BASHE NA BODI YA SUKARI #mbunge
zhlédnutí 947Před 2 měsíci
MBUNGE WA KISESA LUHAGA MPINA KUMSHTAKI WAZIRI WA KILIMO HUSSEIN BASHE NA BODI YA SUKARI Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina ameeleza kwamba hakutendewa haki na ana lengo la kumshtaki Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari.
Matunda haya ya mapeas yanaozea chini Inawakatisha tamaa wakulima #matunda #kilimo #iringa
zhlédnutí 104Před 2 měsíci
Matunda haya ya mapeas yanaozea chini Inawakatisha tamaa wakulima #matunda #kilimo #iringa
Matunda aina ya mapeas yanayolimwa Kilolo Iringa #matunda #kilimo #iringa
zhlédnutí 53Před 2 měsíci
Matunda aina ya mapeas yanayolimwa Kilolo Iringa #matunda #kilimo #iringa
Kilimo kinacholipa zaidi kati ya miti ya mbao na parachichi nyanda za juu kusini #avocado #iringa
zhlédnutí 102Před 2 měsíci
Kilimo kinacholipa zaidi kati ya miti ya mbao na parachichi nyanda za juu kusini #avocado #iringa
Miti mitatu ya parachichi katika hatua tofauti Kilolo Iringa #avocado #iringa #tanzania
zhlédnutí 386Před 2 měsíci
Miti mitatu ya parachichi katika hatua tofauti Kilolo Iringa #avocado #iringa #tanzania
Kutungua Maparachichi yaliyokomaa #maparachichi #avocado #iringa
zhlédnutí 53Před 3 měsíci
Kutungua Maparachichi yaliyokomaa #maparachichi #avocado #iringa
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda Aahirisha Mkutano Ghafla Wilayani Monduli #makonda #arusha #mkoa
zhlédnutí 279Před 3 měsíci
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda Aahirisha Mkutano Ghafla Wilayani Monduli #makonda #arusha #mkoa
Parachichi la Bomalang'ombe Kilolo Iringa #parachichi #iringa #kilolo
zhlédnutí 93Před 3 měsíci
Parachichi la Bomalang'ombe Kilolo Iringa #parachichi #iringa #kilolo
EXTENDED VERSION IFAHAMU ZAIDI DABAGA KILOLO IRINGA TANZANIA
zhlédnutí 58Před 3 měsíci
EXTENDED VERSION IFAHAMU ZAIDI DABAGA KILOLO IRINGA TANZANIA
Ushauri wa Mzee Kihongosi kwa Vijana kuhusu Ajira #vijana #ajira #kihongosi
zhlédnutí 32Před 3 měsíci
Ushauri wa Mzee Kihongosi kwa Vijana kuhusu Ajira #vijana #ajira #kihongosi
Huyu ndie Mzee Laban Kihongosi Baba wa Mkuu wa Wilaya ya Momba #baba #kihongosi #momba
zhlédnutí 57Před 3 měsíci
Huyu ndie Mzee Laban Kihongosi Baba wa Mkuu wa Wilaya ya Momba #baba #kihongosi #momba
ANGALIA DEREVA HUYU ALIVOOKOLEWA NA WENZAKE #dereva #truck #driver
zhlédnutí 30Před 4 měsíci
ANGALIA DEREVA HUYU ALIVOOKOLEWA NA WENZAKE #dereva #truck #driver
Mtoto wako akipangwa Shule ya Sekondari Udzungwa Iringa #iringa #shule #udzungwa
zhlédnutí 97Před 4 měsíci
Mtoto wako akipangwa Shule ya Sekondari Udzungwa Iringa #iringa #shule #udzungwa
Dabaga Kilolo Iringa Tanzania #iringa #tanzania
zhlédnutí 118Před 4 měsíci
Dabaga Kilolo Iringa Tanzania #iringa #tanzania
Hapa ndio Dabaga Kilolo Iringa mahali zilipo Shule za Udzungwa Sekondari na Nyota ya Asubuhi #shule
zhlédnutí 62Před 4 měsíci
Hapa ndio Dabaga Kilolo Iringa mahali zilipo Shule za Udzungwa Sekondari na Nyota ya Asubuhi #shule
Kilimo cha miti ya milingoti Iringa Tanzania #miti #kilimo #iringa
zhlédnutí 176Před 4 měsíci
Kilimo cha miti ya milingoti Iringa Tanzania #miti #kilimo #iringa

Komentáře

  • @Tchidymbanga
    @Tchidymbanga Před 2 dny

    Mimi Yanga ila huyu jamaa siku moja atapata kilema 😅😅😅

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri Před 3 dny

    Kila siku unamatukio😂😂😂

  • @StevenShushu-ne1xx
    @StevenShushu-ne1xx Před 14 dny

    Mmm

  • @IbraMwakipesile
    @IbraMwakipesile Před 15 dny

    We ogopa adi rahisi wa fifa anaijua simba

  • @annambele789
    @annambele789 Před 18 dny

    Shetani acha maneno yako mabovu

  • @abelkilawe9596
    @abelkilawe9596 Před 26 dny

    Mungu akubariki

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem

    Hii mechi ndio iliofungua simba kufungwa ndani na nje??

  • @Babylon_Must_Fall
    @Babylon_Must_Fall Před měsícem

    Nice 👍

  • @user-gg2nz3nj9x
    @user-gg2nz3nj9x Před měsícem

    Adi wazung❤❤❤

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry Před měsícem

    Kumbe somo yangu Emmanuel

    • @mapindusi
      @mapindusi Před měsícem

      @@jesusnetworkministry Naam, Emmanuel maana yake Mungu pamoja na sisi

  • @kinabopriscus3805
    @kinabopriscus3805 Před měsícem

    Hongera kwa makala mazuri

  • @brownmasai774
    @brownmasai774 Před 2 měsíci

    Ndg, Mpina acha kuomboleza. Ni nyinyi wabunge wa CCM mnao pinga upatikanaji wa Katiba mpya. Makosa kama hayo yaliyofanywa na Waziri hayawezi kuamliwa na bunge Bali lipelelkwe kwenye mamlaka ya uteuzi wake - Rais. Na kama Rais atashindwa kutoa adhabu stahiki atawajibishwa na mhimili mwingine - mahakama au bunge - kama Katiba ingekuwa Bora. 'CCM ni chama chako. Sisi wananchi tunangoja hukumu ya kisheria kuhusu huo ubadhirifu na ukiukwaji wa Sheria uliofanywa na huyo Waziri.

    • @mapindusi
      @mapindusi Před měsícem

      Umenena vyema 🤝🤝🤝

  • @janiafaomaa5120
    @janiafaomaa5120 Před 2 měsíci

    ANACHO SUBIRI NINI CCM AEDE CHADEMA ATAKUWA MPIZANI MZURI KAKAZANIA CCM HUYU MPINA ANA TAFUTA SHARI NA ATALIPATA KARIBU SIO MBALI KUMEPITA VIGOGO KWELIKWELI0

    • @mapindusi
      @mapindusi Před měsícem

      Asubiri dawa yake Iko jikoni sio😂

  • @Edger-bn2mt
    @Edger-bn2mt Před 2 měsíci

    Nami nahmia maan njaaa itaniuwa huku

    • @mapindusi
      @mapindusi Před měsícem

      Sio kufanya kazi skuizi 😂

  • @daudimwaipaja1734
    @daudimwaipaja1734 Před 2 měsíci

    Mungu akutangulie kwenye kesi Yako mpina

    • @pdkgeneration
      @pdkgeneration Před 2 měsíci

      Mwamba anapambana sana! ila nafkiri angepunguza spidi, sii jambo jema sana kupambana na hao anaopambana nao! Au unaonaje mdau?

    • @mapindusi
      @mapindusi Před měsícem

      🚶🚶🚶

  • @upepobeka6877
    @upepobeka6877 Před 2 měsíci

    Dooh aloo mmmhh hatari

  • @abasisapi5474
    @abasisapi5474 Před 2 měsíci

    Hongera Laban! Nafurahi kukusikia kwa sababu tangu tuachane pale Mkwawa High School mwaka 1974 hatujaona na tena!

    • @mapindusi
      @mapindusi Před měsícem

      🤝🤝🤝 Nice memories.

  • @frankkimaro1354
    @frankkimaro1354 Před 3 měsíci

    Ongera

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před 3 měsíci

    Wewe ni mwenyeji huko au

  • @user-qq7pb6zz2w
    @user-qq7pb6zz2w Před 3 měsíci

    Kwetu maji shda sana

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 3 měsíci

      Ila Kuna namna tunaezafanya kuondoa hii shida

  • @BenLeeBl
    @BenLeeBl Před 4 měsíci

    Nilikua najiuliza sana hii n barabara ya nn..thanks sana kwa kunisanua

  • @user-jn6il2zi6l
    @user-jn6il2zi6l Před 4 měsíci

    Saf sana boss nnafuatilia channel yako

  • @user-jn6il2zi6l
    @user-jn6il2zi6l Před 4 měsíci

    Boss

  • @kinigarm8239
    @kinigarm8239 Před 4 měsíci

    Alienda kusoma. Hakuwa anaumwa. Nyerere alimpeleka kusoma kwa kisingizio Cha ugonjwa.

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 4 měsíci

      Alaa, Asante sana kwa taarifa ✍️✍️✍️

  • @COLMANMBUYA
    @COLMANMBUYA Před 4 měsíci

    Kazi nzuri kutuhabarisha

  • @GiDY_paris
    @GiDY_paris Před 4 měsíci

    Nice content

  • @ElizabethJoseph-tm2wx
    @ElizabethJoseph-tm2wx Před 5 měsíci

    Baba naona unapenda mambo ya kilimo sana

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 5 měsíci

      Haha... Ndio shughuli zetu hizi mpendwa. Karibu Rombo

  • @ElizabethJoseph-tm2wx
    @ElizabethJoseph-tm2wx Před 5 měsíci

    Tafuta bwana shamba wiliosomea mambo ya mashamba utachuku ujuzi zaidi

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 5 měsíci

      Hizi napiga mwenyewe tu kwa kutumia elimu ya kilimo waliyotupa wazee humu humu

  • @ellierolland1809
    @ellierolland1809 Před 5 měsíci

    Mtaalam

    • @pdkgeneration
      @pdkgeneration Před 5 měsíci

      Wa kutengeneza Ngazi kienyeji... Naam Afande🫡

  • @assenganews9435
    @assenganews9435 Před 5 měsíci

    Kazi kazi

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 5 měsíci

      Hakika Mangi... Hakuna kulaza damu

  • @georgekinabo68
    @georgekinabo68 Před 5 měsíci

    Aisee hayo maembe matam sana huku mjini hayafiki yapo mfano wa vile vidogo dogo vya Bagamoyo af ni nadra sana kukuta limeoza

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 5 měsíci

      Itabidi huko mbeleni tuangalie uwezekano wa kuyafikisha town tufanye biashara 🤝

  • @GiDY_paris
    @GiDY_paris Před 5 měsíci

    Kazi nxuri, natamani kuja ushago nije nile maembe

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 5 měsíci

      Karibu sana huku mashinani... Maisha Iko sawa kabisa

  • @LiberatusJustin-cu5ez
    @LiberatusJustin-cu5ez Před 6 měsíci

    Tuna mpata vizuri sana, mmoja kati vijana ambao tumezaliwa katika familia za hali ya chini na tunajipambania wenyewe kujikwamua kimaisha. Respect

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 6 měsíci

      Naam, God bless you 🤝

  • @godfrey3926
    @godfrey3926 Před 6 měsíci

    Yanga, majibu yenu sahihi mmeyapata hapa.. Asilimia 100...💯💯💯💯

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 6 měsíci

      Naam, watulie sasa. Msemaji wao alishasema siku nyingi🤣🤣🤣

  • @machejostudiosmramba5365
    @machejostudiosmramba5365 Před 6 měsíci

    Kang'ande ka shoroko na Shai

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 6 měsíci

      Adheka ttiki, ukolye shoakora akaangya fo na kaktunguu kenngesha! Wodhojwa mwanandie🙌

  • @SekilongeMishelli
    @SekilongeMishelli Před 6 měsíci

    🤣🤣🤣

  • @Nyimbozamani
    @Nyimbozamani Před 6 měsíci

    Good job bro ! Mungu abariki kazi ya mikono yako Kaka !

  • @josephkiwango5898
    @josephkiwango5898 Před 6 měsíci

    Good brother, pamoja sana 🙏

  • @kwayamalaikagabrielparokia506

    Hayo mahindi ya kuchoma huwa ni matamu sana😂😂😂

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 6 měsíci

      Haha, hayo madogo madogo ya mwisho mwisho na ambayo hayajawekwa mbolea za Chumvichumvi sio😀

  • @kwayamalaikagabrielparokia506

    😂😂😂 sasava ndiakwa....haya Mmbe🎉🎉

  • @PatrickMringo-ij4tt
    @PatrickMringo-ij4tt Před 6 měsíci

    Tunashukuru kwa historia iyo ila wapo wamangi wengi wa rombo tungenezeni historia zao wote majina yao na maeneo waliotalawala

    • @mapindusi
      @mapindusi Před 6 měsíci

      Wazo zuri mkuu. Kuna maandiko kadhaa tunapitia tutanyoosha maelezo zaidi siku za mbeleni

  • @machejostudiosmramba5365
    @machejostudiosmramba5365 Před 6 měsíci

    Wanaosema bia tamu nafkiri hawajawahi kula maende haya

  • @steventhadey5059
    @steventhadey5059 Před 6 měsíci

    Uzuri mmoja wa hayo membe sindano huwezi kuta limeoza

    • @pdkgeneration
      @pdkgeneration Před 6 měsíci

      Mara nyingi yes. Japo Kuna Wadudu wahuni wanayavamia nayo

  • @Juliana-fx8tr
    @Juliana-fx8tr Před 7 měsíci

    Subscribe Like Share and Comment angalia mpaka mwisho usiruke neno

  • @user-xf1xq3ky2w
    @user-xf1xq3ky2w Před 7 měsíci

    Acha uongo hii video sio bongo

  • @DanielMrinna
    @DanielMrinna Před 7 měsíci

    Elaee wamekuu all away from Nairobi Kenya ❤❤my triple chagaaaa

  • @Juliana-fx8tr
    @Juliana-fx8tr Před 7 měsíci

    Nakumbuka kuna siku comment hivyo vitu

  • @Juliana-fx8tr
    @Juliana-fx8tr Před 7 měsíci

    Endelea kusisitiza watu like comment subscribe pia na share hata ktk zile Clip zako za makala waombe watu uapoanza kwa kuongea like comment share subscribe mwanzo na mwisho wa clip hata unaowaohoji pia wakuombee kwa kifupi mwanangu watu wakiangalia Tu bila hayo kufanyika hatuwezi kusogea

  • @deusdeditknkunga6047
    @deusdeditknkunga6047 Před 8 měsíci

    So, the guy was not rushed to hospital immediately after the first aid.

  • @user-fc3mp7lx2k
    @user-fc3mp7lx2k Před 8 měsíci

    Kila mmoja ataionja mauti Kwa namna yake bwana ametoa na bwana ametwaa