- 209
- 19 780 814
ACT MEDIA
Tanzania
Registrace 3. 03. 2010
Official media Channel For Alliance for Change and Transparency Tanzania (ACT Wazalendo)
ACT Wazalendo Iko Tayari Kuwaongoza Watanzania Kupambana na Umasikini.
ACT Wazalendo Iko Tayari Kuwaongoza Watanzania Kupambana na Umasikini.
zhlédnutí: 6
Video
ACT Wazalendo Yaeleza Viashiria Polisi Kuhusika na Utekaji Tanzania
zhlédnutí 24Před 3 hodinami
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani Ndugu Dahlia Majid Hassan ameeleza msimamo wa ACT Wazalendo kuhusu sakata la utekaji na upotevu wa watu nchini. Akizungumza katika ofisi za ACT Wazalendo Magomeni Ndugu Dahlia amesema hofu ya wananchi inasababishwa na polisi pamoja na Serikali. Aidha Wakili Mahakama Kuu Ndugu Samwel Pascal Magau aeleza taratibu kwa mujibu wa sheria za kumkamata mtuhumiwa #taifala...
Hali Mbaya Dodoma Ukosefu wa Maji, Kiongozi wa Chama ACT Wazalendo Asikitishwa
zhlédnutí 122Před 5 hodinami
Kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Dorothy Semu akiwa safarini kuelekea Kata ya Mrijo iliyopo Jimbo la Chemba alikutana na kadhia ya Maji wanayopitia wakazi wa Kata ya Songolo Katika Jimbo la Chemba. Kiongozi aliwasikiliza Wananchi wakielezea changamoto wanazopitia. #taifalawote #maslahiyawote #habari habarileo thefutureispurple
Kata Tano Vijiji 16 Busega Vyaporwa Mashamba na Serikali, Kupewa Muwekezaji
zhlédnutí 169Před 15 hodinami
Katika Mkutano uliofanyika Jimbo la Busega Mkoani Simiyu, Katibu Mkuu ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu ameelezwa na wananchi wa eneo hilo changamoto wanayopitia ya kuporwa ardhi zao na Serikali. Ndugu Ado ametoa msimamo wa ACT Wazalendo wa kutokukubali jambo hilo liendelee na kuahidi kuandika barua kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kusitisha mpango huo. #TaifaLaWote...
Msikilize Zitto Kabwe, Kauli Yake Kuelekea Chaguzi Serikali za Mitaa
zhlédnutí 214Před 19 hodinami
Kiongozi wa chama Mstaafu Ndugu Zitto Kabwe ameyasema haya katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kata ya Kibirizi Mkoani Kigoma Julai 23, 2024. Hii ni katika muendelezo wa ziara anayofanya Kanda ya Magharibi yenye lengo la kukijenga chama kuelekea uchaguzi serikali za mitaa, pamoja na kuongeza usajili wa wanachama. TaifaLaWote #MaslahiYaWote #actmedia #habari #habarileo #thefutureispurple
Katibu Ngome ya Vijana Ahamasisha Vijana Kugombea Serikali za Mitaa
zhlédnutí 45Před 19 hodinami
Akizungumza katika mkutano uliofanyika Julai 23, 2024 katika Jimbo la Busega Mkoani Simiyu Katibu Mkuu wa Ngome ya Vijana Ndugu Ruqaiya Nassir ahamasisha vijana kugombea serikali za mitaa ili kuweza kupambania maendeleo ya taifa la kesho #TaifaLaWote #MaslahiYaWote #miezi10 #wanachamamilioni10
ACT Wazalendo Yaeleza Sababu za Umasikini Mkoa wa Simiyu
zhlédnutí 165Před 23 hodinami
Katibu Mkuu ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu ameyasema haya akiwa Jimbo la Busega Mkoani Simiyu Julai 23, 2024. Akiwa katika ziara ya Mikoa ya Kanda ya Ziwa ikiwa ni siku ya pili tangu kuanza kwa ziara hii Ndugu Ado ameweza kuibua Changamoto mbalimbali wanazopitia wananchi ikiwemo umasikini, wizi wa ardhi, na umasikini uliokithiri #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
Isihaka Mchinjita: Wakulima na Wafugaji Wanalia, Serikali ya CCM Inakosa Weledi
zhlédnutí 435Před 2 hodinami
Akizungumza katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Marumba, Tunduru Kusini Waziri Mkuu Kivuli ambaye pia ni Kaimu Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Ndugu Isihaka Mchinjita amesema Serikali ya Chama Cha Mapinduzi haina weledi wa kuiongoza nchi. Chama pekee ambacho kina weledi wa kuingiza Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ni ACT Wazalendo #taifalawote #maslahiyawote
Wananchi Magu Wamuangukia Ado Shaibu, Wamuagiza kwa Rais Samia
zhlédnutí 294Před 4 hodinami
Akizungumza na wananchi wa Magu katika Mikutano miwili iliyofanyika Kata ya Nkunguru na Kandawe Julai 22, 2024 Mkoani Mwanza, Katibu Mkuu ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu amezungumza na wananchi hao kuhusu changamoto zinazowakabili huku akieleza chanzo cha changamoto hizo ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) #taifalawote #maslahiyawote
Dorothy Semu: Hofu Imetanda Matukio ya Utekaji, Serikali Iwajibike
zhlédnutí 97Před 4 hodinami
Dorothy Semu: Hofu Imetanda Matukio ya Utekaji, Serikali Iwajibike
ACT Wazalendo Yamshangaza Kiongozi Chama Kikuu cha Upinzani Malawi, Atoa Mbinu za Ushindi
zhlédnutí 910Před 12 hodinami
Kiongozi wa chama ACT Wazalendo Ndugu Dorothy Semu sambamba na Makamu Mwenyekiti Bara Ndugu Isihaka Mchinjita Julai 18 2024 wamepokea ugeni wa Makamu wa chama kikuu cha upinzani DPP kutoka Malawi Rais wa chama hicho Dkt. George Thapatula Chaponda ameongoza ziara hiyo akiambatana na Mkuu wa Operesheni na Mbunge wa Bunge la Mawali Ndugu Charles Mchacha. Akizungumza katika ofisi za Makao Makuu ya ...
Kuelekea Uchaguzi Serikali za Mitaa ACT Kuifikia Mikoa 22, Majimbo 125
zhlédnutí 363Před 16 hodinami
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Julai 17, 2024 Naibu Katibu Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano kwa Umma Ndugu Shangwe Ayo ameeleza mkakati wa ACT Wazalendo kufikia Mikoa 22 na Majimbo 125 Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Ziara Hiyo Itafanywa na Viongozi Wakuu Wafuatao, Kiongozi wa Chama Ndugu Dorothy Semu, Makamu Mwenyekiti Bara Ndugu Isihaka Mchinjita, Katibu Mkuu Ndugu Ado Sha...
ACT WAZALENDO YAKEMEA VIKALI KAULI ZA ALBERT CHALAMILA DHIDI YA WAMACHINGA
zhlédnutí 705Před 21 hodinou
Waziri kivuli Viwanda na Biashara Ndugu Mwanaisha Mndeme akemea vikali kauli za Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam Ndugu Albert Chalamila dhidi ya Wamachinga. Aidha Waziri huyo ameitaka serikali kuja mpango madhubuti utakao tatua changamoto za wamachinga nchini. #taifalawote #maslahiyawote #wamachinga #machinga #habari #habarizauhakika #habarileo
CHADEMA 'Bye bye' Lindi, ACT Wazalendo Yaisambaratisha
zhlédnutí 2,5KPřed dnem
ACT Wazalendo yapokea wanachama 45 pamoja viongozi wa CHADEMA Mkoa wa Lindi, wanachama hao wamepokelewa na Naibu Mwenyekiti wa chama ambaye pia ni Waziri Mkuu Kivuli Ndugu Isihaka Mchinjita. Viongozi waliojiunga ni pamoja na Mwenyekiti BAVICHA mkoa wa Lindi Zainabu Lipalapi, Katibu wa Jimbo, Mwenyekiti wa wazee, Mwenyekiti wa jimbo, na Muweka hazina. #taifalawote #maslahiyawote #habari #matukio...
ACT Wazalendo Yaanika Madudu ya Serikali Hadharani, Wizi Umekithiri
zhlédnutí 360Před 21 dnem
ACT Wazalendo Yaanika Madudu ya Serikali Hadharani, Wizi Umekithiri
ACT Wazalendo Yaieleza Serikali Hatua za Kufuata Kukuza Matumizi ya Gesi Nchini
zhlédnutí 139Před 21 dnem
ACT Wazalendo Yaieleza Serikali Hatua za Kufuata Kukuza Matumizi ya Gesi Nchini
ACT Wazalendo Yatuma Salamu Kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
zhlédnutí 369Před 28 dny
ACT Wazalendo Yatuma Salamu Kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Isihaka Mchinjita: ACT Wazalendo Tunataka Tume Huru, Jambazi Habadilishwi Nguo Kuwa Malaika
zhlédnutí 129Před 28 dny
Isihaka Mchinjita: ACT Wazalendo Tunataka Tume Huru, Jambazi Habadilishwi Nguo Kuwa Malaika
Isihaka Mchinjita: Samia Tulimuamini, Sasa Anawahadaa Wananchi
zhlédnutí 279Před 28 dny
Isihaka Mchinjita: Samia Tulimuamini, Sasa Anawahadaa Wananchi
ACT Wazalendo: Kariakoo ni Kitovu cha Biashara, Serikali Iache Mara Moja Kodi za Dhulma
zhlédnutí 8KPřed měsícem
ACT Wazalendo: Kariakoo ni Kitovu cha Biashara, Serikali Iache Mara Moja Kodi za Dhulma
ACT Wazalendo Yaitaka Serikali Kuipatia Zanzibar Stahiki Zake Kwa Mujibu Wa Katiba
zhlédnutí 139Před měsícem
ACT Wazalendo Yaitaka Serikali Kuipatia Zanzibar Stahiki Zake Kwa Mujibu Wa Katiba
Isihaka Mchinjita: Serikali Inakopa Mikopo Ya Kausha Damu, Mikopo Ya Kibiashara
zhlédnutí 94Před měsícem
Isihaka Mchinjita: Serikali Inakopa Mikopo Ya Kausha Damu, Mikopo Ya Kibiashara
Zitto Kabwe: Nimejiandaa Kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
zhlédnutí 562Před měsícem
Zitto Kabwe: Nimejiandaa Kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Salamu Tatu Za Moto Kutoka Kwa Ismail Jussa
zhlédnutí 169Před měsícem
Salamu Tatu Za Moto Kutoka Kwa Ismail Jussa
Ado Shaibu: Hawa Ndiyo Walioshiriki Uchafuzi wa 2020, Tume ijiuzulu
zhlédnutí 155Před měsícem
Ado Shaibu: Hawa Ndiyo Walioshiriki Uchafuzi wa 2020, Tume ijiuzulu
ACT Wazalendo Yajipanga Uchambuzi Bajeti Kuu ya Serikali 2024-2025, Wananchi Watoa Maoni Yao
zhlédnutí 73Před měsícem
ACT Wazalendo Yajipanga Uchambuzi Bajeti Kuu ya Serikali 2024-2025, Wananchi Watoa Maoni Yao
ACT Wazalendo Imesikitishwa na Mauaji ya Mtoto Asimwe, Yatoa Tamko Waziri wa Mambo ya Ndani ajiuzulu
zhlédnutí 56Před měsícem
ACT Wazalendo Imesikitishwa na Mauaji ya Mtoto Asimwe, Yatoa Tamko Waziri wa Mambo ya Ndani ajiuzulu
Mchakamchaka Wananchi Wameichoka CCM, Wakimbilia ACT Wazalendo
zhlédnutí 462Před měsícem
Mchakamchaka Wananchi Wameichoka CCM, Wakimbilia ACT Wazalendo
My Interview with SABC of South Africa
zhlédnutí 782Před 4 lety
My Interview with SABC of South Africa
Mwambino baba niko hapa 2024 kwaajili yako 😂😂😂
Jembe
SAFI SANA ZITTO
Nakubali kiongozi
Mpaka ss tuko pamoja 2024
Tafuteni background nzuri sio ukuta wekeni hata bendera za chama.
Tunawapata tukiwa mkoa wa Mara.
SAFI SANA ACT MAGU
Home best🏆
good song
Rwanda2024
July 2024 still watching ❤❤❤
Nakupenda kigoma❤❤❤
2024 nipo bado
Mbona mwangwi
czcams.com/video/RQomA2ceX04/video.htmlsi=C3iYZ2YTA2FAGEwl
Huyu sio Mkuu wa Mkowa ni Muuwaji wa mitaji ya Machinga na kujiona yeye ndio kauli ya mwisho ya Nchi anawafokea wafanya Biashara Pombe sio chai huu ni unyama
2024 mwez7
🎉taifa la wote Kwa Maslai Ya Wote..
Ndiyo maana wakenya wanatuambia watanzania tumelala mkuu wa mkowa hanathubutu kuwasemea wananchi zaidi 300 maneno ya hovyo na wananchi wakatilia kwa woga walio kuwa nao
Ndio maana Nyerere alianzisha oporesheni vijiji ili hai wote warudi kijijini wakalime sio kukaa mjini tu na kulalamika
Unatafuta kiki wewe unao uwezo wa kuwatatulia matatizo yetu sie wanachinga au unataka na wewe uonekane ktk mitandao tuu
Me hapa
Kuhama na kuhamia chama ni maamuzi binafsi SIO matakwa yenu, inawezekana wewe unaepuuzia hili huna chama cho chote unachounga mkono zaidi ya kukubali kwako kuburuzwa tu na ccm
I'm Kenyan.. Ommy...na chege waliua vocal...gonga like tukisonga
Mimi nimezani ni wa CCM kumbe Chadema anyway Sawa bhn ila forget kuiua Chadema apo
Act ni chama cha lindi na pemba hawawezi kufanya mkutano wakapata watu hata kidogo shinyanga
WEWE umechelewa kweli, Bado uko kule kule ni waislam, ni cha ...... Hujuwi Nini wanasiasa wapinzani wanadai Pole sn a
CDM ni Arusha na Kilimanjaro SIO Dodoma hawapati
Sijaelewa kvp Sasa kwani utawasaidia nn
Chadema ilikuwa ichukuwe nchi zaman
Hawa ni fisiemu b kwa hiyo wanapewa pesa ya kuwanunua wstu wa chadema tunawajua fumbo mfumbie mjinga
ACT ni wapumbavu nyie mnafanya Usanii wa kijinga propaganda ya hujuma chama pinzani
Kima nyie
Mii nilizani wa navuna wafuasi wa ccm kumbe wa chadema kweli act ni Ccm b
Adui yetu ni CCM siyo chadema msije mkaacha ufa adui akapita
Act wazalendo wapi tusidanganyane
ACT fire 🔥🔥🔥
Safi sana
Mondi vibing kama kawa
Chadema hoiiiiii
Wezenu wanapambana ccm nyie mnapambana na chadema ufara huo
@@jacksonbalama5990wapi hapo ACT imesema inashindana na Chadema ?
2024/ July I'm here
Nw nipo Oman nimeangalia nyimbo hii leo July 11 2024 imenitoa machozi sio siri nimepakumbuka kigoma nimepakumbuka tanzania 😩😩nitarudi2
Katubuka primary school ndio kwetu
Diamond platnumz
Nailed it
Huku 2024
July 2024, gonga like
Queen killed it
June 2024😂😂 hia wi go👍👍
Wimbo hatar
Hiyo nyimbo niakizamani sana diamond mtu ampenda anipatiye j,aime
2024 GANG 💫