- 100
- 428 963
Madam Leila Abubakar
Tanzania
Registrace 25. 11. 2023
"Hamasa kutoka kwangu hatua ni zako"
Amua mabadiliko,Acha mazoea
Amua mabadiliko,Acha mazoea
Utu uzima ni uzoefu katika maisha sio umri mkubwa
Utu uzima ni uzoefu katika maisha sio umri mkubwa
zhlédnutí: 993
Video
JIKONI NA MADAM LEILA | EP 4 | Je kuyumba kiuchumi kwa wanandoa kunachangia kuleta usaliti kati yao?
zhlédnutí 2KPřed 16 hodinami
Huu ni muendelezo wa vikao vyetu vya malezi na ushauri wa namna ya kuishi vizuri katika familia zetu. Katika Vikao hivi tumekusudia hasa kukumbushana na kuelekezana juu ya haki na wajibu wa kila mmoja katika familia na jamii inayotuzunguka kwa ujumla. Kama umejifunza kitu kupitia video hii na unapenda nikusaidie upate maarifa zaidi nashauri upate usaidizi kwa namna zifuatazo: Participants / Cha...
JIKONI NA MADAM LEILA | EP 3 | Kupika ni Subira yako tu! Hakuna cha watu wa tanga wala wapi
zhlédnutí 3,6KPřed 21 hodinou
Huu ni muendelezo wa vikao vyetu vya malezi na ushauri wa namna ya kuishi vizuri katika familia zetu. Katika Vikao hivi tumekusudia hasa kukumbushana na kuelekezana juu ya haki na wajibu wa kila mmoja katika familia na jamii inayotuzunguka kwa ujumla. Kama umejifunza kitu kupitia video hii na unapenda nikusaidie upate maarifa zaidi nashauri upate usaidizi kwa namna zifuatazo: Facebook | faceboo...
Wanaume wa karne hii sio waoga!!!, Mkewe ananunua madera 3 ya 25K na hana kazi huogopi!!!
zhlédnutí 6KPřed dnem
Kama umejifunza kitu kupitia video hii na unapenda nikusaidie upate maarifa zaidi nashauri upate usaidizi kwa namna zifuatazo: Facebook | madamleilaabubakar Instagram | madam_leila_abubakar Tiktok | www.tiktok.com/@madam_leila Usisahau kubonyeza neno SUBSCRIBE Pia usisite kutuandikia (comment) maoni yako.
JIKONI NA MADAM LEILA | S 1, EP 2 | Professor Katrina husaidiwa kupika na kuangalia nyumba na mumewe
zhlédnutí 1,2KPřed dnem
Huu ni muendelezo wa vikao vyetu vya malezi na ushauri wa namna ya kuishi vizuri katika familia zetu. Katika Vikao hivi tumekusudia hasa kukumbushana na kuelekezana juu ya haki na wajibu wa kila mmoja katika familia na jamii inayotuzunguka kwa ujumla. Kama umejifunza kitu kupitia video hii na unapenda nikusaidie upate maarifa zaidi nashauri upate usaidizi kwa namna zifuatazo: Facebook | faceboo...
ZIARA YA KIELIMU SHULE YA SEKONDARI USAGARA
zhlédnutí 1,5KPřed 14 dny
ZIARA YA KIELIMU SHULE YA SEKONDARI USAGARA
Kama mwenza anaondoka hajakukumbatia wala kukubusu mwambie, mimi busu kwangu ni muhimu, nibusu!!!
zhlédnutí 7KPřed 14 dny
Kama mwenza anaondoka hajakukumbatia wala kukubusu mwambie, mimi busu kwangu ni muhimu, nibusu!!!
JIKONI NA MADAM LEILA | S 1, EP 1 | Ogopa kuwa katika Nyumba ambayo uwepo usiwepo huna athari
zhlédnutí 3,3KPřed 21 dnem
JIKONI NA MADAM LEILA | S 1, EP 1 | Ogopa kuwa katika Nyumba ambayo uwepo usiwepo huna athari
Aliyekusaliti ni msaliti tu, asingekuwa msaliti asingetaka watu waijue sehemu yake ya siri
zhlédnutí 3,6KPřed 21 dnem
Aliyekusaliti ni msaliti tu, asingekuwa msaliti asingetaka watu waijue sehemu yake ya siri
Wakati wa kumuomba mume pesa ni wakati amekununia, atakupa utakacho, hasemi sana.
zhlédnutí 9KPřed 21 dnem
Wakati wa kumuomba mume pesa ni wakati amekununia, atakupa utakacho, hasemi sana.
Hofu ndicho kikwazo cha Mafanikio yako.
zhlédnutí 3,2KPřed měsícem
Hofu ndicho kikwazo cha Mafanikio yako.
Ufanye nini ikiwa umesalitiwa na mtu uliyemwamini sana
zhlédnutí 3,2KPřed měsícem
Ufanye nini ikiwa umesalitiwa na mtu uliyemwamini sana
Vipi utakuwa Mwanamke Wa Kuigwa katika Dunia
zhlédnutí 2,7KPřed měsícem
Vipi utakuwa Mwanamke Wa Kuigwa katika Dunia
SIRI YA KUOA WAKE ZAIDI YA WAWILI KWA PAMOJA BILA MATATIZO
zhlédnutí 6KPřed měsícem
SIRI YA KUOA WAKE ZAIDI YA WAWILI KWA PAMOJA BILA MATATIZO
Bora Mtu akuvuruge kichwa kuliko awe amepoa, maumivu yake ni makali sana
zhlédnutí 8KPřed 2 měsíci
Bora Mtu akuvuruge kichwa kuliko awe amepoa, maumivu yake ni makali sana
Kama unaona Ndoa yako ni mapambano, umeyataka mwenyewe, hujaambiwa nenda kapambane.
zhlédnutí 8KPřed 3 měsíci
Kama unaona Ndoa yako ni mapambano, umeyataka mwenyewe, hujaambiwa nenda kapambane.
Kwenye Ndoa ni Afadhali mgombane kuliko kuigiza, Hamtodumu
zhlédnutí 7KPřed 4 měsíci
Kwenye Ndoa ni Afadhali mgombane kuliko kuigiza, Hamtodumu
UTAANZAJE UPYA MAISHA YAKO BAADA YA KUFANYA MAKOSA?
zhlédnutí 1KPřed 5 měsíci
UTAANZAJE UPYA MAISHA YAKO BAADA YA KUFANYA MAKOSA?
KWANINI WANAWAKE HUWA WAZITO KUSAMEHE
zhlédnutí 1,8KPřed 5 měsíci
KWANINI WANAWAKE HUWA WAZITO KUSAMEHE
Madam leyla... Nafurahia video san video zako allah akulinde ❤
Ntakupenda kwaajili yaAllah❤
❤❤❤
❤❤❤❤shukuran wajina kwa mafuzo
Kabisa Mimi sinaga mda wa kumfutilia ety kila kitu nijue huwezi na watu wa hivo ukimuuliza mkali unajua hapa huyu hataki nijue mambo yake
Niite nije nikupikie chai maziwa dada utapenda 😂😂😂😂
❤❤
Kweli hiyo familia ni mtihani ukiowa
Naomba ya madam leila anaeijua
😍
Nakuprnda saaaana madam leilla nakufatiliaga saaaana ata kwenye facebook
Madam Leila kwni una mume eeee samahn lkn
Kwahiy madam nimkubali yule kafupi kangu? NA 26 yang
Nina mauwaya yako❤❤❤
Mashallah madam Leila na anco khatibu nawapenda bure nakupongeza Sana madam Lela kipindi kihahuhalisia wa maisha yetu nkilicho nitach zaidi ni swala la usaf wallah madam i mimi kama wew roho yangu inakinyaa kwenye kula na choooni napata tabu sana by the way many congratulations for good conservations
Ndoa zinayumba kwa njaa
Kuni za nn tena saa hizi Madam Gas yatosha mkaa pia ni tabu
Haipiti siku 2 sija fua. Nakosa amani km sijafua Alhamdulillah
Kweli kabisa dadagu niliyaona hayo
❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Jazakallah kheyran
❤❤❤❤❤❤ Masha'Allah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Mashallah tabarakallah shukran
Kuna chai ya komamanga
U ligusa moyoni mwangu
Dada kamaulijua majangayangu
Rafiki ndiyo kila kitu ama kufaulu au kufeli ni maamuzi yako
True sister
Wapo mwisho wananasa kwenye tundu bovu wanaishia kuolewa na mganga siri zinatoka mitandaoni
Good advice big up
Madam tafadhali naomba sana kuongea na wewe kwan mm nahusika na linda afya ya mama na mtoto and how to prevent maternal and perinatal death in our country. I'm nurse anaesthetist
Mke wa mtu sumu et ila we madam maziwa ninayo eti
Maktaba ya Kilimanjaro tunalipa kiasi kidogo cha elfu moja kila unapoingia
Mtihani😢😢
Yaaaan ni balaa 🤣😂😂 Hivi viumbe ndio maana tukaambiwa tuish nao Kama watoto 🤣😂😂
Jazaka Allah khayran
Namu
Jaman madam leila mm nakuadmire sna sana..mara nying nahic unapita kweny maisha yng unamtizamo unaofanana na wang
Hongera sana madam mimi huwa nakuelewaga sana na mada zako, Allah akupe bisara zaidi❤
❤❤❤
MashaaAllah
Weye unayesema watu wa bara unamaanisha nini mxiuuuuuuu ....embu njoo kwa waarabu au wahindi kama watak kutoa mimba ole wako chai itoke nyeupe utajua hujui 😁 so
Ma shaa Allah ❤❤
Madam Leila unaupiga mwingi mashaallah
🎉🎉🎉
Me na baba yangu mdogo akipika chai nyie mfano sijaona hata saa 7 mchana unakunywa
Kwanza kupika kwa mwanamke juu ya mumewe ni ihsaan tyuu japo weng hawalijui hilooo ila cjasema musipikie waume zenu😊😊😊binafsi napenda kupikaa chakula kizuury kitaamu na chenye kuvutiaa
Mashaallah ❤
Asanteni kwa elimu nzuri mnayo tupa Allah awajaalie kheri inshaallah ❤
❤❤
Asalam alaikum wa rahmatullah wa barakat Mr Khatib tafadhali mwambie madam Leila aongeley kuhusiana na uchumba pia ili tujue mwanaum anae tuchezea na mweny malengo na sisi plz