- 196
- 882 830
BelsFarm Kitchen Swahili
Tanzania
Registrace 13. 08. 2021
Karibu BelsFarm Kitchen Swahili.
Chaneli hii inahusika na mapishi ya mikate, keki, biskuti, vitafunwa na mapishi mbalimbali kwa ajili ya nyumbani au biashara. Njoo tujifunze jinsi ya kupikia mikate, keki na mapishi mbalimbali kwa njia rahisi mno.
Tafadhali SUBSCRIBE 👇;
czcams.com/channels/kN9yhFK2DMDYU_EdQ3j9qg.html
Channel yangu nyingine ya mapishi kwa lugha ya kiingereza;
czcams.com/channels/i4OqCzsjIlHabNPFxmMz5g.html
Chaneli hii inahusika na mapishi ya mikate, keki, biskuti, vitafunwa na mapishi mbalimbali kwa ajili ya nyumbani au biashara. Njoo tujifunze jinsi ya kupikia mikate, keki na mapishi mbalimbali kwa njia rahisi mno.
Tafadhali SUBSCRIBE 👇;
czcams.com/channels/kN9yhFK2DMDYU_EdQ3j9qg.html
Channel yangu nyingine ya mapishi kwa lugha ya kiingereza;
czcams.com/channels/i4OqCzsjIlHabNPFxmMz5g.html
CRIPS za NDIZI Tamu na Rahisi Sana Kupika
jifunze jinsi ya kupika crips za ndizi Tamu Sana na kwa njia Rahisi.
MAHITAJI:-
Ndizi mbichi
mafuta ya kupikia
chumvi
#crispy #bananacrispy #crips #cripsy #belsfarmkitchenswahili #cripszandizi #jinsiyakupikacripszandizi
MAHITAJI:-
Ndizi mbichi
mafuta ya kupikia
chumvi
#crispy #bananacrispy #crips #cripsy #belsfarmkitchenswahili #cripszandizi #jinsiyakupikacripszandizi
zhlédnutí: 102
Video
BAGIA | Jinsi ya Kupika BAGIA za fasta fasta zenye Mahitaji Rahisi Sana
zhlédnutí 193Před měsícem
BAGIA. jinsi ya kupika bagia za fasta fasta zenye mahitaji machache. BAGIA za DENGU. MAHITAJI:- Unga wa dengu (nusu kilo) chumvi (Kijiko 1 cha chai) pilipili manga (Kijiko 1 cha chai) baking powder (vijiko 2 vya chai) maji mafuta ya kukaangia #bagia #bhajia #bhajiya #belsfarmkitchenswahili #bagiazadengu #jinsiyakupikabagia #mapishirahisiyabagia
BHAJIA | Jinsi ya Kupika BAGIA Tamu za DENGU zisizonyonya MAFUTA
zhlédnutí 141Před měsícem
bagia za dengu. jinsi ya kupika bagia za dengu Tamu zisizonyonya mafuta. mahitaji yake Ni Rahisi kwa kila familia. MAHITAJI;- Unga wa dengu (robo kilo) karoti 1 kitunguu maji 1 hoho 1 kiazi mviringo 1 kitunguu swaumu (nusu kijiko) tangawizi (nusu Kijiko) Curry powder (Kijiko 1 cha chai) baking powder (Kijiko 1 cha chai) chumvi (Kijiko 1 cha chai) maji #bagia #bhajiya #bhajia #jinsiyakupikabagia...
VISHETI Laini vya NAZI | Jinsi ya Kupika VISHETI LAINI Sana kwa Mahitaji Rahisi
zhlédnutí 146Před měsícem
visheti. vikokoto. jinsi ya kupika visheti laini Sana kwa Mahitaji Rahisi. jinsi ya kupika visheti laini vya nazi MAHITAJI;- Unga was ngano (nusu Kilo) baking powder (Kijiko 1 cha chai) chumvi (Kijiko 1 cha chai) iliki (vijiko 2 vya chai) tui la Nazi mafuta ya kupikia (50-70ml) sukari (ukipendelea) #visheti #vikokoto #chinchin #vishetilaini #jinsiyakupikavishetilaini #vishetivyanazi #belsfarmki...
KABABU za NYAMA ya KUSAGA | Pika KABAB Hivi Ni Tamu Sana
zhlédnutí 135Před 2 měsíci
KABABU za NYAMA ya KUSAGA | Pika KABAB Hivi Ni Tamu Sana
Jinsi ya Kupika VIBIBI Vitamu Sana | VIBIBI
zhlédnutí 178Před 2 měsíci
Jinsi ya Kupika VIBIBI Vitamu Sana | VIBIBI
Jinsi ya Kupika KALIMATI za NAZI Tamu Sana 😋
zhlédnutí 244Před 2 měsíci
Jinsi ya Kupika KALIMATI za NAZI Tamu Sana 😋
Pika BIRINGANYA Hivi Ni Tamu Sana 😋 | Jinsi ya Kupika MBOGA ya BIRINGANYA
zhlédnutí 253Před 2 měsíci
Pika BIRINGANYA Hivi Ni Tamu Sana 😋 | Jinsi ya Kupika MBOGA ya BIRINGANYA
Pika KABAB za NYAMA Hivi ni Tamu Sana 😋| Jinsi ya Kupika KABAB / KEBAB za Nyama
zhlédnutí 167Před 2 měsíci
Pika KABAB za NYAMA Hivi ni Tamu Sana 😋| Jinsi ya Kupika KABAB / KEBAB za Nyama
Jinsi ya Kupika KEKI kwa KIPIMO cha KIJIKO | KEKI ya VIJIKO 12 TU
zhlédnutí 359Před 2 měsíci
Jinsi ya Kupika KEKI kwa KIPIMO cha KIJIKO | KEKI ya VIJIKO 12 TU
Mapishi ya NYAMA ya NG'OMBE na MBOGA za MAJANI Tamu Sana 😋
zhlédnutí 459Před 3 měsíci
Mapishi ya NYAMA ya NG'OMBE na MBOGA za MAJANI Tamu Sana 😋
Jinsi ya Kupika NYAMA KAVU ya MBUZI Tamu Sana 😋
zhlédnutí 182Před 3 měsíci
Jinsi ya Kupika NYAMA KAVU ya MBUZI Tamu Sana 😋
CHAPATI LAINI za KUCHAMBUKA kwa Njia RAHISI Sana 😋
zhlédnutí 341Před 3 měsíci
CHAPATI LAINI za KUCHAMBUKA kwa Njia RAHISI Sana 😋
CHAPATI LAINI za KUCHAMBUKA | Jinsi ya Kupika CHAPATI LAINI za KUCHAMBUKA
zhlédnutí 346Před 4 měsíci
CHAPATI LAINI za KUCHAMBUKA | Jinsi ya Kupika CHAPATI LAINI za KUCHAMBUKA
TAMBI za NAZI | Jinsi ya Kupika TAMBI za NAZI za SUKARI Tamu Sana 😋
zhlédnutí 150Před 4 měsíci
TAMBI za NAZI | Jinsi ya Kupika TAMBI za NAZI za SUKARI Tamu Sana 😋
KALIMATI | Jinsi ya Kupika KAIMATI Tamu ZISIZONYONYA MAFUTA
zhlédnutí 2,7KPřed 4 měsíci
KALIMATI | Jinsi ya Kupika KAIMATI Tamu ZISIZONYONYA MAFUTA
MKATE wa MZINGA wa NYUKI kwenye JIKO la MKAA Kwa Mahitaji RAHISI Sana
zhlédnutí 176Před 4 měsíci
MKATE wa MZINGA wa NYUKI kwenye JIKO la MKAA Kwa Mahitaji RAHISI Sana
VIBIBI | Jinsi ya Kupika VIBIBI Vitamu kwa Njia RAHISI
zhlédnutí 876Před 4 měsíci
VIBIBI | Jinsi ya Kupika VIBIBI Vitamu kwa Njia RAHISI
TAMBI za KUKAANGA za SUKARI | Jinsi ya Kupika TAMBI za KUKAANGA za SUKARI
zhlédnutí 315Před 4 měsíci
TAMBI za KUKAANGA za SUKARI | Jinsi ya Kupika TAMBI za KUKAANGA za SUKARI
MAHAMRI | Jinsi ya Kupika MAHAMRI LAINI kwa Njia RAHISI Sana.
zhlédnutí 347Před 4 měsíci
MAHAMRI | Jinsi ya Kupika MAHAMRI LAINI kwa Njia RAHISI Sana.
Kama una CABBAGE / KABICHI Nyumbani Pika Hivi
zhlédnutí 284Před 6 měsíci
Kama una CABBAGE / KABICHI Nyumbani Pika Hivi
MKATE MTAMU Sana wa NDIZI bila KUKANDA UNGA | Jinsi ya Kupika MKATE wa NDIZI
zhlédnutí 538Před 6 měsíci
MKATE MTAMU Sana wa NDIZI bila KUKANDA UNGA | Jinsi ya Kupika MKATE wa NDIZI
CHIPS za KISHUA | Jinsi ya Kupika CHIPS Tamu Nyumbani Bila KUKAANGA
zhlédnutí 201Před 6 měsíci
CHIPS za KISHUA | Jinsi ya Kupika CHIPS Tamu Nyumbani Bila KUKAANGA
Pika BAMIA Hivi ni TAMU SANA | Jinsi ya Kupika BAMIA Tamu Sana
zhlédnutí 2,5KPřed 6 měsíci
Pika BAMIA Hivi ni TAMU SANA | Jinsi ya Kupika BAMIA Tamu Sana
KALIMATI Rahisi za FASTA FASTA | Njia Rahisi ya Kupika KAIMATI
zhlédnutí 468Před 6 měsíci
KALIMATI Rahisi za FASTA FASTA | Njia Rahisi ya Kupika KAIMATI
Pika VIAZI Hivi ni Tamu Sana. Mapishi Rahisi ya VIAZI MBATATA / MVIRINGO.
zhlédnutí 4,3KPřed 8 měsíci
Pika VIAZI Hivi ni Tamu Sana. Mapishi Rahisi ya VIAZI MBATATA / MVIRINGO.
CABBAGE 😋 | Njia Mpya ya Kupika CABBAGE | Kama una CABBAGE Nyumbani Pika Hivi Tamu Sana
zhlédnutí 264Před 8 měsíci
CABBAGE 😋 | Njia Mpya ya Kupika CABBAGE | Kama una CABBAGE Nyumbani Pika Hivi Tamu Sana
CHIPS MAYAI za KISHUA | Njia Mpya ya Kupikia Chips Mayai
zhlédnutí 744Před 9 měsíci
CHIPS MAYAI za KISHUA | Njia Mpya ya Kupikia Chips Mayai
Kama una VIAZI VITAMU Nyumbani PIKA Hivi | Njia Mpya ya Kupika Viazi Vitamu Vitamu Sana 😋
zhlédnutí 2,2KPřed 9 měsíci
Kama una VIAZI VITAMU Nyumbani PIKA Hivi | Njia Mpya ya Kupika Viazi Vitamu Vitamu Sana 😋
SMOOTHIE ya NDIZI na EMBE Tamu Sana 😋
zhlédnutí 1,2KPřed 9 měsíci
SMOOTHIE ya NDIZI na EMBE Tamu Sana 😋
Kama maziwa cna inafaa
Saafi! Bila yai inawezekana?
Inawezekana.....tofauti itakuwa tu kwenye ladha
Ni tumie number
Nimependa😂😂😂😂
Asante dear..... karibu 💕💕
Limau lasaidia nn
Kuongeza taste na kusaidia parachichi lisitengeneze rangi nyeusi
Kama sina maziwa?
Unaweza tumia maji ya vuguvugu au tui la Nazi...
Wow!This sounds delicious
Thank you 💕💕
Maa shaa Allaah Allaah akuzidishie zaidi na zaidi ya kher na ujuzi zaidi nasi upate utufunze unaelekeza vizur huna khiyana
Asante dear 💕 💕
Kwani huwezi ukaweka maziwa badala ya nazi?
Unaweza dear....unaweza weka chochote. Tunaweka Nazi kwasababu ya asili ya pishi hili. Ila waweza tumia maziwa, maji tofauti itakuja kwenye ladha tu.
❤❤
💕💕
Akuna Amira
Hakuna dear...hapo nimetumia baking powder. Ila ukitaka kutumia hamira inawezekana utatakiwa sehemu ya baking powder ndo uweke hamira. Ukiweka hamira bagia zako zitakuwa za rangi ya brown Kama rangi ya maandazi na sio rangi hiyo.
Kama nataka kutumia unga nusu kilo vipimo vingine nachanganyaje?
Kokoa ndo nn
Nzuri sana nimezipenda
Asante dear 💕 💕
Ni Brenda yeyote tu zip maalum
Yoyote tu dear...ingawaje blender zinatofautiana uwezo. Kama ina uwezo mdogo itachukua muda zaidi kusaga.
Sijui kwann nmechelewa kuijui hii account❤❤❤❤
😀😀😀karibu dear 💕💕💕
Haina kuchuja kwani
Haihitaji kuchuja
Ok❤❤❤
❤️
Mafuta tunaweka au hatuweki??
Tunaweka kidogo dear
Awesome 👌 ❤
Thanks 🤗
Nitamuuuuu😋😋😋
Tamu Sana 😀😀
MASHAALLAH 😋Assalam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh ni first kuona Vibibi kugeuzwa.
😀😀 karibu dear💕
Daaah dada unajuaaa kuelekeza nyieeee mpk nmeamuaa nmeupike leo kutokana na maelekezo yako❤
😀😀😀 Asante dear... Karibu💕💕
Maziwa freshi ni yamoto au?
Hayo Ni ya baridi....ila unawezatumia hata ya moto
Balid ila yawe yamechemshw
Yummy❤❤
Thank you 😋
Delicious 😋
Thank you 😋
Masha Allah chakula kizuri
Asante dear 💕 💕
@@BelsFarmKitchenSwahili karibu ❤️
Awesome 😋
Thank you 😋
Mashallah❤
💕💕
It's so yammy
Yes it is💕💕
It looks so yammy😋😋😋
Thank you 😋
Awesome 👌
Thanks 🤗
Dear ninawezaje kubake kwa kutumia jiko la gas,hasa hasa kama pia sina tin ya kuwekea mchanganyiko wng before baking
Unaweza my dia ila itabidi upunguze Moto uwe mdogo ili isiungue. Utadumbukiza kopo la kuokea ndani ya sufuria nyingine yenye mchanga au maji au majivu...Kisha utaifunika juu iive taratibu...unaweza ipalia juu kwa mkaa ili upate top ya brown. Kama hauna baking tin kubwa unaweza tumia sufuria. Next time nitaonyesha kwa njia ya Gesi stay tuned.
@@BelsFarmKitchenSwahili Okay dr,tunasubiri🥰
Maziwa ni mtindi au fresh?
Mtindi
Okay
Fulesh
@@EdwardKuhenga-im2cp okay okay okay mkuu
Maganda ya limao unakata na nn?
Ninayagrate na grater (ninakwangua limao kwa kikwangulio cha carrots)
Hakuna baking?
Ipo dear....vijiko 2 vya chai. Kipande hicho kipo kwenye video baada ya kupima unga kipande kinachofuata
😋😋
❤️❤️
Je nikibrend kunashida maana naona nazi ya kubrendi inakuwa nzito vinzu
Haina shida...unaweza blend
Hiyo sio ndizi mzuzu dada,hiyo inaitwa ndizi mkojozi .
Ok... Asante
Very nice naweza kutumia mayai ma 5 Kwa kilo
Thank you....unaweza....utatoka laini vizuri...ila Kama ungepunguza yawe 4😀😀😀
❤❤❤❤❤❤
❤️❤️
Great recipe 👍
Thanks a lot
Awesome ❤
Thanks 🤗
❤
❤️❤️
I have tried and the result was amazing ❤ be blessed
Thank you! You too!💕💕
❤❤
💕💕
Must try this....Be blessed ❤
Hope you enjoy
Love this recipe ❤❤ very easy.
Thank you so much 😊
It's look delicious 😋
Thank you 😋💕💕