Loo, nakula hizi Musik, tukiwa watu wa Kwanza, Mazola family tukicheza Disco hapo Dera kwa kashaha, siku Za christmas Na New years... Mm nlikuwa 13..14,years hivyo,, watu kutoka kibarani kilifi, wengi mpaka chee, mazee, madem weee Fanta tayari uko uko na Demu 😅😅
Mimi 1975 nilikuwa form one, marehemu mjomba wangu Michael Muya ambaye alikuwa shabiki wa kugalagala wa muziki wa Zairwaa alikuwa akinunua hizi santuri zilipotoka . Alikuwa na radio grammer changer .
naikumbuka wimbo huu mwaka 77 mwalimu wetu Festo Kyesy alikuwa anatuita oficn kwake Ili tupige filimbi kwa kuigiza saxophone ya Verkys kiamangwana Mateta👍
Nasiza sana hizi Musik Nikiwa Sasa nko Germany, Zanikumbusha huko Home Dera Kilifi,,!
Loo, nakula hizi Musik, tukiwa watu wa Kwanza, Mazola family tukicheza Disco hapo Dera kwa kashaha, siku Za christmas Na New years... Mm nlikuwa 13..14,years hivyo,, watu kutoka kibarani kilifi, wengi mpaka chee, mazee, madem weee Fanta tayari uko uko na Demu 😅😅
Pole maisha
Que cosa màs grande ! Muy buena este música..😂
It was like the national anthem in 1975!
Dhahabu!!!!
Mimi 1975 nilikuwa form one, marehemu mjomba wangu Michael Muya ambaye alikuwa shabiki wa kugalagala wa muziki wa Zairwaa alikuwa akinunua hizi santuri zilipotoka . Alikuwa na radio grammer changer .
Verkys the great 👍 👌 🙌 👏 😀
@9:04
Those were the days of smooth thinking when this saxophone was played
Ukweli nami nakumbuka vita ya Kagera nikiwa jeshini mbagara kambini nikijifunza kuendesha msgari ya vita svc betri
C'est fantastique.
Oui Monsieur
Inanimbusha wakati nikiwa shule ya msingi yakale kweli ni zahabu
Daa zamani sana kila week end nilivo kuwa napanga santuli kwenye pleya kisha indondoka moja moja hee
Formidable !👏🏾👏🏾👏🏾
I was just 8yrs by then but I still enjoy this music.Old is Gold!
big tune 🇺🇬
Vok..muziki ya adhuhuri..Eliza Ombege 🎉
na Omuga Kabisae
Enzi hizo kwetu Moshi walikuwa wanapiga muziki desember kumbe wana mpango wa kutorosha mtoto wa mtu kumuoa. Wanambeba na kwao haruhusiwi kurudi tena
Nakumka waka 1978 nikosoma primary shule ya msingi kileo w, mwanga kilimanjaro
Wonderful song, reminds mi in early eighties
Those were the time when music wa so sweet like honey 1975 up to 77.
I also loved this song the first time I listened to it. Was just getting into teen age.
Nakumbuka Mazengo holl ifunda 1979_80
Guys please what is the song talking about ? Can any one just give a small intro of what the music is about ?
Very good music to remember
Classic Gold 😊
Nina kumbuka enzi hizo za bell botom na platform tukiwa makadara na disco ilikua inachezewa jeriko ya chini
Asate.sana
I remember those days in Kigoma with friends from by then Zaire.... Kababa Mwaula, Muveni Amose it was good time on lake Tanganyika beaches
can remember our small philips Radio.Tom Ogola @utalii college.
Nawakumbuka sana walimu wenzangu tiliokuwa tukijenga taifa kule Nongwe S/Msigi.1974-1980 tulipocheza wimbo huu siku za weekend.
Yaani nakumbuka nilikuwa nipo primary school enzi hizo na girl friend wangu jamani acha tu
Super song
Super song
Super song
Super song
Super song, vocals,drums, saxophone
I spend lots of shilling coins in a juke box to listen and dance to this song between 1973 and 76 on high school.
We now playing Hi pop s 😂
I miss the moment I was there
Inanikumbusha Margot Dar tulikuwa tunaupiga huu wimbo ktk Band 1976
naikumbuka wimbo huu mwaka 77 mwalimu wetu Festo Kyesy alikuwa anatuita oficn kwake Ili tupige filimbi kwa kuigiza saxophone ya Verkys kiamangwana Mateta👍
This was my form 3Arua TTC very good time hard to forget
Hii miziki ilikua ikitokea Kenya korogwe ilikua kituo kikubwa Cha miziki hii
Hii miziki ilikua ikitokea Kenya korogwe ilikua kituo kikubwa Cha miziki hii 9:02 9:09
Hii miziki ilikua ikitokea Kenya korogwe ilikua kituo kikubwa Cha miziki hii
belle melodie de mon enfance...
So far so good
Cultured music