- 343
- 230 535
Rukwa Online TV
Registrace 9. 01. 2017
Supporting young talents, entertainment and encouraging young people to be self-employed through social networks
KUHUSU FIDIA KAMA UKIVAMIWA NA WANYAMA PORI TAWA WABAINISHA KUPITIA MAKUTANO WA HADHARA
KUHUSU FIDIA KAMA UKIVAMIWA NA WANYAMA PORI TAWA WABAINISHA KUPITIA MAKUTANO WA HADHARA
zhlédnutí: 4
Video
RC MAKONGORO NYERERE ATOA MAELEKZO KUHUSU MAPATO NA MATUMIZI
zhlédnutí 2Před hodinou
RC MAKONGORO NYERERE ATOA MAELEKZO KUHUSU MAPATO NA MATUMIZI
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2024 ASISITIZA MATUMIZI SAHIHI YA DOZI YA MALARIA
zhlédnutí 75Před 9 hodinami
ZIARA YA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA MKOANI RUKWA
MWENGE WA UHURU KITAIFA MKOANI RUKWA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST. YASISITIZWA
zhlédnutí 93Před 9 hodinami
MWENGE WA UHURU KITAIFA MKOANI RUKWA MATUMIZI YA MFUMO WA NEST. YASISITIZWA
TAKUKURU YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WASIMAMIZI MIRADI YA MAENDELEO RUKWA.
zhlédnutí 5Před 14 dny
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Rukwa imeendelea kutoa elimu kwa wasimamizi wa miradi ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuzuia na kupambana na rushwa. Akitoa taarifa ya utekelezaji wa majukumu ya taasisi hiyo kwa kipindi cha mwezi Agosti 2024 mbele ya waandishi wa habari, Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Rukwa Bw. Mzalendo Widege amesema kuwa lengo la kuendelea kut...
NAFASI ZA UCHAGUZI CHAMA CHA BAJAJI FOMU KUTOLEWA UPYA
zhlédnutí 40Před 14 dny
NAFASI ZA UCHAGUZI CHAMA CHA BAJAJI FOMU KUTOLEWA UPYA
MATOKEO YA SENSA YATUMIKE KUPANGA NA KUTOA HUDUMA KWA WANANCHI- RC MAKONGORO
zhlédnutí 29Před 21 dnem
Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amefungua Semina ya Uwekezaji leo Agosti 20, 2024. Semina hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na kuhudhuriwa na wawakilishi wa taasisi za fedha, wadau mbalimbali wa sekta ya biashara, na wawekezaji wa ndani Mkoani Rukwa. Semina hiyo inayoendeshwa na maafisa kutoka Kituo cha Uwekezaji cha Taifa (TIC) ina le...
RC MAKONGORO AFUNGUA SEMINA YA UWEKEZAJI
zhlédnutí 21Před 21 dnem
Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amefungua Semina ya Uwekezaji leo Agosti 20, 2024. Semina hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na kuhudhuriwa na wawakilishi wa taasisi za fedha, wadau mbalimbali wa sekta ya biashara, na wawekezaji wa ndani Mkoani Rukwa. Semina hiyo inayoendeshwa na maafisa kutoka Kituo cha Uwekezaji cha Taifa (TIC) ina le...
MAKONGORO AINADI RUKWA KWA WAWEKEZAJI.
zhlédnutí 23Před 21 dnem
Mheshimiwa Charles Makongoro Nyerere Mkuu wa Mkoa wa Rukwa amewakaribisha wawekezaji wa Sekta mbalimbali kwa ajili ya kuwekeza kibiashara Mkoani Rukwa. Mheshimiwa Makongoro ameeleza kuwa Mkoa wa Rukwa una mazingira mazuri kwa ajili ya uwekezaji wa viwanda vya kuchakata mazao ya kilimo na hata uwekezaji wa kiwanda cha Sukari. Akizungumza mbele ya timu ya maafisa kutoka Kituo cha Uwekezaji cha Ta...
CHUKUENI TAHADHARI YA UGONJWA WA MPOX
zhlédnutí 175Před 28 dny
WANANCHI RUKWA WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA M POX. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Rukwa kupitia Idara ya Afya imeanzisha kampeni ya kuelimisha umma kuhusu ugonjwa wa MPOX (Monkeypox). MPOX ni ugonjwa unaoambukizwa kutoka kwa wanyama kwenda kwa binadamu na pia kati ya binadamu wenyewe kwa wenyewe. Akizungumza katika kikao cha maandalizi ya mapokezi ya Mwenge wa Uhuru Mkoani Rukwa leo, Agosti 1...
KAMATI KUU YA CCM YAKETI, MAKONGORO AWASILISHA UTEKELEZAJI WA ILANI
zhlédnutí 97Před 28 dny
Supporting young talents, entertainment and encouraging young people to be self-employed through social networks
RIDHIWANI KIKWETE AFUNGA MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA KUSINI
zhlédnutí 46Před měsícem
RIDHIWANI KIKWETE AFUNGA MAONESHO YA NANE NANE KANDA YA KUSINI
RC MAKONGORO AONGOZA MAONESHO YA NANE NANE SIKU YA 6 MKOANNI MBEYA
zhlédnutí 163Před měsícem
RC MAKONGORO NYERERE MGENSI RASMI SIKU YA SITA KWENYE MAONESHO NANE NANE MBEYA
NAIBU WAZIRI OR- UTUMISHI WA UMMA MHE SANGU ALIVYOPOKELEWA MKOANI RUKWA
zhlédnutí 160Před měsícem
MHE DEUS SANGU APOKELEWA NA WATUMISHI ALIVYOWASILI OFISI YA MKUU WA MKOA WA RUKWA
WATUMISHI WAWILI KUFUTWA KAZI, NAIBU WAZIRI OR-TAMISEMI AFUNGUKA
zhlédnutí 46Před měsícem
Halmshauri ya Wilaya ya Wanging'ombe imewafuta kazi watumishi wawili Kwa makosa ya Ukiukwani wa kanuni na Sheria za kiutumishi....fuatilia video kuja zaidi
🔴 #LIVE: DKT. KOMBA AONGOZA KIKAO MAALUM,MAONI KUHUSU DIRA YA TAIFA YA MAENDEO YATOLEWA
zhlédnutí 32Před měsícem
🔴 #LIVE: DKT. KOMBA AONGOZA KIKAO MAALUM,MAONI KUHUSU DIRA YA TAIFA YA MAENDEO YATOLEWA
🔴 #LIVE: NAIBU WAZIRI MKUU DKT. DOTTO BITEKO AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME
zhlédnutí 168Před měsícem
🔴 #LIVE: NAIBU WAZIRI MKUU DKT. DOTTO BITEKO AWEKA JIWE LA MSINGI MRADI WA NJIA YA KUSAFIRISHA UMEME
TANROADS RUKWA YAPONGEZWA NA KAMATI YA SIASA,WASISITIZWA KUKAMILISHA MIRADI KWA MDA
zhlédnutí 60Před měsícem
TANROADS RUKWA YAPONGEZWA NA KAMATI YA SIASA,WASISITIZWA KUKAMILISHA MIRADI KWA MDA
TAARIFA KWA UMMA: NAIBU WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA KIKAZI RUKWA
zhlédnutí 219Před měsícem
TAARIFA KWA UMMA: NAIBU WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA KIKAZI RUKWA
KAMATI YA SIASA YASISITIZA KUCHAPA KAZI SAMBAMBA NA KASI YA DKT. SAMIA
zhlédnutí 86Před měsícem
KAMATI YA SIASA YASISITIZA KUCHAPA KAZI SAMBAMBA NA KASI YA DKT. SAMIA
🔴 #RUKWALIVE : SHUHUDIA MWANZO MWISHO RAIS SAMIA AKIWA VETA MKOA WA RUKWA
zhlédnutí 247Před měsícem
🔴 #RUKWALIVE : SHUHUDIA MWANZO MWISHO RAIS SAMIA AKIWA VETA MKOA WA RUKWA
CHEKI MBUNGE SYLIVIA SIGULA AKITEMA MADINI MBELE YA RAIS SAMIA
zhlédnutí 66Před měsícem
CHEKI MBUNGE SYLIVIA SIGULA AKITEMA MADINI MBELE YA RAIS SAMIA
RAIS SAMIA AFIKA CHUO KIKUU CHA SAYANSI MBEYA KAMPASI YA RUKWA ZAIDI YA BILIONI 15 ZINATUMIKA UJENZI
zhlédnutí 188Před měsícem
RAIS SAMIA AFIKA CHUO KIKUU CHA SAYANSI MBEYA KAMPASI YA RUKWA ZAIDI YA BILIONI 15 ZINATUMIKA UJENZI
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA YA SAYANSI YA WASICHANA YA MKOA WA RUKWA
zhlédnutí 124Před měsícem
RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI SHULE YA YA SAYANSI YA WASICHANA YA MKOA WA RUKWA
RAIS SAMIA "SOMENI YAJAYO YANAFURAHISHA"
zhlédnutí 79Před měsícem
RAIS SAMIA "SOMENI YAJAYO YANAFURAHISHA"
KUHUSU MELI YA MIZIGO ZIWA TANGANYIKA RAIS SAMIA AELEZA KWA KINA
zhlédnutí 76Před měsícem
KUHUSU MELI YA MIZIGO ZIWA TANGANYIKA RAIS SAMIA AELEZA KWA KINA
RAIS SAMIA AZINDUA BARABARA YA SUMBAWANGA -MATAI-KASANGA (KM 107)
zhlédnutí 119Před měsícem
RAIS SAMIA AZINDUA BARABARA YA SUMBAWANGA -MATAI-KASANGA (KM 107)
RAIS DKT.SAMIA "UWEKEZAJI TULIOFANYA UMEPINGUZA SANA VIFO VYA WATOTO"
zhlédnutí 45Před měsícem
RAIS DKT.SAMIA "UWEKEZAJI TULIOFANYA UMEPINGUZA SANA VIFO VYA WATOTO"
RAIS SAMIA AWEKA WAZI BEI YA MAHINDI,KILO KUFIKIA 650
zhlédnutí 638Před měsícem
RAIS SAMIA AWEKA WAZI BEI YA MAHINDI,KILO KUFIKIA 650
ZIARA YA RAIS SAMIA MKOANI RUKWA,AZINDUA HOSPITALI YA WILAYA
zhlédnutí 377Před měsícem
ZIARA YA RAIS SAMIA MKOANI RUKWA,AZINDUA HOSPITALI YA WILAYA
Cha nji
Ubarikiwe kakaangu
posta mkabala na hospital kubwa,
posta mkabala na hospital kubwa,
Nimeona posta mkabala na hospital kubwa
😂😂😂
Kazi nzuri sana mh Aesh mtu bingwa sana💪
Duu really changes bring more
mkowan sumbawanga
Nawamis sana ma bastaa😂
Kumzii
Mwambieni Mbunge, Hospital ya Mkoa aliyoahidi iko wapi?
Konde Boy nuru ya Taifa
Homie
Mwaisaaa
Asee Mungu atusimamie saana vijana tulipitia mengi saana
Sija paona kasa nova
Wow 😂😂😂😂😂😂
Nondo ndo wapi jamani
Kazi nzuri sana. Hongereni sana!
Munapumuzisha ,ziwa wanainchi wa kigoma tunategetea na njaa Kwa sababu kigoma hatuna kiwanda chochote munatuletea vizimba na wakati mumeshafunga ziwa kwann hamukuletea mapema nashangaa viongozi wa kigoma wanakazi gani serekarin maana wanajuwa kuwa kigoma tunategemea ziwa
tazizo hilo
Tunaanza lin kuchimba na kiuza Helium gas nje ya nchi
Wanaume mnavaaa ki ukike mnafundisha nini vijana wa kiume ?
Rukwa hoyeeee
Vizur
Kila siku asilimia 8 hapo hamna usimamizi
Water falls za kalambo zioneshwe pia ili kuvutia utalii
Niatari umetisha broo
Nataka kuonana mandera na soko kuuu
Rip our Rev.Fr.Gilbert
Nivema Kama utaweka video ya maeneo ya soko kuu la sumbawanga na biashara pamoja na fulusa zinazo patikana huko 🙏🙏❤
FIDA HUSSEIN NI MWIZI WA MAJUMBA NA VIWANJ A VYA WATU DAR
FIDA HUSSEIN NI TAPELI MKUBWA WA KUDHULUMU WATU NYUMBA ZAO NA MASHAMBA YAO NI HATARI SANA
🇪🇸🤔😂😂😂❤️❤️👍💪
Karibu
Welcome
👍👍👍👍
Bado
Jangwani
noma
uyo mtangazaji ajifunze lugha
Rip brother angu kipenzi
Jambo mbone iyi masiku atupate music zamupya
Onyesha mitaa ya mazwi
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Good
NICE
Onyesha Barbara ya bondeni muze
MUNGU ITETEE RUKWA YETU
Sumbawanga is so beautiful sema miundombinu ya hizi master plan za serikali ya ccm sio mzuri na wanaharibu mazingira mazuri ya sehemu husika kwamfano barabara za town ship unakuta misingi yakupitisha maji machafu ipo wazi bado barabara ndogo office za uma hazina finishing nzuri yani hazina visiter paking utakuta office au clinic au hospital nje vumbi tupu sasa ndani lazima kuwe kuchafu pia
Nenda kule Kasisiwe Juu piga picha ya drone upate sura ya mji
Shukrani