Hongera xn kamanda wng
Tagara Mwanamkwa
Kwanini ngoma zikitaka kupigwa huwa mnakata?!!! ACHA NGOMA ZILIE TUSIKIE
Huyu mzee alikuwa hatari sana Daah naumia sana sikumuona nilikuwa mdogo sana
Uturetee na nyimbo za tangara
Kaka vipi mbona umekuwa kimya sana tatizo nini ndugu?
Pumzika kamanda
😮😂🎉❤
Jilunga ng'wana sele
Umenikumbusha mbali sana, miaka ya 94, Igogo/Igunga Jirunga na jiganza nchila.
Napenda asili yetu
Tuwekee na kwenye audiomark zipo vizuri sana hizi nyimbo❤❤❤
Saluti❤
Mjomba hoyee
ZILIPENDWA. KISUMA MIX
Chuma chenye saut ya pekeee😢
Achia sasa
Safi sana unatukumbusha enzi zile
Dhaa hii kitu ilikua vizuli sana
Dhaa hii kitu
Dhaa mzee nakukubari Sana hii nyimbo
Hiii ngoma Kali nikiwa china 🇨🇳najiona kmaa nipo nyumbani dhaa kwel wewe ni namba moja
Kaka naomba mawasiliano yako
Nataka na za mhembo weka
za mhembo nifuatilia sana sikazipata kwa lweli halafu acc yangu imefungiwa nitafungua nyingine sio muda mrf tuendelee na burudani
bado2nakukumba misungwi broo
Hapa sauti ipo chini sana...
Angalau nimepata ladha ya "puba" kwa mbali. "Ngeto", "ndundu" ni "ng'hama" zinasikika katika uasili wake. Tunahitaji manju watakaosimama na kuhifadhi ngoma zetu za asili. Hongera sana Sumbi.
HASA MIMI
maholelo gise agenaya
Hizo ngoma mbona hawapigi?
Naburudika kutoka Nairobi Kenya, I'm always proud to be a Sukuma
Naomb hizo nyimbo za tagara nn ndefu kama unazo mazee
Nakubali malenga wote walud kweny jad hamsikii raha hiz
❤❤❤
Nimezaliwa 1997 hizi Ngoma hazikuwepo enzi zetu. Nazipenda sana sana
Mayombi group tutaftie na nyimbo. Za nchembi
Naomba nitumie za inaga zile za beni za zaman
Nyimbo ya Inaga anamwambia mtu ameiba mtoto wa kiarabu yeye msukuma kisa hazai
Michelin kesho utazipata
Sichoki kuusikiriza huu wimbo unanikumbusha mbari sana
Weka nalauchaguzi mwaka 2000
Mwangoye moja
Inalo kasema sinzika alikuwa anatisha sana
Safi Sana nyimbo za kale ndio zina ujumbe mzur sana
Nakumbuka miaka ya tisin na sita Nkinga hiyo 🎉!.
Pia m nazo nying video za malenga wote kama ukiitaji
naomba tuwasiliane 0767 799600 wasap yangu hiyo
naomba tuwasiliane 0767 799 600 wasap
Kazi nzur sana tunaomba na magise 2008 yote
Huyu ni nani jamani
Hizi Ngoma zinamilio ya kuvutia Sana sio bure nakumbuka tuliwa ukikaribia ukazisikia lazima ukimbie kabisa uwahi
Ndugu mbona siku hizi hutumi tena nyimbo
SEMA tukumbushe
Hongera xn kamanda wng
Tagara Mwanamkwa
Kwanini ngoma zikitaka kupigwa huwa mnakata?!!! ACHA NGOMA ZILIE TUSIKIE
Huyu mzee alikuwa hatari sana Daah naumia sana sikumuona nilikuwa mdogo sana
Uturetee na nyimbo za tangara
Kaka vipi mbona umekuwa kimya sana tatizo nini ndugu?
Pumzika kamanda
😮😂🎉❤
😮😂🎉❤
Jilunga ng'wana sele
Umenikumbusha mbali sana, miaka ya 94, Igogo/Igunga Jirunga na jiganza nchila.
Napenda asili yetu
Tuwekee na kwenye audiomark zipo vizuri sana hizi nyimbo❤❤❤
Saluti❤
Mjomba hoyee
ZILIPENDWA. KISUMA MIX
Chuma chenye saut ya pekeee😢
Achia sasa
Safi sana unatukumbusha enzi zile
Dhaa hii kitu ilikua vizuli sana
Dhaa hii kitu
Dhaa mzee nakukubari Sana hii nyimbo
Hiii ngoma Kali nikiwa china 🇨🇳najiona kmaa nipo nyumbani dhaa kwel wewe ni namba moja
Kaka naomba mawasiliano yako
Nataka na za mhembo weka
za mhembo nifuatilia sana sikazipata kwa lweli halafu acc yangu imefungiwa nitafungua nyingine sio muda mrf tuendelee na burudani
bado2nakukumba misungwi broo
Hapa sauti ipo chini sana...
Angalau nimepata ladha ya "puba" kwa mbali. "Ngeto", "ndundu" ni "ng'hama" zinasikika katika uasili wake. Tunahitaji manju watakaosimama na kuhifadhi ngoma zetu za asili. Hongera sana Sumbi.
HASA MIMI
maholelo gise agenaya
Hizo ngoma mbona hawapigi?
Naburudika kutoka Nairobi Kenya, I'm always proud to be a Sukuma
Naomb hizo nyimbo za tagara nn ndefu kama unazo mazee
Nakubali malenga wote walud kweny jad hamsikii raha hiz
❤❤❤
Nimezaliwa 1997 hizi Ngoma hazikuwepo enzi zetu. Nazipenda sana sana
Mayombi group tutaftie na nyimbo. Za nchembi
Naomba nitumie za inaga zile za beni za zaman
Nyimbo ya Inaga anamwambia mtu ameiba mtoto wa kiarabu yeye msukuma kisa hazai
Michelin kesho utazipata
Sichoki kuusikiriza huu wimbo unanikumbusha mbari sana
Weka nalauchaguzi mwaka 2000
Mwangoye moja
Inalo kasema sinzika alikuwa anatisha sana
Safi Sana nyimbo za kale ndio zina ujumbe mzur sana
Nakumbuka miaka ya tisin na sita Nkinga hiyo 🎉!.
Pia m nazo nying video za malenga wote kama ukiitaji
naomba tuwasiliane 0767 799600 wasap yangu hiyo
naomba tuwasiliane 0767 799 600 wasap
Kazi nzur sana tunaomba na magise 2008 yote
Huyu ni nani jamani
Hizi Ngoma zinamilio ya kuvutia Sana sio bure nakumbuka tuliwa ukikaribia ukazisikia lazima ukimbie kabisa uwahi
Ndugu mbona siku hizi hutumi tena nyimbo
SEMA tukumbushe