MUHIDIN MICHUZI
MUHIDIN MICHUZI
  • 1 295
  • 16 766 999

Video

UN RESIDENT COORDINATOR IN TANZANIA ZLATAN MILISIC SPEAKING
zhlédnutí 85Před 9 měsíci
UN Resident Coordinator for the United Republic of Tanzania Zlatan Milisic speaks during a UN Day Commemoration's pre-activity at the Sahara Venture offices in Dar es salaam today October 23, 2023.
RAIS SAMIA KATIKA DOHA INTERNATIONAL HORTICULTURE EXPOS 2023
zhlédnutí 1,7KPřed 10 měsíci
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Kilimo cha Mbogamboga na Matunda (Doha International Horticulture Expo 2023) nchini Qatar Inbox
HOTUBA YA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWENYE MKUTANO WA 14 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA
zhlédnutí 122Před rokem
HOTUBA YA MHE RAIS SAMIA SULUHU HASSAN KWENYE MKUTANO WA 14 WA BARAZA LA TAIFA LA BIASHARA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO JUNI 8, 2023
SERIKALI YA AWAMU YA SITA YAFANYA MAGEUZI MAKUBWA YA UENDESHAJI WA SHIRIKA LA MAWASILIANO (TTCL)
zhlédnutí 111Před rokem
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imefanya mageuzi makubwa katika Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa kuhamishia shughuli zote za miundombinu ya Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano kwenye Shirika hilo. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) amezungumza hayo leo Aprili 17, 2023 jijini Dodom...
KISHAPU MKOANI SHINYANGA WAANZA UPANDIKIZAJI WA SAMAKI ELFU 12 BWAWA LA MHUMBU.
zhlédnutí 80Před rokem
Katika kuongeza zao la samaki nchini wilaya ya kishapu mkoani Shinyanga imeanza zoezi la upandikizaji wa samaki (12,0000) aina ya sato, katika bwawa la mhumbu kata ya Somgwa wilayani humo Kaimu Mkurugenzi halimashauri ya wilaya ya kishapu Sabiusi Chaula amesema kupitia bajeti ya mwaka 2022-2023 wameweza kununua vifaranga vya samaki elfu 12 ili kuwawezezesha wavuvi kuendelea kujipatia kipato. Ak...
SLOVAKIA YATOA RAI KWA WAFANYABIASHARA TANZANIA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIBIASHARA NA NCHI HIO
zhlédnutí 130Před rokem
Balozi wa Heshima wa Jamhuri ya Slovakia nchini Tanzania Mhe.Moustafa Khataw ametoa wito kwa wafanyabiashara wa Tanzania kuchangamkia fursa kwa kushirikiana na wenzao wa nchi hiyo ambao wameonesha nia ya dhati ya kutaka kuwekeza Pamoja kufanya biashara na Tanzania. Mhe. Khataw ameyasema hayo katika mahojiano maalumu wakati wa kongamano la uwekezaji na biashara la Umoja wa Nchi za Ulaya lililofa...
KATA YA MUGHANGA MANISPAA YA SINGIDA YAFANIKISHA PROGRAMU YA CHAKULA SHULENI
zhlédnutí 53Před rokem
Kata ya Mughanga katika Manispaa ya Singida imefanikisha programu ya utoaji chakula, kwa shule za msingi na sekondari zilizopo katika kata hiyo. Mtendaji wa Kata ya Mughanga Bi. Futari Shauri amesema kuwa, kupitia ofisi ya Kata hiyo, tayari vikao vya kuwaelimisha wazazi na walezi, vimefanyika kwa ajili ya kuanza utekelezaji wake. Mtendaji huyo amesema kuwa, wazazi na walezi kwa kauli moja wamek...
ONESHO LA MAQUIS ORIGINAL RE-UNION LILIVYOFANA ROYAL VILLAGE HOTEL JIJNI DODOMA
zhlédnutí 1,4KPřed rokem
Wanamuziki nguli wanaounda kundi la Maquis Original wakitumbuiza katika onesho lao la Re-Union ukumbi wa Ngalawa katika hoteli ya Royal Village jijini Dodoma Ijumaa January 28, 2023
MTENDAJI WA KIJIJI AFUKUZWA KAZI KWA KUGEUZA OFISI YA SERIKALI NYUMBA YA KUFANYIA MAPENZI
zhlédnutí 1,3KPřed rokem
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro FATMA MWASA ameliagiza baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Mkoani humo kuondolewa kazini Afisa mtendaji wa Kijiji cha Mbigili kata ya Mbigili Wilayani humo kwa tuhuma za kugeza Ofisi ya serikali kama Nyuma ya kufanyia mapenzi, kuhamisha fedha kutoka akaunti ya serikali kwenda kwa mpenzi wake wanje ya ndoa huku akijua kufanya hivyo ni kosa kisheria. Mku...
MHE RAIS DKT SAMIA AFANYA MABADILIKO MADOGO YA VIONGOZI
zhlédnutí 194Před rokem
MHE RAIS DKT SAMIA AFANYA MABADILIKO MADOGO YA VIONGOZI
HOTUBA KAMILI YA MHE RAIS DKT. SAMIA AKIRUHUSU MIKUTANO YA HADHARA
zhlédnutí 172Před rokem
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi wa vyama vyote 19 vya siasa vyenye usajili rasmi Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 3, 2023. Kubwa katika yote ni Rais kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara
YANGA YAAPA KUENDELEZA UBABE MBELE YA MTIBWA SUGAR LEO MANUNGU TURIANI
zhlédnutí 498Před rokem
Timu ya YANGA SC imeapa kuendeleza ubabe wa kjuondoka na alama tatu muhimu mbele ya timu ya MTIBWA SUGAR katika mchezo wao unaotarajiwa kutimua vumbi desema 31 mwaka huu katika dimba la Manungu Turiani majira ya saa kumi za jioni. Wakizungumza na waandishi wa habari viongozi wa timu wamesema wanawaheshimu Mtibwa kwa kuwa ni timu kongwe, na kusisitiza iwe jua iwe mvua lazima alama tatu muhimu zi...
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA KWENYE MKUTANO WA AGRA JIJINI WASHINGTON DC NCHINI MAREKANI LEO
zhlédnutí 804Před rokem
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AZUNGUMZA NA VIONGOZI MBALIMBALI KWENYE MKUTANO WA MAPINDUZI YA KIJANI BARANI AFRIKA(ALLIANCE FOR A GREEN REVOLUTION IN AFRICA- AGRA) ULIOFANYIKA JIJINI WASHINGTON DC MAREKANI LEO
T-PESA WAZINDUA HUDUMA ZA BIMA, TIRA YAIPONGEZA KURAHISISHA HUDUMA
zhlédnutí 81Před rokem
MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima nchini Tanzania (TIRA), imeipongeza Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation) T-Pesa kwa kuanzisha huduma za bima mbalimbali ijulikanayo kama Bima ya T-Pesa kupitia mtandao wa simu za mkononi. Pongezi hizo zimetolewa leo jijini Dar es Salaam na Kamishna wa TIRA, Dk. Baghayo Saqware alipokuwa akizinduwa rasmi huduma ya Bima ya T-Pesa inayoto...
SERIKALI YAANZA ZOEZI LA UWEKAJI MPAKA WA KUDUMU KATIKA MSITU WA HIFADHI YA KUNI MOROGORO
zhlédnutí 137Před rokem
SERIKALI YAANZA ZOEZI LA UWEKAJI MPAKA WA KUDUMU KATIKA MSITU WA HIFADHI YA KUNI MOROGORO
SHAMRASHAMRA ZA DURU YA TANO YA MAHAFALI YA 52 CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
zhlédnutí 446Před rokem
SHAMRASHAMRA ZA DURU YA TANO YA MAHAFALI YA 52 CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
SAKATA LA BOMOA BOMOA MOROGORO, ZOEZI LASITISHWA KUPISHA MAZUNGUMZO
zhlédnutí 1,1KPřed rokem
SAKATA LA BOMOA BOMOA MOROGORO, ZOEZI LASITISHWA KUPISHA MAZUNGUMZO
HOTUBA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MKUTANO WA COP 27 MISRI
zhlédnutí 902Před rokem
HOTUBA YA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MKUTANO WA COP 27 MISRI
USUGU WA DAWA UNAVYOONGEZA TATIZO KWA WAGONJWA WA VVU
zhlédnutí 57Před rokem
USUGU WA DAWA UNAVYOONGEZA TATIZO KWA WAGONJWA WA VVU
DC KINONDONI AHAMASISHA USAFI WA FUKWE, AWAASA KUFANYA USAFI KILA JUMAMOSI
zhlédnutí 39Před rokem
DC KINONDONI AHAMASISHA USAFI WA FUKWE, AWAASA KUFANYA USAFI KILA JUMAMOSI
WANANCHI TEMEKE WAJITOKEZA KUPIMA AFYA, WADAU WAZUNGUMZA HAYA
zhlédnutí 49Před rokem
WANANCHI TEMEKE WAJITOKEZA KUPIMA AFYA, WADAU WAZUNGUMZA HAYA
WANANCHI TEMEKE WAMIMINIKA KUPIMA AFYA, WADAU WANENA
zhlédnutí 146Před rokem
WANANCHI TEMEKE WAMIMINIKA KUPIMA AFYA, WADAU WANENA
BARAZA LA NIMR WATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ASILI MABIBO WAIPONGEZA SERIKALI KWA UWEKEZAJI
zhlédnutí 647Před rokem
BARAZA LA NIMR WATEMBELEA KIWANDA CHA DAWA ASILI MABIBO WAIPONGEZA SERIKALI KWA UWEKEZAJI
WIZARA YA ARDHI YABAINI VYANZO VIKUU NANE VYA MIGOGORO YA ARDHI, YAJIPANGA KUITATUA
zhlédnutí 338Před rokem
WIZARA YA ARDHI YABAINI VYANZO VIKUU NANE VYA MIGOGORO YA ARDHI, YAJIPANGA KUITATUA
KITWANGA ATOA YA MOYONI, CHUNGU TAMU ZA TOZO, AISHAURI SERIKALI KUANGALIA VYANZO VIPYA VYA MAPATO
zhlédnutí 66KPřed rokem
KITWANGA ATOA YA MOYONI, CHUNGU TAMU ZA TOZO, AISHAURI SERIKALI KUANGALIA VYANZO VIPYA VYA MAPATO
HOSPITALI YA TEMEKE KUTOA HUDUMA ZA AFYA ZA KIBINGWA BILA MALIPO SEPTEMBA 9-11,2022
zhlédnutí 99Před rokem
HOSPITALI YA TEMEKE KUTOA HUDUMA ZA AFYA ZA KIBINGWA BILA MALIPO SEPTEMBA 9-11,2022
Baraza la Mawaziri SADC waidhinisha Mtanzania, kuwa Mkurugenzi wa asasi ya siasa, ulinzi na usalama
zhlédnutí 77Před rokem
Baraza la Mawaziri SADC waidhinisha Mtanzania, kuwa Mkurugenzi wa asasi ya siasa, ulinzi na usalama
IGP WAMBURA AWAONDOA WASIWASI WANANCHI KUWA KESI NYINGI UPELELEZI WAKE UMEKAMILIKA
zhlédnutí 168Před rokem
IGP WAMBURA AWAONDOA WASIWASI WANANCHI KUWA KESI NYINGI UPELELEZI WAKE UMEKAMILIKA
SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA AIPONGEZA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA (TADB)
zhlédnutí 45Před rokem
SPIKA WA BUNGE DKT. TULIA AIPONGEZA BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA (TADB)

Komentáře