MUFTI SHABAN. A. MUSA Mombasa Kenya
MUFTI SHABAN. A. MUSA Mombasa Kenya
  • 402
  • 88 441

Video

USIKOSE HII ITAKUSAIDIA
zhlédnutí 93Před 3 měsíci
USIKOSE HII ITAKUSAIDIA
ALLAAH AKUEKE PEMA MUFTI
zhlédnutí 236Před 4 měsíci
ALLAAH AKUEKE PEMA MUFTI
ALBANI HAWEZI SWAHIHISHA HADITHI ILOSWIHI KWA BUKHARI
zhlédnutí 4KPřed 4 měsíci
ALBANI HAWEZI SWAHIHISHA HADITHI ILOSWIHI KWA BUKHARI
PATA FAIDA ZA ELIMU NA DR MAHMUD .M.OMAR ASHIRAZI
zhlédnutí 107Před 5 měsíci
PATA FAIDA ZA ELIMU NA DR MAHMUD .M.OMAR ASHIRAZI
HAFLA MADRASA YA QADIRIA 20/3/2022 KONGOWEA
zhlédnutí 219Před 6 měsíci
HAFLA MADRASA YA QADIRIA 20/3/2022 KONGOWEA
MSIKIZE MUFTI SHABANI FAIDA KUBWA
zhlédnutí 170Před 8 měsíci
MSIKIZE MUFTI SHABANI FAIDA KUBWA
Assyd Arif Albeidhi Aeleza qasida
zhlédnutí 218Před 9 měsíci
Assyd Arif Albeidhi Aeleza qasida
swali moja tu lamzuzua bachu na kukimbia maskini
zhlédnutí 23KPřed 11 měsíci
swali moja tu lamzuzua bachu na kukimbia maskini
August 12, 2023
zhlédnutí 78Před rokem
August 12, 2023
August 4, 2023
zhlédnutí 31Před rokem
August 4, 2023
ALLAAH tupe barka zake
zhlédnutí 32Před rokem
ALLAAH tupe barka zake
ALLAAH Akurahamu mufti
zhlédnutí 23Před rokem
ALLAAH Akurahamu mufti
Muhimu Sana hasa vijana wa Zama hizi
zhlédnutí 40Před rokem
Muhimu Sana hasa vijana wa Zama hizi
July 17, 2023
zhlédnutí 36Před rokem
July 17, 2023
Mashallaah msikie Dr Mahmud Omar Ashirazi faida kubwa
zhlédnutí 84Před rokem
Mashallaah msikie Dr Mahmud Omar Ashirazi faida kubwa
DR MAHMUD OMAR SHIRAZI MUDIR WA MAHADULQADIRIA
zhlédnutí 77Před rokem
DR MAHMUD OMAR SHIRAZI MUDIR WA MAHADULQADIRIA
KATIKA ZIARA YA MUFTI TZ MLALO KWA MALIM NDAGO
zhlédnutí 58Před rokem
KATIKA ZIARA YA MUFTI TZ MLALO KWA MALIM NDAGO
MALIM NDAGO
zhlédnutí 36Před 2 lety
MALIM NDAGO
MUFTI SHABANI ABDI MUSA MOLA AKURAHAMU NA MASHEKH ZAKO
zhlédnutí 50Před 2 lety
MUFTI SHABANI ABDI MUSA MOLA AKURAHAMU NA MASHEKH ZAKO
KHUTBA YA IJUMAA USTADH HASAN MASJID RAUDHWA MADA SIKU YA ARAFA 8/7/2022
zhlédnutí 62Před 2 lety
KHUTBA YA IJUMAA USTADH HASAN MASJID RAUDHWA MADA SIKU YA ARAFA 8/7/2022
UJUMBE MUHIMU AKIELEZA DR SHEIKH MAHMUD OMAR ASHIRAZIY
zhlédnutí 30Před 2 lety
UJUMBE MUHIMU AKIELEZA DR SHEIKH MAHMUD OMAR ASHIRAZIY
MOLA AMRAHAMU MUFTI WETU SHABANI ALIKUWA MWALIMU WA KUONGOZA JAMII
zhlédnutí 38Před 2 lety
MOLA AMRAHAMU MUFTI WETU SHABANI ALIKUWA MWALIMU WA KUONGOZA JAMII
Mashallaah mufti shabani MOLA Anawirishe qabri yako MOLA Adumishe kwetu nafahati zako Aamiin
zhlédnutí 173Před 2 lety
Mashallaah mufti shabani MOLA Anawirishe qabri yako MOLA Adumishe kwetu nafahati zako Aamiin
pata faida mzuri kwa mufti shabani Abdi musa
zhlédnutí 81Před 2 lety
pata faida mzuri kwa mufti shabani Abdi musa
Mufti shaban Abdi musa
zhlédnutí 89Před 2 lety
Mufti shaban Abdi musa
Nasaha kwabarobaro mufti Shaban Abdi musa
zhlédnutí 129Před 2 lety
Nasaha kwabarobaro mufti Shaban Abdi musa
Share
zhlédnutí 133Před 3 lety
Share
Mufti shaban Abdi musa AkidatulAwan
zhlédnutí 217Před 3 lety
Mufti shaban Abdi musa AkidatulAwan
Sheikh Shaban Mufti
zhlédnutí 4,6KPřed 3 lety
Sheikh Shaban Mufti

Komentáře

  • @kitosio
    @kitosio Před 29 dny

    Kiongozi yaani unajisifu kwa Bidaa ambayo kiongozi mkuu na Best na aliyechanguliwa na ALLAH na waliobashiriwa Pepo pia hawakuufanya Uvundo. Kwa Ujinga mkubwa unajisifia na Uovu tena bila kuogopa Laana ya ALLAH. Umepindukia Mipaka ktk kanuni ya Uislam kujisifia kwa Dhambi. Kama hamufahamu Nani mlitakiwa kumfuata ktk maisha yenu yote Kwanza waulizeni wanaojuwa.

  • @zumemooha6504
    @zumemooha6504 Před měsícem

    IVI NYINYI WAISLAM BAADA YA KUONGELEA MAUAJI YA NDUGU ZETU HUKO GAZA MNQONGELEA POROJO

  • @SalimSalim-z9n
    @SalimSalim-z9n Před měsícem

    Allaah akufanyieni wepesi

  • @Yayouselim
    @Yayouselim Před měsícem

    Huu ni utapeli ambao mawahabi wanaufanya , sheikh yup sahihi

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 Před měsícem

    Naona mwajitekenya wenyewe mkicheka

  • @ABUUSHURAIM
    @ABUUSHURAIM Před měsícem

    Jitu la bidaa auna uanachuon wowote

  • @ABUUSHURAIM
    @ABUUSHURAIM Před měsícem

    Mwanazuoni au jitu la bidaa

  • @KombHaji-dr5pd
    @KombHaji-dr5pd Před měsícem

    bachu nimbumbumbu

  • @RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm

    Acha upuuz wako Kila kukicha huna jipya mtandaoni Kila siku waja na mambo Yale Yale ya zamani tu Kila Leo ni mijadala ya kupambana na bachu inamaana huko kusoma kwako umemsoma bachu? Ifikie wakati ujifunz kufikisha ujumbe wa elimu sahih kwa jamii, watu wapate elimu na inafahamika kabisa waislam ni Wachache wenye kuijua dini Yao alaf unakuta waislam Wachache waliokula ugali na kushiba wapo kweny mabishano na kukosoana kwanin msianzishe hata madarassa online kama kwer mmesoma dini? Mpo na magroup mangapi ya Whatsapp ya kufundisha dini juu ya kile mlichokisoma? Kwann mnashindwa na Malaya wa mitandaoni Wana hadi magroup Yao yanazagaa tu mitandaoni wanatangaza uchafu wao nyiny mpo kweny malumbano tu ya kile msichikijua Hali ya kuwa mnajifanya mnajua kumbe hamna kitu

  • @ShamimWanjiru-bm6ve
    @ShamimWanjiru-bm6ve Před měsícem

    MashaAllaah....Allah awajaze nuru waislamu wa Shimoni na waislamu wote kwa jumla👏👏👏👏👍

  • @ShamimWanjiru-bm6ve
    @ShamimWanjiru-bm6ve Před měsícem

    MashaAllah Mashallah,!!Shimoni kwetu....Allah ajaze nuru watu wa Shimoni na waislamu wote kwa jumla👏👏👏👏👏👍

  • @mohamedabu3268
    @mohamedabu3268 Před měsícem

    ALLAH Amrahamu mufti Shaban abdi

  • @abuubakarmohd7532
    @abuubakarmohd7532 Před 2 měsíci

    Andikq

  • @HamadiSaria-i2h
    @HamadiSaria-i2h Před 2 měsíci

    Mashallaah

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3up Před 2 měsíci

    Huyu limefura kama wale ngombe anao kula maulidini

  • @user-cd6hj3rp6m
    @user-cd6hj3rp6m Před 2 měsíci

    Mashallah tabarakaallah

  • @SalimSalim-z9n
    @SalimSalim-z9n Před 2 měsíci

    جزاك الله خيرا

  • @RashidiMuhsini
    @RashidiMuhsini Před 2 měsíci

    Mashallaah malim ndago qadiria iko poa

  • @Abuushawkan
    @Abuushawkan Před 2 měsíci

    Eeee kumbe hata huyu ni shekh tena....

  • @mohammedmohsin3186
    @mohammedmohsin3186 Před 2 měsíci

    Wewe sufi ni jaahil wa mwisho huna maana wewe umechangia nini katika hii dini ... Wadhani kueneza dini ni kupiga matwari na kula biriyani .... Mutakufa na chuki zenu kwa watu wa sunnah

  • @irshadabuhafsi6585
    @irshadabuhafsi6585 Před 2 měsíci

    Ukishindiana na mjinga lazma akushinde ndio hii sasa. Huyu hana elimu na hajijui kama hana elimu Bachu hawezi kushindana na watu wasiokuwa na elimu

  • @user-wl3qj2fx8u
    @user-wl3qj2fx8u Před 2 měsíci

    BACHU MAKOJO KAONA MBALI KUKIMBIA MDAHALO MAANA ANGEJINYEA

    • @mohammedmasudi-dz6hb
      @mohammedmasudi-dz6hb Před 2 měsíci

      UNATOA USHAHIDI WA UWONGO UKISIMAMISHWA NA ALLAH UTOE USHAHIDI MBELE YA MOLA WAKO JE UNALO LAKUMJIBU MOLA WAKO?

  • @user-wl3qj2fx8u
    @user-wl3qj2fx8u Před 2 měsíci

    SWALI MOJA TU BACHU KAJIKOJOLEA LAPILI SIJUI INGEKUWAJE😂

    • @mohammedmasudi-dz6hb
      @mohammedmasudi-dz6hb Před 2 měsíci

      UNATOA USHAHIDI WA UWONGO UKISIMAMISHWA NA ALLAH UTOE USHAHIDI JE UNALO LAKUMJIBU MOLA WAKO?

  • @SalimSalim-z9n
    @SalimSalim-z9n Před 3 měsíci

    Mashallaah

  • @user-il5te5xd5y
    @user-il5te5xd5y Před 3 měsíci

    maskini naona watu wanachuma dhambi kwa kumtukana shekhe wa watu!hata kama hajakuridhisha lakini huna haki ya kumtukana

  • @willysospeter9270
    @willysospeter9270 Před 3 měsíci

    Mada ni Uongo ktk Barzanji sio Wanazuoni wanasemaje kuhusu maneno ya uongo. Kumbe Makhulafi mko wengi.

  • @CubeedCali
    @CubeedCali Před 3 měsíci

    Musitukane toni dalili

  • @Muislamu
    @Muislamu Před 3 měsíci

    Ww fadhili ni jahil njoo kw masuni wakufundishe

  • @AbuusumeiyaYassir
    @AbuusumeiyaYassir Před 3 měsíci

    Masufi mnashida

    • @mohamedimiraji5495
      @mohamedimiraji5495 Před 3 měsíci

      Kwani hapo kaeleza kipi kisichosahihi? acheni porojo za kisiasa katika dini.

  • @Malikishemsaka
    @Malikishemsaka Před 3 měsíci

    Mashallah

  • @SalimSalim-z9n
    @SalimSalim-z9n Před 3 měsíci

    Alhamdulillaah

  • @SalimSalim-z9n
    @SalimSalim-z9n Před 3 měsíci

    Mashallaah

  • @aliali-gw5pq
    @aliali-gw5pq Před 3 měsíci

    HASAD INAKUTAFUNA EWE SUFI ALLAH HUMNYANYUA AMTAKAE

    • @abdallhabinmkasibayyat6657
      @abdallhabinmkasibayyat6657 Před 2 měsíci

      Hahahahaha albani kwa bukhar ni sawa na mtoto wa darasa la 1 au 2 kumsahihisha mwalimu wake

  • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
    @ExcitedCricketHelmet-wr4sq Před 3 měsíci

    Makhurafi mna weza lingana na Albany nyinyi ebu mnitajie mwanachuoni mmoja wnu anaewashinda elimu wanavyuoni wa kisunnah kwanza mmesoma wpi makhurafi wabudu wa makaburi

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 3 měsíci

      Imamu shafy Ni Bora KULIKO albani. Wewe unaonaJE?

    • @ExcitedCricketHelmet-wr4sq
      @ExcitedCricketHelmet-wr4sq Před 3 měsíci

      @@HilalAlhabsi786 kwa akili zenu ndogo mnataka kusema imam shafee ni khurafi hooo kwa ivo alikua akipiga molidi na kuomba maiti cio mko swa kweli

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 3 měsíci

      @@ExcitedCricketHelmet-wr4sq kwani Albany Ni dhehebu gani KATIKA Manne ya Ahlusunna?.

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 3 měsíci

      @@ExcitedCricketHelmet-wr4sq pili tumeongea Albany Na Imam Bukhari, Wewe ukaita maghurafy wanaompinga Albany ila hukusema kuwa anaempinga Imam Bukhari Ni khurafy. Sasa Sisi maghurafy tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko huyu kijana wa juzi Albany. Kwa maana Sisi maghurafy tunaamini swalaf swaleh Imam Bukhari kuliko nyinyi mawahabi ndio maana mnaumia mkisikia tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko Albany. Wewe kwani unafkiri Albany Ni mungu AU?. AU swahaba?. ACHA ushamba sikiliza vizuri

    • @MusaSuleimanNassorAl-Amry
      @MusaSuleimanNassorAl-Amry Před 3 měsíci

      Mawahabi akili zao finyo

  • @uchihaitach1536
    @uchihaitach1536 Před 3 měsíci

    Jina la huyu sheikh

  • @muftishaban.a.musamombasak6577

    Tuko pamoja

  • @stengthisgoldengift
    @stengthisgoldengift Před 3 měsíci

    Msikiti wangu huu,Qadiriyya

  • @ismailgavara8223
    @ismailgavara8223 Před 3 měsíci

    Hizi ni punda zaki shiah

  • @ismailgavara8223
    @ismailgavara8223 Před 3 měsíci

    Huyu jamaa nimjinga kama kilemba chake chaki shia.hata sunna ya funga kilemba maskini hajui kuufata mkumbotu jahl mkumbwa tena basit.tena muraqab

  • @RashidMjata-jl6uv
    @RashidMjata-jl6uv Před 4 měsíci

    Mashallaah

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 4 měsíci

    NA hakuna Sheikh yeyote wa SUNNAH anayedai kwamba sheikhana AL BAAN ana elimu ya hadithi kuwashinda shaykhaan BUKHARI NA MUSLIM, hayo unayoyasema ewe sufi umeyatoa wapi?

    • @wangnjamealawy3387
      @wangnjamealawy3387 Před 3 měsíci

      Sasa hadithi ilokwsha sahihishwa na Bukhari ina haja gani kuandikwa kwamba ameisahihisha na Albani???? Hyo maana yake nn??

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 2 měsíci

      @@wangnjamealawy3387 maana YAKE hawa mawahabi wehu na wamewehuka Kwa uwahabia mpaka UFAHAMU wao umewatoka hawajui hata kinachoongelewa

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 4 měsíci

    MASUFI NA watu wa BID'A wanachuki kubwa mno na IMAAMU L"muhadith sheikh MUHAMMAD NASURUDIYN AL AL BAAN!

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 3 měsíci

      Kwa kuwa kwako Ni Bora KULIKO imam Bukhari. Kwasababu Imam Bukhari SIO mtu WA Sunna Kama Sisi ndo maana tumemfanya Bora KULIKO Albani. Sijui Kama utafahamu kilichosemwa Kwa chuki yako dhidi YA sufi

  • @BarkaKheri-wm4zt
    @BarkaKheri-wm4zt Před 4 měsíci

    Mashallaah

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 4 měsíci

    Wacheni upuzi toeni hoja Albani hawezi msahihisha Bukhari na Muslim huko nikukosa adabu kisha ana ilmu gani yakuwashinda Bukhari na Muslim hiyo ni fitna ya mayahudi.

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 3 měsíci

      Aaaaaaaah, Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia 😂. Kumbe hajui Hilo. Kama Shia Imam Ali basi mawahabi Kwa Muhammad ibn Abdul wahabi Ni Zaidi YA Shia.

    • @RamaNassry
      @RamaNassry Před 3 měsíci

      HUU NI UNAAFIQ AKHII

    • @rushu1232
      @rushu1232 Před 3 měsíci

      @@RamaNassry kweli kabisa niunafiq mkubwa sana Albani kusahihisha Bukhari na Muslim.

    • @RamaNassry
      @RamaNassry Před 3 měsíci

      UNAAFIQ niliomaanisha ni kwenu nyinyi mliosema" Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia"

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 3 měsíci

      @@RamaNassry ndio mashekh zenu walivyosema, soma kijana. Nikikuuliza makosa ya Mtume saw utanitajia tele. JE UNAJUA JAPO KOSA MOJA LA ALBANI NA MOJA TU LA IBN TAYMIA?!!!

  • @rashidjuma9169
    @rashidjuma9169 Před 4 měsíci

    Nyinyi mawahabi wazuka

  • @binzubeir6510
    @binzubeir6510 Před 4 měsíci

    Chuki tu.

  • @KaramaKarama-jm7qo
    @KaramaKarama-jm7qo Před 4 měsíci

    Chunga Sana,ukijifanya mwerevu juwa umekaa na wajinga lakini ile siku utakaa na werevu wenzako wewe ndiye utakuwa mjinga.Nenda kasome mzushi mjinga wa mwisho

  • @KaramaKarama-jm7qo
    @KaramaKarama-jm7qo Před 4 měsíci

    Wewe uko na mchezo sana.Natija Kama ni Kama yako mjinga zuzu kufunza wajinga na mazuzu utakuwa sawa.Lakini wenye akili zao wakikuzilikiza wewe,loh ni mjinga.Kasome bana acha kudanganya ummah

    • @IbraFareed
      @IbraFareed Před 4 měsíci

      Kaangalie minakasha yake alikua anawafunrisha masheikh wa kisalafi Na wenyewe wanakubari wamekosea kuongea Kama hauna nikutumie WHATSAPP

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 2 měsíci

      @@IbraFareed kwani hawa mawahabi Kama punda TU hawana wanachojua wala hawaelewi Jambo inaburutwa kama mizombi TU😂

  • @ibrahimabdillah5729
    @ibrahimabdillah5729 Před 4 měsíci

    Kama ww unaweza....Fanya basi Baba

    • @HilalAlhabsi786
      @HilalAlhabsi786 Před 2 měsíci

      Kujeruhi ulamaa Sio Jambo dogo, wala huna jipya la kuhangaika kumkosia Mtume saw Na maswahaba zake

  • @SudaisMohamed-hm8to
    @SudaisMohamed-hm8to Před 4 měsíci

    Kale biriani ulale mzushi wewe