- 402
- 88 441
MUFTI SHABAN. A. MUSA Mombasa Kenya
Registrace 28. 08. 2017
Mawaidha Ya Kiislamu Kuelimisha Jamii
Video
ALBANI HAWEZI SWAHIHISHA HADITHI ILOSWIHI KWA BUKHARI
zhlédnutí 4KPřed 4 měsíci
ALBANI HAWEZI SWAHIHISHA HADITHI ILOSWIHI KWA BUKHARI
PATA FAIDA ZA ELIMU NA DR MAHMUD .M.OMAR ASHIRAZI
zhlédnutí 107Před 5 měsíci
PATA FAIDA ZA ELIMU NA DR MAHMUD .M.OMAR ASHIRAZI
HAFLA MADRASA YA QADIRIA 20/3/2022 KONGOWEA
zhlédnutí 219Před 6 měsíci
HAFLA MADRASA YA QADIRIA 20/3/2022 KONGOWEA
swali moja tu lamzuzua bachu na kukimbia maskini
zhlédnutí 23KPřed 11 měsíci
swali moja tu lamzuzua bachu na kukimbia maskini
Mashallaah msikie Dr Mahmud Omar Ashirazi faida kubwa
zhlédnutí 84Před rokem
Mashallaah msikie Dr Mahmud Omar Ashirazi faida kubwa
DR MAHMUD OMAR SHIRAZI MUDIR WA MAHADULQADIRIA
zhlédnutí 77Před rokem
DR MAHMUD OMAR SHIRAZI MUDIR WA MAHADULQADIRIA
KATIKA ZIARA YA MUFTI TZ MLALO KWA MALIM NDAGO
zhlédnutí 58Před rokem
KATIKA ZIARA YA MUFTI TZ MLALO KWA MALIM NDAGO
MUFTI SHABANI ABDI MUSA MOLA AKURAHAMU NA MASHEKH ZAKO
zhlédnutí 50Před 2 lety
MUFTI SHABANI ABDI MUSA MOLA AKURAHAMU NA MASHEKH ZAKO
KHUTBA YA IJUMAA USTADH HASAN MASJID RAUDHWA MADA SIKU YA ARAFA 8/7/2022
zhlédnutí 62Před 2 lety
KHUTBA YA IJUMAA USTADH HASAN MASJID RAUDHWA MADA SIKU YA ARAFA 8/7/2022
UJUMBE MUHIMU AKIELEZA DR SHEIKH MAHMUD OMAR ASHIRAZIY
zhlédnutí 30Před 2 lety
UJUMBE MUHIMU AKIELEZA DR SHEIKH MAHMUD OMAR ASHIRAZIY
MOLA AMRAHAMU MUFTI WETU SHABANI ALIKUWA MWALIMU WA KUONGOZA JAMII
zhlédnutí 38Před 2 lety
MOLA AMRAHAMU MUFTI WETU SHABANI ALIKUWA MWALIMU WA KUONGOZA JAMII
Mashallaah mufti shabani MOLA Anawirishe qabri yako MOLA Adumishe kwetu nafahati zako Aamiin
zhlédnutí 173Před 2 lety
Mashallaah mufti shabani MOLA Anawirishe qabri yako MOLA Adumishe kwetu nafahati zako Aamiin
pata faida mzuri kwa mufti shabani Abdi musa
zhlédnutí 81Před 2 lety
pata faida mzuri kwa mufti shabani Abdi musa
Nasaha kwabarobaro mufti Shaban Abdi musa
zhlédnutí 129Před 2 lety
Nasaha kwabarobaro mufti Shaban Abdi musa
Kiongozi yaani unajisifu kwa Bidaa ambayo kiongozi mkuu na Best na aliyechanguliwa na ALLAH na waliobashiriwa Pepo pia hawakuufanya Uvundo. Kwa Ujinga mkubwa unajisifia na Uovu tena bila kuogopa Laana ya ALLAH. Umepindukia Mipaka ktk kanuni ya Uislam kujisifia kwa Dhambi. Kama hamufahamu Nani mlitakiwa kumfuata ktk maisha yenu yote Kwanza waulizeni wanaojuwa.
IVI NYINYI WAISLAM BAADA YA KUONGELEA MAUAJI YA NDUGU ZETU HUKO GAZA MNQONGELEA POROJO
Allaah akufanyieni wepesi
Huu ni utapeli ambao mawahabi wanaufanya , sheikh yup sahihi
Naona mwajitekenya wenyewe mkicheka
Jitu la bidaa auna uanachuon wowote
Mwanazuoni au jitu la bidaa
bachu nimbumbumbu
Acha upuuz wako Kila kukicha huna jipya mtandaoni Kila siku waja na mambo Yale Yale ya zamani tu Kila Leo ni mijadala ya kupambana na bachu inamaana huko kusoma kwako umemsoma bachu? Ifikie wakati ujifunz kufikisha ujumbe wa elimu sahih kwa jamii, watu wapate elimu na inafahamika kabisa waislam ni Wachache wenye kuijua dini Yao alaf unakuta waislam Wachache waliokula ugali na kushiba wapo kweny mabishano na kukosoana kwanin msianzishe hata madarassa online kama kwer mmesoma dini? Mpo na magroup mangapi ya Whatsapp ya kufundisha dini juu ya kile mlichokisoma? Kwann mnashindwa na Malaya wa mitandaoni Wana hadi magroup Yao yanazagaa tu mitandaoni wanatangaza uchafu wao nyiny mpo kweny malumbano tu ya kile msichikijua Hali ya kuwa mnajifanya mnajua kumbe hamna kitu
MashaAllaah....Allah awajaze nuru waislamu wa Shimoni na waislamu wote kwa jumla👏👏👏👏👍
MashaAllah Mashallah,!!Shimoni kwetu....Allah ajaze nuru watu wa Shimoni na waislamu wote kwa jumla👏👏👏👏👏👍
ALLAH Amrahamu mufti Shaban abdi
Andikq
Mashallaah
Huyu limefura kama wale ngombe anao kula maulidini
Mashallah tabarakaallah
جزاك الله خيرا
Mashallaah malim ndago qadiria iko poa
Eeee kumbe hata huyu ni shekh tena....
Wewe sufi ni jaahil wa mwisho huna maana wewe umechangia nini katika hii dini ... Wadhani kueneza dini ni kupiga matwari na kula biriyani .... Mutakufa na chuki zenu kwa watu wa sunnah
Ukishindiana na mjinga lazma akushinde ndio hii sasa. Huyu hana elimu na hajijui kama hana elimu Bachu hawezi kushindana na watu wasiokuwa na elimu
BACHU MAKOJO KAONA MBALI KUKIMBIA MDAHALO MAANA ANGEJINYEA
UNATOA USHAHIDI WA UWONGO UKISIMAMISHWA NA ALLAH UTOE USHAHIDI MBELE YA MOLA WAKO JE UNALO LAKUMJIBU MOLA WAKO?
SWALI MOJA TU BACHU KAJIKOJOLEA LAPILI SIJUI INGEKUWAJE😂
UNATOA USHAHIDI WA UWONGO UKISIMAMISHWA NA ALLAH UTOE USHAHIDI JE UNALO LAKUMJIBU MOLA WAKO?
Mashallaah
maskini naona watu wanachuma dhambi kwa kumtukana shekhe wa watu!hata kama hajakuridhisha lakini huna haki ya kumtukana
Mada ni Uongo ktk Barzanji sio Wanazuoni wanasemaje kuhusu maneno ya uongo. Kumbe Makhulafi mko wengi.
Musitukane toni dalili
Ww fadhili ni jahil njoo kw masuni wakufundishe
Masufi mnashida
Kwani hapo kaeleza kipi kisichosahihi? acheni porojo za kisiasa katika dini.
Mashallah
Alhamdulillaah
Mashallaah
HASAD INAKUTAFUNA EWE SUFI ALLAH HUMNYANYUA AMTAKAE
Hahahahaha albani kwa bukhar ni sawa na mtoto wa darasa la 1 au 2 kumsahihisha mwalimu wake
Makhurafi mna weza lingana na Albany nyinyi ebu mnitajie mwanachuoni mmoja wnu anaewashinda elimu wanavyuoni wa kisunnah kwanza mmesoma wpi makhurafi wabudu wa makaburi
Imamu shafy Ni Bora KULIKO albani. Wewe unaonaJE?
@@HilalAlhabsi786 kwa akili zenu ndogo mnataka kusema imam shafee ni khurafi hooo kwa ivo alikua akipiga molidi na kuomba maiti cio mko swa kweli
@@ExcitedCricketHelmet-wr4sq kwani Albany Ni dhehebu gani KATIKA Manne ya Ahlusunna?.
@@ExcitedCricketHelmet-wr4sq pili tumeongea Albany Na Imam Bukhari, Wewe ukaita maghurafy wanaompinga Albany ila hukusema kuwa anaempinga Imam Bukhari Ni khurafy. Sasa Sisi maghurafy tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko huyu kijana wa juzi Albany. Kwa maana Sisi maghurafy tunaamini swalaf swaleh Imam Bukhari kuliko nyinyi mawahabi ndio maana mnaumia mkisikia tunamuamini Zaidi Imam Bukhari kuliko Albany. Wewe kwani unafkiri Albany Ni mungu AU?. AU swahaba?. ACHA ushamba sikiliza vizuri
Mawahabi akili zao finyo
Jina la huyu sheikh
Mwalimu wa dj said
Sheikh fadhil
Sheikh Fadhil wa Mambrui
Tuko pamoja
Msikiti wangu huu,Qadiriyya
Hizi ni punda zaki shiah
Huyu jamaa nimjinga kama kilemba chake chaki shia.hata sunna ya funga kilemba maskini hajui kuufata mkumbotu jahl mkumbwa tena basit.tena muraqab
Mashallaah
NA hakuna Sheikh yeyote wa SUNNAH anayedai kwamba sheikhana AL BAAN ana elimu ya hadithi kuwashinda shaykhaan BUKHARI NA MUSLIM, hayo unayoyasema ewe sufi umeyatoa wapi?
Sasa hadithi ilokwsha sahihishwa na Bukhari ina haja gani kuandikwa kwamba ameisahihisha na Albani???? Hyo maana yake nn??
@@wangnjamealawy3387 maana YAKE hawa mawahabi wehu na wamewehuka Kwa uwahabia mpaka UFAHAMU wao umewatoka hawajui hata kinachoongelewa
MASUFI NA watu wa BID'A wanachuki kubwa mno na IMAAMU L"muhadith sheikh MUHAMMAD NASURUDIYN AL AL BAAN!
Kwa kuwa kwako Ni Bora KULIKO imam Bukhari. Kwasababu Imam Bukhari SIO mtu WA Sunna Kama Sisi ndo maana tumemfanya Bora KULIKO Albani. Sijui Kama utafahamu kilichosemwa Kwa chuki yako dhidi YA sufi
Mashallaah
Wacheni upuzi toeni hoja Albani hawezi msahihisha Bukhari na Muslim huko nikukosa adabu kisha ana ilmu gani yakuwashinda Bukhari na Muslim hiyo ni fitna ya mayahudi.
Aaaaaaaah, Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia 😂. Kumbe hajui Hilo. Kama Shia Imam Ali basi mawahabi Kwa Muhammad ibn Abdul wahabi Ni Zaidi YA Shia.
HUU NI UNAAFIQ AKHII
@@RamaNassry kweli kabisa niunafiq mkubwa sana Albani kusahihisha Bukhari na Muslim.
UNAAFIQ niliomaanisha ni kwenu nyinyi mliosema" Kwa mawahabi hata Mtume Muhammad Saw yupo nyuma mbele ya Albany Na ibn taymia"
@@RamaNassry ndio mashekh zenu walivyosema, soma kijana. Nikikuuliza makosa ya Mtume saw utanitajia tele. JE UNAJUA JAPO KOSA MOJA LA ALBANI NA MOJA TU LA IBN TAYMIA?!!!
Nyinyi mawahabi wazuka
Chuki tu.
Chunga Sana,ukijifanya mwerevu juwa umekaa na wajinga lakini ile siku utakaa na werevu wenzako wewe ndiye utakuwa mjinga.Nenda kasome mzushi mjinga wa mwisho
Wewe uko na mchezo sana.Natija Kama ni Kama yako mjinga zuzu kufunza wajinga na mazuzu utakuwa sawa.Lakini wenye akili zao wakikuzilikiza wewe,loh ni mjinga.Kasome bana acha kudanganya ummah
Kaangalie minakasha yake alikua anawafunrisha masheikh wa kisalafi Na wenyewe wanakubari wamekosea kuongea Kama hauna nikutumie WHATSAPP
@@IbraFareed kwani hawa mawahabi Kama punda TU hawana wanachojua wala hawaelewi Jambo inaburutwa kama mizombi TU😂
Kama ww unaweza....Fanya basi Baba
Kujeruhi ulamaa Sio Jambo dogo, wala huna jipya la kuhangaika kumkosia Mtume saw Na maswahaba zake
Kale biriani ulale mzushi wewe