- 2
- 295 734
Patrick makoba patrick
Registrace 29. 08. 2020
Patrick Makoba _ Yahweh (official Audio)#christinashusho #joellwaga #goodluckgozbert#mwamposa
Patrick Makoba _ Yahweh (official Audio)#christinashusho #joellwaga #goodluckgozbert#mwamposa
zhlédnutí: 394
Video
mabasi yakitoka kwa mbwe mbwe stendi ya magufuli asubui yaleo
zhlédnutí 295KPřed 2 lety
ma bussi yakitoka kwa mbwe mbwe stendi ya magufuli
Patrick Ninapenda kutumia video hivi kwa channel yetu CZcams... Ukiona poa, tafadhali. Nitaonyesha nimetoa kwako. Herie16m
Hajis
Boda boda nao ndani ndani masaaa
Jana ulaya tuuu
Kwani hiyo stend ya magufuli ipo wapi?au ni ubungo ndio nilipozoea kupaona tangia 2015 mara ya mwisho nilisafiri kwenda tanga ,tokea kipindi hicho nikawa nje ya nchi, sijaja tena TZ.ila panapendeza sana .03.03.24.
Chuma la kaya kiluwa sio kwa kulala uko
Hizo bus za Esther ni za mwigulu ,esther jina la mkewe ametuibia tozo had kawa billionea
Naomba mamba ya simu ajenti wa bus la tunduru
Nataka usafir wa gari la Easter ya kiomboi kuja dar
Kwanini Esther na magari mengine yapo nje
Tashriff T.A moja iyoooo
Sina hela
Namuona kisbo mnyama🔥
Team sauli
Uko vzr bro
Haipingwi
Magufuli jamani mungu katoumbua Sana pesa yawananchi ulikua inafanya kazi tam Sana Sala kwa baba na mama walie mzaa hijalishi wamakufa hila naimani Ana watoto watafanya na wao alicho fanya baba
Mtu ahesabu atuambie ni ma bus mangapi amepata. Yaliyotoka ndani tu na hii Road ya juu yake pia
Naombeni namba za Agent anayekata ticket za mabas ya mikoan
😆😆😆kaka umeniuwa na uyo kenge
Zile zinaenda kushoto zinaenda safari ya wapi na zile zinaenda kulia zinaelekea safari ya wapi?
kushoto ni Arusha Tanga moshi zinapita bagamoyo
@@Lawizoo Exactly 💯
Atariiii
Ujanionesha Ally's ster
Cheki hii 😁😁 czcams.com/video/d-3kQOSW-NIh/video.htmlttps://czcams.com/video/d-3kQOSW-NI/video.html
Ha haa haa,tusiwasifie kwa mwendokasi wao,USALAMA WA ABIRIA NA MALI ZAO KWANZA.
Naiona esther gari za mwigulu
Happy national tujuane,,,,,,,,,,
HAKUNA DEREVA ALIPEWA LESENI NA MTANDAO UCONGEE UKA MALIZA MANENO KESHO UTAJIBU NINI
Piga picha kimya kimya ulsingee fitna
Hakuna kidume zingatia kazi yako kila stend zina mpangilio acha uchochezi
UNAPO ONGEA ANNGALI SHERIA
ASIKWAMBE MTU HAKUNA KAMA ALLY STAR
ALLY'S NO TZ MZA TO DAR
Vyuma vyangu vya kigoma sjaviona Aifola na majinjah mashine za kazi sana
Arusha kwenda daa wanatoka mda gani
Tilishooo
Noma sana SAULI ✔️✔️💪💪
Hiii kar
Pako poa asee
🔥
Sio poa
Naiyona chuma yangu ya Yanga nacharo experience huwa naita ndege ya chini
Hapo sijaiyona Tashriff tu.
Mbona ishapita kitambo katka mgari hayo hayo
Nimekuona estar wetu singd moja
Uhakikaaaaaa
Nimekuona ESTA wetu singida ❤
una acout tik tok
Huyu mhuni bwana katika msafara wamamba kenge huyu hapa nae kakatiza hahah mwendo kasi
J,P,M 😪🔥🔥🇹🇿😍😍😍😍
Iyo Takbiriiiiii, Dar to mwisho wa reli
Ngombe kweli wewe
1
Good video bro... Naomba uniruhusu nikutumie huo clip yako kwa account yangu tafadhali!
ntumie hiyo broooo