- 3 145
- 7 140 477
Asadiqmedia
Tanzania
Registrace 8. 05. 2013
Asadiqmedia ni chaneli ya kiislamu yenye lengo la kusambaza Uislamu Asili wa nyumba tukufu ya Mtume (saww) chini ya Uongozi wa Maulana Sheikh Hemedi Jalala Mwakindenge Kiongozi na Mlezi mkuu wa utumishi na huduma zitolewazo na Hawza Imam Swadiq (as)
MAJLIS YA AROBAIN YA KIFO CHA IMAM HUSSEIN
Subscribe to our channel on the following link
www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1
#asadiqmedia
www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1
#asadiqmedia
zhlédnutí: 134
Video
USIVUNJE MADARAJA ULIYOYATENGEZA HUENDA UKAYAHITAJIA SIKU MOJA | SAMAHAT SHEIKH SAID
zhlédnutí 59Před 2 hodinami
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
KHUTBA YA IJUMAA 23/ 8 /2024
zhlédnutí 59Před 2 hodinami
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
TUJIFUNZE KUSAMEHE KWA WALE WALIOTUUMIZA AU KUTUDHARAU | SAMAHAT SHEIKH SAID
zhlédnutí 59Před 4 hodinami
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
Je dhana ya Kusema Mitume Hawarithiwi ni Sahihi..?
zhlédnutí 135Před 4 hodinami
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
KWANINI MASHIA WANAMUOMBOLEZA SANA HUSSEIN A.S
zhlédnutí 442Před 14 hodinami
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
JE MTUME ALISAFIRI KWENDA ISRAA KWAKUTUMIA MNYAMA BURAQ
zhlédnutí 704Před 16 hodinami
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
MASWALA YA UONGOZI HAYAPO CHINI YA WANAADAMU
zhlédnutí 216Před 19 hodinami
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
JE MTUME ALISUJUDU JUU YA NINI...?
zhlédnutí 489Před 21 hodinou
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
HII NDIO QUR'AN YA MASHIA.. NA NDIO WANAOUFUATA.
zhlédnutí 1,4KPřed dnem
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
KILA SIKU NI ASHURAA NA KILA ARDHI NI KARBALAA
zhlédnutí 153Před dnem
Subscribe to our channel on the following link www.youtube.com/@Asadiqmedia?sub_confirmation=1 #asadiqmedia
TUNAMLAANI KILA ALIYEKUWA NA ISTIH'ZAA NA HUSSEIN A S | SHEIKH SHAFI NINA
zhlédnutí 297Před dnem
TUNAMLAANI KILA ALIYEKUWA NA ISTIH'ZAA NA HUSSEIN A S | SHEIKH SHAFI NINA
ANAYE SWALI AKIACHA KUSOMA BISMILAH AMEACHA AYA KATIKA SURATUL FAT,HA
zhlédnutí 251Před dnem
ANAYE SWALI AKIACHA KUSOMA BISMILAH AMEACHA AYA KATIKA SURATUL FAT,HA
HISTORIA YA KIFO CHA IMAM HUSSEIN A.S KATIKA ARDHI YA KARBALAA | SHEIKH SHAFI NINA
zhlédnutí 374Před dnem
HISTORIA YA KIFO CHA IMAM HUSSEIN A.S KATIKA ARDHI YA KARBALAA | SHEIKH SHAFI NINA
MSITUSEMEE KWAMBA ALI a.s NI BORA KULIKO MTUME s.a.w.w HAYO MNATUSMEA NYIE. | SHEIKH SHAFI NINA
zhlédnutí 780Před dnem
MSITUSEMEE KWAMBA ALI a.s NI BORA KULIKO MTUME s.a.w.w HAYO MNATUSMEA NYIE. | SHEIKH SHAFI NINA
JE MTUME MUHAMMADI ALIKUA ANAWAONA MALAMAIKA NA MAJINI
zhlédnutí 331Před 14 dny
JE MTUME MUHAMMADI ALIKUA ANAWAONA MALAMAIKA NA MAJINI
JE NIKWELI MTUME ALIMKUNJIA USO KIPOFU ALIYEENDA KUMUULIZA MASWALI
zhlédnutí 488Před 14 dny
JE NIKWELI MTUME ALIMKUNJIA USO KIPOFU ALIYEENDA KUMUULIZA MASWALI
KWANINI MAGROUP YA KIGAIDI YANAHUSISHWA NA UISLAM
zhlédnutí 323Před 14 dny
KWANINI MAGROUP YA KIGAIDI YANAHUSISHWA NA UISLAM
MWANAJESHI ANAYE PAMBANA KWA AJILI YA NCHI YAKE AKIFA VITANI ANAKUFA SHAHIDI
zhlédnutí 199Před 14 dny
MWANAJESHI ANAYE PAMBANA KWA AJILI YA NCHI YAKE AKIFA VITANI ANAKUFA SHAHIDI
NI IPI HUKMU YA KUPIGA KURA KWA MUISLAM
zhlédnutí 525Před 14 dny
NI IPI HUKMU YA KUPIGA KURA KWA MUISLAM
HADITHI ZINAZO TUMIKA KUTHIBITISHA KUWA MUNGU ATAONEKANA SIKU YA QIYAMA.
zhlédnutí 387Před 21 dnem
HADITHI ZINAZO TUMIKA KUTHIBITISHA KUWA MUNGU ATAONEKANA SIKU YA QIYAMA.
JE MWENYEZI MUNGU ATAONEKANA SIKU YA KIAMA AU HATO ONEKANA
zhlédnutí 1,2KPřed 21 dnem
JE MWENYEZI MUNGU ATAONEKANA SIKU YA KIAMA AU HATO ONEKANA
Mnafiki na ibn taymia
Qur,an ainasha mwenye shaka ni ibn taymia aliyekuwa anaabudu kinyago namasamu pia nafasi wake
tunasema mashia ni zao la YAHUDI abdallah bin sabaa,na dini yao hawahitaji mafundisho ya mtume صلى الله عليه وسلم Ndio maana wana kikao cha kukalia maiti siku ya 40 ,wakati hakuna mafundisho hayo kutoka kwa mtume wala maswahaba zake!!
Masarafi ni najisi Kama ibn taymia
Wewe unayehoji una akili Kama alban na mjinga ibni taymia
AROBAINI ni nini na mumeitoa wapi kwenye dini hii ya Uislamu na nimafunzo ya nani tunaomba aya au hadith sahihi kama nyie kweli ni wafuasi wa Nyumba ya Mtume Muhammad (صلى الله عليه وآله وسلم)
Nice words
Maashallah Alhamdulillah wasia mzuri sana Shukran Sheykhnaa
Kwanza wewe huka soma ushia ispokua vile vi majlis mnavyo weka misikitini vya kutukana sahabia hamna majalia zakielimu mnazo funzwa huko
Hebu leteni hizo hujja zenu hafif zamadai ya shamba la fadaq muone tuafunze tofauti ya sadaka na miirath
😂alie kuambia hawa shia rafidha ni wafuasi wa ahlul bait ni nani??? Skiza bro umejihadaa.upo? Ahlu bait kitu kingine shia rafidha kitu Kingine Kuna tofauti ya watu wa nyumba ya mtume(ahlul bait) na dini ya kishia my brother usiwe jahil
Watu wabaya katika zama hizi ni Mashia Sura za Malaika lakini mate matendo na itikadi ya kiiblis
Acha habari zako wew ao mashia Ndio wapigania Haki we huoni wapalestina wanao wasaidia ni ao ao mashia ao wanaojiita waarabu dini ipo kwao wanasapoti wanaowauwa wapalestina m Nipo upande wa mashia unafki hawana HAWA kuliko nyie Viongoz wen ao wakiwahabi
@@jumamaulid3577 Kama mashia wanasapoti wapalestina mbona wao wanaua makundi kwa makundi ya masunni middle east kupia vikundi vyao kama hizbollah, daesh n.k Kaa kitako usome hadaha za mashia kaka utakuja kunishukuru. Wao ndio chanzo na wachochezi wa yanayoendelea huko Ghazza
Maswali kama haya ndio yalinifanya nikaachana na usunni. Nashukuru Allah kunijaalia kuwa mfuasi wa Ahlulbayt
Mtume aliacha nini katika Mali
Shamba la fadak
jumba
Kafili.wewe
Swalawat
mnafiq WW jaa kwa kiswahili cha bara jalala
Mawahabi hamna ishu tena. Kwa sheikh Jalala mmefika mwisho wenu.hamu muwezi wala hamto muweza
Allah awalaani Muawiyah, Yazid, Ali Ziyaad, Aali Marjaana na wote waliopanga na kushiriki kumuua Imam Hussein (AS). AIDHA UWE NA HUSSEIN AU NA YAZID HAKUNA CHAGUO LA TATU.
Mtoto mdogo anaelia anamaanisha maulana jalala anaongea ukweli mtupu mashaallah kuhusiana na kadhia ya imam Hussein A.S
Amesema kweli Al Imam Shaafiy رحمه الله aliposema ،" ما رأيت أكذب الناس من الرافضة" "Sijaonawaona watu waongo zaid kuliko Raafdhwa mashia" na pia jalala km jalala anafanyia kazi msingi wa taqiyya alioeleza imamu wao wa kishia Alkulaini aliposema "Taqiyya ni dini yangu na dini ya baba zangu yule ambae Hana taqiyya Hana dini"
Mawahabi vichwa mchunga hawana hoja dhidi ya shia kazi yao kulialia tu na mipasho
MNASEMAJE KUHUSU ABUBAKAR ,MAMA AISHA NA WENGINEO KTK MASWAHABA NA MNASEMAJE KUHUSU AYA YA MWISHO YA SURATUL FAT HI
Uongo ni ibada katika ushia
Mawahabi weishiwa na hoja kazi yao kulialia tu
WAFUASI WA ABDULLAH IBN SABAAI MYAHUDI
Bora makafiri kushinda mashia kwamna mashia wmevuka mipaka
Allahuma swali ala Muhammad wa aali Muhammad
Swadakta
Allah akuhifadhi na mahasidi waliojaa hapa TZ
❤ mwenyezi Mungu akupe maisha marefu maulana sheikhe Emedi jalala
mashia wapinga kila jambo la sunnah wanakataa ya kwamba ALLAH yupo mbinguni!ALLAH hana mahali wala upande anaokaa!!laa ajabu ilikiwa mtume alisafiri umbali mrefu hadi beytulmaqdis falasitine kisha ikawekwa ngazi kupamda juu mbinguni!! Mtume alipanda ngazi kwenda kutafuta kitu gani mbinguni?!!!
qur'an haina shaka,ila mashia wanaitia mashaka na kuwashawishi waumini waitie qur'an ktk mashaka!! mashia waongo kumshinda ibilis!!
USISHANGAE HAWA NI MAKAFIRI
Huyu ustaaz ni msomi na anajua kujieleza kuliko maustaaz wetu wa kisunni ambao wamejawa na jazba na ukali tu
Uyu anipinga Quran we uoni anavo mpinga Buraq myama ambae Mtume wetu alimpanda
@@wartv730 maulamaa wengi pamoja na wa kisunni bado wanausoma ukweli ulivo! Kuna wengine wanasema alipelekwa kwa ruuya tu na wengine wanasema alipelekwa phydical! Hakuna aya hata moja ya quraan inayomtaja buraaq ! Taarifa za buraq ni hadithi ambazo tumerithi tu lkn quraan haijamtaja buraq kuwa alitumika
@@wartv730 huyu amesoma quraan na amehifadhi quraan na anajua kujieleza mashallah
@@wartv730 usije ukachukua yale maneno ya chuki na kejeli eti kwa kuwa huyu ni shia tu ila tazama ilmu yake na utamkubali! Huyu hana jazba wala ukali kama maustaaz wetu wa kisunni ambao wakieleza jambo huwa kama wanapigana labda
@@maase2023 anapotosha awà mashia waangalie vizuri sio waislam ata kidogo shauri Yako Wana mambo ya ajabu sana
Hiyo ni ndoto ya wazimu
Shekh Jalala sayyd khafidh anaumwa kwa sasa yupo hapa dar rislam
Ipo hivi, Jalala huna kauli ktk madhebu ya kishia, ikiwa mkubwa ktk kundi lenu la kishia kasema wewe nane ukatae... Ni sawa na msunni mwenye madhebu ya kifiqih mfn shaafih... Aseme kitu kuhus madhebu yake ambacho kinaenda tofaut na madhehebu.... Kwahiv wewe maneno yako hayana mashiko n hata ukiyakataa kama unavyokataa.
🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡
Lanatullh
Mashia ni makafiri sawa na mayahudi na hiyo ni dini Yao ila wanatafuta njia tu za kuwachukua wale wasio elimi
Shida watu hawataki kusoma lkn hakuna dhehebu sahih na mashia.
Tuthibitishie Imam Hussein ni Kiongozi amechaguliwa na Allaah
Hadith za mtume zimejaa tele zinazothibitisha majina ya MaImam kutoka wa kwanza hadi wa mwisho. Tatizo watu ni wavivu kusoma na kufanya bahthi
@@abiabi9353Toa hizo Hadith tunaomba Hadith Moja ilio sahihi
@@abiabi9353Toa Hadith sahihi
Nkweli ustadh
Hapo ustadh Na kubaliana Na ww
Shekh Maulana umesema kweli
Hao maswahaaba walioritadi, ambao munawalaani!? Muongo mnafik
Mnafundisha upumbavu na wapumbavu wenzio mjinga jalala kama jina lako
Sio uende ukafanye utafiti ujue kama Ni kweli ama Ni uongo
Soma mzee na kazi unayo kwa kukurupuka na sisi ndo watetezi wa Palestine
@@LuqmanKawela-qf8ny sawa lakini chungeni mnakila dalili kuwa nyie ni washirikina
@@selemankishema5780 je Imani yako kuhusu mungu Iko vip Yani unhis mungu Yuko vp
Mpumbavu n wew maan haujielewi na ujahala wako huu wa kiwahabi maan kusoma hujui Wala kuoma hauoni maan yake ww ni kipofu Dunian na huenda akhera pia ukawa kipofu Wallahu a'alam
قال الشعبي رحمه الله عن الرافضة : لو كانوا من الطير لكانوا رخما، ولو كانوا من البهائم لكانوا حمرا. وصدق رحمه الله
عمائم على البهائم
Nyie wanafiki tu jalala ulishasema mwenyewe shia ni dini kama dini nyengine sio dhehebu
Hawakufurishi abubakar na omar ila huwa wanapokosea huwa wanaambiwa wamekosea na wanapopatia huwa wanaambiwa wamepatia.kwa niwao sio maasum ni wanadamu wa kawaida hupatia na kukosae
Sasa mbona mnatukana masahaba wa mtume
Mimi ni msuni ila mashia ni waislam kama sisi. Tena mashia huenda ni bora zaidi katika kuutetea uislam zama hizi. Dunia inajua na watu wanajua hilo. Utofauti wetu mdogo usitutenganishe.
Acha kuongea usichokijua shia si waislam hayo maneno alitamka mwenyewe huyo jalala na video zake zipo alisema hasa kua shiabsio uislam ni dini kama zilivyo dini nyengine tu na ukumbuke hiyo ni dini yao wa irani wan itakadi zao tofauti na uislamu usiingie mkenge
@@mfalmekima5318 Shia ni dhehebu kama madhehebu mengine ya kiislam. Hayo mengine ni ya kwako. Wangekuwa si waislam wasinge kwenda hija na umra.
Wacha wajinga wa gombane ila Kwa mtu Ambae anataka elimu basi hupenda kujuwa madhehebu nyengine zinasemaje ❤
Tatizo huwajui mashia. Mashia wanatumia taqiya, yaani wanaficha uhalisia wao
Astafrullh ujuw dini